Allah awahifadhi masheikh wote wa Kisalafy Dr.Khamis umesema kweli yaani kuna baadhi ya maduaat hata wakati wanaradd hutumia kauli chafu ulimi wanauachia sana na huwa nikisikiliza Dr.Khamis ukifanya radd unazungumza pahala husika kwa dalili basi Allah akulipe kheri na masheikh wengine wajitahid kuwa hivyo pasi na kuwaangalia wanaowaradd wanasema nini.
Allah awahifadhi masheikh wa kisalaf na awajalie Mwisho mwema na sisi wasikilizaji
Mashaallah
رحم الله مشایخنا السلفیین
Baarakanllah fiykum wajazakumnllah khairay .duktur khamis imam kaongea jambo la msingi saana
Allah awahifadhi masheikh wote wa Kisalafy Dr.Khamis umesema kweli yaani kuna baadhi ya maduaat hata wakati wanaradd hutumia kauli chafu ulimi wanauachia sana na huwa nikisikiliza Dr.Khamis ukifanya radd unazungumza pahala husika kwa dalili basi Allah akulipe kheri na masheikh wengine wajitahid kuwa hivyo pasi na kuwaangalia wanaowaradd wanasema nini.
Amiin na sisi pia Allah atuthibitishe katika manhaji