Amina mtumiahi wa mungu na mungu azidi kukufungua makuu zaidi na zaidi mtumishi kwakweli wanawake wengi wanaujasili sana na mungu azidi kukuzidishia uzima maana nakufatilia sana mtumishi ameen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Jambo dada mutumishi wa MUNGU nisawa unafanya kazi nzuri lakini unajambo moja umesahu mwanamuke asihutubu wala kutowa unabii bila kufunika kichwa ulitii neno hilo ili kazi isonge mbele zaidi Asante
@@zawadivumilia1752 MUNGU WANGU HAOGOPI NYWELE ZANGU NA NYWELE ZANGU NI UTUKUFU SIO NAJISI, HIVI KWA MAFUNDISHO YENU HAYO UNADHANI JICHO LA MUNGU LINAZUILIWA NA HIVYO VITAMBAA LISIONE NYWELE KITAMBAA NI VAZI TU HALIHUSIANI NA MTU KWENDA MBINGUNI,SIO LAZIMA USIKILIZE MAFUNDISHO YETU UNAWEZA KUFUATILIA YA WANAOAMINI VITAMBAA VITAWAPELEJA MBIBGUNI
Mungu nipe moyo wa nyisake mtumishi wako
Nimebarikiwa saaanaaa endelea tu mtumishi
Glory to Jesus Mungu akuweke l
Asante Mungu nimejifunza jambo.
Huwa nakupenda mama angu,Mungu akubariki sana
Happy birthday to Elvis mbarikiwa wa Bwana . Asante kwa mafundisho Mtumishi
Amina kabisa mm najiamini naweza na roho ya uchungu naikataa kwa jina la yesu mm ni mkubwa wa kubadilixha mambo
Mama natamani siku moja tuonane live
Barikiwa Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri nimebarikiwa
Amen.najiamini mm kama mwanamke ninaejuana na YESU.nabarikiwa nikiwa kenya
Amina sana mtu wa mungu
Amen nimebarikiwa sana, nimejengwa sana na mafundisho yako hakika Mungu akubariki sana mama,
Amina
Natiwa nguvu
Amina mtumiahi wa mungu na mungu azidi kukufungua makuu zaidi na zaidi mtumishi kwakweli wanawake wengi wanaujasili sana na mungu azidi kukuzidishia uzima maana nakufatilia sana mtumishi ameen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Ameeeni!!!!!!!!¡ mama nimebarikiwaa mno
Mchungaji unanisaidia binafsi
Ujumbe mzuri saana Mungu akubariki mchungaji
Jambo dada mutumishi wa MUNGU nisawa unafanya kazi nzuri lakini unajambo moja umesahu mwanamuke asihutubu wala kutowa unabii bila kufunika kichwa ulitii neno hilo ili kazi isonge mbele zaidi Asante
@@zawadivumilia1752 MUNGU WANGU HAOGOPI NYWELE ZANGU NA NYWELE ZANGU NI UTUKUFU SIO NAJISI, HIVI KWA MAFUNDISHO YENU HAYO UNADHANI JICHO LA MUNGU LINAZUILIWA NA HIVYO VITAMBAA LISIONE NYWELE KITAMBAA NI VAZI TU HALIHUSIANI NA MTU KWENDA MBINGUNI,SIO LAZIMA USIKILIZE MAFUNDISHO YETU UNAWEZA KUFUATILIA YA WANAOAMINI VITAMBAA VITAWAPELEJA MBIBGUNI
Ubarikiwe mama
@@nyisakechaula9433 thanks mama for good message
Uku mama ni njombe
Ndio mwanangu
Amina