Mashauzi Classic Modern Taarab - Ni Nani Kama Mama Official Video
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- #IshaMashauzi #NiNaniKamaMama #SlideDigital
SUBSCRIBE TO OUR CHANNEL
/ @ishamashauzi
Listen & Download Music Worldwide
ffm.to/mashauzi
Follow:
/ ishamashauzioriginal
Channel Administered by Slide Digital
/ ishamashauzioriginal
jamani hii haiishi hamu mpaka sasa .2024 bado inamata huu ujumbe na shukrani kwa mama zetu haiishi hamu hii nyimbo wallah Isha uliimba sana pongezi kwako my sister ❤❤❤❤❤❤
Mama hakosei mwn Nani km mama Hakuna respect kwa mama wote
Yani dada ulijua kinipatia,kwakweli Kila siku ninawaombea sana mama zetu wanakazi kubwa,mungu naomba unitunzie mama zetu walio hai na waliotangulia naomba uwapokee,nawapenda akina mama wote na mimi ni kiwemo❤
Naupenda sana huu wimbo....isha umejua kupangilia... Allah akulinde
rip mama miaka ya nyuma tulikuwa tunaisikiliza wote hii nyimbo leo naisiklza mwenyew nakupenda sana mama
Pole dear
Pole mamy
Pole my
Wallah Hii nyimb kila nikisikiliza nalia tyu mungu niwekee mama yang
santa isha mama sio kiatu wala nguo mama yuwapaswa kutuzwa na kupewa heshima nakupenda mamangu popote ulipo insha Allah najua nitakuja tuonane n.a. kumiss mamangu
Nimeupenda sana hongera sana mpendwa
Love you mom wangu
Nina mpenda mama yangu Sana ninamjali,ninamhurimia ninani Kama mama hakuna Kama mama duniani Kama siyeye usingekua duniani 💝💝💝💝💝💖💖😍😍😍😍😍😍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🧡💖💖😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😍😍😍😍
Nakupenda sana kipenzi changu mama yangu
Wasio watunza akina Mama hawana maana ninakupenda mom 😍😍😍😍😍😍
Nakupenda MAma yangu nyimbo niliyomtuzia mama yangu siku yakuolewa chozi lilinitoka ilove sweet mommy Wang 💕💕💕💕💕💕❤❤
Ninakupenda sanaa mama yanguuu,,,,,mama sio nguo wala sio kiatuuu 'na mwenzio mkaazimanaaaaaa,,,,,,daaah live long My mummy
2024 still watching nani kama mama my best song
R.I.P my mama hii no kwa ajili yako mama yangu kipenzi
Namkumbuka sana mama mwenyezi mungu akuondolee adhabu
Wimbo huuu naupenda Sana maalum kwa wa mama wote, haswa sisi tusiojaaliwa neema ya kuwa nao leo unatugusa mpaka naumia
Nikweli
Nakupendaaa maamaa menqi umenifanyiaa kwakwelii mpk napiaa hiii nyimbo Kali mnoo
No one like mama allah akupe maradh mema rest in peace my mom love kama umielewa hii ngoma gonga like hapa
mama ni mama jmn 2020
Kabithaa
Hakuna kama mama kweli nyimbo nzulii sana
Amna ane fanana 💞💞 na mama nakupend Sana mama angu Isha mungu akuweke pole Sanaa muombee mamaako
Nisingekuwa dunian Kama s wewe mama
Naupenda sana huu wimbo nikiusikia muda wote nalia nampenda sana mama yangu mungu akuweke nakupenda pia da isha nyimbo zako nzuli
Yani huu wimbo kila nikiuusikiliza machozi yanitoka ,nakuombea mumy angu kipenzi mwenyezi mungu akupunguzie azabu ya kabuli
Ameen
Nikisikilizaga hii nyimbo mchozi tu unanitoka.
Rip my mummy nakupnd ck zote za maisha japo umetangulia mungu awapunguzie adhabu za kaburi mama zetu walio tangulia mbele za haki
Allah amlaze mahali pema peponi
R I P mama angu bd nakukumbuka na hh ndio nyimbo inayo nipa faraja
Pole xana tuombee tu inshaAllah
Pole my
2020 bado naisiliza nakupenda mamaangu mwenyeziii mungu awapee miaka mingi kina mama wote na wale walio tangulia mbele za akiii wapumzike kwa amani👋👋👋
Aminaaa
Ameen thuma ameen ya Allah
Ameen
2020 tunaosikiliza gonga like hapa
Zulfa Ndoile moja m
Love mama forever
Wimbo mzuri mno tuwapende mama zetu
Mama hakuna kama mama
Mashauz mimi hunimaliza kwa maneno yako maneno yako matamu hayaniishi hamu...nakupe saaana queen
Wapekeee mungu alieumba dunia wapili ni mama yangu
Wimbo huu hauchiji, uko vizuri . Isha shikamoo.
Nakupnda xna mama yng najuwa hkn zaid yko MAMA yng Allah akup maisha maref ktk hii dunia
Nyimbo tamu isoisha hamu 2018 🔥🔥❤️
Haswaaa yani naipenda mpk homaa
Mama siyo kiatu mama siyo mtandio kusema tutaazimiana nakupenda sana mama ang huko uliko nawishi ungekuwepo mama ang 2020 hii mung azid kukuifazi Vema mama ang nakumis sana mm😭😭😭😭😭😭😭
San tu akuna kama mama jamn
Nakuombea na ninakupenda sanaa Mama yangu 🥰🥰🙏🙏 na wale waliotangulia💔💔😪😪 Mungu awape Pumziko jema na kuwapunguzia adhabu ya kaburi
Ameen
r I p mama nilikupenda ila mungu kumpenda zaidi
Pole mamy
Pole my
Rip to my mom I wish ungekuwepo ningekuwa mbali
Tunaoendelea kuisikiliza 2020 gonga like
Tuko hadi 2021!!!!tumshukuru maulana mola muumba vyote,mwingi wa rehma na mwenye kurehemu!!!!sifa zote njema ni zake!!!!Mary (mariam) maina toka kenya254 embu county Dallas estate !!!!
2022
daaah kazi nzuri sana queen of the best melod
Allahamdulilah anasematuwe wote hadi siku ya qiama
Kama unaamini hakuna Kama mama gonga like yako hapa
Kama unaangalia hii wingi 2023 gonga like
Nakupenda mpaka naumwa
Nyimbo nzuli haiisha hamu kuitazama2021
Bado tunaskiliza 2021❤️
2021 sasa! Mpooo!?
Tupo dad
@@sadeyahmady3139 safiii
@@sadeyahmady3139 na Leo usikilizee maana ndo siku ya mama sasa!
Umeona Eeh 🤔
Nasikiliza mwanzo hadi mwisho
Lovely more all mothers
😘😘😘😘😘😘😘😘
Wimb mzur san nakupend san dd isha mungu akujalie kher kwenye Maisha yetu atup riski na afya njem akujaze hekima na busara
Nyimbo tamu na ujumbe wa maana na mzito!!!!asante maulana kwa kunipa mamangu mzazi!!!!mama ndo mungu wako wa pili!!!!mtii mama na umuheshimu utapata barka kwa wingi toka kwa Allah. Thanks mom for giving birth to mi my sweet lvly mom rose muthoni mwangi wife to Paul maina ng'ang'a my dad!!!nitawadhamini milele hadi nitakapoondoka toka hii duniani kwa mapenzi na wakati wa mwenyezi mungu!!!!rest in peace my mom n my dad still in my heart,mind n soul !!!thanks to God for giving mi such wonderful parents n thanks for the yrs that I spent with each one of them!!!!
Daa mama
Nimehapa sinto weza kumdharau mama nakupenda bure
Nani kama mama santa mashauzi patamu hapa 👌
Nan mwengn yuko hapa 2021
Hakuna kama mama wallah
MashaAllah, kazi nzuri.
Mama, mama, mama, Kisha baba.
Allah mponye mama yangu kwa huruma zako yaaRabb
Nana kama mama ubarikiwe
RIP mama ake isha 😢na mama angu
Poleni wote mliondookewa na mama nakupenda sana mama angu mie
innalilah wainnalilah rajiun
Nakupenda San mama angu nyimbo tamu Sana hii saf Sana isha kwautunzi mzur 2021
Mama ni mama hakuna badala
Nyimbo niipendayo Sana hongera mashauzi Dada angu kwa wimbo huu
bado nipo na wewe 2021
Nyimbo nzur sana wallah haiishi hamu ata duh nakupenda my sister isha
wote tumezaliwa hakuna aso mama
H
Kabisa hakuna aso mama duniani 💖👄💝
Nice dear nakupenda bure
Na mie wa twenty bd ipo juu
Nakupenda-isha-mashauzi-napenda-kuimba-sina-wa-kunishika-mkono-dada
nani karma mama penda sana mama
Sitomdharau mama yangu ndio nguzo yangu ya kwanza Mungu nitakutunza mama kwa uzima na maradhi Eeh Mungu nitunzie mama yangu aishi miaka mingi zaidi maana bado namtegemea saanaaa
Mama mtamu
7pm a a los dos días después del 7am del hhy
6 y me 9 de y 6 6 a los
L
L ll
L
mm
L
Mashaallah naipenda Sana hiyo nyimbo
Jmn goma n bomba sanaa
Leo ndo haswaaa siku maalum ya kumuimbia mama! Penda sana wewe mama Zullu wetu! Mungu akuweke miaka miaa kama mama yako! Inshallah
Pumzika salama mama angu naumia sana kila nikisikia hii nyimbo nataman ungekuwepo miaka 9 sasa mama nakupnd daima
Pole my
@@OmanOman-ky2oo tantee dia
Isha unakifua kizur
Duh we kiboko
Nani anasikiliza 2021 tujuane
Mimi
NiKo hapa 2020 alham dulillah nani Kama mam miss you mam aKe mim
wote tumezaliwa hakuna asie na mam
Jamani tuambizane goma hili litachuja ?2020 bado nalisikiliza kwa utulivuuu.
Hakuna kama mama nampenda sana mama angu mungu mpe maisha marefu mama angu
Mkuriaaa kiboko saaana kwa twaarab
Atujakataa
Nani kakuuliza
2021 natizama mpooo
Dou,me ndo naiangalia Leo trh 23 January lkn kwakuwa haichuji nahic badO Cjachelewa,pOngezi kwa my mother maana shughuri yake C ya Kitoto.
Da huwa nikisikia hii nyimbo namkumbuka mama yangu kipenzi alipata sana shida kwaajili yangu mama nakupenda sana mama yangu kipenzi
Wallhy hii taarab👌
Ipo kuntuuuu
Hongela Sana dada nimeiyelewa taaalab yenyemaana hongela Sana Dada yang u.
Feb 4
Pongezi mamangu mzazi nakupenda sana mamangu mpenzi
Hainichoshi hii nyimbo
Nitumie
R.I.p mama mashauzi ulimpenda sana ila mungu kampenda zaidi
Kweli ila cc tulokuwa tunao bc tuwapendeni
2021 naomba like
Inakumbusha mbali sn
Hakuna kama mama
Kweri
2021
I love this song because is teach about to respect your parents
Nisingekuwa duniani kama si wewe mama na kubwa yako thamani itadumu daima
Leo ni tarehe 28/02/2022 bado naangalia
Nisngkuw dnian kma sio ww mama
Hakika hakuna mwingine duniani Kama mama nakupenda Sana mam yangu kipenzi Mungu azidi kukutunzaaa milele. Huu wimbo naupenda Sana maana una ujumbe muhimu Sana kuhusu mama zetu 💗❣️💗💗🌹🙏
Nan kama mama hakunaaa
Still watch my sister Isha 2020 Aug 8. Nakupenda mama ungu❤️.
Nakupenda sana mama yangu kipenzi bi asia mndeme miaka 100 nakutakia
Nzuri sana hii nyimbo
2021 here watching this hit song ever
Kweli
Mapenzi ayana fomla
Nani kama mama mama ni mama
2024 bado fire
Rest easy my mom😭
ongera xna dda isha
My mother.. a woman like no other
Nikiskia hii nyimbo huumkumbuka mamaangu mungu amrehemu
Nakubali xan kazi zako