Clam mungu akubariki sana pia akufanyie wepesi kwa kila hatua upigayo kiukwel huyo jamaa aliyesimama kama boss anajua sana kuvaa husika wake pia huyu dada Malaya ni fundi wa ku act hakika timu nzima imesimama kongole menu nyoteee🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪💪💪
Big up kwako clam na timu nzima kazi nzuri sana hongereni mwanzo huyo mdada upo nae clam anajua sana kuvaaa uhalisia unajua kukagua waigizaji sending love from 254 🇰🇪
Nimeipenda iyo clam, una piga kofi Malaya
Nawomba unipe like clam
Jamani nawomba munipe like zenu
From Moçambique and mocimboa da praia 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
🤣🤣🤣🤣
Vip babu
Waaa hapo sisemi
Kali Sana mkuu sasa pitia hapo kwangu usubscribe pia na ubarikiwe sana
AOLEWI MTU no1, mkojani,tin white
Clam nakupendasana unajua igiza huyobinti uliemoa kutuka kwakujiuza nampeenda sanah jackson from 🇨🇩congo
Clam mungu akubariki sana pia akufanyie wepesi kwa kila hatua upigayo kiukwel huyo jamaa aliyesimama kama boss anajua sana kuvaa husika wake pia huyu dada Malaya ni fundi wa ku act hakika timu nzima imesimama kongole menu nyoteee🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪💪💪
AOLEWI MTU no1, mkojani,tin white
Huyo dada aliyeolewa na clam nampenda saana....Ida from Kenya
Clam napenda sana comedy zako mimi niko congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 congratulation sana
Huyu dada anajua sana Kwa kweli.big up.
Clam hongera vichekesho vyako vinamafunzo ndaniyake 👏👏👏
Jmn kanipiga huyu kaka daaah 😀😀😀 nimecheka sana
Hizi sio comédy tena ila ni bonge la séries kwenye move za maisha…🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
naipenda mpuuzi mm kutoka CONGO 🇨🇩🇨🇩 😀😀😀😀
😂😂😂Clam huwa ukosei hii inatufundisha kitu kikubwa Sana nakubali 🙌🏼🙌🏼
Wanaompenda kichechee like kwangu🥰
Namuelewa mbwa mm 🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅Nmecheka jaman
@@Halimamaere qrqa1
Swafii watu wangu nifikisheni 1k subscribe
🔥🔥🔥
Dada yangu cim beauty nakupenda bure lakini my brother Clam kakukataa ningekuwa mimi ningekuchukuwa wewe tyu maana nakuzumikia mbwa mimi
niatari
Nime sheka sana kweli mimi kabisa.pumbavu zangu
Mmbwa ww
Big up kwako clam na timu nzima kazi nzuri sana hongereni mwanzo huyo mdada upo nae clam anajua sana kuvaaa uhalisia unajua kukagua waigizaji sending love from 254 🇰🇪
AOLEWI MTU no1, mkojani,tin white
😂😂😂
Clam upo vizuri pamoja na group lako. Wafundisha binadam kuridhika na ulicho nacho. Ahsantu. Kidiir kidiir .🤝🤝❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Walai nimeipenda ii nampenda sanaa huyo mdada 😂🥰😘
Naenda nyumbani mbona huhaweka hiyo Leo😅😅😅
Ningepata namba ake jamn😍😍😍
Safi Sana clam kwakazi ya comedy unaweza sana tuuuuu mungu akuzidishie from ZANZIBAR
Wakwaza tena ku like bana mimi nichabiki bora..🤣🤣😂🤣😂😂😂 na mukubali sana clam.
qqqqq
Ujaulizwa😂😂😂👊
@@alphamwafumbila3453 uja hambiwa nawewe piya fata yakwako comment yangu ahikuhusu .unasikiya.🤔😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Mbn unakua mshamba wewee,, naisapoti coment ya jamaa wewe mshamba tu coment nawewe mpuuz
@@clever898 FATA YA KWAKO ISIYO YAKWAKO IYASHE ILIVYO UNASIKIYA AU NIPUNGUZE MNDICHI.😏
Bro respect sana kaka video zako zinafundisha sana🙏🙏🙏
mimi raufa kutoka tanzania nampenda xan huy dada ake
😂😂😂Clam my all tym fav ❤😂napenda ulivyompiga ugoto😅
Hizo siku zilikuwa moto, i wish clam, kicheche na bhailam kim wangefanya angalau moja ya m mwisho
Hongerenu xna kazi nzur🥰🥰🥰
Kijana una watoto wazuri sana ndio maana content inaenda
NimempendA sana clam❤
Hii Kazi unayo fanya....kiekiekie,munaniuwa na cheko, endeleeni kutufunza mambo.
Kicheche vizuri sana
Hiyo konzi nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nawapenda saaaan kabis 💖💖💖
vailety sijui ndo jina lake au vp ila anajua san of course clam unajua ww na tim yako ila huyo dad 🙌🙌🙌
Uyo demu aliyemchukua ckamu kafanana na Elizabeth Michael aliyeona gonga like
Kilam
Ama die alijiita vai
Anafanana na Nandy
Mmmmh wote bd jina linawachanganya kuandika😅😅😅😅😅😅@@JemusSimtengu
Yaani munafulaisha Sana we,🥰🥰🥰🥰
Big up sana clam and your team hongereni sana ndugu zangu watanzania walayi kama n kipaji mumejailiwa nacho Mwenyezi Mungu awazidishie❤❤❤
Nimeipenda sana hio congratulations Guys 🙏💎🔥🇨🇩
Watanzania naapendag san💖💖💪💪🇴🇲🇧🇮
AOLEWI MTU no1, mkojani,tin white
Nakukbar xn mwamba 💪 cma v2 vizur kama ivi uwe unavimaliza vzr boy
Nakukubali bro Your videos shows what some of us go through in life
😂😂😂😂kicheche naonea video kutoka Kenya twawapenda sana 🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸
Wakwanza like zangu 2ende sawaa
Clam wee Noma uwemtia nkonhoto😅😅😅😅😅. Mozambique
umetisha broo mpaka moyo umeniuma dah
Mimi nichabiki wakicece naclam❤❤❤❤
Nawapenda sana mbwa nyinyi from 🇹🇿255
kamakaw jeshi
We jamaa we umenichekesha umempiga konzi manzi daaa🤣🤣🤣🤣🤣
Thé ENDINGS of your Skits video Are very scary 😟😬😬 alakini tunakupenda Rwanda 🇷🇼VEVO😁💯
Mimi natokea Congo hata kama nimechelewa kuangalia jamani naomba like hapo hapo tafazali zawatanzania mbwa kicheche pumbavuzake and clam 🤣🤣🤣🤣🤣
Jamn clam ww nakupenda sana
Leo mm WA kwanza naombeni bas like ndugu zang
Ila hako kadada keusi nikazuri mno yaan na weusi wake. Halafu kanajua kuigiza. Mm nakapenda mfikishien salam zangu
oyamnaweza duuu mbaka 😭😭😭
Sasa uyu kijana OG love from RWANDA 🇷🇼❤️
Mambo
Content zako za madada Malaya zinavutia wengi usibadilishe
Vipi bana
🤣🤣🤣🤣 clam kamtia konzi mtoto wa mtu😄
Eeh mungu nami nilinde yasinikude jamani 🙏
Good job wakuu hongeren
Nice one 🔥🔥🇰🇪🇰🇪
AOLEWI MTU no1, mkojani,tin white
Kali sn hii🔥🔥🔥
Toka Congo ilike your comedy clam🤣🤣🤣🤣🤣
Wakenya tupo na watanzania mko juu🔥
Mpo vizuri nawakubali
Kaka clam u so talented but shikilia symol yako harmonize niw aki kohoa tu kila mtu anamjua sasa mbona naenda nyumbani huisemi kaka naipenda balaaa
😂😂😂😂😂😂,,mimi naenda nyumbani😂😂😂 naipenda sana iyo pumbavu zangu
Clam nakubali sana
Clam Niko Congo 🇨🇩 Bukavu nakukubali sn
❤❤❤❤kazi nzurii
naenda nyumbani nataka chapati🤣🤣
Ukisikia mkosi ndo huu sasa mwanaume mwenyewe mganga wa kienyeji wa kienyeji maneno ya kibabe🤣🤣kicheche🙉 bairam muda wote mateso tu very talented👏
Huyo bariam ni mwenzangu hakika
Nawakubalisana awawaja a❤
Nakukubali xana kaka clam..
Dogo clam mungu akujaliye mema pia nategemea ONE DAY kuja KUIFANYA collabo na wewe , BORA UZIMA 🇹🇿
Huyu msichana na mkubali sana .anjuwa anajuwa anajuwa tena.
Ahh inauma sana kweli
🤣🤣🤣 Jmn mmeliona ilo Konziiii
Clam kazi nzuri kaka.....mama wisdom from malawi
Mkal wang Kaz nzuri
Haaaa ina umwa kweli nabapesana san🇧🇮🇧🇮
Clam my favorite malizia Ile comedy ya fumbo natoka Kenya mm n funny wako sana
Clam apo mwishoni ungesema mimi naenda nyumbani 😂😂😂😂
😂😂
Hahaha
Nko mojawapio hicho kiswahili chao nakupenda saana
Umetisha clem Una compete na joti asahivi
Bb kaz nimeikubal_☠
Big up kaka clam
Hy kazi nzur sana jitaidini mtatoboa
good clam god bless you✊✊
Napenda content zenuuu .
Uyo mwanamke anajua kuigiza umalaya, mpaka nais ni malaya
Safi sana
Tatozi kicheche aisee dag hahaha 😂😂
Huo wimbo inaitwajeeeeee
Nakupenda Mzee oool
Safi nimeipenda
😂😂😂😭inauma na inaumiza
Nyii nyimbo naitakaaaa
Nimeipenda hii umetisha kaka
Nyie me bhailam nampendaga saana niunganisheni basi
❤❤❤
Like zangu from United states of America
Bigerp sana mwanangu cram
Kicheche nakubari sana
Inafundisha broo
Nawapenda nyinyi, mbwa nyinyi, namakumbavu zenu
Wote tunawapenda ju ni binadamu kama ss
Uyo mwanamke anafanana Kama nimshenzi tu
Hii comb ya clam,Kim na kicheche na Asma ni motooo