Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Upuuzi wenu tu la muhimu ushaidi ni wa kweli mambo ya kufuata utaratibu wenu mliojiwekea kulindana hauna maana. Mnataka kufichiana siri na kulindana. Mpina katoa ushaidi na ni ushaidi wa kweli sasa kelele za nini. Hati kamvunjia heshima spika na Bunge. Bunge lina heshima kwa kufanya mambo yanayoleta heshima. Bunge lenu haliheshimiki maana limejaa upuuzi mwingi. Watanzania hawakuhitaji Mpina ili waliheshimu Bunge, hata bila Mpina hilo Bunge lenu halina maana na halitoheshimika, mnapitisha na kujadili uozo mwingi. Bunge lifutwe maana hii ni kupoteza hela ya umma ati mnahitaji posho, wizi tu!!
Halafu Mpina unamuandama Bashe kwa lipi mzee. Mbona Bashe hana baya. Mtu kazi sana. Au kuna nn hapo mbona km unapambana na mpambanaji? Mwache Bashe achape kazi. Mwamba anajua
Yaani haya yenyewe kilakitu nikushangilia tu lakini spika huyu alisema yeye hataipinga selikali kwahiyo mpina yukopamoja na wananhi spika yeye yukona selikali lazima mpina ahalasiwe tuu iliwakina mwigulu wauzenhi vizuli jamani MUNGU akutangulie mpina kwakujitoa kwaajili ya wananhi
Hawezi kutoka nje kuongea au kuliambia bunge bila kuwa na ushahid vipi wakati wa escrow na richimondi ilikuwa kama hivi lakini mpaka leo kuna watu hawajawahi kuchukuliwa hatua
Mpina hana chuki binafsi. Mpina ni mbunge Ana haki ya kuwaeleza watanzania ukweli. Mpina Anahitaji support na sio lawama. Kwa kawaida viongozi wanao sema ukweli huchukiwa.
Tunaelekea uchaguzi...Mpina anataka kujizolea "u popularity" ili iwe chachu katika mustakabari wake kisiasa jimboni ingawa yeye ni popular tayari. Anataka public attention imsaidie kwenye uchaguzi.
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Nonsense, CCM ni janga la taifa namba moja.
Mpina yuko sawa
Mimi binafsi mh mpina Nampa heko mungu ampe maono zaidi naona ndie mbunge no 1 tanzania
Upuuzi wenu tu la muhimu ushaidi ni wa kweli mambo ya kufuata utaratibu wenu mliojiwekea kulindana hauna maana. Mnataka kufichiana siri na kulindana. Mpina katoa ushaidi na ni ushaidi wa kweli sasa kelele za nini. Hati kamvunjia heshima spika na Bunge. Bunge lina heshima kwa kufanya mambo yanayoleta heshima. Bunge lenu haliheshimiki maana limejaa upuuzi mwingi. Watanzania hawakuhitaji Mpina ili waliheshimu Bunge, hata bila Mpina hilo Bunge lenu halina maana na halitoheshimika, mnapitisha na kujadili uozo mwingi. Bunge lifutwe maana hii ni kupoteza hela ya umma ati mnahitaji posho, wizi tu!!
Asante kwa hekima spika tunasubir J3 hio
Sisi kama wananchi tuna imani naye mpina maana alisoma nyaraka
mh Pina Yuko pamoja na wananchi mpaka kieleweke, Pina oyeeeeh.
Kwa iyo ushaidi hauna kazi tena ukienda kwa waandishi Habari
Natamani mwanangu awe kama Tulia Acksone!
Tatizo ya nchi hii sheria ni mbovu sana ndo mana wanajiona miungu watu
Wananchi wanasimama na mpina
Halafu Mpina unamuandama Bashe kwa lipi mzee. Mbona Bashe hana baya. Mtu kazi sana. Au kuna nn hapo mbona km unapambana na mpambanaji?
Mwache Bashe achape kazi. Mwamba anajua
Ukweli bashe mtu kazi Sana, tunamfahamu inawezekana mara hii alishindwa kuwakwaza majirani nje ya wizara,
Hilo bunge lenu ovyo sana bila mpina hakuna bunge
Hilo Bunge lenu limejaa wezi wala hamna maana yoyote. Bunge lifutwe tu!!
Huyu mama nayeye ni mpiga dili
😂😂😂🤣🤣🤣🤣 wachumia matumbo kazi mnayo. Nonsense
Mpina MTU na Nusu APEWE ulinzi 😅🎉
Nadhani haki itatendeka kote...
Yaani haya yenyewe kilakitu nikushangilia tu lakini spika huyu alisema yeye hataipinga selikali kwahiyo mpina yukopamoja na wananhi spika yeye yukona selikali lazima mpina ahalasiwe tuu iliwakina mwigulu wauzenhi vizuli jamani MUNGU akutangulie mpina kwakujitoa kwaajili ya wananhi
😂 siku zote mtu anayesema ukweli hawezi kupendwa
Unajua hiinchi niyakwetu wote mimi hatakama ni ccm siwezikukubali ujingahuu unaoendelea kwakweli selikali hii kamaimetuloga wananchi kilakitu nikusifia tuu kwakweli ila??
Trulia acson wewe nimiongoni mwamafisadi
Mbona Mpina haoenekani hapa bungeni? Ila mpina ni jembe aisee, naona amewakaba kooni mafisadi wanatapa tapa!
Huyu sialiomba aletewe ushahidi?
Wana chi tuna vumilia ushahidi kamaupo uzingatiwe kama uongo bac mbunge mpina alijipanga
Mpina alisoma baadhi ya receipts za mamlaka mbali mabali. Pamoja na chuki anazoweza akawa nazo dhidi ya waziri lakini baadhi ya hoja zake zina mashiko
Hawezi kutoka nje kuongea au kuliambia bunge bila kuwa na ushahid vipi wakati wa escrow na richimondi ilikuwa kama hivi lakini mpaka leo kuna watu hawajawahi kuchukuliwa hatua
Hauna lolote huwezi kumuadhibu mbunge mwenzako kwa interest yako Tambua kila kitu kina mwisho na one day na wewe utafika tamati
Dogo Kalikoroga😂
Bunge la hovyo na la kijinga sana, kazi kulinda wezi na kuwahujumu wananchi
Mpina anaonekana kuwa na chuki binafsi awe mwangalifu anaweza kupewa hata ushahidi usio yeye akaona sawa kumbe katoswa
Mpina hana chuki binafsi. Mpina ni mbunge Ana haki ya kuwaeleza watanzania ukweli. Mpina Anahitaji support na sio lawama. Kwa kawaida viongozi wanao sema ukweli huchukiwa.
Apuuzwe tu. Kanuni anazijua, amechagua kuzivunja kwa ajili ya political advantages
Tunaelekea uchaguzi...Mpina anataka kujizolea "u popularity" ili iwe chachu katika mustakabari wake kisiasa jimboni ingawa yeye ni popular tayari. Anataka public attention imsaidie kwenye uchaguzi.
Katumwa nakikundi chawahuni wenye ccm yao
Mpina wasikuyumbishe tuko pamoja na wewe
Akatafute kazi nyingine ya kufanya.😂😂
Amechagukiwa na watanzania. Wewe ni nani kumwambie akatafute kazi ya kufanya. Tanzania sio mali yako
Mkila mkashiba na kuhongwa vocha Huwa akili zinawatoka,,,kenge
Mpina Raid hajao