Wapendwa wa kwa magembe mnaraha sana nineema sana kupata mtumishi kama huyu kwa kanisa la sasa lililo halibika hapa ukiikosa mbingu kwa kutaka mwenyewe tu
Hujafikiria sawa sawa katika neno hili,.Mtu haendi mbinguni kwasababu wazazi wake ni wachungji au title yoyote ile.ya utumishi wa Mungu. Bali yeyote amchaye Bwana
Bwana apewe sifa? Naomba kujua taarifa za semina za hapo kanisani, natamani kuja kwenye semina hapo kanisani. Mm Niko Zanzibar, nisaidie mch Yohana..Amen
Amen servant of God. Preaching the truth that so many people dont like. Ulimi kiungu kidogo matatizo mengi. Nimenyeyeka nijifunze. God bless you mch. Magembe na familia yako na wakristo ambao wako tayari kugeuka kubadilika na kuwacha njia mbaya na kutumia ulimi kwa utukufu wa Mungu. Edith
Wapendwa wa kwa magembe mnaraha sana nineema sana kupata mtumishi kama huyu kwa kanisa la sasa lililo halibika hapa ukiikosa mbingu kwa kutaka mwenyewe tu
Watching from kenya Nairobi
Baba wa Imani uliyebaki ni wewe pekeako,
Kweli kabisaa
Amen be blessed Pastor
Nabarikiwa Sana na mahubiri yako nikiwa Kenya,,,maungu wa uzima akuzindishie baba
Hallelujah 🙌🏾
Hii ndio injili sasa.... Safi sanaaa. Ubarikiwe sana Pastor
Amina baba chungaji
Mchungaji karibu huku Drc. Tunakuhitaji saaaaaaaaaaaaaaana dady
Kwakweli tanzania neema ipo kuna na NENO la MUNGU MKUU la KWELIKWELI
Amen
Mchungaji, leo kafinya jipu! Mungu atusaidie kabisa.
Watoto wa gembe mkiikosa mbin gu dunia itawashangaa
Hujafikiria sawa sawa katika neno hili,.Mtu haendi mbinguni kwasababu wazazi wake ni wachungji au title yoyote ile.ya utumishi wa Mungu. Bali yeyote amchaye Bwana
@@mshanimacka7998hujamuelewa ni kama
Kuna watu wana vichwa vigumu makanisani ndg😅
Acha kabisa...
Hajasemea watoto wa mwilini amesemea watoto wa rohoni ambao ndio hao kanisani na siyo aliowazaa@@mshanimacka7998
Dah mimi niko kenya natamani ningepata mchungaji kama mch magembe
Bwana apewe sifa?
Naomba kujua taarifa za semina za hapo kanisani, natamani kuja kwenye semina hapo kanisani. Mm Niko Zanzibar, nisaidie mch Yohana..Amen
BWANA YESU asifiwe Mchungaji, Mungu awasaidie jamani mitambo ikae Sawa maana mtandao unakatakata
Jana kulikuwa na shida ya umeme.....
Lakini mitambo yenyewe iko vizuri
EXCELLENT MY FATHER, JESUS CHRIST MAY BE WITH YOU FOREVER .
Kwa kweli Yesu nisaidie
Utaishi maisha marefu sana mtumishi wa Bwn,msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Jamani huyu mzee anaviwango vya kusema ukweli ambavyo wachungaji wengi wanaogopa
Mungu wa mbinguni apewe sifa tupo pamoja.nipo kasumbalesa
Mungu akutunze sana mtumishi wa Mungu
Mch mitambo inasumbua sana tunashindwa kupata vema ,ubarikiwe napenda huduma yako upo sahihi sana ,,by Kisetu
Amen servant of God. Preaching the truth that so many people dont like. Ulimi kiungu kidogo matatizo mengi. Nimenyeyeka nijifunze. God bless you mch. Magembe na familia yako na wakristo ambao wako tayari kugeuka kubadilika na kuwacha njia mbaya na kutumia ulimi kwa utukufu wa Mungu. Edith
Nakubaliana nawe Mtumishi wa MUNGU.nilikataa kuchanganywa kwenye ubatizo na wasio kuwa na ndoa.
Ubarikiwe baba heri la saba pamoja na amani, heri la saba pamoja na Yesu
Nafadhaika sana Inapo katakata yaani sikipati hiki chakula na aman
Mchungaji Bwana Yesu asifiwe samahani mjitahdi kuweka mitambo sawa inakata kata
Ubarikiwe Baba kwa Neno na Barikiwa saana 🎉
Bwana Yesu asifiwe, naomba kuuliza kanisa la huyu mchungaji lipo wapi yaan kanisa analolihudumia Yeye
Ukonga majumba sita karibu mpendwa
Majumba sita
Hii ndoo ibaada
Weeeuh 😂😂mchungaji basi njoo Kenya 🇰🇪 baba.
Babu karidi nimefurahi
Yesu ni Bwana tunajengeka
Amina,mtumishi tuko pamoja
AMINA BABA YETU. IENDE MBELE INJILI
Karibu kenya baba mchungaji
Injiri inayopeleka mbinguni
Barikiwa sana baba
Kwakweliiiiii baba unatumiwa na MUNGU
Fundi naomba urekebishe mitambo vizuri
Ameen
Nakupata mpashara hapa Kenya. Ubarikiwe sana mzee.
Ameen Baba
Baba utafika mini goma drc
Amina
Mimi naomba namba ya mchungaji magembe nisaidie sana
Ni ukweli mtupu
Mitambo inasumbua jamani khaa
Dady tunakuitaji huku DRC.
Tena tunatamani wote tuje huko kwaajiri yakwetu ya kweri
Naweza pata namna gani email address ao number ya simu ya mchungaji Moses Magembe namna gani
Please I need your help
Amen