BRAZILIAN CARNIVAL: Tamasha lenye MATENDO ya kumdhihaki MUNGU, kweli wameadhibiwa? Gharika yashuka
Вставка
- Опубліковано 22 бер 2023
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Sijui muaandaaji wa hii simulizi imani yako ni ipi ila kwa waumini hilo linawezekana kabisa. Kuna nyakati M/Mungu huwa anaturudi kwa matendo yetu mabaya. Kinachotakiwa ni kujifunza sio kusema eti ni upotoshaji. Duniani tunajisahau na tumezidi kufanya maovu yanayomkasirisha muumba, anatuadhibu kwa kila hali ila tumekuwa vipofu. Allah atupe tafakuri njema. Ameen.
Kwel kabisa
Kuna siku inakuja na isiojulikana Hasira za Mungu zitazidi na ataiharibu Dunia baada y’a bibi harusi wake kuchukuliwa . Dunia ita agamia. Jitahidi we bibi harusi🙏🏿🙏🏿
Believer ❤️
Great story 🙌🏼🙌🏼 keep shining Bundala… Mimi naomba unishike mkono nifanye kipindi cha michezo plz 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Mungu ni mmoja nauwezo wake nimkubwa...
Subhanallah mungu tusahe sisi waja wako hatujui tunapo erekea 😭
SNS you guys are very active. Hongereni sana🔥
Frank Ranchimen anajitahidi Sana'a pongezi kwake kwa kazi nzuri #bundara umetisha kwa iyo sauti ....#SnS pongezi kwenu
Huku ndiko kunafanya nafuatilia SNS. 360° Great insights Sky.
Sns you’re the best , endeleeni Kutoa taarifa Za ukweli na Za kina
والله المستعان adhabu haiko mbali kwa madhwalimu
Asanteni sana SNS , niliomba makala hii katika comment yangu moja. Big up kutimiza uzalendo wenu.
Sky ww ni teacher asiewahi kutokea Dunia hiiapa👏👏👏
Courage vraiment famille SNS FAMILY Sky
🙏 Allah tupe mwisho mwema mbona huu atari sana
Kakahii ikowazikabisa hawawatu wanamdhihaki mungu kiakilituu yaubinadam ukiangaliahili tamasha wamedhiaki diniyakikristu achawalipie kwailo
Niliisubir sana hii Kaka bundara hongera sana kwa Kaz nzur😍🤝
Imana ikumpere umugisha 🙏🏾🙏🏾 Sky love you soooo much from France 😘❤️
bite se
Chany ! Namahoro iyooo
Sio upotoshaji kwasababu São Paulo nao walikuwa wanajiandaa kumdhihaki Mungu tena / Mungu amewaonesha tu nini anaweza kufanya
Very true
Mafuriko hayahusian na iyo Carnival. Mbona juzi Israel wametaka kupinga mahubiri ya ukristo hawajapata majanga?
@@herikaniugu Kwa hivyo walipata kufanya tamasha la kumthihaki Mungu
@@markangel1588 swali zuuri
Ujinga uo
Kwa ufahamu wangu (Huenda sio mkubwa) Mungu alishaahidi kutoiteketeza tena Dunia baada ya Gharika la Nuhu. Hivyo naamini hili ghalika halihusiani na Carnival. Japo hua sisaport dhihaka dhidi ya Imani nyingine.
Pili naamini utendaji kazi wa Mungu haupo katika kisasi au majibu ya papo kwa hapo. Kuna sehemu nyingi kwasasa yanafanyika maovu na madhambi mengi Na wanaoyafanya hatuwaoni wakidhurika kivyovyote.
Na Kuna sehem Majanga yanatokea na hakuna maovu kiasi cha kusema wamestahili adhabu.
So tuwaombee wanaBrasil Wapite salama kwenye hiki kipindi kigumu kwao.
thank you my brother sky nilikuwa na hisubiri sana hii
Was waiting for this here at SNS, now I can listen
Me 2
And me also
Moo
Lo
Omo
Mo
Mom Iou
Mm ni mfatiliqje mzuri sana wa channel yako ila kama unani disappoint, kaseme ufunuo wa yohana utaelewa kwanini
Finally nilikua naisubiri hii habari hapa sns
Ahsante sana Frank Lachman na Mr Bundala
Wame azibiwa sawasawa kabisa hiyo mvuwa haikukuwa ya mchezo
Nadhani mnaongelea mitazamo ya watu wenye matokeo ya imani fulani. Mungu hakasiliki kwakua wewe umefanya hivi au vile. Mnachukua mungu kama kiumbe
Dalili za mwsho wa dunia 😭😭😭
Very true
Nani aliekwambia mwisho WA dunia unakuja kizembe hivyo?
Itaisha lini dunia kwani tarehe ishaatangazwa?
Tunajua wabrazil wanapenda starehe lakin wangefanya kiutofauti sio kwa kumpinga mungu 😢😢😢
Sky 🙌 u are the best
Thank you Bro sky
jiulizeni kitu kimoja Wana sns.... kwanini hii habari haijawa kubwa? ni kweli camera hazijatazama? itoshe kusema ulimwengu huu unaagenda maalum; na ndio maana kutwa story ni ushoga tu na ushenzi, MUNGU atusimamie Dunia ndo imefika ukingoni tufanyeni sana ibada Jamani maisha mafupi sana....
Leo ukiambiwa hadithia maisha yako hata uliwa hodari utaelezea Kwa dakika 3 na hapo wewe ni fasaha.
Swadakta kak, tumrudie mola wetu na tusimamishe swala
Kweli kbs
Hapa sasa nimepata uhakika kama haya mambo ni ya ukweli,Mungu tujalie mwisho mwema
Tukiwaambia Yesu ni Mungu watu hawataki sasa wamemdhihaki kawaonyesha nguvu zake na shetani waliyedhani ana nguvu kashindwa kutia mguu mbele ya gadhabu ya Yesu kristo
Subhanallah
❤
Jamani Mungu aliwapa warning waka puuzia na walianza kumdhihaki na nvua ilianza small small wanawake kucheza it was just demonic event ile ya blasphemy against Jesus Christ was so painful, hasira ita waka very soon we are in end time ⏲️
Dalili za mwanzo wa dunia 🥺🙂
Tumepigwa na msimuliaji. Ko tetemeko la huko uturuki nako kulikuwa na carnival?
👏
Umejarbu kubalans stor kadr ya uwezo wako umefanya Taft Kwa kadr ya uwezo wako ila Kuna ambao watasema huna Iman lakin mim naona upo kazn
Nilikua naisubr hii mno asante sky
Mungu tusamehe wanaadamu tumekiuka maadili yako na kutenda dhambi bila kuogopa 😢
😢😢😢😢😢😢
duuuu mhh hii ni balaa
Nilikuwa nasubiri kutoka kwako, nashukuru
Kama ville😊😊
Watuwajuwe mungu joametu umba❤😂
Rio Carnaval is another form of pagan festival in modern time.
Bado Halloween liwakute jambo
Dalili za Mwisho hizi wanadamu wamejisahau sana acha ghalika liwapate tu maana ndio siku hiyohiyo Tamasha lilikuwa lifanyike
Sikuwa najua jambo hili kiundani zaidi ya kuona tu clip kwenye mitandao asante sana SNS hakika nyie ni bora.
Cha ajabu ni kwamba Mambo ya Mungu na mambo ya shetani yote yanafanywa ni watu, wanaofurahi kudhihaki ni watu, wanaochukia dhihaka ni watu. Mungu na Shetani wametulia zao wanainjoi movie inayoendelea 😅
Nisikiza mwisho Mungu utupemwisho mwema
Sky my big brodher kaka naomba utuletee simulizi ya kutekwa kwa ndege ya air tanzania mwaka 1980 nakuomba kaka ifanye iyo stori
Mungu wetu huwa hadhihakiwi soma historia ya watu waliomthihaki mungu walikufa tuuuu
Mungu alihukumu dhambi ktk Kristo Yesu...hawez piga watu tena...
@@johnthomonline297 acha kujidanganya ww
@@kassimrajabu7805 Bila shaka wewe ni muslim na mimi ni mkristo kabla hatujafika mbali tayari tunao utafauti mkubwa wa kiimani..kuna jinsi unavyoamini Mungu ni tofauti na mimi...
@@johnthomonline297 kwahiyo ww unatenda dhambi ukiamini dhambi zako anazo Yesu au sio?!
@@johnthomonline297 kakaa
Karma is real
Yani nyinyi mungu munamfanyia zihaka eeh heeeh aya
😓😓😓
SNS 🔥🔥🔥🥰🥰❤️
heshima kwako jombaaa,,,,
walipata cha moto
What would Jesus say?
papa sns
Mungu anaupendo nakula mtu na nirafiki pia kwa kilamtu lakini hasira yake, eeeeeeeeh unaweza kusema Nani kaniloga kumbe ni wewe mwenyewe na matendo yako blazilian wamekipata chamoto yani mtu ajitoe kwakunia nzima, alafu uje umletee tharau, this is bad, very bad Acha Mungu aitwe Mungu katika hili
Sky 🌌 How did you know if not God 😢 …?
Jamaniiii Mungu anatisha walitoa wapi huu ujasiri?😢
End of the world 😢
Bro sky zunguka huko na kule kile walichokifanya ni hasira za Mungu japo hakuna ushahidi mambo ya Mungu au shetani hayana ushahidi lakini hao wapo
Ushahidi upo mku na umejaa tele fwatilia
We muandishi kwahiyo unawatetea?mungu hazihakisi
Ufu 13:6 SUV
Akafunua kinywa chake amtukane Mungu, na kulitukana jina lake, na maskani yake, nao wakaao mbinguni.
thank god the devil is lier karma was good for theme
Hawa jamaa watengwe 😅
Unachokikwepa hapo ni yesu alidhiakiwa vibaya hapo umemzungamzia yesu na shetani, unapingana na kilichotokea ilikuwa ni dhiaka kubwa ausemi ivyo kwasababu ametajwa yesu? Akuna Jambo lolote unaweza kusema kuwa tamasha ilo ilikuwa ni dhiaka,lakini kaeni mkielewa wamepigwa kwasababu Mungu anasema usijifanyie sanamu n.k....!! Ilo ni pigo Mungu kwasababu walipewa taarifa kabla ya tukio ilo.
Ni Kweli Wamepigwa We Ulitaka Uhakika Gani Acha Walipe
Alitaka ushuke wahayi ndio aone kweli ni adhabu kw matendo yao! Ni sehemu ya kutojielewa kw kweli, inasikitisha... Eti upotoshaji!😏
Huyu ni atakuwa ni Devil worshiper
Kaka fanya Kazi sana kuwa kama Ebuka from Nigeria end Dj sbu from South Africa please Fanya story kwa inchiii masikini utafatiliwa sana Mfano Burundi 🇧🇮 marawi rwanda 🇷🇼
Wewe, nawe Rwanda 🇷🇼 Rwandan wanahuwa watu kila siku congo sasa unataka wasemwe kwa lipi? Ebu tuache bwana,Burundi,Rwanda,na Uganda awana umuhimu kabisa 🤮
Kwanini auja sema Tanzania Kwani Tanzania ni inchii tajiri ?
@@marievalence92 unaongea mambo usiyeyajua hata hujui politics unaongea ongea tu
@@marievalence92 we Mbuzi nini ukome kusema kama Burundi na Rwanda hawana umuhimu we kikojozi umjo suuuuuuuuuu Makamasi yanjano wewe na ukome kabixa ukomazike
@@jojo-ne3oy. Inakuhuzi eeeeh yote hao niyenu mnakula sana damu ya wa congo siku moja itawatoka puani🖕
Nimependa msimulizi alivyopangilia makala yake
Bro sky hivi na lile tamasha la Jamaica Carnival linamaana gani
Jmn na Indonesia Bali, wanafanya kama hvo 😢
Napenda habar zko but kw hili sky umekosea unaeleza zaid nadharia za kufikirika kuliko uhalisia wa macho kilichoona
Unaona kabisa kilichofanyw ni utukuzo wa shetan na ni dhambi kubw ila bado unalificha kw kisingizio cha utamadun bro hapa umekosea
Wewe mtangazaji hauna mda mrefu
Pigaaaa haooooo..waasheratii..pigaaaa...😏😏.
Ilo ni onyo tu
Kwaiyo watu wanataka fidia ya nn badala watafute namna ya kufuta iyo tamasha wanataka fidia kwan wameongea na yesu akawambia wachkue fidia
Kufuta iyo tamasha ndo inatakiwa sio kuwaza pesa tu
Hizi habarii niliziona mda mrefuu sn mtandaoni ila sasa nilikuwa naisubiriii sna apa Sns .. Yan nikuwa napata moto kinyaama vp mbn hamuipigiii daaa. Sas apa Saf ndo naamin ni kweli... . Ila na nyie mmechelewa San😔
Sio upotoshaji ndio MUNGU amewaadhibu kwa hilo tamasha ambalo walikuwa wanalianda
Tuliokua tunaisubir hapa sns tujuane
So kama Jambo hilo ni udanganyifu ninyi kama Wana SNS mbona hamuja gusiya au kugusia swala LA sanamu Ile ya yesu kuunguwa kwa moto au radi za mbinguni na hilo jee?
Sky kaishiwa story hajaipangilia vizuri
😭😭😭😭
Acha kudanganya watu na wewe acha kumdhihaki MUNGU
Nilivyosikiliza tu nimejua we uko upande gani
wakristo na waislam wamekua waokota vijimambo yaani mafuriko na namajanga yaasili mbona kawaida juzi tuhapa tetemeko limeharibu turkey iran nakwingineko hapo mungu alimaanisha nini?
Watu wakiambiwa mwisho w dunia huo hawaamin
uhuru ukizidi watu hufanya vitu vya ajabu
Sasa nawe umejaribu kubalance story.
Sio kwa Mungu.Mwenyenzi Mungu ameumba kila kitu kilichomo haitaji kubalance story.
Tuseme Sala ya Yesu
"Baba yetu uliye mbinguni,jina lako litukuzwe,ufalme wako uje,Ameeen na sala inaendelea.
Mbona apa Arusha yametokea mafuriko ya hatali na kusababisha maafa je wao nao wamemdhiaki Mungu ? Kuna nchi apa duniani zinafungisha ndoa za njisia moja mbona nchi zao ziko shwari mi nafikili ni maafa kama maafa mengine coz kuna sehemu kama uturuki , Indonesia majanga na baadhi ya maeneo yanatokea majanga wala hatujawai kusema kuwa dini imedhiakiwa
Kaka umejisahau sana tena sana kuiweka khabar hii tukio la mda mrefu mno walilipoti leo
Ww uko sawa kwli
@@jamilfuad6847 dada angu soma zaidi ya mara tatu utaelewa namaanisha kachelewa sana kuiweka hii khabar habar ni ya mda mrefu sana tukio lina wiki mbili toka limetokea
@@tarickmpemba6007 Sasa wiki mbili ndo kachelewa? Habari silazima uiandae alafu ndo atuletee sisi uwezi kurusha habari ambazo siyo zaukweli
@@ismailykazumal kaka bas taarifa ya khabar isingesomwa kwa wakat yale matukio kama ww waona hivo
Ilo ni onyo tu ila hukumu Yao ipo
Mungu hataniwi,stupid people.
Hii ni miezi ya mvua hapa são Paulo wala haina chochote kuhusu ushetani kkkkkkk
Aya
Sao paulo y bongo😂😂😂
Imefika mahali kama content sijaipata SNS basi siielewi
Mwana sns unatupotoshaaa
Unapotoshwa vipi kama una cm kubwa ni bora kufanya research ingia mtandaoni ukikosa njoo ukoment so unakataa kiwaki taarifa zipo Tena karibia wiki 2 zimepita
Mpuuzi we
Khaaaaa hv hujui Kama hiki kitu n kwel😅