KUMBE INAWEZEKANA MTU AKAPITIA MATATIZO MENGI NA BADO AKAISHIA KUFANIKIWA? | ASKOFU GWAJIMA
Вставка
- Опубліковано 27 жов 2024
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Hata nizunguke makanisa elfu na elfu kwangu wewe bishop Gwajima utabaki kuwa baba wa kiroho kwangu daima na nakupenda sana baba.
ITOSHE KUSEMA GWAJIMA YUKO NA AKILI SANA.
Nimepokea, nakuombea kwa BWANA, Mungu wa mbinguni uzidi kuwa hodari katika BWANA na katika uweza wake katika jina la Yesu Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.
Asante MUNGU kwa ujumbe huu ndo maana ndugu zangu wa kuzaliwa pamoja wana vita sana nami mpaka kwenye uzao wa tumbo langu kumbe hatima niliyopewa na BWANA inawakwachuwa.
Nikweli Baba watuwengi wanasubiria anguko la wengine ila yaliyo andikwa kwangu yatafika . Amen
hakika baba kila ulichosema ni majibu yangu ya hatima , nimeandikwa chuoni mwa Bwana, na imekuwa kama nilivyoandikiwa. hakika Mungu anamtumia bishop Gwajima kusema na watu wake
Amen
Nakuelewa Sanaa mpaka Bass nitakuwa kama nilivyopangiwa kuwa wala hakuna cha kunizuia
Asante Bishop kwa neno lenye hekima ya hali ya juu. 👏🏽👏🏽🔥🔥
Amen baba mungu akubalki kwaneno zuri
Mimi niyule, niliadikiwa kuwa in Jesus name. UTUKUFU.
Preach man of GOD ❤️ 🙌 ❤❤❤
Kweli,
MUNGU amekutumia mtumishi kk unipa ujumbe huu ni vita visivyo vya kawaida hadi ndugu wa baba mmoja na mama wa mmoja
AMINA KUBWA
Praise God Bishop i can’t understand your language i’m lannie iwasa remember me here in Japan i’m waiting for you Amen
I can translate for you @kenko 1336
Kweli kabisa Dad
ndiyo
❤❤❤❤
🎉🎉🎉
Ila siyo Wote Mtumishi Josephati
Kama kuna jambo haujalielewa uniulize nami nitakusaidia fafanuzi.
Mimi nimemuelewa vizuri.
Wengi wao inakuwaga hivo
Ktk ila utakuwa umeandikiwa baba ulitaka kupiga kingereza
Wewe gwajima mbona unainjili ya kuigiza mbona unafanya mzaha na Sana wewe.eleweka acheni unafiki mtumikieni Mungu kwa moyo wa kweli
Yaani pepo amekuvamia nahubiri yote anayohubiri askofu gwajima unaona hayafai nyie gwajima ukimsikiliza.kuna.mabadiliko unapata kimwili na kiloho wewe pepo amekuvaa.unasemaje da
Kila mtu yuko huru kufanya anachopenda
Shindwa wewe RUDI NYUMA SHETANI WEWE
Fanya lakwako ulilotumwa na mungu wako acha kulazimisha watu wafanye unayowaza. Sio Mungu wewe
@@gracenyangusi6230 Mungu kawapa watu mamlaka ya kusema wakisema Mungu amesema ila kwao.waaminio msalaba ni nguvu wasioamini ni upuuzi ndo unakuta unawazarau wakina gwajima wakati biblia inawasifu kuwa Wana miguu mizuri wakina gwajima
AMEN
Amen
Amen