MBUNGE MPINA AYATIMBA BUNGENI - SPIKA TULIA AMPELEKA KAMATI ya MAADILI - AKALIA KUTI KAVU...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 43

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 місяці тому

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 4 місяці тому +3

    Nonsense, CCM ni janga la taifa namba moja.

  • @CharlesMaganga-ju3re
    @CharlesMaganga-ju3re 4 місяці тому +2

    Mpina yuko sawa

  • @JovenaryNduka
    @JovenaryNduka 4 місяці тому

    Mimi binafsi mh mpina Nampa heko mungu ampe maono zaidi naona ndie mbunge no 1 tanzania

  • @DavidMMKing
    @DavidMMKing 4 місяці тому +1

    Upuuzi wenu tu la muhimu ushaidi ni wa kweli mambo ya kufuata utaratibu wenu mliojiwekea kulindana hauna maana. Mnataka kufichiana siri na kulindana. Mpina katoa ushaidi na ni ushaidi wa kweli sasa kelele za nini. Hati kamvunjia heshima spika na Bunge. Bunge lina heshima kwa kufanya mambo yanayoleta heshima. Bunge lenu haliheshimiki maana limejaa upuuzi mwingi. Watanzania hawakuhitaji Mpina ili waliheshimu Bunge, hata bila Mpina hilo Bunge lenu halina maana na halitoheshimika, mnapitisha na kujadili uozo mwingi. Bunge lifutwe maana hii ni kupoteza hela ya umma ati mnahitaji posho, wizi tu!!

  • @fadhilyassin5772
    @fadhilyassin5772 4 місяці тому +1

    Asante kwa hekima spika tunasubir J3 hio

  • @mahengedaktari-ek8go
    @mahengedaktari-ek8go 4 місяці тому +5

    Sisi kama wananchi tuna imani naye mpina maana alisoma nyaraka

  • @oscartalljembemgonya3528
    @oscartalljembemgonya3528 4 місяці тому +1

    mh Pina Yuko pamoja na wananchi mpaka kieleweke, Pina oyeeeeh.

  • @luganoharuna4217
    @luganoharuna4217 4 місяці тому

    Kwa iyo ushaidi hauna kazi tena ukienda kwa waandishi Habari

  • @ruthsimon5846
    @ruthsimon5846 4 місяці тому

    Natamani mwanangu awe kama Tulia Acksone!

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py 4 місяці тому

    Tatizo ya nchi hii sheria ni mbovu sana ndo mana wanajiona miungu watu

  • @georgeotete8970
    @georgeotete8970 3 місяці тому

    Wananchi wanasimama na mpina

  • @herijaphet
    @herijaphet 4 місяці тому

    Halafu Mpina unamuandama Bashe kwa lipi mzee. Mbona Bashe hana baya. Mtu kazi sana. Au kuna nn hapo mbona km unapambana na mpambanaji?
    Mwache Bashe achape kazi. Mwamba anajua

    • @kaismwambona9860
      @kaismwambona9860 4 місяці тому

      Ukweli bashe mtu kazi Sana, tunamfahamu inawezekana mara hii alishindwa kuwakwaza majirani nje ya wizara,

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 4 місяці тому

    Hilo bunge lenu ovyo sana bila mpina hakuna bunge

  • @DavidMMKing
    @DavidMMKing 4 місяці тому

    Hilo Bunge lenu limejaa wezi wala hamna maana yoyote. Bunge lifutwe tu!!

  • @nyabendasayumwe8514
    @nyabendasayumwe8514 3 місяці тому

    Huyu mama nayeye ni mpiga dili

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 4 місяці тому +1

    😂😂😂🤣🤣🤣🤣 wachumia matumbo kazi mnayo. Nonsense

  • @pancrasflahisha7155
    @pancrasflahisha7155 4 місяці тому +1

    Mpina MTU na Nusu APEWE ulinzi 😅🎉

  • @MasanjaLucas-jf9cg
    @MasanjaLucas-jf9cg 4 місяці тому

    Nadhani haki itatendeka kote...

  • @jeshikambanyuma8
    @jeshikambanyuma8 4 місяці тому

    Yaani haya yenyewe kilakitu nikushangilia tu lakini spika huyu alisema yeye hataipinga selikali kwahiyo mpina yukopamoja na wananhi spika yeye yukona selikali lazima mpina ahalasiwe tuu iliwakina mwigulu wauzenhi vizuli jamani MUNGU akutangulie mpina kwakujitoa kwaajili ya wananhi

  • @Samwelianaseti
    @Samwelianaseti 4 місяці тому

    😂 siku zote mtu anayesema ukweli hawezi kupendwa

  • @jeshikambanyuma8
    @jeshikambanyuma8 4 місяці тому

    Unajua hiinchi niyakwetu wote mimi hatakama ni ccm siwezikukubali ujingahuu unaoendelea kwakweli selikali hii kamaimetuloga wananchi kilakitu nikusifia tuu kwakweli ila??

  • @GidionBukwimba
    @GidionBukwimba 4 місяці тому

    Trulia acson wewe nimiongoni mwamafisadi

  • @Visiona897
    @Visiona897 4 місяці тому

    Mbona Mpina haoenekani hapa bungeni? Ila mpina ni jembe aisee, naona amewakaba kooni mafisadi wanatapa tapa!

  • @mussamakame3650
    @mussamakame3650 4 місяці тому

    Huyu sialiomba aletewe ushahidi?

  • @Salummichael
    @Salummichael 4 місяці тому

    Wana chi tuna vumilia ushahidi kamaupo uzingatiwe kama uongo bac mbunge mpina alijipanga

  • @nshoyachacha3497
    @nshoyachacha3497 4 місяці тому

    Mpina alisoma baadhi ya receipts za mamlaka mbali mabali. Pamoja na chuki anazoweza akawa nazo dhidi ya waziri lakini baadhi ya hoja zake zina mashiko

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 4 місяці тому

    Hawezi kutoka nje kuongea au kuliambia bunge bila kuwa na ushahid vipi wakati wa escrow na richimondi ilikuwa kama hivi lakini mpaka leo kuna watu hawajawahi kuchukuliwa hatua

  • @georgeotete8970
    @georgeotete8970 3 місяці тому

    Hauna lolote huwezi kumuadhibu mbunge mwenzako kwa interest yako Tambua kila kitu kina mwisho na one day na wewe utafika tamati

  • @augustinopanga9622
    @augustinopanga9622 4 місяці тому

    Dogo Kalikoroga😂

  • @Nkonyololuchana
    @Nkonyololuchana 4 місяці тому

    Bunge la hovyo na la kijinga sana, kazi kulinda wezi na kuwahujumu wananchi

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 4 місяці тому

    Mpina anaonekana kuwa na chuki binafsi awe mwangalifu anaweza kupewa hata ushahidi usio yeye akaona sawa kumbe katoswa

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 4 місяці тому

      Mpina hana chuki binafsi. Mpina ni mbunge Ana haki ya kuwaeleza watanzania ukweli. Mpina Anahitaji support na sio lawama. Kwa kawaida viongozi wanao sema ukweli huchukiwa.

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 4 місяці тому

    Apuuzwe tu. Kanuni anazijua, amechagua kuzivunja kwa ajili ya political advantages

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 4 місяці тому

    Tunaelekea uchaguzi...Mpina anataka kujizolea "u popularity" ili iwe chachu katika mustakabari wake kisiasa jimboni ingawa yeye ni popular tayari. Anataka public attention imsaidie kwenye uchaguzi.

  • @mahengedaktari-ek8go
    @mahengedaktari-ek8go 4 місяці тому

    Katumwa nakikundi chawahuni wenye ccm yao

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 4 місяці тому

    Mpina wasikuyumbishe tuko pamoja na wewe

  • @abdirizakhtuke2882
    @abdirizakhtuke2882 4 місяці тому

    Akatafute kazi nyingine ya kufanya.😂😂

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 4 місяці тому

      Amechagukiwa na watanzania. Wewe ni nani kumwambie akatafute kazi ya kufanya. Tanzania sio mali yako

    • @mayanmlingwa4250
      @mayanmlingwa4250 4 місяці тому

      Mkila mkashiba na kuhongwa vocha Huwa akili zinawatoka,,,kenge

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 4 місяці тому

    Mpina Raid hajao