PILIKITIM TIM TIM AFUNGUKA KUZAA MTOTO MZUNGU/ASIMULIA UCHUNGU ALIOKUTANA NAO LEBA
Вставка
- Опубліковано 28 лют 2023
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
PILIKITIM TIM TIM AFUNGUKA KUZAA MTOTO MZUNGU/ASIMULIA UCHUNGU ALIOKUTANA NAO LEBA
#Bonatv #Exclusive
#diamondplatinumz #harmonize #nandy #marioo #zuchu #alikiba #rayvanny
#yangasc #simbasc #ligikuunbc #mayele #alikamwe #ahmedyally #hashimuibwe #wasafitv #live #millardayo #ayotv #entertainment #soundcloud #spotify #podcast #vlog #music #newmusic #1ontrending
Usipake mkorogo tena rangi yako nzuri sana
Pili wangu ni mrembo mweee ujajiremba lkn Amaizing 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Duuuh,umenenepa Pili wangu🥰🥰🥰
Nakupenda bure dada❤❤
Congratulations 👧
Daaaaa hiii kweli kitim tim hongera sna pili
Hiyo ni post- natal depression. Ni ugonjwa mkubwa sana kwa akina mama ila hauwi addressed kabisa
Pole sana.
Postpartum depression
Okay
PPD wachana na hii kitu....wengi hatuujui na tunachukulia poa... sana
I like you so much pili mwaaaa
Waooh mchagga mwenza big up San nachekag mno nkiwaona
Pili Mashaallah Tabarak Allah. Umependeza sana ila usipende kufunga mkanda tumbo litakuwa kama bigjee ni kufanya mazoezi ya tumbo tu litakuwa vzr
Pepo ya dunia ni mama mashaallah umejua thamni ya mama
Honger.sana dada
Pili tulia Bhna umenifanya nicheke Kwa nguvu Et tunatoa taarifa kesho tunaenda sehem flani 🤣🤣🤣🤣🥰🥰💃💃
Mi nilijua sana my dear🥰
Nakupenda sana karemboo
Eti sioni huko chini kweli,vitu vingine siyo vyakuongea hapa 😎
Yn kitimtim kimekualibu😂😂 adi kuojiwa unafanya komedi
Pili congratulations welcome to mother hood😂❤️
Mashllah pili
Hongera dada
Pili nakupenda ww❤️🥰
Hongera sana dear umenichekesha kwa kulia na Nandy hahah jmn nawapenda hongeraaa Mungu amkuze mwanao
Nikweli mama aheshimiwa
Umenenepa dada
Pili nampendaga sana
Hilo jina la mtoto Sasa 😂😂😂😂😂 mweeeeeeeee
Hongera
Umenikumbusha mbali sana mi na wifii yangu tulikua tunalia piaa hahahhahaha kwenye mimba yake
Wewe pili wewe atiii sehem fulan nilikuwa sizioni🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤❤❤❤❤❤
Pili onger san😘😘👌🇴🇲🇧🇮
🤣😂😂😂nimechek sanaaa
ilo jina dah 😂😂😂
Hhhhhh apobkwajina hhhhhhhhh yani uyo niatari
Ooooh ulipata depression pole pili wangu❤😘
Jina la mtto mi hoi😃😃
muheshimu mama ako mbwa ww 😂😂
Hii ndo comment nilikuwa naitafuta😂😂😂😂😂
Watu wengi wamecomment kwa chuki achen chuki bnafsi jmni
Atulii hahahh
12:37
😂😂
We pili muongo mwaka jana tu ulikuwa ato TV ukiwa na mimba
duuh pili ❤❤❤
Holaaa😀
Hongera ila wazimu umekupata ndio maana ya kuzaa. Hongera binti
Ila baba mtoto atakuwa mchinki sio kwajina Hilo aisee😂😂😂
UPSET DOWN pia zipogo ahahahaha
Mtoto s wa serikaii jaribu kumfanyia chochote ndo utajua kwamba umezaa au umepewa na hyo serikaii
nimeinjoy jaman pili anavituko san
Kumbe unabby boy😍
❤
😂😂😂😂😂naomba vijini wabakw mtu Hadi acheke kiluga
😂😂😂😂jmn piii
😂😂😂😂 nlikula dagaaa 😂😂jamani
Hayo majina hhhhhhhhhh🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Upuuz mtupu..... Huwez kuongea umetulia
❤❤❤❤
Jamani wenye roho mbaya wahache Bana kuwa mama ni raha san
Mrudishen dazu
Mbon m nimejifungua sijawaza kujiua uwiii naogpa kuf kwanza😅😎
Kifafa cha mimba huwa haimpati kila mtu
😂😂😂😂😂😂😂😂majini yambake😂😂😂😂😂😂
Nimependa jina na mtotoo
Pili duu
Mtoto anaum awe kike awe kiume wote wanaumaaa bhna
Muache aongee chochote jaman kule leba kunamoto jaman said yangu alie ingia leba kule Kuna uchiz wa aina yote
Pili we kichaa
Kuongea yake tu,bado she's going through depression,,,,
Sasa unaongea na kucheza hivo huchoki🤣🤣
Mhhhh
Jamaa amwoe jamani
Jina sasa🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣ila pili Mungu anakuona yaan. Nimechek kama kichaa
🤣🤣🤣🤣🤣 pango la wanyang'anyiii
Pili anawatisha waliokuwa bado hawajazaa maana huamini kama utarudi ktk hali ya kawaida
Mtafungwa nyie mmetumia picha ya mtoto wa watu 😊
Ndo vyombo vyetu hakuna lolote wanalofanya lenye weledi, hizi media ni kama tu vijiwe vya wadada tandale
Yani sijui ata imekuaje adi wameweka picha ya uyo mtoto na wakati ahusiki
Hayupo okay psychology mmmh hana ndugu wakumwambia atulizane mpka anaongea yasiyohitajika kuongea kwenye interview
Hapo kwa mama nimelia
Jamani huyu pili🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti jina la mtoto ni nani
Jaman 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
So cute ❤️
Duh! Wewe na Nandy mlipata mimba siku moja?
Duh! Kitimtim kweli kweli, zunde na Masantula wamekuharibu, kumbe mnajichubua eeh?
Ila pili jmn huyu dada mungu anakuona wallah 🤣🤣🤣
Dah hii ya kulia imekaaje uongo mwingi hapendiziii sana sisi sote tunawatoto
Pole dada sio kwa makasiriko haya
@@winnieedson4631 waja tuna makasiriko mbona tumepitia iyo situation mie nimepitia miezi mitatu ndio nkaanza kukaa sawa
Hongera sana... Ila uwe na utulivu ukiwa kwenye interview
Ushaambiwa kitimutimu
😂😂😂😂😂😂anatimua
Pili kitimtim copyright ya mamaB,sauti yake hana utulivu sura na rangi yake mama B kabisaaa
NYIE KAMA KAMA MMEMSIKILIZA HUYU DADA VIZUR NI KAMA HAYUPO KWENYE HALI NZURI KIAFYA YAKE YA AKILI NIKAMA KINAMSONGO FULANI ANAPITIA. ANATAKIWA AFANYIWE CHEUP VIZUR NA ATAFUTIWE MWANASIKOLOJIA AONGEE NAYE.
Hapana ndivyo alivyo pili siku zote
😂😂😂 she is okay
Ndo uwandike kwa heruf kubwa😅😅
😂😂😂😂pili
Kamcharuko hako
Si wote wanavimba pua
Mmhhh yaani sijui kitu ambacho sio cha serikali labda roho yako maana madaktari watakufuata hadi watoe na cheti cha kifo ,Mungu tu ndo yuko juu ya serikali
Hata roho Yako ni ya detikali😂 that's why ukitaka kujua wakikustukia unadhtakiwa
Wanaojua maana ya Skwati tujuane Kwa kuiandika kiingereza pia ruka Kwa imoji 🤣🤣🤣🤣
Squat ni mazoezi 🙄
😂 😂 😂 😂 mimi sijui jamani.....
@@Kristina-fb4jq nikajua anamanisha Squirting 🏃🏃
🤣🤣🤣🤣
Umecheka🤣
Kumbe ulikuwa wajichubua?hongr umepndez mwy
😂🤣🤣🤣utatuuwa ongea yko 2 an c poa
Pili kitimtim haha et niliacha kujichubua hahaha nlipokuwa mjamzito haha
Mmhh au ukute alipata na kichaa Cha mimba jamani mbona hana utulivu kabisa ?!
Ndivyo alivyo pili hata kabla ya mimba
Huyu ni kitimtim kazi imemwaribu
Akiwa tumboni ni wako akishakuja duniani ni wa serikali,
Mhm izo nywele kweli hyu kitimtim.sjawahi kuona mchezo wao ni mzuri et?nitzame?
Pole kama hujawahi ona
😏😏😏😏
Humpendi?😂
🤣🤣🤣
Kumbe unaweza kuambukizana mimba
Ndio
😴😴😴😴😴💃
Apo kwenye mtt 😂😂😂😂😂😂
iiii ooo aaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Kumbe hujui kama mtoto ni wa serikali! Jaribu kumfanyia kitu kibaya ndo utajua hujui, haijalishi ulimbeba tumboni miezi 12.
Hakuna mimba ya miezi 12
@@zuenajohn8325 tembea uyaone Dunia Ina mengi ww
@@zuenajohn8325 mmmh hujui tuu n hayajajukuta Kuna sk n hy miez 12 itapiita tuu, mm wa kwnz nimezaa n miez 11 n wiki 3 kilo 6, wapili n miez 11 n kilo 5 n nusu, wa 3, n miez 10, kwhy mwombe mwenyez mungu yasikukute
@@zuenajohn8325 ipo hyo mdogo wang aluzaliwa miez 12 kasoro cku 7 na oparesheni juu kuteseka kote huko ndugu omba yackukute unachika had kuchoka tena
@@najmamgallah8154 kabsa aombe sana🙌🏼