Kama unakumbuka Marekani, France, na Wingereza hivi karibuni, walio andamana walipigwa kama mbwa. George Floyd raia ambao waliandamana walipigwa kama kuku. Hakuna mwana siasa anakupigania. Kwakua raia ni lahisi kuwadanganya. Jicho la Mbowe kwa Lema linaonyesha kua Subutu uongee tofauti na ambavyo nataka
Actualy hiyo ilikuwa sehemu ndogo, sauti zao zilisikika na yakafanyiwa kazi. Since then bamna maandamano ambayo yalizuiwa, wenzetu wana katiba na sheria bora kabisa. Hata police wakifanya haya wanashtakiwa@@barrynzeyimana6270
Akuna cha Chadema wala hao CCN wazee wa Cuba tume nyuti tu tunajua ktk siasa acha shobo uta pasuka bure angalia hao wametoka sasa we mbonde FFU washa kutengua kiuno saizi uko muhimbiri tena ata matibabu ujapata, Unapo ambiwa sihasa mchezo mchafu elewa, usizani ngono tu
Ashukuliwe mungu kwa kuwatetea watumish wake kuwa salama mbaka sasa ,mungu azidi kuwatunza mh Mbowe,Lema na wengine wote waliokuwa katika harakati za kujitolea katika kulikomboa taifa hili
Watanzania hatutaki maandamano kwani hatusikii mnaandania Nini sasa??? Mbona mnatafutakiki kwaajili ya uchaguzi mbona vya vingine wamekataa kwani nyinyitu ndio mliokua nauchungu na Tanzania pekeyenu????!!!;!🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mimi huwa moyo wngu una vuja damu kila napoona haya mateso ya kwa upinzani ....ila kidogo Hapa kwa lema MANENO YAKE YAKI MKAKATI KWA JINSI ALIVYO JIPANGA KUJIBU MASWALI NIMECHEKA SINA MBAVU😂😂😂😂
😢Naumia sana na hali ya uonevu inayoendelea nchini. Mungu awalinde na kuwatetea wanaojitokeza hadharani kutetea watanzania wote wanaoguswa na huu uonevu
Watanzania mm nawatakiya ( AMANI ) na ( BARAKA ) kutoka kwa ( MUNGU ) Ila tafathalini sana nataka mujuwe kuwa sisi ( WAKENYA ) tunawatengemeya sana nyinyi kuwepo na ( AMANI ) kwetu ( Kenya ) je kama nanyi mwaaza kuponteza amani je sisi tutakibiliya ( Wapi ? ? ? ) ( ELIYAS _OLE _ KISIRI ) ASANTENI SANA 🙏🙏🙏
Huna lolote Lema na wenzake muna uwezo wa kuruka kwa ndege wakati hao walala hoi munaowataka waandamane mulitaka waache shughuli zao wawaunge mkono kuandamana kweli hiyo?
🤣🤣🤣🤣😂😂ila huyu ndio kanichekeshaaaa kanivunjaaaa mbavu😂😂😂😂 maskini eti alianzaaaa maandamano kuanziaaa kwenyeeee ndegeeeeee😂😂😂😂 ina chadema ni ma comediansss hawanaga seraaaa 😂😂😂
Hirohitto (Japan). Hittler, Mussolin, Pol Pot, Samuel Doe, Papa Dock, Charles Tailor, Fode Sanko, Banda, Bokassa, Mobutu, Idd Amin, Shah wa Iran, De Cleark (A. Kusini), Batista (Cuba), Joseph Konny. Sasa kanda ya Tanzania: Steave Wasira, Musukuma, mbunge Waitara, ustaadhi Gershon Msigwa, Ahamed Kombo, Mpoto, Kigwangara, Sheikh Mwaipopo, Askofu Malasusa, Fahris Burhan, Peter Msigwa, Makonda, Nappe, Ally Happy, Jerry Slaa, dkt Sulle, Mwigulu Nchemba, itifaki imezingatiwa. Sifa ili ujiunge katika kanda ya tanzania ni: uchawa, kupinga katiba pendekezwa ya wananchi tume ya Warioba, kupiga/kutukana wazazi, kutetea uuzwaji na/au mikataba tata ya raslimali za taifa kwa wageni, udini, unafiki/kukosa msimamo, kukosa hekima. Karibuni sana.
A leader who walk the talk
Salim kikeke mwandishi bora zaidi nchini.. Heshma nyingi sana.
crown the best
Pole sana kamanda mungu yupo
Kikeke kikeke kikeke kikeke kikeke kikeke nimekuita mara mia8 Crown ipo mikono salama 🔥🙌
Salmu kikeke kwenye ubora wake ninaoujua🔥🔥🔥🔥
Waziri mkuu wa serikali ijayo
Yaani mwanao akikwambia baba nataka nikawe police jua huyo siyo wako ni msomali kama si bokoharamu
Ccm wasenge sana wanalitumia jeshi la polisi kama mali yao
Wasenge au vidume waangalie sura zilivyosowajika wababe wa chadema wametoka wapoleeee 😂😂😂😂😂
@@MwanakomboNassor-bw3by bila shaka wewe si binadamu wa kawaida Kuna la kusifia hapo?
@@LodvolaLameck-jl5vs mimi jini kwani unàfikiri kila mtu anayechat ni binadamu
@MwanakomboNassor-bw3by
Huna akili
@@MwanakomboNassor-bw3by Haya jini nimekuelewa ila ubinadamu ni zaidi ya CCM na CHADEMA
Daaah LEMA ALIKUWA ANATIA HURUMA, ALIVYO KUWA ANAANZA MWISHO KABSA KAMUA ACHANGAMSHE WATU
Dah!! Nna huzuni lakn nmejikuta nacheka kwa jibu la Lema kwa Kikeke
Hawa jamaa wanaume kweli Mwenyezi mungu awasimamie sana mko vzr sana
Kikeke unafnya kazi nzuri safi sana mungu akuzdshie kila la kheri
Mama samia leo nimelewa mama angu lakini nikwambie ki2 mimi nawapenda wamama niwazuri na nakupenda sana kwakuepusha maandamano asante
Bibi Chinja Chinja polisi hawa wote walikuwa wapi wasipambane na wahalifu na wale wasiojulikana wanao uwa watu???
Watanzania wanaandamana humu kwenye comment
Big up our chairman Mbowe you are the public figure of Africa.
Kikeke kwenye kazi yake ❤
Kikeke sasa huyu ndo Mwandishi..anajua kazi yake siyo hawa wapiga kelele
Leo haikua siku kabisa nimekosa raha ss kidogo uji unapita chadema ndio Chama ndio watetezi
Daaaah hii nchi ngumu Sana maandamano unayafanyaje kwny ndege 😂😂😂😂😂
Kama unakumbuka Marekani, France, na Wingereza hivi karibuni, walio andamana walipigwa kama mbwa. George Floyd raia ambao waliandamana walipigwa kama kuku. Hakuna mwana siasa anakupigania. Kwakua raia ni lahisi kuwadanganya. Jicho la Mbowe kwa Lema linaonyesha kua Subutu uongee tofauti na ambavyo nataka
Actualy hiyo ilikuwa sehemu ndogo, sauti zao zilisikika na yakafanyiwa kazi. Since then bamna maandamano ambayo yalizuiwa, wenzetu wana katiba na sheria bora kabisa. Hata police wakifanya haya wanashtakiwa@@barrynzeyimana6270
Nchi letu linaongozwa na watu wasio julikana shina zao zimeanzia wapi... tumekuwa: Dr, Burundi, Rwanda, sudan, somalia etc...
Jeshi la polisi😂et lema alianza maandamano akiwa ndani ya ndege
😂😂😂😂lema nampenda 😂😂😂 CHADEMA INAWATIA WASHAWASHA
Mi pia nampenda sana😂@@sophsoph4740
Polic havina elimu havijitambui vinyamukila.vikelembwe mhaomwingi hamnakazi nichadema wasiojulikana welepale
Kuishi karibu na mahakama siyo kujua sheria
CROWN 👑🔥🔥KIKEKE🔥🔥🔥
Kikeke Alie mrudisha apewe maua yakee
Amejirudisha mwenyewe ili kuanzisha radio yke
Toa uda wcb wako hapa@@giztony2009
@@giztony2009unatumia Ukiwa Wana MAMA😂
Akuna cha Chadema wala hao CCN wazee wa Cuba tume nyuti tu tunajua ktk siasa acha shobo uta pasuka bure angalia hao wametoka sasa we mbonde FFU washa kutengua kiuno saizi uko muhimbiri tena ata matibabu ujapata, Unapo ambiwa sihasa mchezo mchafu elewa, usizani ngono tu
Kunywa maji kwanza CNN na chadema wapi na wapi?
Imetushika🎉🎉🎉🎉
Duh lema kanichekesha xana ety kwenye tenge ndugu zangu tuko utumwani
Nimechekaaaa...eti maandamano kwenye ndege
😂😂😂😂😂😂😂kuna watu wao maisha yao kila siku ni kutafuta shida tu 😂😂
Wallahi sitaki kucheka maandamano kwenye ndege 😂😂😂 ... majeshi wa Tanzania wamekua majuha kiasi hichi !
Crown tunafanya kazi nsuri
Ashukuliwe mungu kwa kuwatetea watumish wake kuwa salama mbaka sasa ,mungu azidi kuwatunza mh Mbowe,Lema na wengine wote waliokuwa katika harakati za kujitolea katika kulikomboa taifa hili
SIASA daaah😂😂😂Unaweza sema anapigania wananchi kweli ilaaaa,,,,Ukicheza drafti kete YOYOTE inayoingia KINGI hufanya kazi zinazofanana TAFADHALI TUSIYUMBISHWE NA WANASIASA
"Maandamano ya kuanzia kwenye ndege -mh Lema "hii Kali iende Moja kwa Moja kwenye kitabu cha kumbukumbu za rekodi cha 😂😂😂😂😢😮 Guinness
MUNGU AWATETEE VIONGOZI WETU 😢😢😢
Mweshimiwa mbowe pore sana kakaangu Hiitanzania nimeamin kumbe ukiw mpgania hak selikalin unaonekana mbay mkorofi rakin mungu yupo atajibu
Big up kikeke
Lema ana sura ya wizi
Inabidi nicheke kama mazuri bire,jamani Tanzania ya mama sijui inataka itufikishe wapi, anyways,Piga kelele kwa maandamano ya kwenye ndege akeee😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Msg imefika mbali kuliko hata maandamano yenyewe - pamoja na kuonyesha jinsi ambavyo polisi hawana ueledi
Chadema wameshindaaa😂😂
Sure hii taswira imefika mbali mno
Nyie mlikimbia wakati wa magufuli mmeludi tena kumuonea mama aya we acha tu
Maandamano kwenye ndege Tanzania
Salim kikeke inabidi ujue kua hapa sio London, wengine tunakupenda sana na tunakuhitaji kuendelea kukuona kwenye TV na redio
Pole Sana katika haki kunagalama
Duh vita nikubwa sana hii na kuishinda nimtihani
Crown hakika nynyi hamjaegemea upande wowote, msijewaiga wale wenye media za matamko ya ccm
Watanzania hatutaki maandamano kwani hatusikii mnaandania Nini sasa??? Mbona mnatafutakiki kwaajili ya uchaguzi mbona vya vingine wamekataa kwani nyinyitu ndio mliokua nauchungu na Tanzania pekeyenu????!!!;!🇹🇿🇹🇿🇹🇿
SEMA ww nafs yko
Jiongelee wewe mwanyewe
Pumbavu sana
Mungu akuweke kweli ww umesomea habari
Asante mungu
CCM wanajiona miungu watu iko siku mungu wa haki atawaumbua wataumbuka kuanzia askali wao waandishi wao akika mungu sikia kilio cha wana chadema
Afu ndo watwambie eti kuna amanii tz afu kazi ya polic nini kuzuia watu alafu LISU wetu yuko wap kwa sasa mbona aonekani
SASA MBOWE SIUNAONA AIBU JUWA KAMA WEWE MPUUZI
Waandishi jifunzeni kwa huyu mwenzenu, unauliza masuali yenye weledi sio alimradi!!
Mimi huwa moyo wngu una vuja damu kila napoona haya mateso ya kwa upinzani ....ila kidogo Hapa kwa lema MANENO YAKE YAKI MKAKATI KWA JINSI ALIVYO JIPANGA KUJIBU MASWALI NIMECHEKA SINA MBAVU😂😂😂😂
Siku hizi waandishi wa habari washapata muuliza maswali wao, Salim Kikeke, wengine wanategesha maiki na Camera tu. 😅
Jamaa anauliza maswali ya maana sana Ila hao wengine dah
Asante dana wakili matata
Kilichofanyika ni kuwatoa tu viongozi wa chadema ili ipunguze hari ya watu kuandamana na wamefanikiwa THIS IS BONGOLAND 🤣
MA KULUKULU KUTABI WANALOLIONGEA WALA ALIFAMIKI . FUNGU LA KUKUSA😅
Yani kifup ccm mshajifia mda tu kinacho wabeba ni police wa hii nchi tu wasio jitambua ccm ni mambumbu sana
Chadema ina mawakili wanaojitambua ila serikali ina mawakili ambao hawajui hata kutambua mikataba feki hi ni aibu kwa taifa
Polen kwa maandamano yenu
😢Naumia sana na hali ya uonevu inayoendelea nchini. Mungu awalinde na kuwatetea wanaojitokeza hadharani kutetea watanzania wote wanaoguswa na huu uonevu
Ira mungu huyu kama kweri tunamukosea basi atusamehe sana
Lema mmoja sawasawa na viongozi 1000 wa ccm✌️ picha linaanza kaanza maandamano kwenye ndege shkmooo chadema😂😂😂
Kazi ya polic ni nini kuzuia watu au
Ccm hovyo kabisa
Watanzania mm nawatakiya ( AMANI ) na ( BARAKA ) kutoka kwa ( MUNGU )
Ila tafathalini sana nataka mujuwe kuwa sisi ( WAKENYA ) tunawatengemeya sana nyinyi kuwepo na ( AMANI ) kwetu ( Kenya ) je kama nanyi mwaaza kuponteza amani je sisi tutakibiliya
( Wapi ? ? ? )
( ELIYAS _OLE _ KISIRI )
ASANTENI SANA 🙏🙏🙏
Lema nijasiri sana ila watanzania ni wangese sana..
Kuna mtu anaitwa Piter Kibatala ukimkamata Mbowe kiukwel ujipange kupambana na Wakili hyu wa Dunia
Huna lolote Lema na wenzake muna uwezo wa kuruka kwa ndege wakati hao walala hoi munaowataka waandamane mulitaka waache shughuli zao wawaunge mkono kuandamana kweli hiyo?
Polen sana ndugu Zangu lakn mbwa hiz zikumbuke kila jarbu lina mlango wakutokea
Yote n muache ujinga serikali n nzuri ata hana akili sifa tu
Mwenyezi awasimamie mnaumia kwaajili ya watanzania 😢
Maandamano yalikuwa yanafaa kibaya mmevaa nguo za chama tulitaka yawe ya raia wote
RP JP
Ila lema alionekana hatalianzisha kweny ndege😂😂😂😂😂😂😂
Maadam wako salama amna shida, haaaaaaaaaaa Lema yy ameanza maandamano jana kwenye ndege.
🤣🤣🤣🤣😂😂ila huyu ndio kanichekeshaaaa kanivunjaaaa mbavu😂😂😂😂 maskini eti alianzaaaa maandamano kuanziaaa kwenyeeee ndegeeeeee😂😂😂😂 ina chadema ni ma comediansss hawanaga seraaaa 😂😂😂
Kikeke ulicho rejea home ndio hicho haswaa...
Hirohitto (Japan). Hittler, Mussolin, Pol Pot, Samuel Doe, Papa Dock, Charles Tailor, Fode Sanko, Banda, Bokassa, Mobutu, Idd Amin, Shah wa Iran, De Cleark (A. Kusini), Batista (Cuba), Joseph Konny. Sasa kanda ya Tanzania: Steave Wasira, Musukuma, mbunge Waitara, ustaadhi Gershon Msigwa, Ahamed Kombo, Mpoto, Kigwangara, Sheikh Mwaipopo, Askofu Malasusa, Fahris Burhan, Peter Msigwa, Makonda, Nappe, Ally Happy, Jerry Slaa, dkt
Sulle, Mwigulu Nchemba, itifaki imezingatiwa. Sifa ili ujiunge katika kanda ya tanzania ni: uchawa, kupinga katiba pendekezwa ya wananchi tume ya Warioba, kupiga/kutukana wazazi, kutetea uuzwaji na/au mikataba tata ya raslimali za taifa kwa wageni, udini, unafiki/kukosa msimamo, kukosa hekima. Karibuni sana.
Mpaka mwenyekiti kacheka jeshi la polisi form four 😂😂 kuanzia maandamano kwenye ndege
Mbowe we n shujaa sn nchi yk
Salim kikeke 🙌🙌🙌
Yani mmejichoresha sana na hayo maandamano mmetoka mmepowaaa
Polisi wa Tanzania
Maandamano kwenye ndegee😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Hi sio haki hifike siku tujali haki kuliko masilai ya mtu mmoja
Lema apimwe akili 😅😅😅😅
Dah
Nyie polis mnapambana vp na watu hawana hata manati si uonevu huo jamani muogopeni mungu haya maisha tu
Kike mwelev sana mungu akubalki
Huyu mama ndo rais wa ajabu nch Yan hn hofu kbs na maish y wt
Kikeke safi sana
Nawapenda bure kwakweri eti nime Anza maandamano kwenye ndege
Tunaongozwa na vibaka waziba nafasi hawana uwezo kabisa pumbavu
RP JPM
SHIDA YENU HAMJAJITAMBUWA KAZI YAKUJINADI CHAMA KIKU CHAUPINZANI HALAFU HAMNA HIKMA AO BUSARA NENDENI ZENU MKAWADANGANYE WAJINGA WENZENU
Chadema always chadema
Poleni sana ...endeleeeni kuteseka tu ivo ivo sis tunatafuta mkate wetu wa kila siku huku ...
Mmh na wewe unaishi?
Majibwa mengine bwana, naww nae nijibwa
@@StevenGendo-vx9jo yaan waaache wakipate wanachokitafuta....sisi bora amani iwepo......tutafute pesaa
Crown media Camera Ni fireee
Hao maaskar wanafanya kaz ya kisenge mbn ametoka