BARNABA AFUNGUKA KUJIUNGA WCB, AONGEA MAZITO KUHUSU DIAMOND - "MIMI NI MSAFI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ •

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 2 роки тому +10

    Barnaba ni msanii mkali sana tokea kitambo aliyeshindwa kutoboa tu kimataifa na sasa ndiyo muda wake wa kutoboa kimataifa na miye ni shabiki wake mkubwa tokea aanze kuimba!en am happy right now💪🔥

  • @shaneshane4175
    @shaneshane4175 2 роки тому +2

    Oooh wanyonyaji wanyonyaji mbona watu wanaingia tena wajuzi watunzi 👌

  • @livingstonelungwa4855
    @livingstonelungwa4855 2 роки тому +4

    Karibu sana tunasubiri mawe yako kwa shauku sana usafini hautokaa ukaferi blood ✊✊✊🗽✊✊✊✊✊✊

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 роки тому +20

    Weweeeeeeeeeeeee Barnaba boy❤️❤️❤️❤️

    • @be_sqwenga9174
      @be_sqwenga9174 2 роки тому

      #cbo + #saraphina💪🔥. Another new song 👇👇
      ua-cam.com/video/Jp2P5xhqWFc/v-deo.html

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 роки тому +7

    Barnaba akiingua wcb hehehehe tutakuwa hatupumui jamani..joto..kipaji halisi ongeza management nzuri👑👑👑👑👑

  • @AnitaAnn77
    @AnitaAnn77 2 роки тому +25

    I lov u very much Barnabas,u have chosen wisely

  • @eltonmutta148
    @eltonmutta148 2 роки тому +22

    Kweli mambo ni fire.

  • @zuhuraakida5932
    @zuhuraakida5932 2 роки тому +5

    Barnaba ana roho nzuri ♥️🙏 kama wcb wamemchukua 🙏🙏 nimefurahi🤗♥️♥️

  • @coachissah7703
    @coachissah7703 2 роки тому

    Diamond platnumz the king of Africa

  • @kinyamal8201
    @kinyamal8201 2 роки тому +15

    Welcome to the big family Barnaba, now you have a much bigger platform than before, ujuwe mashabiki wa WCB wengi sanaa😊😊

  • @zarubiambonde8986
    @zarubiambonde8986 2 роки тому +2

    Hongera sana wala hujafanya maamuzi magum♥♥

  • @zenamahmoud5141
    @zenamahmoud5141 2 роки тому +2

    Iko pow iyo

  • @tushabefelician6875
    @tushabefelician6875 2 роки тому

    Hongera sana nahis mtatishaaa

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 2 роки тому +3

    Welcome.... Welcome.

  • @dunixardamagomez600
    @dunixardamagomez600 2 роки тому

    Welcome kwenye chama lawana bro WCB 4Life

  • @jastinmbena1959
    @jastinmbena1959 2 роки тому +1

    Barnaba ni very humble

  • @hassanjr6034
    @hassanjr6034 2 роки тому +15

    well come wasafi

  • @eber-w3b
    @eber-w3b 2 роки тому +2

    Naona ni Wasafi Classic Baby,....Sio Band jaman...

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 2 роки тому +2

    Umoja ni ngumvuu sn🙏🏼🤝🏼

  • @scoutsmaybe4708
    @scoutsmaybe4708 2 роки тому +1

    Karibu wasafi barna mambo yatakuwa motoooo weweeeeeeee

  • @alshamsitz3961
    @alshamsitz3961 2 роки тому +13

    Barnaba to the world 🌎 ✨️ ✨️

  • @dullymsafi3149
    @dullymsafi3149 2 роки тому

    Karibu

  • @mahembaelias1722
    @mahembaelias1722 2 роки тому +2

    Barnaba Boy fundi wa muziki huyoo

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 2 роки тому +1

    🦁💌

  • @christianmwashala9760
    @christianmwashala9760 2 роки тому +14

    Fundi kaingia usafini karibu Barnaba boy sis kama wasimamiz na watu wa wcb tutaakuuinga mkono ad mwixho

  • @nanaritho6850
    @nanaritho6850 2 роки тому +1

    Woooooyooooooooo wasanii wangu pendwa haawaaaaaaaaaa

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 2 роки тому +3

    Nilikuwa sisikilizag nyimbo zake sasa nitasikiliza🙌🙌🙌

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg 2 роки тому +1

    Karibu wasafi

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 2 роки тому +2

    Karibu Wasafi

  • @20topbestintheworld91
    @20topbestintheworld91 2 роки тому +8

    Jambo jema sana, syo mziki tu, Watz na Wafrica inabidi tujifunze kufanya vitu kwa umoja au kwa team ili kuleta mashindano yenye tija

  • @BOL255
    @BOL255 2 роки тому +6

    Barnaba to the world.

  • @newtonmwasalamba9790
    @newtonmwasalamba9790 2 роки тому +1

    Good

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 2 роки тому +7

    Barnaba ni bonge la msanii mchukue mondi anayo hadhi ya kuwa msafi na WCB haitatumia nguvu kubwa Sana atafika Duniani kirahisi

  • @hassanjr6034
    @hassanjr6034 2 роки тому +7

    #wcb4life

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 2 роки тому +1

    Njoo uku mzee

  • @Nbyoungvontz
    @Nbyoungvontz 2 роки тому +1

    Karibu barnaba

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 2 роки тому +9

    Barnaba usisikilize maneno ya watu
    Njoo WCB upige hela na mziki wako uende mbali sana.

  • @coachissah7703
    @coachissah7703 2 роки тому

    Diamond platnumz simba baba Lao africa

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 роки тому

    Wooooooooow

  • @husseinsudi4527
    @husseinsudi4527 2 роки тому +1

    Mbona unazimisha sana

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 роки тому +6

    🔥❤️🔥

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 роки тому +1

    Mi nampenda sn barinaba na jux hawna ujinga wakundi kbs

  • @felistermichael7640
    @felistermichael7640 2 роки тому +1

    Kwisha kipaji chako kwaheriiiiiii kipaji baiiiiiiii

  • @shanatatrigger6537
    @shanatatrigger6537 2 роки тому +12

    WCB ni kubwa sana

  • @hamisikhamisi1984
    @hamisikhamisi1984 2 роки тому

    true

  • @veronicanangale4700
    @veronicanangale4700 2 роки тому +8

    Sign mkataba ambao siku ukitaka kutoka isiwe shida. Tafuta washauri wazuri kabla ya ku sign.

  • @allymaliwata3583
    @allymaliwata3583 2 роки тому +1

    We divva kichaaa sana uyu barnaba awe namb 2

  • @gilbertmwanda1161
    @gilbertmwanda1161 2 роки тому

    Muulize mavoko mzeeia, we ni star inatakiwa ushindane na wakna Mond na Alikiba

  • @AnitaAnn77
    @AnitaAnn77 2 роки тому +1

    Ule wimbo wa Lina na Barnabas wa nipigie na Sauti yake pamoja na mwonekano wake kwa kweli huwa nazimia but no choice ,nakutakia kila raheri fun wangu,nitakupa kijana wangu umukuze kimziki coz anapenda Sana usani ,bado yuasoma .so note that

  • @kinganyamohamedi2271
    @kinganyamohamedi2271 2 роки тому +5

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 роки тому +2

    Wasikuchote maneno keshoo lil ommy apete interview wawo wanataka interview kwakoo usifanye mtuu mungu

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 2 роки тому

    Unaenda kupoteza music wko mpuuz ww yn hp ukiingia nakutok shughuli huna daa😭😭😭

  • @bensimon7330
    @bensimon7330 2 роки тому

    Wow nimependa na subiri song nyie wawili diamond and Barnaba itawaka sana

  • @Mzukaorgtanzania
    @Mzukaorgtanzania 2 роки тому +8

    Barnaba tulikupenda ila wasafi imekupenda zaidi

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 2 роки тому +8

    Safi kijana kikubwa mafanikio

  • @agogomgagagigigogo2672
    @agogomgagagigigogo2672 2 роки тому +11

    Ooh Wasafi wanadhurumu ,ona sasa msanii mkongwe na anaujua undani wa bongo flava kini Huyooo Kajiunga WCB,ndo mjue sasa kuwa wasanii wengi wanapatamani kini nafac sasa ndo finyu 🤣🤣🤣

  • @Raymosimauki4367
    @Raymosimauki4367 2 роки тому

    Kapotea uyo

  • @senjiyunvankunzimana9474
    @senjiyunvankunzimana9474 2 роки тому +5

    Barnaba sio fara na awezi kuwa wcb ata siku moja

  • @francissamson8028
    @francissamson8028 2 роки тому +1

    💯💯💯💯💯

  • @agustinorichadi1253
    @agustinorichadi1253 2 роки тому +4

    Karibu kwenye familia ya WCB

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 2 роки тому +2

    Mnaingia vizuri mnatoka na maneno

  • @saadamohammed7852
    @saadamohammed7852 2 роки тому +5

    Wcb for life

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 2 роки тому

    Veema 👍 Sr Barnabas

  • @Jack_wetu
    @Jack_wetu 2 роки тому +8

    Karibu WCB utavuma uliwengu mzima ulikua gizani

  • @assab3167
    @assab3167 2 роки тому +1

    Kweli nakumbali

  • @asirsaid4291
    @asirsaid4291 2 роки тому

    Wasafi Game Changer

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 2 роки тому

    Diamond mjanja rayvan mtunzi kaondok huyo Barnaba nae mtunzi so jamaa mjanja safi mpig pes Barnaba lebal for life,

  • @MIBWA
    @MIBWA 2 роки тому +2

    Safi

  • @yogwemwakulola4093
    @yogwemwakulola4093 2 роки тому +3

    Barnaba alikua ni msanii ambae namkubali Sanaa lkn kitendo cha kuingia uchafuni kimeniumiza Sanaa nimechukia kwa kweli ashanipoteza mm kama shabiki wake

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 2 роки тому +1

    kama ni kweli basi mtakuwa moto fire

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 2 роки тому +8

    Moyo unabubujika furaha kusikia tu hivyo hata kama sio kweli mmeniongezeq cku za kuishi ..

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 2 роки тому +1

    Pale zuchu pale Mboso pale Queen dearlin pale Barnaba pale Jamaa yangu basi sio mchezo

  • @angelageofrey9756
    @angelageofrey9756 2 роки тому +4

    Top na anavyojua kuimba

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 2 роки тому +4

    Mamaaaa asijalibu atapotea oooh

  • @casadelmar639
    @casadelmar639 2 роки тому +2

    Barnabas bar

  • @shimadosun
    @shimadosun 2 роки тому +1

    💫

  • @mwanaishiaomar5695
    @mwanaishiaomar5695 2 роки тому +1

    ❤❤❤❤❤👏👏👏👏

  • @bornifacecharles2
    @bornifacecharles2 2 роки тому +2

    We acheni kulazimisha bwana

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 2 роки тому +3

    Tatizo mna Mikwara kma Mandonga nyie watu😂😂

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 2 роки тому +4

    Kwaio ndo kajiunga au

  • @hajimjaja1163
    @hajimjaja1163 2 роки тому +2

    Kiki mpya na hii itabumaa pia, huwezi ht siku moja ku sign WCB atafanya kz km business partner tuu, labda kingereza chenu

  • @robbertnguma3921
    @robbertnguma3921 2 роки тому

    Barnaba anaheshima xna

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 2 роки тому +1

    Wcb

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 роки тому +1

    Snoop kaleta Eminem kaleta 50 cent leo Bt today hit song is only snoop dog end Doctor dre

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg 2 роки тому

    💎💎💎💎💎

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg 2 роки тому

    💞💞💞💞💞

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 2 роки тому +1

    Tatizo mnaingia kwa mbwembwe alfu mkitoka mnaanza kuliya liaya kweli mond anaweza kuwatumia vizur kujinufaisha yeye binafc maana mnaendekeza njaa sana we nimsani mkuwa ulitakiwa uwe na Lebo yako sasa

    • @rasvegas8991
      @rasvegas8991 2 роки тому +1

      Leboo mzeee hunaa helaa nikikundiii cha kihunii

    • @beccaacro6193
      @beccaacro6193 2 роки тому +1

      Rayvany kaingia wcb baiskeli hana leo anamiliki lebo na anamiliki msanii pia yote hayo kayapata akiwa wcb tusingemjua harmonize kama c wcb hilo halipingiki ikumbukwe bongo star search walimtolea mbavuni akaokotwa na mondi katengenezwa ndo tukampata konde boy wa ss au mmesahau

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 2 роки тому +4

    Barnaba anajuaga atari sn sauti km yote hapo

  • @redeemerluc4053
    @redeemerluc4053 2 роки тому

    Wanatuleteya 💥💥💥wsb Kweli SIMBA babalao,..Unatuleteya MTU mkubwa.

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 2 роки тому

    Shehe utapotea kweli kweli kaka

  • @johnohando2390
    @johnohando2390 2 роки тому +3

    Usije lia kama Mavoko 😄

    • @patricksounda9993
      @patricksounda9993 2 роки тому +1

      Mavoko anasikika wapi Sasa mpka xaxahivi🤣🤣

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 2 роки тому

    kweli au mnatuzuga

  • @mtewelemtewele0260
    @mtewelemtewele0260 2 роки тому +4

    Nilikukubal sanaaaaaaa ila kwa hapo umezingua nenda kafe uko fala wew

  • @marcelineodongo478
    @marcelineodongo478 2 роки тому +1

    Boss usiwena wa hapo ndiyo home wasafi ina bishaa tuko ndani

  • @mafanikiogidioni5148
    @mafanikiogidioni5148 2 роки тому

    Sisi tunasema karibu

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 2 роки тому +2

    Diamond kwa taarifa yako majembe nchi hii makali yanayohitaji sapoti yako ili yake Duniani ni 2, Barnaba na Aslay usikunje kwa Hawa jamaa ni pesa kwao na kwako pia

  • @chicotebigote9237
    @chicotebigote9237 2 роки тому

    Kwasasa hatutaki tena MTU wasafi msaada umekwisha utamuona mnyenyekevu hapo ila utakuja kushangaa uyo uyo akajakua adui mkubwa kwa diamond I say enough hatutaki tena MTU kwenye lebo yetu

  • @michu_tz4744
    @michu_tz4744 2 роки тому

    Acha uchoko

  • @anacletmhenzi7985
    @anacletmhenzi7985 2 роки тому +1

    Unafeli barnaba

  • @salamahassan8909
    @salamahassan8909 2 роки тому

    🥰🥰🥰