Rais Suluhu atania wabunge kuhusu ufahamu wa kiswahili

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 тра 2021
  • Rais Suluhu atania wabunge kuhusu ufahamu wa kiswahili
    Rais Suluhu asimulia mahusiano ya karibu ya majirani kwa ucheshi
    Suluhu:Yumbu hutungwa mimba Kenya na kuzalia Tanzania
    Suluhu: Walioandamana nami wamejua vichochoro vya Nairobi

КОМЕНТАРІ • 123

  • @ambakisyekyando1975
    @ambakisyekyando1975 3 роки тому +1

    Asante mama yetu naifuraia hutuba nzuri. natabasam ninapo riona bunge Laivu inpendeza sana maombi yetu na dua zetu mama tunakutakia kazi njema na mungu akurinde katika utendaji wa kazi zako zote maana kuongoza maelfu ya watu ni kazi sana .

  • @lilianngure6555
    @lilianngure6555 3 роки тому +9

    Wow mama ubarikiwe

  • @saidimohamed4357
    @saidimohamed4357 2 роки тому +1

    Asante mama samia kwatozo kubwa makato ya mpesa

  • @bnussrahlimsantah3730
    @bnussrahlimsantah3730 3 роки тому +13

    Mashallah nmependa

  • @ndingimwananzeki5776
    @ndingimwananzeki5776 3 роки тому +3

    Samia nampenda sana

  • @peterkagwi9801
    @peterkagwi9801 3 роки тому +3

    Rais mrembo duniani Masha Allah

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga935 3 роки тому +2

    Ahsante mama samia kwa kutupandishia petroleum na oil

  • @mariamibrahim5467
    @mariamibrahim5467 3 роки тому +3

    Samia means listener,suluhu means solutions and Hassan means wema..may you always find solutions as your name suggests. Your humility is admirable. Long live mama

  • @mamahelen4584
    @mamahelen4584 3 роки тому +5

    Mama suluhu nakupendanga vile umeiga

  • @davidndungu21
    @davidndungu21 3 роки тому +10

    Madam President seems like fun

  • @moiben663
    @moiben663 3 роки тому +6

    I love her sooooooo much

  • @enocknyamongo3502
    @enocknyamongo3502 3 роки тому +1

    Imeni nice sana

  • @davismate6999
    @davismate6999 3 роки тому +14

    Hivi ndivyo tutakavyo, uongozi usio wa kijipiga kifua lakini wa undugu.

  • @roselusenaka7548
    @roselusenaka7548 3 роки тому +7

    Kiswahili mufti kweli.

    • @davidngwesa
      @davidngwesa 3 роки тому

      Hatuzungumzi Kiswahili mufti huku. Nadhani mufti wanazungumza huko Mombasa. Sisi tunaongea Kiswahili sanifu (Standard Swahili)

  • @johnchokera3403
    @johnchokera3403 3 роки тому +6

    Kiswahili kitukuzwe

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 3 роки тому +3

    We love her 💋❤️❤️

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 роки тому +2

    Mashaallah

  • @truelovepawanza2046
    @truelovepawanza2046 3 роки тому +12

    ata Wanyama Pori ni ndugu

    • @benyrashird1130
      @benyrashird1130 3 роки тому +2

      Kwani nyumbu wenyewe wanasemaje 😩😩😩

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 3 роки тому +2

    Hapo nadhani wabunge wengine hawakuelewa kiswahili chote mana walizoweya kuchanganya moja kiswahili maneno kumi English

  • @judyncororo6140
    @judyncororo6140 2 роки тому

    Hi let prayer together

  • @loishiyelaizer7018
    @loishiyelaizer7018 Рік тому

    MH.TATIZO LA UMEME NA MAJI ARUSHA OLKOKOLA VILLAGE TUNAOMBA Msaada

  • @jamesthuku3509
    @jamesthuku3509 3 роки тому +9

    Sikudhani ni mtani hivo

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 роки тому +2

      WaZanzibar ni wacheshi na wanapenda UTANI. MUNGU IBARIKI AFRICA. AMIN

  • @truelovepawanza2046
    @truelovepawanza2046 3 роки тому +3

    Wanyama Pori wakipata mimba Tanzania wanakwenda kuzalia kenya

  • @josephngugi9893
    @josephngugi9893 3 роки тому +6

    Stephen Letoo 😆😅🤣✋ ni mgenge ati Shamra shamra sherehe na nderemo .

  • @alverztv6272
    @alverztv6272 3 роки тому +5

    Shida ni kwamba mtabaki na ucheshi tu badala ya kuiga yale ya muhimu yaliyo semwa ....🙏

    • @slimmy.b1520
      @slimmy.b1520 3 роки тому +1

      Waambie mimi na penda kiswahili sana

  • @elizabethmuganzi6261
    @elizabethmuganzi6261 3 роки тому +4

    Wanabunge wakike Kenya, wamejifunza neno moja ama mbili.
    Kuwa wanyenyekevu wakiasilisha viti kwa imani wanainchi wa Kenya wanatajiria. Sio matusi wala maringo. Jumwa wa Malindi ame ona na kusikia.

  • @husnaraphaery3149
    @husnaraphaery3149 2 роки тому

    Sauti

  • @jobumisago4138
    @jobumisago4138 3 роки тому +1

    Taarifa ya habar reo

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 3 роки тому +2

    ❤️🇹🇿🇰🇪❤️

  • @danwayne786
    @danwayne786 3 роки тому +1

    Huyo spika walimtesa kwa kumshauri ku nena namba kwa Kiswahili. Maskini.

  • @emmanuelkapelo9777
    @emmanuelkapelo9777 3 роки тому +6

    Thanks mama lulu hassan

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 3 роки тому +2

    Sio wote lakini kama asilimia hamsini ya watu hapa Kenya dio wanabaki kunajisi hi lugha yetu Safi ya Kiswahili ni aibu na kutudhalilisha kama wakenya

    • @davidngwesa
      @davidngwesa 3 роки тому +1

      Nashangaa kuona watu hawajui Kiswahili na wanaona ni ufahari kutojua hii lugha hapo kwenu!

  • @zkylieh204
    @zkylieh204 3 роки тому +6

    2nabadika mnazalia Tanzania kabisa😂😂😂 I salute you mamaa HESSH🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 роки тому +2

    Wanyama wapata mimba Kenya wanazalia tz hahahaha

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 3 роки тому +1

    Kweli kabisa kwaajili miaka zote zilizo pita wakenya walikuwa hawajui maana ya neno rubani na runingha

  • @njorogefred150
    @njorogefred150 3 роки тому +3

    Suluhu ameleta Suluhisho ya vile Biashara itakavyo fanywa Afrika Mashariki. Pongezi sana.

  • @ekitelabenson2283
    @ekitelabenson2283 3 роки тому

    Pastor

  • @athumanikitege390
    @athumanikitege390 3 роки тому

    Uhh

  • @awadhalii2200
    @awadhalii2200 2 роки тому

    .

  • @abrahamkipkemboi4830
    @abrahamkipkemboi4830 3 роки тому

    Calls

  • @matabamgunda2291
    @matabamgunda2291 3 роки тому

    Msukuma bungeni

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 3 роки тому +2

    Usiuze tanzanaiti

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 роки тому +1

    No one Like magufuli

  • @noblechild5652
    @noblechild5652 3 роки тому +1

    Rais mrembo MashAllah 💜💖, mwenye maneno matamu yaliyozidi Matani🤣🤣

  • @charlesngatia4447
    @charlesngatia4447 3 роки тому +3

    "Ghafla bin vu! Iligeuka ikawa shamra shamra kelele na nderemo" 😂

  • @iddkiteja603
    @iddkiteja603 3 роки тому

    In

  • @gutobenson381
    @gutobenson381 Рік тому

    Her kiswahili doesn't seem Tanzanian she doesn't have problems of R and L as typical Tanzanians.

    • @greenandbeach8134
      @greenandbeach8134 Місяць тому

      She is zanzibar her swahili is like mombasa swahili

  • @oscaisack2670
    @oscaisack2670 3 роки тому

    Bwanga

  • @gulalashigela4712
    @gulalashigela4712 3 роки тому

    ;

  • @ericngendakumana9046
    @ericngendakumana9046 2 роки тому

    We ha u na akili ya kutosha

  • @azamtn
    @azamtn 3 роки тому +7

    sio kiswahili tu kenya hata kizungu cha wakenya ni duni mno.. pengine wakenya waonge lugha zao za mama tu

    • @benyrashird1130
      @benyrashird1130 3 роки тому

      😂😂

    • @isaiahobiero7433
      @isaiahobiero7433 3 роки тому +7

      Now that's where you go wrong

    • @danielmlewa4936
      @danielmlewa4936 3 роки тому +3

      @@isaiahobiero7433 uyo ndo mwenye chuki zake sasa ..poor mind

    • @tolah313
      @tolah313 3 роки тому +5

      🤣🤣🤣wacha ushoga nyie tz hamuwezi ongea ata neno moja la kizungu mfabo harmonize badala ya attitude anasema atutudeee lmaooo

    • @fatmamdigo4701
      @fatmamdigo4701 3 роки тому +2

      Wawapi wewe eti kenya kizungu vip? Waota wee👈.

  • @markusruhl6073
    @markusruhl6073 3 роки тому +2

    Speaker Lusaka amechoma🤣🤣

    • @noblechild5652
      @noblechild5652 3 роки тому +1

      🤣🤣🤣 Shida ya kiswahili chetuu Wakenya n kumix sheg'

  • @mjrashid7654
    @mjrashid7654 3 роки тому +1

    Anajaribu kujenga na kurudisua uhusiano mzuri ya hizi nchi mbili ambayo marehemu alisambaratisha.

    • @vincentmanyama3808
      @vincentmanyama3808 3 роки тому

      Ungefanya ziara za ndani hizo pesa ulizotumia ungechangia hata ujenzi wa shule choo madawati madaraja tungekuelewa

    • @nuruchikoe1959
      @nuruchikoe1959 3 роки тому

      Acha unafik

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 3 роки тому +1

    Sasa mabifu ya kipuuzi yaishe ilifika kipindi mpaka wachumba wakikenya wanatubagua aisee hatari sana 🤣

  • @marysworld2104
    @marysworld2104 3 роки тому

    Anatania Wabunge wetu. Si aongee Kiingereza tuona nani atachekwa. Ajabu ya nyani kuona kundule...

    • @rajeshzayn3802
      @rajeshzayn3802 3 роки тому

      Ko unafkir hajui english hahahaa jokes on you

    • @marysworld2104
      @marysworld2104 3 роки тому

      @@rajeshzayn3802 anajua? Eeh 😂😂😂

    • @nuruchikoe1959
      @nuruchikoe1959 3 роки тому

      Kwani kingereza ndio lugha yako acha utumwa

    • @marysworld2104
      @marysworld2104 3 роки тому

      @@nuruchikoe1959 hata kiswahili sio lugha yangu. Acha ushenzi

    • @ramadhankondo4643
      @ramadhankondo4643 3 роки тому

      @@marysworld2104 @ NURU CHIKOE sasa hao ndio wakenya full kiburi for nothing, unamuweka sawa yeye anakuita mshenzi!!!

  • @phoebemukhwana3058
    @phoebemukhwana3058 3 роки тому +2

    🤣🤣🤣

  • @yamunguvsvipshem6532
    @yamunguvsvipshem6532 3 роки тому

    Kutoka majengo ya bunge