LIVE: RC MAKONDA AWABANANISHA WATENDAJI NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI MONDULI - ARUSHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • ‪@millardayoTZA‬

КОМЕНТАРІ • 30

  • @CharlesDaniel-mn8jl
    @CharlesDaniel-mn8jl 3 місяці тому +8

    Piga kazi mkuu Mungu akulindee

  • @abdullkidunda5941
    @abdullkidunda5941 3 місяці тому +1

    Mungu akupe maisha marefu mkuu kwani viongiz km ninyi kutokea ktk kalne ya ss ni wachache na msio hitajika kwa kua wawazi kimaamuz ubarikiwe sana kiongoz.

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 3 місяці тому +6

    2030 Taifa hili litakuwa mikononi mwako katika jina la Yesu

  • @lesemomole6286
    @lesemomole6286 3 місяці тому +3

    Piga kazi mh.makaonda
    God bless you

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 3 місяці тому +6

    Ktk teuz bola za mama makonda na wazili wa alizii akika ni teuzi ambazo ni bola sana kwa ajili ya wanannchi ya kima cha chin

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 3 місяці тому +1

    Maskini inasikitisha sana mumsaidie Bibi Mzee hao ndio wanyonge wakupewa msaada asante

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 3 місяці тому +4

    Mpaka nimelia huyu kijana Mungu amsaidie

  • @kulwamisana8896
    @kulwamisana8896 3 місяці тому +1

    Kaka piga kazi mungu nae anaona kazi nzuri unayoifanya

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 3 місяці тому +1

    Nimecheka sana hapo kwenye maajabu

  • @PeaceMakersFamily77
    @PeaceMakersFamily77 3 місяці тому +1

    When I was a kid👶I used to think that Egypt and Israel are in Heaven 🥸

  • @user-mg8fg4jq5v
    @user-mg8fg4jq5v 3 місяці тому +1

    Mama mlete shinyanga kahama atusaidie

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI. 3 місяці тому

    Namuona raisi magu kwa mbaali🔥🔥🔥

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 місяці тому +1

    Kama wakuu wa mikoa wote wangefanya kazi namna hii, wananchi wangeipenda Serikali yao sana, nchi ingekuwa na baraka kutoka kwa Mungu na ustawi ungekuwa mkubwa sana. Lakini inahitaji mkuu wa mkoa kuwa safi, mwenye makandokando ya wizi, ufisadi, kushiriki kudhurumu wananchi hawezi. Pengine ukimya wa wakuu wa mikoa wengine una mshindo mkuu.

  • @leonardobedi4779
    @leonardobedi4779 3 місяці тому +2

    ukisikiliza kesi ya mkandarasi kuna picha linakujia akilini alaf wanamtaka makonda atumie lugha nzuri ya kuwabembeleza 😢.. wachane baba

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI. 3 місяці тому +1

    Hadi kavaa kimasai

  • @user-dm8qm4yx4s
    @user-dm8qm4yx4s 3 місяці тому +1

    1:16:18

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo 3 місяці тому +2

    Alafu mnasema wanazalilishwa mhh majizi yamejaa

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 3 місяці тому +3

    Wakuu wa mikoa wangefanya hivyo nchi nzima Wangemsaidia Sana Mh Rais Samia na Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa.

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 3 місяці тому +2

    Yaani watu wanaiba na wanajijua wanaiba..., Alafu poa tuuu dhaaaa kamanda wetu Makonda akiteleza kwa maneno tuuu mnaanza kujiposti mkitupa mipasho mtandaoni 🤣🤣🤣🤣

  • @user-mk1qz1mn7w
    @user-mk1qz1mn7w 3 місяці тому +4

    Wapuzii watasema na huyu umemzalilisha wapuzii

    • @frankrobert9706
      @frankrobert9706 3 місяці тому +1

      Tena wasenge kweli yaani hii nchi ngumu sana mtu akifanya kazi nzuri anakuwa adui makonda piga kazi achana na machawa ya hii nchi

  • @mako331
    @mako331 3 місяці тому +1

    Ukisikia mtu anasema Makonda anadhalilisha watumishi wa umma huyo ni mtu wa kuogopwa sana kwenye nchi hii, uozo wa kiutawala uliopo wacha tu Makonda afanye anayofanya

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 3 місяці тому +2

    Hao wezi ambao ni viongozi ndio wanatakiwa kuwa magerezani wele wafungwa innocent wawe huru.

  • @user-ej5sl9mn5k
    @user-ej5sl9mn5k 3 місяці тому +2

    Sio tanga ni shida hasa mipango mji hapa tanga mjini mama akimaliza Arusha aje na Tanga

  • @AyoubSaidi-ig1is
    @AyoubSaidi-ig1is 3 місяці тому

    Namuona makufuli kama anakuja anakataa hv

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 3 місяці тому

    Mtu anapewa sifa kajenga shule za kata kumbe kadhulumu mtu na kamuumiza mtu vibaya kama si Mungu angekufa

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI. 3 місяці тому +1

    Ila makonda ana mbweembwe

  • @josephnemgosi8804
    @josephnemgosi8804 3 місяці тому

    Tatizo mfumo

  • @mshambaclassic4590
    @mshambaclassic4590 3 місяці тому

    😂😂😂