HISTORIA USIYOIJUA JINSI MAREHEMU REMMY ONGALA ALIVYOKOKA KANISANI KWA ASKOFU GWAJIMA
Вставка
- Опубліковано 27 вер 2024
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Baba yangu gwajima.Mungu aendelee kukupa uzima na mafunuo zaidi
Glory to God, Glory to God. Ushuhuda unatia moyo kabisa wa kusonga mbeleee. Thank you Bishop JG. Tanzania Yote kwa YESU
Amini Hata katikati ya Waovu Hutoka Mambo Mema Hii ni kanuni ya MUNGU
kwakweli baba ni library ya maisha. mungu ashindi kukuinua pamoja na sisi you are our marking scheme 🇰🇪
Gwajima,pazeni,sauti zenu,,taifa,linaangamia,maarifa,yamekwisha,watuwanaabudu,vitambaa/Maji/,udongo/,Mafuta,Wamemusahau,Mungu
MUNGU AKUBARIKI sana Askofu J. Gwajima.
Mch Gwajima amenifanya niinuke upya kiroho kun vitu nilitaka kufanya nikaacha sasa nakiri ntafanya na ntafanya tena, nmejifunza meng sana
Ubarikiwe sana..
Usikate tamaa songa mbele
Ubarikiwe kwa kujifunza
Amen hata Mm pia ameniinua
Mungu akunze baba gwajima
Amina Baba. Mungu wa mbinguni yumo ndani yako. Tunsonga mbele kwa neno lako.mungu azidi kukupa nguvu zaidi na mamlaka ya juu sana kugeuza falume za dunia kuwa falme za mwanakondoo.
Hallelujah kwa ushuhuda huo wa jengo la baa hadi kanisa na kuokoa wengi kutoka kifo cha dhambi na kuwafanya watu wafike mbinguni salama.
Asante baba wa mataifa. Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 tunakupenda, na tunatarajia ujio wako ardhi hii.
Unanifanya niendelee kusimama katika kusudi la MUNGU
Haleluya baba yang ❤❤❤❤❤❤❤
Baba mungu akupe neema zaidi na matrio zaidi nimeamka kwa ushuda huu
Mapambo kwa wanawake ni tatizo kubwa sanaa.Watumishi mtadaiwa damu zao na mnajua ukweli wote
Mapambo wp ww mnakaa kuhukum watu et mapambo ko hutaki watu wajipambe
Kwahiyo wewe ujumbe woooooote umeona mapambo tuuuuu!!!!
Kila kanisa lina misingi yake msingi wako ni sawa na hiyo mingine pia ni sawa .kosa kutaka wengine wafanye na msingi wa kanisa lako
1Petro3:3, Mapambo, mapambo, mapambo, wanawake wengi wataingia motoni kwa sababu ya mapambo. nguo za kubana, makeup, makucha bandia, suruali za kike, , nguo fupi,nguo za mabega wazi na mtiti wazi, na wote wanaotetea mapambo bila kujua mnamtetea shetani, ni heri mtu anapozuia mapambo unyamaze kuliko kuunga mokono utapata hukumu ileile anayopata kahaba, BWANA YESU atusaidie. Mathayo18:7 Ole wao waletao mambo kukosesha.
Bishop Gwajima you are the best pastor!
Nimebarikiwa sana baba Mungu akutunze
Very powerful teaching
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na neno lako Mungu akutunze
Mungu akubariki, ujumbe umenipa booster nikiwa mwendoksi kivukoni-Kimara nikalichubguza eneo nilipofika ubongo
Mchungaji Ngwajima nafwata mafundisho miujiza ambayo Mungu anakutumikisha.Nakupenda.Mchungaji mwezako Jeremie From Glory of Christ/Rwanda
So powerful🙏🙌
jina la Yesu libarikiwe❤
Nakubali kunolewa katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth
The Testimony is very encouranging,God's our provider.
Amina Gwajima nabarikiwa sana na wew
The living testmony nime barikiwa
Amen baba yangu kusudi la Mungu litasimama imara kwenye kizazi changu Kwa jina la Yesu amen
Mchungaji hongera sana kwa ushuhuda wa lemi ongala kuokokea kanisani kwako
Nimekuelewa Sana mchungaji Gwajima
Amen Mungu akubariki mtumishi
Asante sana mtumishi kwahakika nimebarikiwa sana
Amina mtumishi kwa ushuhuda huu nimetiwa nguvu sana❤
Amen dady nakupenda
mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu
Amina, Mungu ni mwamunifu kwa yote, asante
Amina hallelujah
Mungu akubariki
Amina nakuelewa sana mzee
Ila nakumbuka mchungaj gwajima s alitaka kumfufua amina chifupa
Gwaji boyyyyyyyyy
Ushuhuda mzuri sana
Mungu wa mbinguni azidi kukutumia apendavyo
Mungu ni mwema
Mtumishi ubalikiwe sana.
GOD is good 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
This is very powerful testmony, pastor andika kitabu cha hii story
Amen
Amem gwajima
Napenda sana mafundisho yako
Barikiwa sana Dadii
Mungu ni mkuu
Kwakweli wewe ni hazina ya ajabu sana ubarikiwe baba
Asante Baba,
Ushuhuda wa kujenga sana huu
Mungu yupo jamani
Mvula ana sauti nzuri sana
Kweli kabisa kwa ushuhuda huo Mungu atuongoze wote Tz
Gwajima uko wapi bashite anavuluga inchi umekaa kimya mbinguni huendi ng.'o
Imagine mtu alihubiria mpaka kina Remmy halafu mtu ameanza huduma juzi na kufungua account utube ana mnena huyu masiah wa Mungu hua inaniuma kweli
Haleluyaaaaaa
Huko ulikoenda mungu amekuacha siasa ni mambo ya kidunia. Wacha polojo
Kwakwel nimebalikiwa sana
Ukweli muhimu
❤❤
Woow woow......huu ni ushuhuda wa vizazi na vizazi. Ubarikiwe sana sana kwa kushare huu ushuhuda kwakweli umeniinua.
Mungu akubariki sana na ni maombi yangu akupe hatua zaidi na zaidi. Wewe ni hazina kwa nchi yetu. Ubarikiwe sana
Hata mimi kichwa ngumu 😢 leo nimeelewa
Waumini wa hilo kanisa wana mihemko kama boss wao.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🕊️🔥
Baba Askofu siku gani Mungu wa ufufuo na uzima atakuruhusu uje Burundi?
Tengua kauli ulisema yule ni daudi alubeti bashite wakati jina lake ni makonda
Mahubiri haya nasikiliza mwanzo mwisho, ila ushuda mwingi na miujiza nasinzia
Mwaka gani
Mchungaji wetu
Haya ndio mafundisho ya kiroho
Penda sana pastor Gwajima
1994 makasi alikuwa ameshaokoka tayali apo umedanganya
Kemea mapambo kwa wanawake, kemea uvaaji wa kidunia, kemea mitindo ya kidunia ya unyoaji nywele, kemea makeup, kemea upakaji rangi kucha na midomo. Tafadhali onya na karipia, wengi wanaenda kuzimu ya moto kwa sababu ya Mambo hayo
Ni watu wa rohoni peke yao watakuelewa lkn hawa wa mwilini sijui
Very true many things are come from under the world
Sawa yesu
JASUSI LA MBINGUNI!UBARIKIWE SANA!KIUKWELI WEWE NI MTUMISHI WA TOFAUTI SANA.MUNGU AKUZIDISHE MARA ELFU NA ELFU.
BWANA AZIDI KUKUINUA
Ngwajima acha ubunge imetosha, roho zinakusubiri huku mtumishi
Yote iyo ni kazi ya mungu mpendwa
Mungu akulinde Tanzania iwe ya YESU
Aleluiaaaa
Askofu Gwajima Ana akili nyingi sanaa nikianza kumsikiliza huwa siwezi ishia njiani barikiwa sanaa na Yesu akupe umri mrefu utimize maono aliyowekeza ndani yko
Tuko kanisan tunapigiwa hadith 😢hivi tumesali tayar ama
Hadithi umeisikiliza toka rohon mtu wa Mungu
Aliye na Mungu mwache TU usimzuie barabarani
Ukiwa unataka kuomba pesa Je 😂😂😂😂 tupige simu
😅akaenda akamuomba MUNGU PESA AKAMPA 😂😂
Sasa Cha ajjabu nini au kwa akili zako umefikilia zililushwa zikaanguka. Tumia ufahamu Mungu analeta pesa kupitia watu
Tukiingia ktk chaneli hizi, tunawakumbusheni tu, enyi wanawake mnaodhani kuwa mnaenda Mbinguni na mawigi yenu na mapambo ya kishetani. Ni kwamba mapambo yanawapeleka motoni. 1Petro 3:3, alafu wachungaji hawasemi. Wanawaacheni muingie motoni na makeup zeni, amkeni YESU anarudi mtaachwa.
Wachungaji wengi wanataka sadaka hawapendi kuponya roho za waumini
Hata hizi simu tunazotumia zitatupeleka motoni
1 Petro 3
3 Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;
1 Petro 3
4 bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.
5 Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao.
Tuombe roho mtakatifu aweze kutusaidia kuelewa maandiko na kuyatafsiri tunapoyasoma
Bwana yesu Asifiwe
😂😂😂❤
Hii ya kudaiwa unapatikana ninakubalianana wewe
Hawa wapentecoste bhana😂
Wamefanya nn ndugu
😅😅😅❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇺🇬🇰🇪
Amen Mungu akubariki mtumishi
The pastor of this generation....knowledgeable and anointed.
Amen
Amen
Wapumbavu ndio watamsikiliza pimbi huyu.
Mbona hajamfufua mwendazake jiwe la magufuli aliyempendelea kwenye ubunge.
Ana laana kuu huyu msukuma.
Mungu akusamehe saana ndugu yangu hujuw usemalo
Huwa namaliza bando bila kujuta Kwa huyu mwamba
Mungu azidi kukutumia.
Yani mchungaji gwajima nayapenda sana mahubiri yako na shuhuda zako natamani tuwe na TV ya ufufuo na uzima
Mbona hajamfufua mwendazake jiwe magufuli
@@MilloWamilonga-ft8irHauna ufahamu wowote juu ya Mungu
@@fidonifidel Ni kweli kabsa haelewi anachokisema hana ufahamu wowote wa Mungu.