🅻🅸🆅🅴 : CCM WANA JAMBO LAO MUDA HUU/LITAKUSHANGAZA KUTOKEA DIAMOND JUBILEE....
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Mama kashazeeka mwengine mtu mwingine kijana mwenye nguvu hata kama ni mwanamke vijana wamakuwa wengi sana.
Ee Mungu tunasue kwenye mtego huu! Yani sehemu kubwa 75% wananchi hatuna hamu na hiki chama ila basi tu. Lakini haijalishi,kila madhabahu-kundi lina mipango yake katika ulimwengu wa roho upande wa giza bila kujali ubaya wake! Lakini lipo pia kundi-madhabahu za Mungu aliye hai zenye mrengo mzuri katika ulimwengu wa roho upande wa Nuru! Funguo zote za Mambo ya nyakati anazo Mungu mwenye nguvu na uwezo asiyetishwa na nguvu za damu na nyama,akisema amesema, lazima utawala wa dhuluma ufike mwisho si zaidi ya miaka 70 au kabla hata ujipange na majeshi yake,Mungu hajawahi kushindwa!
Umefanya utafiti?
Achatu ndugu yangu nikiangalia haya majamaa ya kijani nahisi kutapika
Majizi takataka ninyi!! Hamna lolote! Ila hii nchi mtaiangamiza hii nchi, ccm mmeishiwa sauti, uhalali na mvuto , kaeni pembeni kwa heshima!
Dp world oyee
Wezi wakubwa hawa sikipendi hiki chama mm jamani uwiiii😭
Gen z are watching
Chama kubwa la majambazi ya Taifa mtatumaliza maluhani ya ziwani
Njaa tu imempeleka ccm
Msimu wa usajili huu kwa walaji, kufuata uteuzi.😂
Aki ya mungu ikija pita chadema tafuteni mashimo mjifukie na mwakani lazima ipite wezi nyie
Acha uongo
Unaongea upuuzi tu majizi nyie