Haya makosa ya kibinadamu yanasaidia yanga kuwa bingwa .Katika ngao ya jamii yalifanyika pia. Tukubali unazi wa usimba na uyanga ni kubwa kwa marefa.bora katika derby na katika ligi pia waajiriwe marefa wenye ueledi wasaidie huku tukijenga ueledi wa refa wetu.
Hizo penalty mbili kama zingetolewa zilikuwa na red card kwa sababu waliomchezea kibu Faulo wote walikuwa na njano hivyo hiyo ya hamza ingekuja wakati simba kashapata matokeo... Kwa kifupi marefa hatuna kwa sababu makosa ni mengii ya kuegemea upande mmoja kuonyesha ni kufuata maelekezo
Shafii Dauda ni kosa kutetea refa amekuwa akifanya makosa mara kwa mara ambaye anashindwa kutafsiri sheria 17 za football. Kayoko amekuwa wa hovyo ni nini anajifunza kutokana na makosa anayofanya na critisim anazooewa muda sasa. Yaani makosa yote yote aliyoyofanya juzi ni ya kibinadamu, siyo kwamba mchezo ulimshinda? Pili GOAL LINE TECHNOLOGY ndio ililetwa baada ya goli la Lampard kukatatlwa sio VAR, kuna matatu umesahau, umedanganya au hujui?VAR imekuja miaka 4 iliyopita goal line technology nimekuja baada ya 2020.VAR mpaka sasa ulaya bado inawasumbua.
Makosa yapi ya kibnadamu?angalien rekod ya huyu kayoko mech za smba,mwaka Jana krumba na Azam alitunyima penat ya Waz hata kipofu angetoa hyo penat,msimtete kabsa huyu mbwa anastahil adhabu Kali sana
Shafii Dauda ni kosa kutetea refa amekuwa akifanya makosa mara kwa mara ambaye anashindwa kutafsiri sheria 17 za football. Kayoko amekuwa wa hovyo ni nini anajifunza kutokana na makosa anayofanya na critisim anazooewa muda sasa. Yaani makosa yote yote aliyoyofanya juzi ni ya kibinadamu, siyo kwamba mchezo ulimshinda? Pili GOAL LINE TECHNOLOGY ndio ililetwa baada ya goli la Lampard kukatatlwa sio VAR, kuna matatu umesahau, umedanganya au hujui?VAR imekuja miaka 4 iliyopita goal line technology nimekuja baada ya 2020.VAR mpaka sasa ulaya bado inawasumbua.
Uko vizuri, maneno yako ya kuelekea mwishoni ni somo kwa viongozi wasiojua nafasi wanazokalia. Kauli zao zina madhara sana
Yanga mnabebwa sana hamna timu hapo ni msaada wa refa kwa kwenda mbele
Mchambuzi upo vizuri sana. Pengine unawashaurije wazee wa simba baada ya kufungwa?
Safi kaka
Haya makosa ya kibinadamu yanasaidia yanga kuwa bingwa .Katika ngao ya jamii yalifanyika pia. Tukubali unazi wa usimba na uyanga ni kubwa kwa marefa.bora katika derby na katika ligi pia waajiriwe marefa wenye ueledi wasaidie huku tukijenga ueledi wa refa wetu.
Uyo ndio mchango'mbe wa cluds
Farawewe simba wanjitafuta
Acheni uchambuzi wa kishabiki
Well said Shaffih...
Well said
Shafii bonge moja la mchambuz nchini
Hizo penalty mbili kama zingetolewa zilikuwa na red card kwa sababu waliomchezea kibu Faulo wote walikuwa na njano hivyo hiyo ya hamza ingekuja wakati simba kashapata matokeo... Kwa kifupi marefa hatuna kwa sababu makosa ni mengii ya kuegemea upande mmoja kuonyesha ni kufuata maelekezo
Kwenye eneo la penati ndio ubinadamu unapokuwepo Ila nje ya penati Ubinadamu haupo
Wewe siku hizi umekuwa chawa tu
Kayoko hamna kitu pale.
Shafii Dauda ni kosa kutetea refa amekuwa akifanya makosa mara kwa mara ambaye anashindwa kutafsiri sheria 17 za football. Kayoko amekuwa wa hovyo ni nini anajifunza kutokana na makosa anayofanya na critisim anazooewa muda sasa. Yaani makosa yote yote aliyoyofanya juzi ni ya kibinadamu, siyo kwamba mchezo ulimshinda?
Pili GOAL LINE TECHNOLOGY ndio ililetwa baada ya goli la Lampard kukatatlwa sio VAR, kuna matatu umesahau, umedanganya au hujui?VAR imekuja miaka 4 iliyopita goal line technology nimekuja baada ya 2020.VAR mpaka sasa ulaya bado inawasumbua.
na pale inapowekwa adhabu kwa ajili ya waamuzi ubinaadamu unakuwa haupo? au huwa wanakuwa wanaonewa ?
Kolo sajiri wachezaji wazuri mmepigwa kiharali
Makosa yapi ya kibnadamu?angalien rekod ya huyu kayoko mech za smba,mwaka Jana krumba na Azam alitunyima penat ya Waz hata kipofu angetoa hyo penat,msimtete kabsa huyu mbwa anastahil adhabu Kali sana
Shafii wewe shida yako huwa ni mnafiki. Siku zote ukweli kwako ni jambo la ziada. Hivi hujui kwamba mpira wa Tanzania una makando kando?
Digala
Itachukuwa miaka miwili kwenda tena mkapa
Tangu sare ya 3-3 sijawahi kanyaga tena taifa kuangalia daby
Simba wanajitafuta?? Shafii nilijua unajua Mpira kumbe hakuna kituuu kabisaa.umeongea pumba kabisaa utopolo kabisaa wewee.
Shafi wewe nimjinga tuu unaleta uyanga kayoko na arajiga ni marefa wa yanga huo ndio ukweli
Makolo mshukuru hisani ya mwamuzi kutompa red card hamza mnge ng'oa viti
Uyu Kabla Sijamsikiliza Bila Shaka Lazima Aongee Utumbo Nimkongwe Ambae Hajui ingawa Jina lake Nikubwa
Shafii Dauda ni kosa kutetea refa amekuwa akifanya makosa mara kwa mara ambaye anashindwa kutafsiri sheria 17 za football. Kayoko amekuwa wa hovyo ni nini anajifunza kutokana na makosa anayofanya na critisim anazooewa muda sasa. Yaani makosa yote yote aliyoyofanya juzi ni ya kibinadamu, siyo kwamba mchezo ulimshinda?
Pili GOAL LINE TECHNOLOGY ndio ililetwa baada ya goli la Lampard kukatatlwa sio VAR, kuna matatu umesahau, umedanganya au hujui?VAR imekuja miaka 4 iliyopita goal line technology nimekuja baada ya 2020.VAR mpaka sasa ulaya bado inawasumbua.
Simba wanajitafuta?? Shafii nilijua unajua Mpira kumbe hakuna kituuu kabisaa.umeongea pumba kabisaa utopolo kabisaa wewee.
Kwa hyo na ww una amini mna timu imekamilika?? Mnajazwa na nyie mnajaa timu yenu bado sana Sema tu ina spirit ya kupambana