ALLY KAMWE AGOMA KULALA AWEKA ULINZI BENJAMIN MKAPA/"KESHO MAPEMA SANA UWANJA UNAFURIKA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 93

  • @AgnesKachiwela
    @AgnesKachiwela 2 місяці тому +1

    Kamwe kazi Yako unaijua na unaiweza 💛💛💛💛💛yanga

  • @SussankhanKhan
    @SussankhanKhan 2 місяці тому +2

    Love semaji letu mungu akulinde namacho ya kolo fc

  • @nangomwabaharia9242
    @nangomwabaharia9242 2 місяці тому +5

    Yanga mmetisha Sana hamna mpizani Kwa hapa tanzania

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 2 місяці тому +1

    Wananchi wacha tuwe wawazi tu ndugu zangu
    Kamwe ni jembe na anapiga kazi
    Tumpe heshima yake😢🙏🙏🙏🙏🙏

  • @abdallahsharif426
    @abdallahsharif426 2 місяці тому +10

    KAMA NI SASA.....NI SASA HIVI....MAKOMBE MAWILI YA AFRIKA YANAKUJA TANZANIA 🇹🇿 INSHAALLAH....PENGINE YANGA NA SIMBA WAKATAE WENYEWE....❤❤❤

  • @stellastella2795
    @stellastella2795 2 місяці тому +1

    Jamani naipenda yanga nikiwa💚💛💚 omani

  • @GraceLuena-w8s
    @GraceLuena-w8s 2 місяці тому +2

    Jaman hongereni sana! Hapapoi! Mko vizur sana.

  • @HeryethIzack-ck8bu
    @HeryethIzack-ck8bu 2 місяці тому +3

    Allyyyyy yaan ukixhabikia tanga unapenda kila aliyeko apo yanga💚💚💚💚💛💛💚💚💚💚

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 2 місяці тому

    Naipenda Yanga🎉🎉🎉

  • @Masengo-su3mf
    @Masengo-su3mf 2 місяці тому +2

    Mungu awabariki kazinjema 8 8 tusubiri siku iyo ninahomba kwamungu wale pasaka

  • @JudithExavery
    @JudithExavery 2 місяці тому

    Mungu tujalie na yanga yetu

  • @IbrahimWegoro
    @IbrahimWegoro 2 місяці тому +4

    Leo ndo wataona mpila hii ndo timu Simba bado Sana tareh 8 watalia na kusaga meno watapoteana uwanjani hadi nawaurumia

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 2 місяці тому +1

    Hata uhuru tutaijaza na wengine itabidi wahamie pale sabasaba

  • @bahariahd6299
    @bahariahd6299 2 місяці тому +4

    MPENJA UMEPATA MTANGAZAJI MARA HII

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 2 місяці тому

    Nyie na Konde kakesha uwanjan?

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani 2 місяці тому +5

    Nawapongeza sana wanayangaaaa wote nchi zote wamechaguwa tim sahihi ya kuishabikiya asanteni sana

    • @davidjoetv9595
      @davidjoetv9595 2 місяці тому

      wewe akili huna😊

    • @HadijaKiwambu
      @HadijaKiwambu 2 місяці тому

      ​@@davidjoetv9595weunayo unatembea nayo kwenye begi

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 2 місяці тому

    Yanga raha sana

  • @elizabethmasters5998
    @elizabethmasters5998 2 місяці тому

    Vibe kama lote

  • @neemamwocha2113
    @neemamwocha2113 2 місяці тому +3

    Kijana mchapq kazi

  • @HusseinAlly-zp7sb
    @HusseinAlly-zp7sb 2 місяці тому

    Yangaaaaaaa daimaaaaa❤

  • @petrochikawe1797
    @petrochikawe1797 2 місяці тому +1

    Yanga bingwa yanga Raha yanga kubwa san

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA 2 місяці тому

    Yanga ya motooooo❤❤❤

  • @HalimaYahya-p7t
    @HalimaYahya-p7t 2 місяці тому

    Yanga bingwa kwa wakina jobe waliocheza jana. 😴

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 2 місяці тому

    Apo si mnasema umejaaaa

  • @SussankhanKhan
    @SussankhanKhan 2 місяці тому

    👏👏👏👏👏💛💛💛💛💛

  • @IsayaMemon
    @IsayaMemon 2 місяці тому

    Good morning yanga Africa,8,8njema

  • @AllyAmanzi-y8i
    @AllyAmanzi-y8i 2 місяці тому

    kwan wameshasafisha kule ndan

  • @gabrielnjiapanda3710
    @gabrielnjiapanda3710 2 місяці тому

    Dar watu hawalali

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 місяці тому +3

    Season hii chama langu yanga ya moto.. tunatisha. Wewe huogopi.

  • @davidjoetv9595
    @davidjoetv9595 2 місяці тому

    ko huyo mtangazaji ndo kila siku atakuwa hv😂😂

  • @yhasinidda4009
    @yhasinidda4009 2 місяці тому

    Hakuna jipia mnajidanganya " tafuteni vitu vyakuongea

  • @RafaelPetro-i9k
    @RafaelPetro-i9k 2 місяці тому

    Hatar

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 2 місяці тому +1

    Huyo mtangazaji au shabiki mbona halijielewi

  • @StevenMwigora-q1w
    @StevenMwigora-q1w 2 місяці тому +1

    Yanga hii ni hatariiiii

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 місяці тому

    Na hayo ni majaribio😂😂😂

  • @DicksonWilliam-t1x
    @DicksonWilliam-t1x 2 місяці тому +1

    Dah xemaj letu nakubal

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert 2 місяці тому

    Humu tuu

  • @kamwagamwanjale1575
    @kamwagamwanjale1575 2 місяці тому

    Hayo masifaa sasa

  • @ElizaShedrack-u7u
    @ElizaShedrack-u7u 2 місяці тому

    ❤❤❤❤

  • @isackyohana2707
    @isackyohana2707 2 місяці тому

    ningekua na no ya ali kamwe, ningemshauri makombe yetu yote tungeenda nayo yawekwe pale wachezaji wanaposimama na kujitambulisha,,ili wayaone na wapigane tena yabaki,,iwe kama hamasa kwao,,yawape hasira ya kazi

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 місяці тому

    Reheasle tu inatisha😂

  • @AjethKizenga
    @AjethKizenga 2 місяці тому

    Mchezaji kama chama ni wa kuambia watu wasimame si udhalilishaji huo.yanga rahaaaa jamani

  • @mariajames5558
    @mariajames5558 2 місяці тому

    💚💚💚💚 yanga

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 місяці тому

    maludio😊

  • @AlawiHalima
    @AlawiHalima 2 місяці тому

    Hivi jana yule mjamaa alikuwa anahamasisha watu watukane mlimuona anaakili timamu yulee kuna hamasa ya matusi ni aibu

  • @eliashagai7920
    @eliashagai7920 2 місяці тому

    Supu sport club

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 місяці тому

      Kwa raha zetu supu tunakunyw na tunatamba nayo

    • @julianamwalongo6047
      @julianamwalongo6047 2 місяці тому

      Kunywa supu ni ukakika wa maisha la sivyo unafanya mboga 😂😂😂😂😂

  • @Jumayusuph-on9en
    @Jumayusuph-on9en 2 місяці тому

    Nabado hamja sema

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 2 місяці тому

    Balaaaaaa na Nusu😂😂😂

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 2 місяці тому

    Kiukwel Simba walipooza wanaambiwa wasimame wamekaa tu hawana shangwe hata

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 2 місяці тому

    Ataendaje uhuru kama kalipia lupaso

  • @maikoatufigwegemwakapoja8709
    @maikoatufigwegemwakapoja8709 2 місяці тому

    💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 2 місяці тому

    Wp ww simba day ndio tumewafundisha ss mtajifunza mengi utupolo,subiri Manara akufukuze kazi

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 місяці тому

      Nyie wenyewe mmefundishwa toa kelele zako hapa vingapi mnafanya ambavyo wengine walishavifanya acha ushamba wewe hakun kipya mtachokifanya sasa wote tunakopi tu yalishatendeka

    • @julianamwalongo6047
      @julianamwalongo6047 2 місяці тому

      Bora umetusemea

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef 2 місяці тому +1

    Makafara FC mukimaliza kuchinja ng'ombe zenu musafishe

  • @asifiwemwailima8115
    @asifiwemwailima8115 2 місяці тому

    Tulishafanya haya hakunajipya

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 місяці тому

      Hata kama mlifanya kwetu pia hatukuon jipya kam uonavyo wewe

  • @abdallahsharif426
    @abdallahsharif426 2 місяці тому

    AFRIKA SUPER CUP ILEEEEE= YANGA VS SIMBA......2025❤❤❤

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 місяці тому +1

      SIMBA AENDE WAPI???😂😂😂😂😂Acha kujitekenya kaka

  • @SuzanKameta
    @SuzanKameta 2 місяці тому

    Wewe mambo ya kuvunja milango yenu 😅😅😅😅

    • @IsmailMatumbi-w8b
      @IsmailMatumbi-w8b 2 місяці тому

      Kwahyo unakataa kua hamujavunja milango wakatu tumeona wote

  • @godfreywebiro4058
    @godfreywebiro4058 2 місяці тому

    kama vibwengo😂

  • @ZainabuHassani-fe8ur
    @ZainabuHassani-fe8ur 2 місяці тому

    Kumekucha

  • @bahatijuma6769
    @bahatijuma6769 2 місяці тому

    Pw pw

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 2 місяці тому

    Uzuri nyuma mwiko lazima muizungumzie simba. Na kwa kufanya hivyo lazima simba iwe kubwa zaidi maana kila ukiingia mtandaoni ni simba tu. Kiufupi kila mtu anaipenda simba😂😂

    • @TashirfaHashim-w2w
      @TashirfaHashim-w2w 2 місяці тому

      Mhh ny jana mlizungumzia kmc tulien tunawasema na 5 tunawapiga😂😂

    • @yusufm1
      @yusufm1 2 місяці тому

      Hakuna Unyonge, ukianza tunamaliza... Kikubwa ulete timu 08/08/2024

    • @LameckMihambo
      @LameckMihambo 2 місяці тому

      Nyie wenzetu mnamzungumziaga nani sijui. Kolo ni kolo tu!

    • @StefanoMawe
      @StefanoMawe 2 місяці тому

      Kwani nyiee yanga hamuizungumzii we kolo vipi

    • @zabibucyprian1971
      @zabibucyprian1971 2 місяці тому

      Akil ndogo ina ukubwa gn simba

  • @tesherscot3706
    @tesherscot3706 2 місяці тому

    Yanga🫡

  • @MarthaNgusuli
    @MarthaNgusuli 2 місяці тому

    Achana na wale sanda burudani ziko huku

  • @SuzanKameta
    @SuzanKameta 2 місяці тому

    Mnajipa moyo 🐸🐸😬😬😬😬

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 місяці тому

      Hayo ya kwenu ya kujipa moyo Yanga siyo shida zetu

  • @NduwayezuGuyDarcy
    @NduwayezuGuyDarcy 2 місяці тому +1

    Manara atuachie timu yetu saii amelala zak vijana wako kazin

    • @rtp9010
      @rtp9010 2 місяці тому

      Mmmh

    • @RashidMkubwa
      @RashidMkubwa 2 місяці тому

      Kafirwe uko kolo mmoja ww​@@rtp9010

    • @tawakalimankasim82
      @tawakalimankasim82 2 місяці тому

      Wacha upumbavu wako uwo kolo mkubwa we. Manara anamajukumu mengi Jana hujamuona jangwani akihamasisha. Halafu manara anamke Ali kamwe bdo hanamke hajaowa kwahiyo usilinganishe Maisha ya hao watu wawili muhumu wote wanafanya majukum yao Kwa wakati tofauti. Yanga bingwa tena tena

  • @Mohd-wl1tc
    @Mohd-wl1tc 2 місяці тому

    Nani anatak kushindan na wewe utopolo

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 2 місяці тому

    Bureeeee