Kwani umeona dosari gani kwake tangu umfuatilie ,,,je kuwa chini ya sheikh qasim ndio dosari ? Huyu ni miongoni mwa wanafunzi wa qasim mafuta ,ikutoshe kufahamu kuwa sheikh qaasim ana ilmu ,,, Kwahio ondoa chuki ,fuata haqq ,Leo hii daawa salafiya daawa ya sunnah imesimama kisawasawa kwa juhudi za sheikh qaasim ,ama ufahamu hilo
Alla akuhifadhi shekh wangu ashaafiii
Allah akulipe khery. Maalim wangu Abdulrauf
Amiin waiyaaka
Jazaka allah khayra kwa Nasaha zako adhwim
Maashaallah maashaallah maashaallah baarakka llah fiika Wallah allah akilipe kila la kher kwa mameno yaliyo jaa hekima
Baarakallaahu Fiyka....
mashaAllah ❤
Mashaallah sheikh nasaha nzuri sana hawazingatii ila wenye akili kamilifu
Yani shekeh nilikua nakufuatilia nikijua upo makni kumbe nawewe upo chini ya kasim mafuta
Wajingq mna tabu, kusoma hamtaki mnaishia kufutialia na kua washabiki.
Wajingq mna tabu, kusoma hamtaki mnaishia kufutialia na kua washabiki.
Kwani umeona dosari gani kwake tangu umfuatilie ,,,je kuwa chini ya sheikh qasim ndio dosari ?
Huyu ni miongoni mwa wanafunzi wa qasim mafuta ,ikutoshe kufahamu kuwa sheikh qaasim ana ilmu ,,,
Kwahio ondoa chuki ,fuata haqq ,Leo hii daawa salafiya daawa ya sunnah imesimama kisawasawa kwa juhudi za sheikh qaasim ,ama ufahamu hilo