Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Madebe lidai is always da best.wacha kazi iendelee.wanaume runapitia masaibu hakuna wakukuhukumu ispokua mungu endelea kuibariki kazi yako
Mwenyez mungu akupe maisha malef ndug
Tunakupenda Sana madebe ...kazi nzuri love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Uko vizuri sana Kaka japo wanakuona Kama hufai kisa kutokaa na wanawake kwa sababu hawajui Siri iliyojificha juu ya ndoa na unaficha Siri kwa sababu ya hekima yako by nyanda minziku msanii wa nyimbo za asili Kanda ya ziwa
Tatizo nn wanakusema unaachana Wana wake sana kwann
Huyu jamaa ni msanii mzuri sana kwenye kuekti muvi na kwenye ndoa pia😮
Kazi nzuri sana mtufatilie na sisi jaman Giryama 003 arts film's
Uko vizuri ......wakuache ..watu wanapenda nyimbo za mapenzi za kijinga za mayusi za diamond wakat yeye mwenyewe mapenzi yalisha mkataaa
Sema madebe Anajua Sanaa kuigiza
Pata kitu kipya kwa madebe lidai twende kazi bwana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakukubali madebe kwa movie Kali upewe maua yako🇰🇪🇰🇪
🎉🎉 Hongera san kaka madebe kaz nzur kwer
Asante sana kaka niliisibir kwa hamu sana Mali ya ndimu
Kaka madebe biga kazi kaka wachana namaneno ya watu
Nakukubali kazi yako broo madebe nataman ck moja ningefanikiwa ata angalau kwenye sehemu moja wapo ya move yako kaka
Madebe much love from kenya
Me ckuping my brother from another mother a'm waiting it
Hauwezi kupendwa na wote kama pesa kaka nakkubali sana piga kazi
Iyo nyimbo Kali muwemnaiweka malakwamala nakisikia naona laha😮
♨️♨️♨️♨️🇿🇦🇿🇦🇿🇦 big up sana my favorite star ⭐ MBL
Naombeni namim kazi ya kuigiza jaman niko vizuri
Kazi nzuri nduguyangu hiyo
Heshima madebe nakukubali
Uyu dada alieimba hii nyimbo ongera sana❤❤
Nakubal saana madebe movie zako zinamafunzo mazuri🎉🎉
Kazi zako mzr madebe ilaa badilika kuchezea wanawake kilaa cku kuowa ukiacha unajishushia heshima yako yako kaka😢😢
Kwenda toa upuuz ww ujui kunyandua kama mm nampenda Sanaa Kinga kweli ww kama tunataka
Karibu tuongee😂😂😂😂
big up kazi nzuri sana
Nakubali kwa kazi zako, Amakweli hii Mali ya ndimu
Kubali kwa kazi zake lkn c kwakuleya famili
@@teedullah5708 wewe ndoa zina siri usiamini mtu
Madebe uko vizuri kwenye uongeaji
oya weeeh miendelezo chap mali andimu tamu big up madebe
Unastahili kuitwa nabii mu swahili 🎉🎉
Mov ie kali sana
Razu Moz mueda Kazi zako mzito bro ... Nenda mbele Kwa mbele no stop assante obrigado
Endeleaaa #Madebe juu sana
Nakukubali Sana matebe lakini umekosea sehemu Moja tu. Kuoaoa na kuacha. Leo watoto wanakutosha acha tamaa. Ni Mimi mkurya wa msongola.
Mi nakubali movie zako mambo ya kibinafsi hayanihuzu..
Nimepata notification jana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunakupenda bure madebe
Kaka huna kazi mbaya,Allah akujalie uzima na afya na gang yako yote mfike mbali
😂😂😂 kka big up sana sema sahv umetumia kibaragashia kizuri sio kama cha kwenye movie ya Inshallah
Big Up madebe lidai nabii kutoka bongo
The only Man creativity...
Kazi nzuri sana bro madebe wewe kiboko ndio maana wana taka kukuchafua big up sana
Umenena haswaa
In Sha Allah nd Mali ya Ndimu
Piga kazi madebe nakukubali
Aksante sana kwa hii ep ipo safi
Madebe nakukubali sanaa kaka ang ❤❤❤❤❤
Madebe bwana wayi jumaliza kazi bwana toka drc tuna kusoma vizuli sn hapa
Unatuonjesha kidogo sana madebe
Hacheni matusi, brother yangu Yuko fresh mno big up sana bro lidai
Hauna mbaya madebe big up sana
Kazi safi
Najua umesikia achatabia zako mbaya
filam ni bora sana
Jamani mambo yakifamiliya Yana Siri kubwa sikuzote usisikilize upande mmoja kwaio tusimuone madebe mbaya kwaku msikiliza chanuo
Makini sanaaaa
Waa madebe hapo hujafanya poa
Kazi nzuri kaka nataman na mm siku moja nishiriki kwenye movie zako
Jitayarishe kuwa mke wa madebr😂
Big up to NACHINGWEA LINDI.. JUMA KALANGA
naomba unibebe Madebe Lidai, mimi na kipaji
Karibu tuongee😂😂😂
Kaka haujawahi kufeli❤❤❤
Nakukubali mwamba inajua sana
Kaka siku zoote kizuri upingwa na wanadamu. Amini nakuambia endelea kutufunza juu ya filamu zako hat aliyetuumba bado tunampinga grow up my brother
Duuuh wey kweli kiboko kak madebe move iko sw ila sas mmbo yk unayo yafanya kwa mke noma sn
Tunaimani na mali media 🇨🇩
Wadau naomba mnijb apa hv Kati ya madebe na kicheche Nan mkar
Keep it up my brother you have talent 😅😅😅😅
Naisubiria ❤❤
Kwer hiiMALI YA NDIMU💯💯💯
Mwanzo mzuri Nabii Mswahili
Mashallah ❤❤
Amini katika mungu Kwan kuacha mwanamke hata imanizetu znaruhuxu kwan kunamitume waliwambia wano waache wanawake wasio jua wajibu wandoa yao
Eti karibu tuongeee
Safi sans mkuu
Watching from garissa kenya
Nabiii utumaliziye kwanza mdundo
Kanzi nnzuli sana madebe 💯💯💯
Good job madebe
Good song 🎵 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 MALI YA NDIMU
Madebe is the best❤❤❤❤❤❤
Always Good Job Madebe...Watching from Qatar ...Wacha tufate usemayo tusifuate utendayo
Madeb usha maliza ❤❤🇳🇦
Uko vizuri kaka🎉❤
Mwanngu pesa umetish
Big up Sana ❤ila tunasubiri muendelezo w mdundo pk sahii kweli😢😮
Nimekuona maria from keko
Chapa kazi kaka
Kazi nzuri ila tamthilia ya SHILINGI bado haijaisha ..... Mbona mwabadilisha jina eti PESA AU PENZI .......... Twataka SHILINGI jamani
My fav African actor
Jaman maisha yamtu hayaingilian na Kaz kama wake wenye wamejichetua mapenz achen tu
Madebe piga kaz hua nakubal kaz zko hata kama unaenda tofaut ktk ubinafsi wa ndoa ila mm nachoangalia mafunzo ya movie zko. Piga kaz madebe
Uyo anakuchafua msungoo uwioo
nzuri sana
Wasaba7❤❤❤🇧🇮
Kazi nzuri ❤❤❤
Waiting
Wewe angalia movie Kama Kuna mazuri anafundisha yafuate lakini ulazimishe eti anavoigiza Basi awe hivo hivo,vp angeigiza Kama jambazi napo
Dah Akili kubwa kaka
Nyie mnangalia mov mnafatilia maisha ya msani mbn kama wat wengn akili hamna
ume sema
Good progress keep it up brother kazi nzuri ❤❤
Iko vzr
Madebe lidai is always da best.wacha kazi iendelee.wanaume runapitia masaibu hakuna wakukuhukumu ispokua mungu endelea kuibariki kazi yako
Mwenyez mungu akupe maisha malef ndug
Tunakupenda Sana madebe ...kazi nzuri love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Uko vizuri sana Kaka japo wanakuona Kama hufai kisa kutokaa na wanawake kwa sababu hawajui Siri iliyojificha juu ya ndoa na unaficha Siri kwa sababu ya hekima yako by nyanda minziku msanii wa nyimbo za asili Kanda ya ziwa
Tatizo nn wanakusema unaachana Wana wake sana kwann
Huyu jamaa ni msanii mzuri sana kwenye kuekti muvi na kwenye ndoa pia😮
Kazi nzuri sana mtufatilie na sisi jaman Giryama 003 arts film's
Uko vizuri ......wakuache ..watu wanapenda nyimbo za mapenzi za kijinga za mayusi za diamond wakat yeye mwenyewe mapenzi yalisha mkataaa
Sema madebe Anajua Sanaa kuigiza
Pata kitu kipya kwa madebe lidai twende kazi bwana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakukubali madebe kwa movie Kali upewe maua yako🇰🇪🇰🇪
🎉🎉 Hongera san kaka madebe kaz nzur kwer
Asante sana kaka niliisibir kwa hamu sana Mali ya ndimu
Kaka madebe biga kazi kaka wachana namaneno ya watu
Nakukubali kazi yako broo madebe nataman ck moja ningefanikiwa ata angalau kwenye sehemu moja wapo ya move yako kaka
Madebe much love from kenya
Me ckuping my brother from another mother a'm waiting it
Hauwezi kupendwa na wote kama pesa kaka nakkubali sana piga kazi
Iyo nyimbo Kali muwemnaiweka malakwamala nakisikia naona laha😮
♨️♨️♨️♨️🇿🇦🇿🇦🇿🇦 big up sana my favorite star ⭐ MBL
Naombeni namim kazi ya kuigiza jaman niko vizuri
Kazi nzuri nduguyangu hiyo
Heshima madebe nakukubali
Uyu dada alieimba hii nyimbo ongera sana❤❤
Nakubal saana madebe movie zako zinamafunzo mazuri🎉🎉
Kazi zako mzr madebe ilaa badilika kuchezea wanawake kilaa cku kuowa ukiacha unajishushia heshima yako yako kaka😢😢
Kwenda toa upuuz ww ujui kunyandua kama mm nampenda Sanaa Kinga kweli ww kama tunataka
Karibu tuongee😂😂😂😂
big up kazi nzuri sana
Nakubali kwa kazi zako, Amakweli hii Mali ya ndimu
Kubali kwa kazi zake lkn c kwakuleya famili
@@teedullah5708 wewe ndoa zina siri usiamini mtu
Madebe uko vizuri kwenye uongeaji
oya weeeh miendelezo chap mali andimu tamu big up madebe
Unastahili kuitwa nabii mu swahili 🎉🎉
Mov ie kali sana
Razu Moz mueda Kazi zako mzito bro ... Nenda mbele Kwa mbele no stop assante obrigado
Endeleaaa #Madebe juu sana
Nakukubali Sana matebe lakini umekosea sehemu Moja tu. Kuoaoa na kuacha. Leo watoto wanakutosha acha tamaa. Ni Mimi mkurya wa msongola.
Mi nakubali movie zako mambo ya kibinafsi hayanihuzu..
Nimepata notification jana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunakupenda bure madebe
Kaka huna kazi mbaya,Allah akujalie uzima na afya na gang yako yote mfike mbali
😂😂😂 kka big up sana sema sahv umetumia kibaragashia kizuri sio kama cha kwenye movie ya Inshallah
Big Up madebe lidai nabii kutoka bongo
The only Man creativity...
Kazi nzuri sana bro madebe wewe kiboko ndio maana wana taka kukuchafua big up sana
Umenena haswaa
In Sha Allah nd Mali ya Ndimu
Piga kazi madebe nakukubali
Aksante sana kwa hii ep ipo safi
Madebe nakukubali sanaa kaka ang ❤❤❤❤❤
Madebe bwana wayi jumaliza kazi bwana toka drc tuna kusoma vizuli sn hapa
Unatuonjesha kidogo sana madebe
Hacheni matusi, brother yangu Yuko fresh mno big up sana bro lidai
Hauna mbaya madebe big up sana
Kazi safi
Najua umesikia achatabia zako mbaya
filam ni bora sana
Jamani mambo yakifamiliya Yana Siri kubwa sikuzote usisikilize upande mmoja kwaio tusimuone madebe mbaya kwaku msikiliza chanuo
Makini sanaaaa
Waa madebe hapo hujafanya poa
Kazi nzuri kaka nataman na mm siku moja nishiriki kwenye movie zako
Jitayarishe kuwa mke wa madebr😂
Big up to NACHINGWEA LINDI.. JUMA KALANGA
naomba unibebe Madebe Lidai, mimi na kipaji
Karibu tuongee😂😂😂
Kaka haujawahi kufeli❤❤❤
Nakukubali mwamba inajua sana
Kaka siku zoote kizuri upingwa na wanadamu. Amini nakuambia endelea kutufunza juu ya filamu zako hat aliyetuumba bado tunampinga grow up my brother
Duuuh wey kweli kiboko kak madebe move iko sw ila sas mmbo yk unayo yafanya kwa mke noma sn
Tunaimani na mali media 🇨🇩
Wadau naomba mnijb apa hv Kati ya madebe na kicheche Nan mkar
Keep it up my brother you have talent 😅😅😅😅
Naisubiria ❤❤
Kwer hii
MALI YA NDIMU💯💯💯
Mwanzo mzuri Nabii Mswahili
Mashallah ❤❤
Amini katika mungu Kwan kuacha mwanamke hata imanizetu znaruhuxu kwan kunamitume waliwambia wano waache wanawake wasio jua wajibu wandoa yao
Eti karibu tuongeee
Safi sans mkuu
Watching from garissa kenya
Nabiii utumaliziye kwanza mdundo
Kanzi nnzuli sana madebe 💯💯💯
Good job madebe
Good song 🎵 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 MALI YA NDIMU
Madebe is the best❤❤❤❤❤❤
Always Good Job Madebe...Watching from Qatar ...Wacha tufate usemayo tusifuate utendayo
Madeb usha maliza ❤❤🇳🇦
Uko vizuri kaka🎉❤
Mwanngu pesa umetish
Big up Sana ❤ila tunasubiri muendelezo w mdundo pk sahii kweli😢😮
Nimekuona maria from keko
Chapa kazi kaka
Kazi nzuri ila tamthilia ya SHILINGI bado haijaisha ..... Mbona mwabadilisha jina eti PESA AU PENZI .......... Twataka SHILINGI jamani
My fav African actor
Jaman maisha yamtu hayaingilian na Kaz kama wake wenye wamejichetua mapenz achen tu
Madebe piga kaz hua nakubal kaz zko hata kama unaenda tofaut ktk ubinafsi wa ndoa ila mm nachoangalia mafunzo ya movie zko. Piga kaz madebe
Uyo anakuchafua msungoo uwioo
nzuri sana
Wasaba7❤❤❤🇧🇮
Kazi nzuri ❤❤❤
Waiting
Wewe angalia movie Kama Kuna mazuri anafundisha yafuate lakini ulazimishe eti anavoigiza Basi awe hivo hivo,vp angeigiza Kama jambazi napo
Dah Akili kubwa kaka
Nyie mnangalia mov mnafatilia maisha ya msani mbn kama wat wengn akili hamna
ume sema
Good progress keep it up brother kazi nzuri ❤❤
Iko vzr