TOBA YA ALIYEKUA ASKOFU MKUU MSAIDIZI MCH DR JOHN MAHENE KWA EAGT

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 69

  • @hellenevarist3106
    @hellenevarist3106 2 роки тому +3

    YESU AHSANTE SANA, AHSANTE MNO Watumishi wote Yesu YESU awalinde. Adui Hana nafasi mbele Tunaendelea 🔥🔥

  • @sojipaul5021
    @sojipaul5021 2 роки тому +4

    Mungu akubariki sana mch mahene umefanya jambo jema sana sana sana...sasa tu kitu kimoja tena...Mungu kasikia maombi yetu.🙏

  • @ndemeeimana6633
    @ndemeeimana6633 2 роки тому +2

    Ameen mtumishi wa Mungu , Mungu azidi kukupa mwisho mweemaa Asante , Kwa kitendo Cha kishujaa ulichokifanya, naamini mbingu zimeshangilia🙏🙏🙏

  • @bethaelnsumyirambobpraise7794
    @bethaelnsumyirambobpraise7794 2 роки тому +2

    Mungu yupo kazini mahene Mungu akutunze Maliza uzee vzur, najua wasukuma huwa tunamalza mambo vzur hakuna haja ya kugombania mambo ya mwili, vyeo siyo ishu tunaweza shangilia ila kuna hekima ya Mungu ya kujifunza but migogoro ya ajabu ktk mambo ya ajabu na kuyaweka public siyo mambo mazur kwa ajili ya Mungu na mambo ya Mungu kuyapeleka kimwili ni tatzo sana kuna mambo mengine hata kama yanatakiwa kuwekwa ndani cyo hi mnavofanya

  • @LucasMayunga
    @LucasMayunga 4 дні тому

    Ningu ya mungu,

  • @azariacosmas1338
    @azariacosmas1338 2 роки тому +3

    Umefanya maamuzi yaliyo mazuri mungu akusamehe ktkt uzee wako umalize mwendo Salama!!

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 2 роки тому +3

    Mzee Mahene ww ni shujaa sana. Ni watu wachache wenye kushuka na kutaka kumaliza mwendo vizuri. Hata ukiondoka leo utakuwa umemaliza mwendo vizuri

  • @imanimasasa7042
    @imanimasasa7042 2 роки тому +2

    Glory and honor be to God Almighty for His abundant grace and mercy on his servants. Nimefurahi sana kusikia habari hii njema za ushindi katika ufalme wa Mungu.

  • @yusuphmagetta7969
    @yusuphmagetta7969 2 роки тому +2

    Ubarikiwe mtumishi hakika Mungu nimwema sana

  • @peternyambo1439
    @peternyambo1439 2 роки тому +4

    Naamini shetani kweli yupo kazini kwa kinachoendelea ndani ya EAGT! Maombi muhimu

  • @alfrednyamnini7352
    @alfrednyamnini7352 2 роки тому +2

    Inapendeza sana mbele za Mungu hakika Mungu ni mwema.

  • @mchungajiboscomaliga5702
    @mchungajiboscomaliga5702 2 роки тому +2

    Acheni Mungu aitwe Mungu

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 2 роки тому +1

    Mungu akubariki akutende mema wewe uliyeomba msamaha mm sijui kosa lako Ila umefanya la maana sana

  • @aishaabdul6971
    @aishaabdul6971 2 роки тому +1

    Mchungaji wangu mchungaji John mahene muujiza wako Bado unaishi baba,

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 2 роки тому +3

    BABA ASKOFU MWAKIPESILE UBARIKIWE KUMPOKEA. MZEE MAHENE. NA MZEE MAHENE UBARIKIWEEEEE. KWA KUOMBA MSAMAHA NA TOBA
    NAMIMI NAITAKA EAGT. NATAMANI KUHAMIA HUKO

  • @eligiuselias4469
    @eligiuselias4469 2 роки тому +1

    Jina la Yesu Kristo litukuzwe sana

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba4715 2 роки тому +1

    Utukufu kwa Mungu

  • @elikakishai9923
    @elikakishai9923 2 роки тому +1

    Mungu bado anawapenda na mwingi warehema Jambo njema Mungu hapend hata moja apotee

  • @bishopmtambo6562
    @bishopmtambo6562 2 роки тому +1

    Amen

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 2 роки тому +1

    Amina kwa kumsafisha MTU wa MUNGU na kusafisha kanisa

  • @isackmtawa15
    @isackmtawa15 2 роки тому +1

    Barikiwa saaaaaana

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 2 роки тому +1

    Mungu ashukuriwe naomba watumishi wengine waige mfano guy wa kutubu na kurudi lakini pia wa kuwapokea watumishi wanaotubu

  • @saadamartin8866
    @saadamartin8866 2 роки тому +1

    Haleluya Mungu ni mwema

  • @lugendodaniel5266
    @lugendodaniel5266 2 роки тому +2

    Moses Kulola aliwapa mwanga na namna ya kumtumikia MUNGU kwa Roho na kweli , tumikeni kwa mfano wa mtangulizi wenu Moses Kulola.

  • @eliakingu6282
    @eliakingu6282 Рік тому

    Glory to God 🙏🙏

  • @festosalimo7863
    @festosalimo7863 2 роки тому +1

    Mungu amejibu maombi

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 2 роки тому +1

    Mungu kasikia maombi

  • @christopherchisuligwe512
    @christopherchisuligwe512 2 роки тому +1

    Ameni! YESU ni mwema sana

  • @prophetmusasimon9281
    @prophetmusasimon9281 2 роки тому +2

    Haaaaaaa EAGT Moto unawamaliza ninyi kwa ninyi acheni Vita mtamalizana munapiga Vita manabii usiku na mchana sasa mutamalizana

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 6 місяців тому

      Swala la manabii wa uongo halipingwi na EAGT peke yao,bali kila aliye na injili ya kwelii atawapinga tu.

  • @hassanimsile874
    @hassanimsile874 2 роки тому +1

    Jambo la kheri

  • @bakundukizetz3880
    @bakundukizetz3880 2 роки тому +1

    Mungu ni mwema Sana.

  • @healingclinic978
    @healingclinic978 2 роки тому +1

    Ameungama Je huduma iko chini ya Nani?

  • @pastorbaharia598
    @pastorbaharia598 2 роки тому +3

    Nimejikuta machozi yananitoka.

  • @lugendodaniel5266
    @lugendodaniel5266 2 роки тому +1

    Msamehe kabisa siyo kubaki kulipiza kisasi

  • @fidelis5777
    @fidelis5777 Рік тому

    Nijambo jema lakini ata askofu mkuu uyo mwakipesile aende akatengeze kwenye makanisa Kama Rehema temple EAGT mbeya ilemi B bado tunamuheshimu Kama mtumishi wa mungu

  • @johnwilson5106
    @johnwilson5106 2 роки тому +2

    Hakuna KITU hapo.Msimamo WETU UKO palepale

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 2 роки тому +1

    Kanisa litasimama

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 2 роки тому +1

    Samehe na kusahau

  • @philbertcelestin7057
    @philbertcelestin7057 2 роки тому +1

    EAGT hakuna kustaafu,mbona Kama Mzee wa kustaafu na Ana shida ya kutembea

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 2 роки тому +1

    Nimeamini kukaa mbali na dhambi inakulinda

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 2 роки тому +1

    MUNGU kalipigania kanisa,pia aliye omba msamaha katumia akili,pia asamehewe

  • @healingclinic978
    @healingclinic978 2 роки тому

    Mnadanganya watu alafu ninyi viongozi wakubwa Kama amekabidhi kanisa emmh tuambieni mchungaji alieshikilia kanisa Hilo anaitwa Nani ninyi msidanganye watu

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony5525 9 місяців тому

    Shetani Ameyakanyaga

  • @brunopeter9776
    @brunopeter9776 Рік тому

    Njaaa zitawapeleka kuzimu

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony5525 9 місяців тому

    Shetani amemeza wembe

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 роки тому

    Afadhali maana watoto wetu wapo huko

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony5525 9 місяців тому

    Shetani ameyatimba

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony5525 9 місяців тому

    Shetani Amepigwa kombola

  • @blandinajoseph1291
    @blandinajoseph1291 Рік тому

    Msimamo wako sio wenu

  • @prophetmusasimon9281
    @prophetmusasimon9281 2 роки тому +2

    Eagt munavyopiga makanisani mengine ila ninyi Moto unawala ninyi kwa ninyi mutamalizana ache Vita ya kuwapiga Vita watumishi wengine mutamalizana na vyeo vyenu hivyo munavyopigania

  • @michaelkhalid3226
    @michaelkhalid3226 2 роки тому +1

    Tunajifunza mengi sana kupitia jambo hili tunatiwa moyo sana MUNGU ni mwema sana

    • @mussamlowendiotunatakamdah7393
      @mussamlowendiotunatakamdah7393 2 роки тому

      Tume tumia ghalama nyingi sanaaaa lakini hatuhesabu ghalama kama yesu alivyo jitoa Bila kuhesabu.ghalama ya mateso nakucha enzi mbinguni kwajili yetu tumekusameheeee

  • @monalisalebasoto2538
    @monalisalebasoto2538 2 роки тому +2

    Hamna kitu apoooo

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 2 роки тому

      Unacho ww basi

    • @monalisalebasoto2538
      @monalisalebasoto2538 2 роки тому

      @@depaolo3461 eeeeeh mm ninacho endeleeni kumsaliti Moses kulola bwana atawalipaa

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 2 роки тому +1

      @@monalisalebasoto2538 nani aliyemsaliti Moses kulola hujui lolote unakulupuka, mahene kurudi yupo sahihi na yy ndo chanzo Cha mpasuko Kwa mambo aliyotenda acha kujipendekeza ww kwanza amefanya jambo la ki Mungu kuomba msamaha Sasa endelea kushupaza shingo na kigenge chenu Cha wahuni wasiofika hata wachungaji hamsin

    • @monalisalebasoto2538
      @monalisalebasoto2538 2 роки тому

      @@depaolo3461 yaani nyie na vizazi vyenu Mungu atawalipaaa tuuuh endeleeni na Roho zenu mbaya mumemtelekeza Mama kulola Mwaisabila mumemfanyia baba wa watu mnayoyajua nyie mama Moses kulola mnayomfanyia Endeleeni tuuuh Mungu atawahukumu cku inakuja endeleeni kulipana Milioni 12 kwa mwezi huku mama kulola mnajua mnachompa na roho zenu mbaya hizooo

    • @frankmwansile6756
      @frankmwansile6756 2 роки тому +2

      @@monalisalebasoto2538 Nafikiri huna unacho jua lakini kwa faida yako unatakiwa kujua kanisa la EAGT lilianzishwa namna gani sio kama GWAJIMA, MABOYA, KAKOBE, GAMANYWA NA MWINGIRA hawa walianzisha kanisa moja baadaye wamekuwa wakifungua matawi mengine kwa lugha nyepesi hayo ni makanisa yao. Lakini EAGT sio kanisa la mtu ila ni Kuna wahasisi ambao lazima waheshimike na pia wahudumiwe na mama KULOLA ANAPEWA SH 5,000,000 kila mwezi nafikiri kwa mama hiki ni kiasi kinachotosha kabisa.

  • @marymremi8085
    @marymremi8085 2 роки тому +1

    alifanya nn.

    • @PeterKamera
      @PeterKamera Рік тому

      MUNGU ni mwema Sana kwetu Mana hata neno la MUNGU linasema mtu mmoja mwenye dhambi akitubu malaika hushangilia mbinguni

    • @RoseMtetetemela-jv1dh
      @RoseMtetetemela-jv1dh Рік тому

      Ubarikiwe sana baba wakati wakutubu hakuna aibu nahuo ndio ujasiri wa toba

  • @user-ek2ok9ro6h
    @user-ek2ok9ro6h 6 місяців тому

    Amen

  • @lucasbaluhya3787
    @lucasbaluhya3787 2 роки тому +1

    Mungu ametenda