Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MUAMMAR GADDAFI: Mkuu wa Ujasusi wa UFARANSA asimulia walivyomgeuka - Na DJ Sma

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 сер 2024
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

КОМЕНТАРІ • 250

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 11 місяців тому +19

    Dj smaaaa mungu akulinde miaka 1,000. Achna na hao ma untfuse cause hauwajuwi tu hata usingewajibu sasa nakuambia hao ni mashoga na manyangau meusi (wanazi weusi) hivyo wanateseka kuona bosi wa mashoga wote duniani Biden (marekani) anachezea za mbavu so piga chini ngombe hao wanatupotezea time endelea leta fact tunakuelewa asilimia 99.9%

    • @erickabel6201
      @erickabel6201 11 місяців тому +1

      😂😂

    • @MasudiNsengiyumva-wq6bv
      @MasudiNsengiyumva-wq6bv 8 місяців тому

      Asalam Mwalykum, Dj smaa, asante kwakutehelimisha, naomba na kipindi ka Mobutu wa Zaïre

  • @HudumaBlack-se6xb
    @HudumaBlack-se6xb 11 місяців тому +10

    DJ SMA Ubarikiwe sana. Makala yako huwa nayapakua na kuyapichaka kwenye flash disk ili niwe nayafuatilia muda wote maana unatoa elimu kubwa sana.

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 11 місяців тому +2

    Gaddafi always in my heart I cried that day I remember I was so young I kept his pictures in my laptop up to today 😢

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 11 місяців тому +8

    Binafsi huwa naumia kuona viongozi wetu wa kiafrika wanavyojipendekeza kwa wazungu wakati wanajua kabisa kwamba wao hawana rafiki wa kweli bali masilahi binafsi

  • @fauziaalmaamry8360
    @fauziaalmaamry8360 11 місяців тому +2

    Brother tunakushukuru kwa kutuchambuliya habari nzuri sana tuna faika na malezo yako mimi natoka Oman

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 11 місяців тому +3

    DJ sma no1 from 🇧🇮👊 nakupenda san nakutakia maishamalefu nakuombeaushi myakabuku 1000❤❤❤

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 11 місяців тому +10

    DJ Sma wafanya kazi nzuri sana. Nafatilia toka Kenya

  • @user-te6lr9ez9p
    @user-te6lr9ez9p 11 місяців тому +1

    Bruh keep it up sana. Sisibinadamu tupo wagumu kuelewa endelea nakutupea ukweli love from Kansas 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 let’s goooooooo kk mku

  • @newttechog75
    @newttechog75 6 місяців тому +1

    DJ SMA maneno ya hao protestors yasitupeleke tuweke kwenye reli vijana wa taifa la sasa tuje kujenga afrika yetu bora❤

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 11 місяців тому +1

    Waalekum musalam bro
    Aka bachuchu Mombasa 001
    🇰🇪🔥🇰🇪🔥🇰🇪🔥

  • @hemedtawah4130
    @hemedtawah4130 11 місяців тому +2

    Nakusikiliza sana from Spain. Kazi safi sana. Uchambuzi mzuri yakinifu. Salute

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 11 місяців тому +11

    R.i.peace Gaddafi, watching n listening from Bahrain.❤

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 11 місяців тому +3

    Kazi nzuri Jumaa,, hawa wanaoandika vitabu vya historia za maisha wanaboa kweli,, unajuta then unauza kitabu

  • @abdinoorkamau9745
    @abdinoorkamau9745 11 місяців тому +1

    Sorry bro Kenya tunakupta loud and clear may Allah give strength and God bless u bro💪💪💪🙏🙏

  • @amaradiombera2198
    @amaradiombera2198 11 місяців тому +2

    Mr facts DJ sma thanks 🙏👍 🇲🇱

  • @lourykibudu6180
    @lourykibudu6180 11 місяців тому +3

    Hakuna nguvu yoyote ya binadamu itaangusha maamuzi ya mungu gadafi kwa sasa huenda anakula matunda yake peponi just imajin pia kwa sadam hussein naye the same and then kwa sasa walibya wako kwenye majuto makubwa sana tusubiri mda utaongea dj sma big up sna coz fact zimenyooka but home work tulitee stori ya kweli ya kifo cha mkwawa je ni kweli alijinyonga au aliuwawa na wa jerumani maana kuna pure history na impure history hatujui ipi ni ukweli pia tunataka kujua ni kweli mirambo jina la kweli ni issa au ndo udini mwingi search it

  • @shaiduna
    @shaiduna 11 місяців тому +1

    Ebeana Saudi yako kama hussein bashe waziri wa kilimo😂😂 I love your contents tho my guy keep up the good work we together on this journey

  • @dreamtvtz283
    @dreamtvtz283 11 місяців тому +1

    Ongera sana mwamba nimekubali sana nakupata toka US

  • @MohamedHasan-kt4lw
    @MohamedHasan-kt4lw 11 місяців тому +2

    Big up Sana bro KAZI nzuri endelea nalo achana na vibaraka ambao wataka kukuvuruga

  • @AbumishAbu-cz9su
    @AbumishAbu-cz9su 11 місяців тому +2

    Bro hii niliiona iliniuma sana kama mzalendo wa Africa

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 11 місяців тому +1

    Niko na Wachina hapa wanamlilia Gadhaf

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 11 місяців тому +1

    Dj smaa achana na anti fyuz niwa puuzi hata uki mpa kitu gani bora hawezi jua samani yake nakupa mauwa yako kazi nzuri good job

  • @salehemohamed2937
    @salehemohamed2937 11 місяців тому +2

    Safi sn,achana nao hao wazushi.kazi nzuri kwa kweli.

  • @user-eo6ou4zd4d
    @user-eo6ou4zd4d 6 місяців тому

    Bro,naelimika sana kupitia makala zako.
    Nimeweza kuwajua viongozi wetu wa Kiafrika na Wazungu.
    Ubarikiwe sana.

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 11 місяців тому +1

    Saport from Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @zayneryassin6054
    @zayneryassin6054 11 місяців тому +5

    Mimi najiuliza sipati majibu ivi viongozi wa africa atakama ni viziwi atapicha hawaoni inauma sana yani 😢😢

    • @ballackenock
      @ballackenock 11 місяців тому +1

      Kaka viongozi wetu tulisha wapa mamlaka,wanajari familia zao na ndugu zao

    • @fauzishabani2622
      @fauzishabani2622 11 місяців тому

      Maamuuzi ya viongozi wetu yanatoka Amerika Afrika bado hatujapata uhuru.

    • @tatujuma8781
      @tatujuma8781 11 місяців тому

      Viongozi wa kuramba wazungu matako

  • @allykirunginyamka9171
    @allykirunginyamka9171 11 місяців тому +1

    Ndio Afrika yetu, unayo tetea.
    Afrika bado sana.
    Sio Mrusi, Mmarekani na wazungu kwa ujumla.
    Wapo kimaslahi.

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 11 місяців тому +1

    ❤ djsma inaumiza kichwaa na mtu au watu wanao kusumbua Sana sisi Africa ni wanafiki kukosoa kazi nzuri waende kwenye chanel za udaku wajitafute huko huku kazi ya kukutumia hela ya bando

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 11 місяців тому +2

    I support you very much with your research and translate of many controlvential issues

  • @cbpassociate7503
    @cbpassociate7503 11 місяців тому +1

    All the way from Mozambique

  • @jamesgabriel548
    @jamesgabriel548 11 місяців тому +2

    Dj sma🔥🔥💐💐

  • @iddimoshi8459
    @iddimoshi8459 11 місяців тому +1

    I am your Huge fan now

  • @user-sv7uu3xw1r
    @user-sv7uu3xw1r 11 місяців тому +2

    Dj Sma Gaddafi wa muwaa nato; mimi moçambique

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 11 місяців тому +2

    I was watching this malema's speech today😢😢

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 11 місяців тому +1

    Asante ustadh smaaaaa ❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 5 місяців тому

    Hawa majamaa hawafai hata kubaki katika dunia yaleyo coz fitna yao nimbaya sanaa Allah mrehem kiongozi alijitoa kuisaidia afrika kwamoyo moja kwa kweli ❤

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 7 місяців тому

    DJ Sma wafanya kazi nzuri sana unazidi kuwafunguwa watu macho

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 11 місяців тому +2

    DJ Smaa kunawatu watakubali unalolisema siku ukifaa hivi bado unapumua watapinga tu kuna mtu mmoja alikua anampinga sana Magufuli enzi za utawala wake lakini juzi hapa nimesikia anamsifia na kumpongeza

  • @georgewmk7601
    @georgewmk7601 11 місяців тому +1

    ivi unasomaga izi coment lakn? We endelea kusimulia tu achana na watu wanaolalama , siku zote huwez kuungwa mkono na kila mtu

  • @raphaeljickson9476
    @raphaeljickson9476 11 місяців тому +2

    Daaa! Mungu tunusilu waafrica

  • @stellah3844
    @stellah3844 11 місяців тому +1

    Dj Smaa❤❤❤❤ achana na hawa vichwa vigumu kuelewa kwan wanafata nini kwenye makala yako kama wakiskliza wanaumia,,kwan siwaskilize contents nyingne mbona zipo nying sana

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 11 місяців тому +3

    Malema namuelewa sana

  • @fatmaabeid9668
    @fatmaabeid9668 11 місяців тому +1

    Nakukunali💯👏

  • @KIDEMA
    @KIDEMA 11 місяців тому +1

    My broo usikate tamaa kwa wapuuzi manao jiona wanajua

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 11 місяців тому +2

    Hao wanaosema video Ile ya waziri toka Italia wajinga tu dj smaa God bless you am from Moshi kilimanjaro

  • @user-nd1pu8wx7k
    @user-nd1pu8wx7k 11 місяців тому +1

    🎉kaka dj smaaaa upewe mauwa yako Mimi ni John kutoka buza kwasasa Niko pande za sinza uku job kaka Asante kwakutuelemisha kaka ongera sana kaka

  • @yuahahmad6651
    @yuahahmad6651 11 місяців тому +5

    Dj smaaaaaaaaaaa nakutakia maisha marefuuuuuuuu

  • @erickselei3426
    @erickselei3426 11 місяців тому +1

    Go go go go djSmaa

  • @mwaminiesperance6276
    @mwaminiesperance6276 11 місяців тому +1

    HOOO GOD THIS PEOPLE AS DONE A LOT IN AFRICA. AFRIKA KWAPAMOJA TUNAWEZA KUBADILI UUWAJI WAKIKATILI KWAWENGINE ASANTE KAKA MIMI NA FWATILIA KUTOKA CONGO 🇨🇩 DRC

  • @maxiellmillians9pl278
    @maxiellmillians9pl278 11 місяців тому +2

    Wakina nani wanakusumbua ??? Dj wetu tuwa peleke🔥🔥

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 11 місяців тому +2

    DJ Sma nakubali sana binafsi naona viongozi wetu wengi wa Afrika ni wanafiki si wakweli kabisa na hawasimami kwa niaba ya raia wake bali kwa masilahi yao na masilahi ya wazungu ili tu wawalindie siri zao

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 11 місяців тому +1

    Dj SMA we andaa content, hao jamaa ant fuse tuachie sisi, maana wengi washapulizia zile perfume alizokamata mh. Mwakyembe

  • @nicholausmlaponi8588
    @nicholausmlaponi8588 11 місяців тому +4

    Kaka hao wengine Wana wivu na kipaji chako,Basi usiwe una Wataja unawapa mairege za bure wa kaushie big up na kukubali maokoto Yana kuja

  • @nassoloabdala8836
    @nassoloabdala8836 11 місяців тому +1

    Mm niko Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ibrahimurembo7397
    @ibrahimurembo7397 11 місяців тому +1

    Watakuerewa siku moja Africa

  • @kingmtetezi6670
    @kingmtetezi6670 11 місяців тому +1

    Dj smaa wewe ni mtu sana kaka Allah akupe umri mrefu uendelee kutupa madini from Mwanza nakupata vyema

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 11 місяців тому +9

    💯🔥🔥🔥👏

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 11 місяців тому +1

    Mwamba tunakuelewa achana nao hao wagaigai from 🇬🇧

  • @othumanahmad
    @othumanahmad 11 місяців тому +1

    Asante kaka

  • @user-uc5yb7ij5n
    @user-uc5yb7ij5n 11 місяців тому +1

    From znz unguja

  • @sammysammy2001
    @sammysammy2001 11 місяців тому +2

    Angalia sahiii wanavyo teseka walio muuuwa..watu wa mungu hawauwawi😢😢😢😢

  • @rajabuhamisi2769
    @rajabuhamisi2769 Місяць тому +1

    Sitaki kuwalaumu sna viongozi wa Africa shida ni sisi wa Africa sisi ndio tunauwa viongozi wetu wengi ni wanafki.

  • @tausijarufu
    @tausijarufu 11 місяців тому +1

    Panama 🇵🇦

  • @abuubakarhaji2078
    @abuubakarhaji2078 11 місяців тому +2

    Dj smaa sis tunakuelewa asi kuelewa usimueleweshe but Allah akupe afya njema ili uzidi kutupa Habari

  • @nmasare9364
    @nmasare9364 11 місяців тому +2

    Bro mi nasemaga wewe ndo Mkuu wetu wa kikosi nakukubali sana

  • @ramahfingika15
    @ramahfingika15 11 місяців тому +2

    Dj sma,pamoja sana tunakukubali sana mashabiki zako, usitumie muda mwingi kuwa defend vichwa vigum Sisi twende mbele

  • @talents7934
    @talents7934 11 місяців тому +1

    DJ smaa Huna Baya kaka🖤🖤🖤🖤💪🏿

  • @erichakizimana6024
    @erichakizimana6024 11 місяців тому +1

    Good good brother ❤❤🇧🇮

  • @ballackenock
    @ballackenock 11 місяців тому +1

    Barikiwa sana Dj sma,endelea kutuelimisha

  • @FurahaEliya-df5fo
    @FurahaEliya-df5fo 11 місяців тому +5

    Kaka mbona unapenda kulalama? We songa mbele tunakuelewa wanaosema kinyume chako achana nao kwani kila kitu kwenye hii dunia kina changamoto zake, lakini pia ili ufike mbali zaidi lazima ukutane na upinzani wa aina fulani, "either kukosolewa kutukanwa n.k." na ukiona kitu chochote unachokifanya hakina changamoto yeyote, basi achana nayo kwa sababu inawezekana sio chenyewe au hakifiki mbali ndio maana hakina upinzani wa aina wowote. Hivyo Mimi ninakushauri songa mbele tu acha kusikiliza wakatisha tamaa kwani ndio muundo wa dunia ulivyo. Mbali na hilo binafsi mm nakuelewa sana nipo kasulu-kigoma.

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx 7 місяців тому

      Point sana hii sijui km amesoma yaan me binafsi huwa napenda anachokifanya ila ananiboa mara nyingi analalama hadi inakuw inaboa😮 ashushe nondo tu watu tutoe comments zetu kulingana na mitazamo yetu

  • @amadecassamo1606
    @amadecassamo1606 11 місяців тому +1

    Uko vzr

  • @pongezimwakyoma5505
    @pongezimwakyoma5505 11 місяців тому +1

    zako tia maji, all the way from singida

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 11 місяців тому +1

    It's your tech Dj Sma.

  • @Alkebu_lan22
    @Alkebu_lan22 11 місяців тому +1

    Fuse is the brain banger🔥💪🏾🙌🏾

  • @ZeraGeofrey
    @ZeraGeofrey 11 місяців тому +1

    🔥🔥

  • @sayshabani6350
    @sayshabani6350 11 місяців тому +1

    Myaka mingi sana Dj

  • @dominickchristopher1669
    @dominickchristopher1669 11 місяців тому +1

    Mm Dominick kutoka Rukwa mungu akubaliki sana

  • @lameckraphael3743
    @lameckraphael3743 11 місяців тому +1

    Kaka daa ukwel toka nikufatilie hakka naona viongozi wa africa wanadeni kubwa kwa wananchi wao kwa n usalit dhid ya maisha ya waafricaa

  • @aby.beka1630
    @aby.beka1630 11 місяців тому +1

    unatujuz meng san tusoyajua asant sn broo~

  • @Dokson5817
    @Dokson5817 11 місяців тому +1

    Dj smaa long live endelea kutupa chai y’a moto. Alaf kaka mkubwa achana n’a hawo wanaotaka utafsri neno kwa neo

  • @lonsman
    @lonsman 11 місяців тому +1

    Watching from Nairobi, Kenya

  • @maubusiness2409
    @maubusiness2409 11 місяців тому +1

    Nipo Dar es salaam nakufatilia sana mimi Maulidi Adam Mrisho

  • @charlesgabriel4918
    @charlesgabriel4918 11 місяців тому +3

    Bro upo vizuri,wanasema ukitaka kujua mtu mwenye akili,ni pale tu anapoanza kuongea,bro una akili pana sanaa na hii uwa ni talent kutoka kwa mungu tu, bro una kipaji na ume barikiwa, ata wanao kupinga awawezi,hao siku zote uwa wapo, ni kama kina lisu enzi za jpm,leo wanataka kutembea mlemle,.bora mungu akunyime ,,,,, akupe akili..wenye kukupinga hata 23% ya akili awana,wasubilikufuata mkumbo tu kwa baba zao wanao wapa ef 10, na kuwa badisha akili,wasipo pinga watafukuzwa

  • @zaitunifamao7777
    @zaitunifamao7777 11 місяців тому +1

    proud of you Sns

  • @hatungimanajamali
    @hatungimanajamali 11 місяців тому +2

    DJ sma tupe madini nakukubali sana

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo 11 місяців тому +1

    Dj Sma👍

  • @ABDULCOSTA
    @ABDULCOSTA 4 дні тому

    Dj, Sma achana na hao wajinga wachache wasio na fikra zao wenyewe, kwa sisi wenye akili timamu tunakuelewa vizuri sana, "well done! And be blessed. We are together with you!

  • @oscarmangwangwa3865
    @oscarmangwangwa3865 11 місяців тому +1

    Kamanda chapa kazi achqna naazuzu, Elimisha jamii.

  • @user-yk7ff9ks6q
    @user-yk7ff9ks6q 11 місяців тому +2

    Waafrika tuamke tunatumika kuua viongozi wetu

  • @ibrahimkitumbo3761
    @ibrahimkitumbo3761 11 місяців тому +1

    Bro tunakuelewa sana mungu akubaliki

  • @danielmjinja2033
    @danielmjinja2033 8 місяців тому

    Mkuu ungejikita kutoa simulizi, hizi za kuchamba wanaokuchallenge zinaboa wasikilizaji makini. Pia elewa mtu mwingine hii ndo video yake ya kwanza kutoka kwako, so achana na habari za kuconect na stories za nyuma. Asante.

  • @user-js2fs2lv2h
    @user-js2fs2lv2h 11 місяців тому +1

    😢😢😢 inaumasana

  • @IzzahBoe-to8ng
    @IzzahBoe-to8ng 11 місяців тому +1

    🦅🦅🦅

  • @niyongendakosamuel858
    @niyongendakosamuel858 11 місяців тому +1

    SA🇿🇦

  • @abuubaya7614
    @abuubaya7614 11 місяців тому +1

    💥💥💯

  • @IrineJulius
    @IrineJulius 11 місяців тому +2

    Dj sma wasikukatishe tamaa hao anti fuse hawana lolote na hawajui wanachokifanya halafu labdahao wanatumiwa na France

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 11 місяців тому +1

    DJ S achana na watanzaniya hata mungu anajuwa kawaumba ni watu mbumbumbu hata ukiwaambiya nini hawaelewi wameenda shule lakini hamna kitu kazi uhasidi na maneno mengi ya ujanja na utapeli hilo wamejaliwa

  • @maulidrehani
    @maulidrehani 11 місяців тому +1

    Bro tunaokufuatilia na kuenjoy makala zako ni wengi hao wasiojielewa achana nao boss

  • @issaabdi9129
    @issaabdi9129 11 місяців тому +1

    Huyo mzee aliemgeuka qadaff yy mwenyewe maisha ameshakula. Nani amuone saa hii labda anaokota mikebe huko tripol.

  • @isikesamike
    @isikesamike 11 місяців тому +1

    R. I. P. The Legend Gaddafi