Diamond Platnumz kamtolea uvivu Hamisa HIKI NDICHO ALICHOSEMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 сер 2017
  • Diamond atoa maneno mazito baada ya Hamisa kumpa mtoto wake majina ya Diamond ''ABDUL NASEEB"
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 92

  • @hadijajumanne5493
    @hadijajumanne5493 6 років тому +3

    Mwanzo ilikuwaga diamond hazai sasa hivi mpaka analazimishea mtoto kweli life changed

  • @mariamomary2175
    @mariamomary2175 6 років тому +1

    Diamond sio vizuri kubali tu mshua lea mwanao

  • @giftenmmari2249
    @giftenmmari2249 7 років тому +3

    mbna mnamlizimishia mtoto kweli bongo shimo la umbea wenu mnawashindwa mnafatilia ya wengine kila mtu akome na Hali yake

  • @annateano5644
    @annateano5644 7 років тому +2

    DNA is the only solution to stop this scandal.

  • @withneynelsonsmith9215
    @withneynelsonsmith9215 7 років тому

    Hamissa young fresh ad beautiful. Hahaha I knw this was going to hppen. wema laugh last. Ad I laugh wth my girl wema blc I love her. zari secound babby mamma on the air . ije koko ka ije na ke bishope maka ike okukum ahhha.

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 років тому +1

    Kazi ipo Famous

  • @annickgalaxy8281
    @annickgalaxy8281 7 років тому +5

    Diamond his fearing to loose Zari 😂😂😂😂 aliingiza ikaingia mbona hakutoa inje immediately akawachilia ndani diamond buree kabisa

  • @waridaharidi8232
    @waridaharidi8232 7 років тому

    mi napenda vya nyumbani Huyo bibi ndo ajambe vizr I love u hamisa tz baby sweet sweet limewaganda team Zari hahaAAAAA WACHA NIKALEWE CI KWA RAHA HIZI

    • @azizaelia6643
      @azizaelia6643 7 років тому

      hamisa alikuwa star kabla yake mtoto ni wake hizooo shombo ni zabibi wa kiganda na kigodoro cake anachowekaga kwenye mknd

    • @kongamen3212
      @kongamen3212 7 років тому +2

      Zaria. dadayangu. waachee. wapayuke. wakonde.mshukurumungu.atakulipia.achananao.mamakongaman

    • @kongamen3212
      @kongamen3212 7 років тому +1

      daimondi. asopenda. watotowako. huyoniaduiyako. napenda. kukuonamsimamowako. Ukosawa. babamzurianaeipenda, familieyake. mamakongamaan. zanzibar

    • @wotewangu243
      @wotewangu243 6 років тому

      kama mtt ameshapata baba wawili na wa tatu yupo njian.wanawake tunapenda kujidhalilisha looooooooooo

  • @rahmamavura406
    @rahmamavura406 7 років тому +10

    ila nass wanawakw hatuna akili mtu unamuona ana mtuwe unaenda jibebesha mimba yann.kuwa yule hazai au?dai mkatae hivyohivyo anataka kukuharibia kwan mlipanga mzae

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake940 7 років тому +2

    Asimlazimishe else alee.mtoto wake. Diamond ni mshirikina atamtoa kagera mtoto.

  • @ashaherzog3566
    @ashaherzog3566 6 років тому +1

    Kumbe Baba ashapatikana 😂😂😂List ilikua ndefu yawaliopitia

  • @dianafrancis9130
    @dianafrancis9130 7 років тому +2

    kwann mashabiki amtaki kukubali ukweli Uyo Diamond mtt angekuwa wake asingekataa jmn ukweli tuupe nafac kama kasema siyo wake ni haki yake maana Yeye ndo anajuwa Nini kinaendelea

  • @lucyhadwiger3164
    @lucyhadwiger3164 7 років тому +4

    Hamisa awezi kujiamini hivyo lazima familia inajua hii issue...yetu macho na masikio..Hayatuhusu ila kusikia na kuona yanatuhusu.

    • @nassorkhamis2578
      @nassorkhamis2578 7 років тому

      Lucy Hadwiger xxvi

    • @zuhuramuyinga5953
      @zuhuramuyinga5953 6 років тому

      Lucy Hadwiger hata kama kweli,mashauzi ya nini?atabaki kutunziwa mtoto,atafute kwingine wa tatu.

    • @cheupestefano3303
      @cheupestefano3303 6 років тому

      Zuhura Muyinga na kweli alivyokosa akili atabandikwa mwingine wa tatu by a different man na pengine ukimwi pia juu ya kutafuta mabwana wenye pesa ili uishi kiufahari

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 років тому +3

    kiki anatafta mobbeto hna jipya

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 7 років тому +2

    Kama kweli huyo mtoto c wa Diamond, basi Huyo mwanamke atakuwa obsessed/stalker na Diamond

  • @sumamwakyambiki6214
    @sumamwakyambiki6214 7 років тому +4

    kwan diomond ananini haswa , upumbafu tu.

  • @gasparmmassy2655
    @gasparmmassy2655 6 років тому +1

    Noma

    • @filimonfisseha5753
      @filimonfisseha5753 6 років тому

      The baby looks like the father and the mother she's younger more than the wife very beautiful woman the younger one who have the right baby for him the first wife she's the one who is a bad malaya the biggest one she was married and left her man for younger boy that's what u get when u trying hard to get on others gal man that's what she did to wema

    • @cheupestefano3303
      @cheupestefano3303 6 років тому

      filimon fisseha what are you talking about you also when zari met Mondi he was just a struggling Tz musician the lady built Mondi by zari pumping into him business ideas and that's why Mondi is who he is today. wa tz tuache uswahili usiokuwa na maana letz get education may be our reasoning power will make sense instead of kuleta ujinga mwingi wa kuita watu majina ya ovyo

  • @lovekambua7413
    @lovekambua7413 6 років тому +5

    Hvi niulize kwani kuitwa kwa jina la diamond mtoto wa hamisa ni kumaanisha ni wa diamond kwahvyo me nikizaa wangu na nimuite majina za jaguar atakua niwa jaguar? Aii

  • @asaamwidanyasaa6578
    @asaamwidanyasaa6578 7 років тому +1

    uyu hamisa mxhamba sana ni bora ata d azidi kumshushua... kwanza kipo kibaya kweli na kijuso chake km bundi

  • @anghamij7046
    @anghamij7046 7 років тому +3

    Diomond amuogopa zari ndio sababu anasema ivyo

    • @cheupestefano3303
      @cheupestefano3303 6 років тому

      anghami J Mondi anampenda zari hamuogopi bali anampenda mno zari

  • @davidorito1707
    @davidorito1707 7 років тому +2

    Njoakome kuvamia waume wa watu

  • @greysonmwanjesa4318
    @greysonmwanjesa4318 7 років тому +2

    usiwasogeze vichenchede kwenye penzi lako na Zari(ndoa) watakuhalibia shauli yako

  • @swagosamatta6038
    @swagosamatta6038 6 років тому +1

    👯👯

  • @joycemosha5926
    @joycemosha5926 7 років тому

    jaman

  • @phetyhussein4772
    @phetyhussein4772 7 років тому +1

    Watu bhana mnachagulia mtu hisia zake et me nampenda hamisa kuliko zari 😂😂😂

  • @saramamu3040
    @saramamu3040 6 років тому +1

    Aaaa wacha waoane

  • @zuhuradmbonde3532
    @zuhuradmbonde3532 7 років тому

    hivi mtoto atakuwa na baba 2 yule aliedai ndie mwenyezi ujauzito je? au kumchokoza zari tu aseme sio vizuri acheni hizoo.

  • @dejazminemwaluvalile5029
    @dejazminemwaluvalile5029 6 років тому

    hahahaaaa imekula kwakeee

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 7 років тому

    ulimbukeni..hamjijuuuiii

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 7 років тому +1

    achana na zari wew..bwegeee

  • @upendoakio5825
    @upendoakio5825 6 років тому

    unajuwa kila kitu inatakiwa mtu utumie akili ata Kama kazaa na diamond sio kujitangaza kwani uyo diamond mungu

    • @janethjackson5370
      @janethjackson5370 6 років тому

      Upendo Akio chukua tano mrembo! Namshangaa sana huyu hamisa,kwanini asipige kimya amlee mwanae? Kila kona diamond diamond,rubbish

  • @merrysabina7798
    @merrysabina7798 6 років тому +1

    utakuwa unamuogopa zari tu

  • @antipasshirima3364
    @antipasshirima3364 6 років тому

    Mambo harakat vip

  • @ahmedalshammari9372
    @ahmedalshammari9372 6 років тому

    zari umeezeekaka unajitahid lakn sura ya yaonyesha kaka

  • @rashidydickson451
    @rashidydickson451 6 років тому +1

    de. analelewa. na zari. awezi. kukubali. atakula. wapi

  • @jasminemasiga5930
    @jasminemasiga5930 6 років тому

    amisa m bayaaa sura ngumuuu

  • @ismailmsuya5129
    @ismailmsuya5129 7 років тому +3

    WAPUMBAVU HAO WANAKUWA KAMA HAWANA AKILI

    • @daudyzegu5036
      @daudyzegu5036 6 років тому

      Ismail Msuya hahahahaaa umeonaee

  • @mdogo_ake_zarizarin1546
    @mdogo_ake_zarizarin1546 7 років тому +1

    Anajipendekez sn huy dem

  • @salmachuma2595
    @salmachuma2595 6 років тому

    jamani uyo amisa yupo wakat mguumu

  • @dejazminemwaluvalile5029
    @dejazminemwaluvalile5029 6 років тому

    Anahangaika tu,atasota sna Malaya huyoo

  • @mercyjepkemboi6656
    @mercyjepkemboi6656 7 років тому

    Haaaaa misa ni mariamu kajizalisha unataka kuzingizia

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 6 років тому

    Wanaoumiza kichwa kwajili ya ishu hii wamekosa chakufanya

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 6 років тому

    Hivi kwa nini wasichana wengi wanatamani kuolewa na kaka yangu nasbu? Kumbe kaka yangu nasbu ni nzuri Sana eeee.

  • @witinessaisari350
    @witinessaisari350 6 років тому +1

    ivi mwanangu akiitwa maguful mtoto atakuw wa magufuli? achen kupumbazw

  • @ziadaalute3159
    @ziadaalute3159 6 років тому

    Mnagombania matoto ya zinaaa fyuuu!

  • @sumamwakyambiki6214
    @sumamwakyambiki6214 7 років тому

    umbea ambao hauna mshiko mnatangaza ujinga tu,

  • @allenmongi5451
    @allenmongi5451 6 років тому

    kwani walivyokua wanatombana mlitushirikisha

  • @wotewangu243
    @wotewangu243 6 років тому +1

    Akafanye DNA test.huyo ndo msema peke

  • @aikamosha7654
    @aikamosha7654 6 років тому +1

    anatafuta kiki huyo hamisa

  • @christinabiyengo2955
    @christinabiyengo2955 7 років тому +5

    Hivi mnaendaga kucheck HIV kabla hamjajibandika kwa hicho kidume cha mbegu?

  • @rismoshkidoti6689
    @rismoshkidoti6689 6 років тому

    kubali mtoto wako simba kwany iko nini

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 років тому +1

    Msishangea , Hiyo ni moja kati ya dalili za ugonjwa wa aina ya kichaa cha akili. Hilo ndilo tatizo linalo msmbua huyo Bi Haamisa. Ni ogonjwa wa kutaka kuwa fulani wakati yeye siyo fulani. Zaidi ya maeleza haya naomba mwoneni Doctor wa magonjwa ya akili atawaeleza zaidi.

    • @aishauwimana4338
      @aishauwimana4338 6 років тому

      Valena Komba sasa amisa anaugonjwa gani uliwahi kumpima kwani simaelewano yao kuzaa na mond walasio ajabu kwa mastar

    • @aishauwimana4338
      @aishauwimana4338 6 років тому

      Kuwa na zari ndo kumemkataza monde asizaye nawanawake wengine zari anawanaye wengine lajabu lipi nawashanga kwel

    • @cheupestefano3303
      @cheupestefano3303 6 років тому

      Aisha Uwimana Mondi hajupanga kuzaa na Hamisa bali Hamisa alipanga kuzaa na Mondi hivyo basi Hamisa ajipange vile atalea alichokipangia asisumbue watu kumsoma mtandaoni kila kukicha

    • @aishauwimana4338
      @aishauwimana4338 6 років тому

      cheupe stefano na hamisa siomwehu kuchukuwa ma amuzi bila makubaliano na mond msikuze jambo msilo lijuwa na mond anasababu kusema hataki huyo mtt zari asijemtupa nje mond muwe mnafaham ya kuelewa jambo linaloteke tumeona wangapi

    • @aishauwimana4338
      @aishauwimana4338 6 років тому

      Wanaume wangap wanaza nje nawanawambiya wake zao watt sio wao na huku anaudumiya msiwi wajinga hivyo mwanaume wakiwa ndani niwakwel wakienda siwakwel hilo utambuwe

  • @siznic2156
    @siznic2156 7 років тому +11

    mond kubali mtoto wako acha kumkana..kwani zari atakuua ukikupali?mbona ww umekubali kulea nilan na wa Ivan..acha kubumbazwa vile vile

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 7 років тому +1

      siz nic hwezi kukubali makombo jmn

    • @fatumaababy1281
      @fatumaababy1281 7 років тому +2

      azh zha yassin 😁😁maybe ni mtoto wake mm nataka tuu DNA.

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 7 років тому +2

      +fatuma Ababy 😂😂😍 Exactly

    • @annymsupa5175
      @annymsupa5175 6 років тому +1

      😂😂😂😂MBNA umesahau kuwataja wale wengine watatu

    • @blackandblackandblac
      @blackandblackandblac 6 років тому

      siz nic UMEFANYA DNA UKAJUA NI MWANAWE

  • @merrysabina7798
    @merrysabina7798 6 років тому

    acha kukana mwanao wewe

  • @maggietuwa2032
    @maggietuwa2032 7 років тому

    Nilijinga,,,

  • @saudasaid898
    @saudasaid898 6 років тому

    msimlazimishe mtoto kama watoto anao kwanini ajipe mizigo wamtafute baba wa mtoto kwani lazima awemondi kisa star au

  • @estherjonas4630
    @estherjonas4630 7 років тому

    ya kaisar mwachie kaisar hapo sisemi sabu hata nyie wanaume hamjatulia na we mond usijishaie unalo la moyon unalijuaa