EXCLUSIVE: PILI WA KITIMTIM KAFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUWA MJAMZITO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 167

  • @anithaapolinary6391
    @anithaapolinary6391 2 роки тому +20

    Baada ya Millard,Vido we ndo unafuata kwa kazi nzuri. Napendaga saaaana kazi zenu guys. You're my favourits guys👌👏

  • @sanekwilabya2341
    @sanekwilabya2341 2 роки тому +18

    Kkheee! Kumbe pili ndio Boss mwenyewe? Hongera sana muunganiko wenu ni mzuri na unaendana

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 2 роки тому +22

    Nampenda Sana pili ananifurahisha Sana mwenyezi Mungu amlinde ajifungue salama,🙏🏼

  • @vidovidox2632
    @vidovidox2632 2 роки тому +87

    Nimewaona kwenye Comments Ndugu zangu ASANTEni 🙏🏾🙏🏾

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 2 роки тому +1

      Pamoja mkuu

    • @wakatiwaapolineapoline5508
      @wakatiwaapolineapoline5508 2 роки тому +1

      Wallah huna kazi mbovu, ishi ukijuwa unapedwa na mashabiki wako ❤️❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @loulumony8519
      @loulumony8519 Рік тому

      Samahani kaka nakupendag san gisiunavyoongeaga sas🇴🇲🇧🇮💓💓

  • @Farthun
    @Farthun 2 роки тому +11

    Hongera sana pili umeongea vizuri sana mngu akulinde naakuepushie mabaya inshaallah

  • @priscabuzoya3087
    @priscabuzoya3087 2 роки тому +10

    Ahsante sana tume enjoy interview 🥰

  • @user-ty6lr1zq7j
    @user-ty6lr1zq7j 2 роки тому +13

    Gladness nakupenda sana kwani unaishi maisha yako pia ni mkweli huna makuu shogangu napenda sanaaa kazi zako hujali ustaa bali unachojali ni kutafuta pesa hongera pili muuza miguu ya kuku nakupenda sanaaa

    • @irenejamesgomba4233
      @irenejamesgomba4233 2 роки тому

      Sasa jamani Pili wewe huna Kaba Kwa wenzio tyuuu.... Ila kwako una Kaba hatareee

  • @annabeljohn401
    @annabeljohn401 2 роки тому +14

    Beautiful interview na funny pia. Mungu amjaalie ajifungue salama 🙏🏼❤️

  • @successdenis1002
    @successdenis1002 2 роки тому +5

    Nakupenda saaaaaaana pili 🥰😘❤️

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 2 роки тому +5

    Eti hili Sasa siyo la kitimtim hili juhudi za baba Mtoto 🌹❤️❤️❤️❤️❤️💞

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 роки тому +7

    Haaaaaa kupenda mno pili wangu m/mungu akusimamie ujifungue salama mom

  • @emmanueljohngewe9573
    @emmanueljohngewe9573 2 роки тому +5

    Hapo kwenye mapana 60 pili kipaji kakupa mungu I love you mchaga mwenzangu

  • @aminasuliman2923
    @aminasuliman2923 2 роки тому

    Nakuaga nafulaha nikiangalia mahojiano na Chanel ya Millard ayo yan watu wanafungua ukwel sio kudangaya au uekti nimtu furan kwakwel mi nawapenda namuendelee kuuivyo❤️❤️❤️❤️

  • @zuhurangindo6122
    @zuhurangindo6122 2 роки тому

    Upo vizuri kifaluka mungu akutangulie ujifungue salama

  • @christinemangaza6303
    @christinemangaza6303 2 роки тому +4

    Pili ❤️

  • @belindabaraka13
    @belindabaraka13 Рік тому

    Kajisahau kataja jinsia, it was amazing, nimeumiss ugali dagaa ghafla.

  • @happymacha3235
    @happymacha3235 2 роки тому +7

    Dagaaa 🙌🏾yan mimi zinapikwa nyumba ya 4 uko lakn nilikua naskia harufu naeenda mpaka zilipo sikubali kupitwaa

  • @kilunjupolinah343
    @kilunjupolinah343 2 роки тому

    Vido Vidox, umepatikana Leo.i love the both of you. God bless you 😍 🔥

  • @zarrykaidza2359
    @zarrykaidza2359 Рік тому

    nampenda sana pili jina km langu, kutoka kenya nakutakia kila la kheri

  • @lucysikombe1465
    @lucysikombe1465 2 роки тому +2

    I like that girl 2 much 😘😍😍

  • @princesumary7356
    @princesumary7356 Рік тому

    Nimekuona Glad (ni Yuda wa Twiga pale Moshi)Niko Nairobi,bigup sana natazama kitimtim kupitia mtambo mkubwa wa DStv.

  • @bekhaphdprince6347
    @bekhaphdprince6347 2 роки тому

    Vido vidox big up Sana broo. Oyaaaaa sio poa big up Brother.

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 2 роки тому

    Mola akuvue salama Gladys wewe na mwanao In Sha Allah.

  • @ifrahashery2289
    @ifrahashery2289 2 роки тому +2

    Uko vizuri

  • @lovenessoscar4102
    @lovenessoscar4102 2 роки тому

    Big up vido napenda kuona intaview zako unafanya kazi nzuri saaana,

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 2 роки тому

    Nakupenda bure pili msalmie nandy pacha wangu 🇰🇪

  • @majmadramas5726
    @majmadramas5726 Рік тому

    nampenda huyu dada🥰

  • @hadijaabdul9689
    @hadijaabdul9689 2 роки тому

    ❤️❤️❤️ in kitimtim🥰

  • @sittymnengwe5057
    @sittymnengwe5057 2 роки тому +3

    Acha kujidngnya dada angu ndoa huwez kua sure hat ukimchunguza mtu hawez kukuonesha tabia zake zote watu tumeolewa bt tabia alizokua anakuonesha mtu tofauti na anazokuonesha akishakuoa aise ukiwaza ivo hutaolewa dear n sure mnazini n mnaona kawaida

  • @rahmasoliman489
    @rahmasoliman489 2 роки тому +3

    Pili ana vituko

  • @hellenpaul2149
    @hellenpaul2149 2 роки тому

    So lovely 😍

  • @SecretglowbymsBecky
    @SecretglowbymsBecky 2 роки тому

    Napenda pili🥰

  • @salmakassim8316
    @salmakassim8316 2 роки тому +2

    Nimekupenda bure pili ,❤️❤️❤️

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 2 роки тому +2

    Wa kwanza

  • @joyagbiano2439
    @joyagbiano2439 2 роки тому +3

    Apo kweny dini lakiyahudi make kwanz apo nichek🤣🤣🤣

  • @user-rq9kl6hh9t
    @user-rq9kl6hh9t 11 місяців тому

    Ugal na kijiko wapi na wapi

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 2 роки тому

    MRS. Tinwhite

  • @gatie_lightness02
    @gatie_lightness02 2 роки тому +2

    I love Gladness

  • @evelynsalila9700
    @evelynsalila9700 2 роки тому +3

    Kwenye kumiliki mtu hapo🤣🤣🤣

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 роки тому

    Love you girl

  • @zahramohammed3265
    @zahramohammed3265 2 роки тому

    Pili nampenda sana

  • @jenestermerchades9111
    @jenestermerchades9111 2 роки тому +1

    ka interview pambee

  • @user-gi1ez6fc1y
    @user-gi1ez6fc1y 2 роки тому +1

    Wallah Leo Vido umepatikana Grady ni Noma😅😅🙄

  • @mcchikao
    @mcchikao 2 роки тому +2

    Ila angetaja tu jinsi ya mjomba mjomba 😂😂

  • @stelabrent6056
    @stelabrent6056 2 роки тому +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti na mimi naanza kumiliki mtu

  • @witnesslema9580
    @witnesslema9580 Рік тому

    Jamn namkubali sana huyudada nauchekeshaji wake

  • @shamisalryam4775
    @shamisalryam4775 2 роки тому +4

    Hatari nanusu we pili lkn sio zunde zundeg huyo kashafanya yake

  • @nasrahayub1849
    @nasrahayub1849 2 роки тому

    Kaka anajua sana

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 2 роки тому +2

    Pili we miss you in kitim tim

  • @fridanaafya7511
    @fridanaafya7511 2 роки тому +2

    🥰🥰🥰

  • @MylerWyson
    @MylerWyson 2 роки тому +3

    Jamani puaaaaa

  • @reinatave3022
    @reinatave3022 2 роки тому +5

    Interview za Gradness zinakuaga na comedy mno

  • @zahratahmad7990
    @zahratahmad7990 2 роки тому +2

    Mimba ndani ya comed

  • @burundialiy2866
    @burundialiy2866 2 роки тому +1

    😂😂😂😂😂 yaniwepili hatari san

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 Рік тому

    Pili wew😂😂😂😂

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 2 роки тому +3

    Vido vidox

  • @elizarichard7034
    @elizarichard7034 2 роки тому

    💕💕

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 2 роки тому

    Glady najuwa kwenu ni maeneo ya KIANGANE /MANDA siku ukija lazima nije nikusalimie

  • @latifaalsh5421
    @latifaalsh5421 2 роки тому +6

    Yani vido Leo umepatikana Maan huyu pili kaamua😂

  • @elizabethkilendi9998
    @elizabethkilendi9998 2 роки тому

    Nataman kwel nfanye kaz hat moj na wew nakupnda buree

  • @kellenalex6231
    @kellenalex6231 2 роки тому +2

    Beautiful one🥰❤

  • @rashidakimaro7407
    @rashidakimaro7407 2 роки тому

    Pili mambo yametaradadi pua imekuaaa Sasa😄

  • @khadijauledi3293
    @khadijauledi3293 2 роки тому

    🤣🤣 Pili weeee, umenichekesha 🤣🤣🤣

  • @judithsijaona9875
    @judithsijaona9875 Рік тому

    Pili ajui kufake lyfe nampenda

  • @Gmama264
    @Gmama264 2 роки тому +1

    Pili iyo pua jmn shkamoo mimba🙌🙌😁😁

  • @anetymlingi9530
    @anetymlingi9530 2 роки тому +1

    Nimecheka zunda junior

  • @maryammwinyi932
    @maryammwinyi932 2 роки тому

    ❤🍎

  • @jasminemallya4783
    @jasminemallya4783 2 роки тому

    😘😘😘

  • @rosemuba2532
    @rosemuba2532 2 роки тому

    Iyo ultrasound itakua ya mboyokwa😀

  • @faridamakhmud4706
    @faridamakhmud4706 Рік тому

    Kama vile anashobo na nandy 😂😂😂 kilakitu nandy nandy nandy kwendraaaaa

  • @sanekwilabya2341
    @sanekwilabya2341 2 роки тому +7

    Ndugu MTANGAZAJI fahamu kua kuna utofauti Kati ya baba wa mtoto na MUME. Pili is right kuzaa si ndoa amchunguze baba wa mtt ili awe na hakika kama atakua mume bora kwake.

  • @daimondelfina5689
    @daimondelfina5689 2 роки тому +2

    Kwani si nilisikia ameshajifungua!!

  • @danielpaul84
    @danielpaul84 2 роки тому

    Mbona kama vile amefanana na nandy

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero7153 2 роки тому

    Mmmmh

  • @rebeckyusuph8058
    @rebeckyusuph8058 2 роки тому

    Jamani Ni Mimi kabisa huwa ninamud zangu mwenyewe jamani

  • @hopemaluba4788
    @hopemaluba4788 2 роки тому +2

    nakupend sana pili

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 2 роки тому +2

    Mungu afu unabeda mimba kabula ya ndoa lakini Haina shida

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 2 роки тому +6

    Kha ila wasanii utazani mimba wao ndo wakwanza 😂 kha

  • @fatmamdhihiri5477
    @fatmamdhihiri5477 2 роки тому

    Pili jmn etii Kuna wa kuleta sambusa Kuna wa kuleta juice 🤣🤣🤣

  • @joycejohn493
    @joycejohn493 2 роки тому

    Interview 🤣🔥🔥🔥💓

  • @keyla3641
    @keyla3641 2 роки тому +3

    Mimba imemchukia mumewe

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 2 роки тому +2

    😀😀😀

  • @dorcasfanto9957
    @dorcasfanto9957 2 роки тому +2

    Hiyo mimba sio zunde kweli muhusika

  • @sabrinahamisi7544
    @sabrinahamisi7544 2 роки тому

    Penda Sana you

  • @dativaanthony9369
    @dativaanthony9369 2 роки тому +1

    Nakupenda dada pili

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 2 роки тому +9

    Unazaa mtoto out of maried unajuwa ni dhambi Sana hata kwa wa cristor nidhambi Raha ya mtoto awe na mume kesho utajuwa la kumwambia Mwenyezi Mungu jamani tunamchezea Mungu tunakotoka tunakujua huko tunakokwenda tunakujuwa

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 2 роки тому +1

      Imeandikwa wapi kuzaa mtoto nje ya ndoa ni dhambi, inamaana MWENYEZI MUNGU anamakosa kuruhusu watu kuzaa, kila mtoto anaekuja dunian, awe ndan au nje ya ndoa, anamakusud ya MUNGU MWENYEZI(YESU KRISTO) kumleta dunian, kama ingekuwa ni makosa bas angefungwa kizazi mpk aolewe

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 2 роки тому

      @@Churchofecclesia Nilijia tu kama wewe niupande wapili

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 2 роки тому

      @@fatmafatu1128 upande wa pili upi ? Kwahyo unataka kuniambia, iliandikwa wapi kwamba mtu akizaa nje ya ndoa ni dhambi au ni makosa, ni sawa kufungua ndoa ni muhmu na sio kwamba nahalalisha hvyo, hapana, ila haijawah kuandikwa kwamba ni dhambi kuzaa nje ya ndoa, kama ingalikuwa ni dhambi MWENYE ENZI angefungwa matumbo mpk watu waoe na kuoana ndo azae, ila kila mtu anaezaliwa iwe nje au ndani ya ndoa anamakusud maalum MWENYE ENZI kumpitisha had kuzaliwa

    • @queenshoo3884
      @queenshoo3884 2 роки тому +1

      Sisi ni binadam hatuwez ishi kama malaika kila anafnya anachoweza we kama umeweza kufata dini hewala una dhambi zako nyingne maybe

    • @isabelajustine1812
      @isabelajustine1812 2 роки тому +2

      Ww ulizaliwa ndani ya ndoa

  • @gloryrusizoka8608
    @gloryrusizoka8608 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🙌pili

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 2 роки тому +2

    Unajifanyisha kuongea Kama nandy

    • @leahcestiny3770
      @leahcestiny3770 2 роки тому +3

      Hajifanyish ila ni marafiki always mkiwa marafiki wa mda mrefu lazma Kuna vity mtakua mmecopyiana

    • @swalehshumishee1193
      @swalehshumishee1193 2 роки тому

      Mhh not true

    • @jan6703
      @jan6703 2 роки тому

      Hata sura wafanana kidg

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 роки тому

    Pnda san gladisiiiiiii

  • @mwajumaissa2358
    @mwajumaissa2358 2 роки тому +3

    🤣🤣🤣🤣Huyu dd ni kiboko ya waongeaji Kaaaah kwamba dini ya kiyahudi halafu vido _vidox umenifanya nicheke kwa hilo cheko lako huwii

  • @sabrinasalim5580
    @sabrinasalim5580 2 роки тому

    Mbona anaiongelea mimba kama jambo gumu sanaa mm nnawatoto2 mbona sikua kama yeye ivoo

  • @r9ayyansaid652
    @r9ayyansaid652 2 роки тому +1

    Dume hilo

  • @anithafrancis4375
    @anithafrancis4375 Рік тому

    6 kwa 6 angle mapana 60 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 2 роки тому +7

    ila ugari dagaa mtamu

  • @muzikiprofile
    @muzikiprofile 2 роки тому +2

    Hello 👋 uliskia hii 👇
    ua-cam.com/video/VzZFSs4qqi4/v-deo.html

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 2 роки тому +1

    Gusa maandish ya blue ukatazame Video yangu nilivyomfunika DOGO BALAA ua-cam.com/video/ZXoVZuZFMy8/v-deo.html

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому +2

    😊😂

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 2 роки тому +4

    Mmmmh huyu nae anaisingizia mimba tuuu ndo useme ya watu ugali dagaaa mtamu wap

  • @citysuncvt1535
    @citysuncvt1535 2 роки тому

    kiyahudi😂

  • @dottomsoka1359
    @dottomsoka1359 2 роки тому

    ❤❤❤