Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MUAMMAR GADDAFI: Mkuu wa Ujasusi wa UFARANSA asimulia walivyomgeuka - Na DJ Sma
Вставка
- Опубліковано 5 сер 2024
- Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Dj smaaaa mungu akulinde miaka 1,000. Achna na hao ma untfuse cause hauwajuwi tu hata usingewajibu sasa nakuambia hao ni mashoga na manyangau meusi (wanazi weusi) hivyo wanateseka kuona bosi wa mashoga wote duniani Biden (marekani) anachezea za mbavu so piga chini ngombe hao wanatupotezea time endelea leta fact tunakuelewa asilimia 99.9%
😂😂
Asalam Mwalykum, Dj smaa, asante kwakutehelimisha, naomba na kipindi ka Mobutu wa Zaïre
DJ SMA Ubarikiwe sana. Makala yako huwa nayapakua na kuyapichaka kwenye flash disk ili niwe nayafuatilia muda wote maana unatoa elimu kubwa sana.
Gaddafi always in my heart I cried that day I remember I was so young I kept his pictures in my laptop up to today 😢
Binafsi huwa naumia kuona viongozi wetu wa kiafrika wanavyojipendekeza kwa wazungu wakati wanajua kabisa kwamba wao hawana rafiki wa kweli bali masilahi binafsi
Brother tunakushukuru kwa kutuchambuliya habari nzuri sana tuna faika na malezo yako mimi natoka Oman
DJ sma no1 from 🇧🇮👊 nakupenda san nakutakia maishamalefu nakuombeaushi myakabuku 1000❤❤❤
DJ Sma wafanya kazi nzuri sana. Nafatilia toka Kenya
Bruh keep it up sana. Sisibinadamu tupo wagumu kuelewa endelea nakutupea ukweli love from Kansas 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 let’s goooooooo kk mku
DJ SMA maneno ya hao protestors yasitupeleke tuweke kwenye reli vijana wa taifa la sasa tuje kujenga afrika yetu bora❤
Waalekum musalam bro
Aka bachuchu Mombasa 001
🇰🇪🔥🇰🇪🔥🇰🇪🔥
Nakusikiliza sana from Spain. Kazi safi sana. Uchambuzi mzuri yakinifu. Salute
R.i.peace Gaddafi, watching n listening from Bahrain.❤
Kazi nzuri Jumaa,, hawa wanaoandika vitabu vya historia za maisha wanaboa kweli,, unajuta then unauza kitabu
Sorry bro Kenya tunakupta loud and clear may Allah give strength and God bless u bro💪💪💪🙏🙏
Mr facts DJ sma thanks 🙏👍 🇲🇱
Hakuna nguvu yoyote ya binadamu itaangusha maamuzi ya mungu gadafi kwa sasa huenda anakula matunda yake peponi just imajin pia kwa sadam hussein naye the same and then kwa sasa walibya wako kwenye majuto makubwa sana tusubiri mda utaongea dj sma big up sna coz fact zimenyooka but home work tulitee stori ya kweli ya kifo cha mkwawa je ni kweli alijinyonga au aliuwawa na wa jerumani maana kuna pure history na impure history hatujui ipi ni ukweli pia tunataka kujua ni kweli mirambo jina la kweli ni issa au ndo udini mwingi search it
Ebeana Saudi yako kama hussein bashe waziri wa kilimo😂😂 I love your contents tho my guy keep up the good work we together on this journey
Ongera sana mwamba nimekubali sana nakupata toka US
Big up Sana bro KAZI nzuri endelea nalo achana na vibaraka ambao wataka kukuvuruga
Bro hii niliiona iliniuma sana kama mzalendo wa Africa
Niko na Wachina hapa wanamlilia Gadhaf
Dj smaa achana na anti fyuz niwa puuzi hata uki mpa kitu gani bora hawezi jua samani yake nakupa mauwa yako kazi nzuri good job
Safi sn,achana nao hao wazushi.kazi nzuri kwa kweli.
Bro,naelimika sana kupitia makala zako.
Nimeweza kuwajua viongozi wetu wa Kiafrika na Wazungu.
Ubarikiwe sana.
Saport from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Mimi najiuliza sipati majibu ivi viongozi wa africa atakama ni viziwi atapicha hawaoni inauma sana yani 😢😢
Kaka viongozi wetu tulisha wapa mamlaka,wanajari familia zao na ndugu zao
Maamuuzi ya viongozi wetu yanatoka Amerika Afrika bado hatujapata uhuru.
Viongozi wa kuramba wazungu matako
Ndio Afrika yetu, unayo tetea.
Afrika bado sana.
Sio Mrusi, Mmarekani na wazungu kwa ujumla.
Wapo kimaslahi.
❤ djsma inaumiza kichwaa na mtu au watu wanao kusumbua Sana sisi Africa ni wanafiki kukosoa kazi nzuri waende kwenye chanel za udaku wajitafute huko huku kazi ya kukutumia hela ya bando
I support you very much with your research and translate of many controlvential issues
All the way from Mozambique
Dj sma🔥🔥💐💐
I am your Huge fan now
Dj Sma Gaddafi wa muwaa nato; mimi moçambique
I was watching this malema's speech today😢😢
Asante ustadh smaaaaa ❤❤🎉🎉🎉🎉
Hawa majamaa hawafai hata kubaki katika dunia yaleyo coz fitna yao nimbaya sanaa Allah mrehem kiongozi alijitoa kuisaidia afrika kwamoyo moja kwa kweli ❤
DJ Sma wafanya kazi nzuri sana unazidi kuwafunguwa watu macho
DJ Smaa kunawatu watakubali unalolisema siku ukifaa hivi bado unapumua watapinga tu kuna mtu mmoja alikua anampinga sana Magufuli enzi za utawala wake lakini juzi hapa nimesikia anamsifia na kumpongeza
ivi unasomaga izi coment lakn? We endelea kusimulia tu achana na watu wanaolalama , siku zote huwez kuungwa mkono na kila mtu
Daaa! Mungu tunusilu waafrica
Dj Smaa❤❤❤❤ achana na hawa vichwa vigumu kuelewa kwan wanafata nini kwenye makala yako kama wakiskliza wanaumia,,kwan siwaskilize contents nyingne mbona zipo nying sana
Malema namuelewa sana
Nakukunali💯👏
My broo usikate tamaa kwa wapuuzi manao jiona wanajua
Hao wanaosema video Ile ya waziri toka Italia wajinga tu dj smaa God bless you am from Moshi kilimanjaro
🎉kaka dj smaaaa upewe mauwa yako Mimi ni John kutoka buza kwasasa Niko pande za sinza uku job kaka Asante kwakutuelemisha kaka ongera sana kaka
Dj smaaaaaaaaaaa nakutakia maisha marefuuuuuuuu
Go go go go djSmaa
HOOO GOD THIS PEOPLE AS DONE A LOT IN AFRICA. AFRIKA KWAPAMOJA TUNAWEZA KUBADILI UUWAJI WAKIKATILI KWAWENGINE ASANTE KAKA MIMI NA FWATILIA KUTOKA CONGO 🇨🇩 DRC
Wakina nani wanakusumbua ??? Dj wetu tuwa peleke🔥🔥
DJ Sma nakubali sana binafsi naona viongozi wetu wengi wa Afrika ni wanafiki si wakweli kabisa na hawasimami kwa niaba ya raia wake bali kwa masilahi yao na masilahi ya wazungu ili tu wawalindie siri zao
Dj SMA we andaa content, hao jamaa ant fuse tuachie sisi, maana wengi washapulizia zile perfume alizokamata mh. Mwakyembe
Kaka hao wengine Wana wivu na kipaji chako,Basi usiwe una Wataja unawapa mairege za bure wa kaushie big up na kukubali maokoto Yana kuja
Mm niko Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Watakuerewa siku moja Africa
Dj smaa wewe ni mtu sana kaka Allah akupe umri mrefu uendelee kutupa madini from Mwanza nakupata vyema
💯🔥🔥🔥👏
Mwamba tunakuelewa achana nao hao wagaigai from 🇬🇧
Asante kaka
From znz unguja
Angalia sahiii wanavyo teseka walio muuuwa..watu wa mungu hawauwawi😢😢😢😢
Sitaki kuwalaumu sna viongozi wa Africa shida ni sisi wa Africa sisi ndio tunauwa viongozi wetu wengi ni wanafki.
Panama 🇵🇦
Dj smaa sis tunakuelewa asi kuelewa usimueleweshe but Allah akupe afya njema ili uzidi kutupa Habari
Bro mi nasemaga wewe ndo Mkuu wetu wa kikosi nakukubali sana
Dj sma,pamoja sana tunakukubali sana mashabiki zako, usitumie muda mwingi kuwa defend vichwa vigum Sisi twende mbele
DJ smaa Huna Baya kaka🖤🖤🖤🖤💪🏿
Good good brother ❤❤🇧🇮
Barikiwa sana Dj sma,endelea kutuelimisha
Kaka mbona unapenda kulalama? We songa mbele tunakuelewa wanaosema kinyume chako achana nao kwani kila kitu kwenye hii dunia kina changamoto zake, lakini pia ili ufike mbali zaidi lazima ukutane na upinzani wa aina fulani, "either kukosolewa kutukanwa n.k." na ukiona kitu chochote unachokifanya hakina changamoto yeyote, basi achana nayo kwa sababu inawezekana sio chenyewe au hakifiki mbali ndio maana hakina upinzani wa aina wowote. Hivyo Mimi ninakushauri songa mbele tu acha kusikiliza wakatisha tamaa kwani ndio muundo wa dunia ulivyo. Mbali na hilo binafsi mm nakuelewa sana nipo kasulu-kigoma.
Point sana hii sijui km amesoma yaan me binafsi huwa napenda anachokifanya ila ananiboa mara nyingi analalama hadi inakuw inaboa😮 ashushe nondo tu watu tutoe comments zetu kulingana na mitazamo yetu
Uko vzr
zako tia maji, all the way from singida
It's your tech Dj Sma.
Fuse is the brain banger🔥💪🏾🙌🏾
🔥🔥
Myaka mingi sana Dj
Mm Dominick kutoka Rukwa mungu akubaliki sana
Kaka daa ukwel toka nikufatilie hakka naona viongozi wa africa wanadeni kubwa kwa wananchi wao kwa n usalit dhid ya maisha ya waafricaa
unatujuz meng san tusoyajua asant sn broo~
Dj smaa long live endelea kutupa chai y’a moto. Alaf kaka mkubwa achana n’a hawo wanaotaka utafsri neno kwa neo
Watching from Nairobi, Kenya
Nipo Dar es salaam nakufatilia sana mimi Maulidi Adam Mrisho
Bro upo vizuri,wanasema ukitaka kujua mtu mwenye akili,ni pale tu anapoanza kuongea,bro una akili pana sanaa na hii uwa ni talent kutoka kwa mungu tu, bro una kipaji na ume barikiwa, ata wanao kupinga awawezi,hao siku zote uwa wapo, ni kama kina lisu enzi za jpm,leo wanataka kutembea mlemle,.bora mungu akunyime ,,,,, akupe akili..wenye kukupinga hata 23% ya akili awana,wasubilikufuata mkumbo tu kwa baba zao wanao wapa ef 10, na kuwa badisha akili,wasipo pinga watafukuzwa
proud of you Sns
DJ sma tupe madini nakukubali sana
Dj Sma👍
Dj, Sma achana na hao wajinga wachache wasio na fikra zao wenyewe, kwa sisi wenye akili timamu tunakuelewa vizuri sana, "well done! And be blessed. We are together with you!
Kamanda chapa kazi achqna naazuzu, Elimisha jamii.
Waafrika tuamke tunatumika kuua viongozi wetu
Bro tunakuelewa sana mungu akubaliki
Mkuu ungejikita kutoa simulizi, hizi za kuchamba wanaokuchallenge zinaboa wasikilizaji makini. Pia elewa mtu mwingine hii ndo video yake ya kwanza kutoka kwako, so achana na habari za kuconect na stories za nyuma. Asante.
😢😢😢 inaumasana
🦅🦅🦅
SA🇿🇦
💥💥💯
Dj sma wasikukatishe tamaa hao anti fuse hawana lolote na hawajui wanachokifanya halafu labdahao wanatumiwa na France
DJ S achana na watanzaniya hata mungu anajuwa kawaumba ni watu mbumbumbu hata ukiwaambiya nini hawaelewi wameenda shule lakini hamna kitu kazi uhasidi na maneno mengi ya ujanja na utapeli hilo wamejaliwa
Bro tunaokufuatilia na kuenjoy makala zako ni wengi hao wasiojielewa achana nao boss
Huyo mzee aliemgeuka qadaff yy mwenyewe maisha ameshakula. Nani amuone saa hii labda anaokota mikebe huko tripol.
R. I. P. The Legend Gaddafi