Kwenye funza mtumish hapo mi nilioza kabisa na nilikuwa na chunga mbuzi unavyo jua tena mbuzi huwa hawatulii sehem moja ila ssa Mungu ameniinua na namtumikia Mungu kwanjia ya uimbaji ameeen
Safi sana kaka piga neno nakukubarigi sana ,hiyo sehemu nakataa hata mimi niliipitia lakini niko viwango vingine ,kuna watu wanakuangalia kama mfano ndo ninavyojichukulia
Amen MUNGU AMEFANYA TABASAM KWA BISHOP NAMI NAJIUNGAMANISHA ua-cam.com/video/R31XBltDTu8/v-deo.html TAFADHALI UKISIKILIZA WIMBO HUU USIACHE KUTOA USHUHUDA BAADA YA KUWA UMEUSIKILIZA MUNGU AKUBARIKI SANA🙏🙏🙏
😂😂aaah pastor Masanja ulikuwa mzembe kweli kutoka masimbwa hadi njombe siku 6 kweli jamaangu?!? mwenzako nilitokaga Lugalawa hadi njombe kwa siku mbili tu! Pia nilikuwa natembea kwa mguu toka njombe to lupila siku moja na nusu, kwa kuzunguka ya uwemba...
@@Feelfreechurch ila nimefurahi huduma yako umekua ndg yng ulianza kama masihala vile, leo unatema madini ya Mungu kama yote duuuh!!! 🤔🙏🙏🙏ningekuwa naishi dar ningehamia kanisani kwako! Mungu akusaidie sana
@@Feelfreechurch ila nimefurahi huduma yako umekua ndg yng ulianza kama masihala vile, leo unatema madini ya Mungu kama yote duuuh!!! 🤔🙏🙏🙏ningekuwa naishi dar ningehamia kanisani kwako! Mungu akusaidie sana
Freemason baba ako kenge wewe Tulia watu tunapata ushuhuda,kama haujawai chunga mifugo kama ss,hauwezi jua chochote, Kwetu msumbiji yeliko maana yake fala
@@vincentmushi1247 wakati mwingine ukiona kitu hakipo sawa kwa Mwenzio muombee awe sawa Kama wewe na Mungu atakubariki majunguu yanaumiza na yanaleta uchungu usiopona haraka
Kwenye funza mtumish hapo mi nilioza kabisa na nilikuwa na chunga mbuzi unavyo jua tena mbuzi huwa hawatulii sehem moja ila ssa Mungu ameniinua na namtumikia Mungu kwanjia ya uimbaji ameeen
Mungu alikuwa anakuanda ukitoka kwenye kuchunga ng,ombe , ukachunge watu
Masanja the Best.
Kuna watu wanaona comedy kila wakikuona lakin kuna watu tunamwona Yesu tukikusikia.
Bwana yesu asifiwe tunaomba uweke mkutano sumbawanga karibu sana
Asante sn Mchungaji, ushuhuda wako umenitia nguvu ya kutokata tamaa❤
Haleluya tuliyetoka ludewa tumtukuze Mungu kupitia PASTOR Emanueli Mgaya ameeen
Mahubili yako Kama vile yesu ameshuka karibu Sana sumbawanga
Tumsifu yes kristo Mimi naamini Nina karama yakumwimbia mungu pia ninapenda Sana ila sijui shetani kapanga kitugan namuaibisha kwajina layesu
Barikiwa baba
Udalikhe mswamu va khuludeva ,NGULUVI akhutange necho.
Matekhenya kakhasumbwe nyeva mweee ung'umbwise khatali.
Be blessed Brother!!!
Mungu akubariki karama uliyonayo Mungu akuinue zaidi ya hapo uwe kama TB Joshua ,,
Safi sana kaka piga neno nakukubarigi sana ,hiyo sehemu nakataa hata mimi niliipitia lakini niko viwango vingine ,kuna watu wanakuangalia kama mfano ndo ninavyojichukulia
Amina 🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana
Ameen Mchungaji Emmanuel
daaaah be blessed pastor
Amen Amen
Thanks brother kwa ushuhuda huu hakika huwa ni swala la muda tu ....nmechunga ngombe saana😶
I love this
Amina kubwa
Wanibaliki sana
Hahaha 😂 wibita khwii, khulukalava😂
Amina
Hatari sana,,,,,mchungaji amenyoa panki!!
Asante
God bless u pastor nakupenda sana mafundisho yako yananijenga nasi nikuombe weka MTU wa kutafsiri in English and francais ili na wengine wasikie
Na kirusi kichina ki sweedish ki denish kipare kizambia SIJUI ATAKUA NA WAKALIMALI WANGAPI
Tunakukubali apa Mozambique
Mjo juuu
be masanja nyigha univunganise nimifirimason
Muhgu akupake mafuta zaidi asikofu wahgu emanuer mgaya
🙏🏼🙏🏼barikiw
Kumbe kuna Watu wana Wivu tuu Huduma yenu ni nzuri mno.
YES IMMA
Wanaomsikiliza huyo nawasi wasi na akili zao huyo mhuni tu
@@yelikopangalas2610 mzuni ni wewe
Goood
Amen MUNGU AMEFANYA TABASAM KWA BISHOP NAMI NAJIUNGAMANISHA
ua-cam.com/video/R31XBltDTu8/v-deo.html
TAFADHALI UKISIKILIZA WIMBO HUU USIACHE KUTOA USHUHUDA BAADA YA KUWA UMEUSIKILIZA
MUNGU AKUBARIKI SANA🙏🙏🙏
Maisha nofolen
We tafuta hela usepe tu
😂😂aaah pastor Masanja ulikuwa mzembe kweli kutoka masimbwa hadi njombe siku 6 kweli jamaangu?!? mwenzako nilitokaga Lugalawa hadi njombe kwa siku mbili tu! Pia nilikuwa natembea kwa mguu toka njombe to lupila siku moja na nusu, kwa kuzunguka ya uwemba...
Avee mfifu ukhukenda. Mbona Pala sikhu chivili tuu
Umetisha sana
@@Feelfreechurch ila nimefurahi huduma yako umekua ndg yng ulianza kama masihala vile, leo unatema madini ya Mungu kama yote duuuh!!! 🤔🙏🙏🙏ningekuwa naishi dar ningehamia kanisani kwako! Mungu akusaidie sana
@@Feelfreechurch ila nimefurahi huduma yako umekua ndg yng ulianza kama masihala vile, leo unatema madini ya Mungu kama yote duuuh!!! 🤔🙏🙏🙏ningekuwa naishi dar ningehamia kanisani kwako! Mungu akusaidie sana
Daudi hakuwa mhuni Kama ww acha utoto freemason mkubwa we
Usihukumu usije ukahukumiwa hukumu ni juu ya Mungu sisi tunafundishana na kusaidiana
Kaka kukaa kimya ni hekima
Acha wivu fanya kazi hakuna cha Freemason
Freemason baba ako kenge wewe
Tulia watu tunapata ushuhuda,kama haujawai chunga mifugo kama ss,hauwezi jua chochote,
Kwetu msumbiji yeliko maana yake fala
@@vincentmushi1247 wakati mwingine ukiona kitu hakipo sawa kwa Mwenzio muombee awe sawa Kama wewe na Mungu atakubariki majunguu yanaumiza na yanaleta uchungu usiopona haraka