Mungu akupe maisha marefu mkuu kwani viongiz km ninyi kutokea ktk kalne ya ss ni wachache na msio hitajika kwa kua wawazi kimaamuz ubarikiwe sana kiongoz.
Kama wakuu wa mikoa wote wangefanya kazi namna hii, wananchi wangeipenda Serikali yao sana, nchi ingekuwa na baraka kutoka kwa Mungu na ustawi ungekuwa mkubwa sana. Lakini inahitaji mkuu wa mkoa kuwa safi, mwenye makandokando ya wizi, ufisadi, kushiriki kudhurumu wananchi hawezi. Pengine ukimya wa wakuu wa mikoa wengine una mshindo mkuu.
Ukisikia mtu anasema Makonda anadhalilisha watumishi wa umma huyo ni mtu wa kuogopwa sana kwenye nchi hii, uozo wa kiutawala uliopo wacha tu Makonda afanye anayofanya
Piga kazi mkuu Mungu akulindee
Mungu akupe maisha marefu mkuu kwani viongiz km ninyi kutokea ktk kalne ya ss ni wachache na msio hitajika kwa kua wawazi kimaamuz ubarikiwe sana kiongoz.
2030 Taifa hili litakuwa mikononi mwako katika jina la Yesu
Piga kazi mh.makaonda
God bless you
Ktk teuz bola za mama makonda na wazili wa alizii akika ni teuzi ambazo ni bola sana kwa ajili ya wanannchi ya kima cha chin
Maskini inasikitisha sana mumsaidie Bibi Mzee hao ndio wanyonge wakupewa msaada asante
Mpaka nimelia huyu kijana Mungu amsaidie
Kaka piga kazi mungu nae anaona kazi nzuri unayoifanya
Nimecheka sana hapo kwenye maajabu
When I was a kid👶I used to think that Egypt and Israel are in Heaven 🥸
Mama mlete shinyanga kahama atusaidie
Namuona raisi magu kwa mbaali🔥🔥🔥
Kama wakuu wa mikoa wote wangefanya kazi namna hii, wananchi wangeipenda Serikali yao sana, nchi ingekuwa na baraka kutoka kwa Mungu na ustawi ungekuwa mkubwa sana. Lakini inahitaji mkuu wa mkoa kuwa safi, mwenye makandokando ya wizi, ufisadi, kushiriki kudhurumu wananchi hawezi. Pengine ukimya wa wakuu wa mikoa wengine una mshindo mkuu.
ukisikiliza kesi ya mkandarasi kuna picha linakujia akilini alaf wanamtaka makonda atumie lugha nzuri ya kuwabembeleza 😢.. wachane baba
❤❤❤❤❤❤❤
Hadi kavaa kimasai
❤ 1:16:18
Alafu mnasema wanazalilishwa mhh majizi yamejaa
Wakuu wa mikoa wangefanya hivyo nchi nzima Wangemsaidia Sana Mh Rais Samia na Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa.
Yaani watu wanaiba na wanajijua wanaiba..., Alafu poa tuuu dhaaaa kamanda wetu Makonda akiteleza kwa maneno tuuu mnaanza kujiposti mkitupa mipasho mtandaoni 🤣🤣🤣🤣
Wapuzii watasema na huyu umemzalilisha wapuzii
Tena wasenge kweli yaani hii nchi ngumu sana mtu akifanya kazi nzuri anakuwa adui makonda piga kazi achana na machawa ya hii nchi
Ukisikia mtu anasema Makonda anadhalilisha watumishi wa umma huyo ni mtu wa kuogopwa sana kwenye nchi hii, uozo wa kiutawala uliopo wacha tu Makonda afanye anayofanya
Hao wezi ambao ni viongozi ndio wanatakiwa kuwa magerezani wele wafungwa innocent wawe huru.
Sio tanga ni shida hasa mipango mji hapa tanga mjini mama akimaliza Arusha aje na Tanga
Namuona makufuli kama anakuja anakataa hv
Mtu anapewa sifa kajenga shule za kata kumbe kadhulumu mtu na kamuumiza mtu vibaya kama si Mungu angekufa
Ila makonda ana mbweembwe
Tatizo mfumo
😂😂😂