Ma sha Allah.... looks yummy dear🤤🤤🤤Ila Mimi nikitaka kupamba keki kuikata Kati ndio mitihani inakuwa juu chini haiwi level kama yako..nakosea wapi my?
Sijui nikushukuruje da mziwanda ..huu ni ushuhuda nimepamba keki ya kwanza kwa hii recipe yako na imetoka km zile za ulaya za instagram😂 Mungu akubariki sanaa.
Hongera sana
Napenda Sana ipo siku ntajua
Ahsante my dear ubarikiwe
Asantee sana Dada kwa darasa lako lilivyo bora na hutufichi kitu 😘😘
Ahsante kwa Somo pia kutupa moyo yaan kwenye kupamba nahenyeka
Ni kuhenya hasaa😂
Asante sana dear na ubarikiwe sana!
Tafadhali naomba recipe ya glaze mirror🙏🙏
Napendaa saana kazi zako
Wallah huyu mziwanda bakers ananifanya ninune oven kubwaa haswaa shukran ccy uzid kubarikiwa oven IPO karibu
💪💪kila la kheri dear
@@mziwandabakers8297 amiin amiin
Mashallah shukran dda mungu akulipe kwa kujitowa kufunza wezio amiin
Amiin my dear
Ahsante Sana kwa somo hili😍
That is awesome❤Next time make a video on how to bake a blackforest cake
Okay dear
Habar madam ,samahan nimenza kukufatilia katika mapishi ya keki,naomba kukuuliza icing sugar gram 500,natumia blue band kias Gan,?sòrry
Yr very good teacher me bichwa langu gumu but hapa naelewa saaaana shukurani mamii
Hahahaha 🤝
Cake kama hiyo ni bei gani
Naomba kuliza minikipika keki yangu mbona aichambuki
Ahahahaha....umenikumbusha mm nilipamba keki masaa 4, jasho lilinitokaa mpk nilitaka kukata tamaa...ila bado napambana....nina amini nitakuwa fit tu😃
Asante dada naomba kuuliza nikipika keki inakuwa laini Sana kiasi kwamba inakatika nakosea wapi au shda n nn
Punguza Margarine
@@mziwandabakers8297 asantee dada
Da mziwanda nachanga nini na nini kupta cream yenye rangi tofauti ambayo itafanana na hiyo ya chocolate ispokuwa rangi
Cocoa Powder
Napendaga sana unavyofundisha dada.hii coat ya pili yenye brown umeweka cocoa au choclate
Chocolate paste dear
@@mziwandabakers8297 okey.choclate paste kwa maana ipi tafadhali
dara still lipo dr na nishingap pia unatakiwa uwe na vifaaa gani muhimu
Shukran sana
Asante sana.naomba kuuliza nini kinasababisha ukitrim lakini ukianza kupaka awamu ya kwanza buttercream inatoka na chengachenga za keki?
Keki ni chenga chenga hivyo lazima zipukutike ndo sababu yakupakaa coat mbili mpaka tatu
Tuonyeshe hiyo chocolate my dia
Ahsante dada naomba kujua hiyo tin ji ya inch ngapi
Ni 7"
Madam samahani kwa kukuuliza ulichanganya nini kwenye buttercream ulipokuwa unapaka coat ya pili kwenye keki? Nisaidie
Chocolate paste ,pia waweza tumia coffee colour
@@mziwandabakers8297 asantee madam kwa ushauri nasaha
Ma sha Allah.... looks yummy dear🤤🤤🤤Ila Mimi nikitaka kupamba keki kuikata Kati ndio mitihani inakuwa juu chini haiwi level kama yako..nakosea wapi my?
Pendelea kuweka alama kabla ya kuikata itakuwa poa
Pia kana siku alisema unaweza kutumia skewers halafu kisu chako kikawa juu yake utanyoosha.mm nafanya hvyo pia and it works perfect kila mara
Kupamba keki kama hyo unatumia icing sugar kias gan??
1 box mpaka na nusu
Sijui nikushukuruje da mziwanda ..huu ni ushuhuda nimepamba keki ya kwanza kwa hii recipe yako na imetoka km zile za ulaya za instagram😂 Mungu akubariki sanaa.
Mbona za ulaya 😂😂,shukran sana na karibu
😍😍😍😍😍
❤
Dada nifanyaje ili cake yangu isiyayuke butter cream kwenye kusafirisha came
Jitahidi isikae kwenye joto na mitetemo mingi
Mpaka saiv napika keki nzuriii hatari kutoka mziwanda bakers ndo ujuz nimeupata huko ila Bado buttercream uwiiii
Kwani unashindwa wapi kwenye Butter,darasa lake umeliona?
@@mziwandabakers8297 aisee ccy sina
Usemi kila Mara nafatilia jins ulivyofundisha namna ya kuandaa buttercream lakini daaah
Shukran Sana'a habibty,!bt nlikua nauliza hivi hapo kwenye kuandika,ni mpaka hiyo chocolate igande ndo uandike?
Inapendeza Igande ndipo uandike
@@mziwandabakers8297 OK shukran dear....
Na kila cake umetengeneza kwa vipimo vya robo au nusu
😹😹 mm nilikesha napamba keki 😹😹 na ilitoka kitu cha ajabu hatari
Jamani ,endelea kujifunza
Dada na hy cake ya uzito wa gram hz unauzaje??
Hii ni 45,000
Tupe SoMo na Bei za keki plz
Na nilikuwa nauliza hiyo cake umetumia unga gm ngapi?
Unga 250g @
Oooh asante apo ndo inakua cake kg 1,na tin umetumia inch ngapi
Me mbn jana nimepamba cake na buttercream lkn imechuruzika nimekosea wp jmn?
Butter cream yako umeandaaje?
Habar eti cake ya icing inachukuwa siku ngapi kuharibika
Icing inaweza kukaa ata wiki mbili mpaka mwezi kinachoharibika ni keki sio icing
Ccy hiyo afazal nimeona hii hiyo chocolate ukiimwagia inakauka ama? Na inanunuliwa ikiwa hivyohivyo ama
Inanuliwa hivyo kisha tunayeyusha kama hivyo kwenye video
Inakauka vizuri na kung'aa
@@mziwandabakers8297 asantee nitaitafuta
Jee ni lazima kutia mafuta na yanasaidia nini katika chocolate
Ni muhimu ila sio lazima inasaidia kung'arisha na kuyeyusha kwa uzuri zaidi
@@mziwandabakers8297 oooh shukran sana maa
Hapo kwenye kukauka ukiweka kweny friji kunashda??
Vyema ikae wazi
Kwahiyo kuweka kwa friji xo vizur
Nauliza kwanini mtu akitaka kupamba keki paka Atie maji
Atie wapi?kwenye keki au Butter cream
@@mziwandabakers8297 Kwa keki wakati wa kuipamba
Wana weka maji huenda ni kavu sana
Ni cake za gram ngap??
Za unga gram 250 @
Asante sana kpnz ubarikiwe🙏
Asante sana dear na ubarikiwe sana!
Tafadhali naomba recipe ya glaze mirror🙏🙏
Sawa my dear😘