Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Hongera sana Ndugu yangu Isack Mwita....Melod nzuri sana...piga muziki hadi Mungu ashangae......👏👏👏👏👏
Asante sana kaka 🙏
Huu wimbo ni mtamu aiseee 💯🔥✨
Nipo ninakesha kukimbiza kazi ya mwajiri wangu. nikiliwazwa na nyimbo kutoka youtube mara pap nakutana na hiki kitu! Loh mmenigusa mno, hongereni sana!
Daaah ila mwita isack ni mtunzi hasa 🙌🙌🙌🙌 Hongereni main voice kwa kazi nzurii ,, Vocal imejaa ,,, Galaxy Studio 🎙️ 🙌🙌🙌
Isack mwita tunza kipaji hiki ubarikiwe sana
Next Project Ni Krismass🔥🔥🔥🔥Karibuni Sana The Main Voice Tumtukuze Bwana Kwa Njia Ya Uimbaji❤
Safi sana Mke umechagua fungus lililo jema Kuimba ni raha
Sauti nzuriiii, hongera mtani wangu, wimbo unaniweka kwenye uwepo wa Mungu
Mpo vzr hongeren Sanaa!!
Mko vzr Sana mungu awabaliki
Hongera sana kwako mtunzi bro Mwita Isack, nimekuwa nikifuatilia nyimbo zako zote , Hakika zimetulia.
Asante sana
Uko vizuri mwamba nawaona na dada zangu hapo dada mage na dada jeniroza mungu awatie nguvu kwa utume ulio tukuka
wimbo mtamu kweli kweli. Ni wapi tunaweza kupata nota zake?
Na Mwita Upewe Maua Yako Hizi Melody Sio Zakutegemea😅🔥💯💯💯
Nice melody be blessed all
Hongera Mwita Isaack na Wana kwaya wa main voice, i really love your songs big up brother
Thank you my sister 🙏
One of my favourite composers🎉🎉.....pongezi sana baba
Kubarikiwa sana
Waoo, hongereñ sana kwa uinjilishaji wa kuimba uliyojaa sifa na utukufu kwa yeye anayetunemesha, uhai kwaajili yake 🎉❤❤❤🎉🎉🎉😊😊
Hongereni sana, Kaka Augustino na wenzako mmefanya jambo la kicho machoni pa Bwana
Waoh congratulations so 🔥
Tamu sana sanaaaaaa.....
Sweet voices. Ongera sana
I Love This Choir 😢❤❤The Main Voive❤🎉
Amina..Hakika Halali...
Very nice 👍
hongera sana ticha kazi mzuriii mnooo Mungu akutunze
Amina dadake
Amina 🙏
safi
Safi sana
Wow🎉🎉🎉
Kweli kabisa..
🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo nzuri saana ✍️✍️✍️ MzuriHakika Ukuu wa Mungu unazidi kuonekana kwetu
Thanks so much @MwitaIsack this is powerful and sweet song
Congratulations to you all Bravo Mr Mwita it is a classical music of it's kind very pleasing Be Blessed you deserve to be called main voice.
Thank you so much my brother
❤
👏👏👏
Ila huyu mwita isack🔥🔥🙌❤️
As normal as usually, very heavy music. Much congratulations to the whole team and God bless you.
Nzur mnoo...ila naona kama imefanana na Kiburi cha uzima...au waimbaji ni wale wale??
Hongera sana Ndugu yangu Isack Mwita....Melod nzuri sana...piga muziki hadi Mungu ashangae......👏👏👏👏👏
Asante sana kaka 🙏
Huu wimbo ni mtamu aiseee 💯🔥✨
Nipo ninakesha kukimbiza kazi ya mwajiri wangu. nikiliwazwa na nyimbo kutoka youtube mara pap nakutana na hiki kitu! Loh mmenigusa mno, hongereni sana!
Daaah ila mwita isack ni mtunzi hasa 🙌🙌🙌🙌 Hongereni main voice kwa kazi nzurii ,, Vocal imejaa ,,, Galaxy Studio 🎙️ 🙌🙌🙌
Isack mwita tunza kipaji hiki ubarikiwe sana
Next Project Ni Krismass🔥🔥🔥🔥Karibuni Sana The Main Voice Tumtukuze Bwana Kwa Njia Ya Uimbaji❤
Safi sana Mke umechagua fungus lililo jema
Kuimba ni raha
Sauti nzuriiii, hongera mtani wangu, wimbo unaniweka kwenye uwepo wa Mungu
Mpo vzr hongeren Sanaa!!
Mko vzr Sana mungu awabaliki
Hongera sana kwako mtunzi bro Mwita Isack, nimekuwa nikifuatilia nyimbo zako zote , Hakika zimetulia.
Asante sana
Uko vizuri mwamba nawaona na dada zangu hapo dada mage na dada jeniroza mungu awatie nguvu kwa utume ulio tukuka
wimbo mtamu kweli kweli. Ni wapi tunaweza kupata nota zake?
Na Mwita Upewe Maua Yako Hizi Melody Sio Zakutegemea😅🔥💯💯💯
Nice melody be blessed all
Hongera Mwita Isaack na Wana kwaya wa main voice, i really love your songs big up brother
Thank you my sister 🙏
One of my favourite composers🎉🎉.....pongezi sana baba
Kubarikiwa sana
Waoo, hongereñ sana kwa uinjilishaji wa kuimba uliyojaa sifa na utukufu kwa yeye anayetunemesha, uhai kwaajili yake 🎉❤❤❤🎉🎉🎉😊😊
Hongereni sana, Kaka Augustino na wenzako mmefanya jambo la kicho machoni pa Bwana
Waoh congratulations so 🔥
Tamu sana sanaaaaaa.....
Sweet voices. Ongera sana
I Love This Choir 😢❤❤The Main Voive❤🎉
Amina..Hakika Halali...
Very nice 👍
hongera sana ticha kazi mzuriii mnooo Mungu akutunze
Amina dadake
Amina 🙏
safi
Safi sana
Wow🎉🎉🎉
Kweli kabisa..
🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo nzuri saana
✍️✍️✍️ Mzuri
Hakika Ukuu wa Mungu unazidi kuonekana kwetu
Thanks so much @MwitaIsack this is powerful and sweet song
Congratulations to you all Bravo Mr Mwita it is a classical music of it's kind very pleasing
Be Blessed you deserve to be called main voice.
Thank you so much my brother
❤
👏👏👏
Ila huyu mwita isack🔥🔥🙌❤️
As normal as usually, very heavy music. Much congratulations to the whole team and God bless you.
Nzur mnoo...ila naona kama imefanana na Kiburi cha uzima...au waimbaji ni wale wale??
🔥🔥🔥🔥🔥