BBC WAMEONYESHA JINSI MANYANG'AU WANAVYOMUOGOPA TRAORE WANAMUONA MTU HATARI KWAO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 48

  • @faraho-n8b
    @faraho-n8b 10 днів тому +8

    Mungu akulinde raisi wetu wa Africa

  • @YusuphZuberi-l2s
    @YusuphZuberi-l2s 10 днів тому +6

    ❤ napenda sana kaka uchambuzi wako hivi hujaa vitabu

  • @Sarah-e1o9k
    @Sarah-e1o9k 10 днів тому +7

    ❤❤❤❤tunamuomba mungu azidi kumlinda Ameen

  • @gervasemartin
    @gervasemartin 10 днів тому +4

    Ubarikiwe Sana kaka ISAYA Benson pambana Sana kuwajuza waafrika wasiojitambua waamke wajitambue tuikomboe Africa 🌍, pia Magufuli alisema ukiona unashangiliwa Na Adui Rudi nyuma uone umekosea wapi, it's our time Africans to wake up

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 9 днів тому +1

    Viongozi Hawa tunatakiwa kuwaombea Dua kwa Mungu katika maisha ya kila siku.. Wazungu wanatuchukia sana Sisi Waafrica.. MUNGU IBARIKI DRC

  • @OfficialAkilinyingi
    @OfficialAkilinyingi 10 днів тому +3

    Mwalim Benson m nakuombea afiya njema uweze kutupa madin always 🎉🎉🎉🎉

  • @matrugnawangaeli4815
    @matrugnawangaeli4815 10 днів тому +1

    Mungu amlinde raisi wa Burkina- Faso. Shukran Mwalim, endeleeni kupiga kazi na Mungu awalinde Nanni pia. Viva Africa.

  • @monicasengamarwa
    @monicasengamarwa 9 днів тому

    Asante sana kaka Isaya kwa uchambuzi bora mno, Mungu akubariki,
    Ni kweli Africa tuna safari sana, ila tunahitaji ukombozi wa FIKRA😢😢😢

  • @monicasengamarwa
    @monicasengamarwa 9 днів тому +4

    Mungu amubariki Rais Ibrahim Traore, .

  • @AkimJacob
    @AkimJacob 10 днів тому +2

    HAWA BBC.. HAWANA JIPYA..
    Kwa saivi Waafrika Tumejielewaa Wale wazungu watateseka sanaa

  • @ramadhaniOsujacki
    @ramadhaniOsujacki 10 днів тому

    Mungu aendelee kumbariki sana mwamba wetu ibrahimu traore maana hatutaki 2kuwa sio kumwoogopa kwamba wamwasche na nchi yake wasitake chochote waje tu kwa nchi zetu waendelee kutunyonya ili ifike siku moja itokee na viongozi wetu kuona alicho fanya Ibrahim kwa kuwatimua imekuwa na manufaa kwa taifa hilo la bukinafaso

  • @monicasengamarwa
    @monicasengamarwa 9 днів тому +1

    Walitaka avae nini kiunoni badala ya bastora,.. Sijui hata wanataka nini😢😢😢.. Inauma sana,

  • @AmadeSalimoSalimo-gw8ij
    @AmadeSalimoSalimo-gw8ij 10 днів тому +1

    Ubarikiwe ISAYA🎉🎉🎉

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 10 днів тому +2

    The lion of afrika the new JPM in bukinabe iz back

  • @ImmaJulius-rg4yf
    @ImmaJulius-rg4yf 9 днів тому

    BBC washenzi sana wanapenda kutuvuruga Waafrika

  • @gervasemartin
    @gervasemartin 10 днів тому +3

    Wazungu WAPUMBAVU KWEL wanatuletea magonjwa wenyewe Na kujifanya kuleta misaada 😢😢😢😢😢😢 waondoke warudi kwao

  • @JamesNduwimana-ik1de
    @JamesNduwimana-ik1de 10 днів тому +1

    ❤❤❤ depuis le 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @fallykhan2383
    @fallykhan2383 10 днів тому +4

    Nimesikia kuwa sasahivi kifaransa sio lugha ya taifa uko kwa traole na pia haitambuliki kisheria🎉

  • @selemanikisalo5060
    @selemanikisalo5060 10 днів тому

    Umechambua vizuri sana

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 10 днів тому +1

    Asante mwl

  • @SailepuMollel-u5m
    @SailepuMollel-u5m 10 днів тому +2

    Mimi namuombea Mungu mwamba huyo wa Afrika Ibrahim traore mabeberu wa endelee kumuogopa sana

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 10 днів тому +2

    Nataman kuhamia bukinabe na andaa paspot together as one

    • @AbdulAbdulrahman-u7n
      @AbdulAbdulrahman-u7n 10 днів тому

      Huku Tanzania kingereza kimekuwa ndio lugha ya mbiguni haya kifaransa hakuna wnatangeneza magari nayanakuja mengi mazuri tumuombee INAITWA TAARIFA YA HABARI SIO HABARI YENYEWE WASHENZI WAZUNGU wameshatuchea Akili zetu muda mrefu sasa basi waondoke wasitupangie

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 10 днів тому +1

    Safi mwalimu 💚

  • @kennysabai5695
    @kennysabai5695 10 днів тому +2

    Hatari sana

  • @njikuhr1875
    @njikuhr1875 10 днів тому +2

    Wa kwanza

  • @JoyceAndason
    @JoyceAndason 5 днів тому

    Askari hawezi tembea bila siraha .Mungu naomba uwalinde vingozi

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 10 днів тому +1

    Sq
    Sana tuna tatizo kisaikoloji,. mkurugenzi wa BBCni mossad agent ndio maana hata mtangazaji zuhura walimtuma amkandie magu

  • @SteveMweu-n9b
    @SteveMweu-n9b 10 днів тому +1

    Sisi wa Africa tukosawa na Ibrahim traure wao wasiekuwa na uhusiona wowote na Africa diowanawashwa

  • @ManusuraWalumona
    @ManusuraWalumona 10 днів тому +2

    Mimi bwana nakufuata sana katika makala zako karibu zoote "ukuu wa muafrika"na wewe ni mwana "alkebulan"itafute hiyo ktk mtandao utaona tafsiri yake ni panafricanism"manyang'au walibadili hiloo jina wakaleta jina "afrika"

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 10 днів тому +2

    mambo yao yanawashindwa wanataka ku dill na sisi very funny

  • @RasuliKhamisi
    @RasuliKhamisi 10 днів тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AmranSeif-e4f
    @AmranSeif-e4f 10 днів тому +1

    Tuko na safari ndefu sana wa Africa

  • @kwaleboy6064
    @kwaleboy6064 10 днів тому +3

    Sasa huyo mbwa Ruto amefata nini kwa cover ya hii vidio .usiwai weka hii takataka kwa vidio za ukuu wa africa huyo ni kenge muuwaji na anaeiba mali ya wakenya

  • @monicasengamarwa
    @monicasengamarwa 9 днів тому

    Ni kweli manyang'au hawezi kumsifu mtu mweusi ila tu pale anapowasaliti wafrica wenzake.

  • @francismichael1258
    @francismichael1258 10 днів тому +3

    Alikuwa samora wa msumbiji

  • @AnzuruniMegare-pf
    @AnzuruniMegare-pf 10 днів тому

    BBC ni wanafiki. Wa Africa wanatakiwa kuwa mbali na bbc. Ni kituo chakupotosha watu wa Africa

  • @LoneWolf-ng8yg
    @LoneWolf-ng8yg 9 днів тому

    Mimi naona bbc wanajalibu kutafuta attention kwa vyombo vikubwa vya kijasusi iliwafanye mageuzi ya bukinabe

  • @selemanikisalo5060
    @selemanikisalo5060 10 днів тому

    Aliongea Ahmed Sekou Toure na Samora Machel

  • @RamazanJuma
    @RamazanJuma 10 днів тому +1

    Africa kweli ni mtihani mkubwa..
    Traore ni mwamba..Silaha wakibeba wao hakuna shida tuwajua hao manyang'au wanatumia media propaganda na sisi Africa hatuchekechi tunakurupuka..Africa lazima tuamke si ndio kama Mama hapo anataka asifiwe..Mtihani mkubwa

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie 10 днів тому

    Nisamola mashel

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 10 днів тому +1

    27 -1-2025 Ibrahim traole atakuwa Tanzania 🇹🇿

  • @LoneWolf-ng8yg
    @LoneWolf-ng8yg 9 днів тому

    Unajua kwa nini wazungu wanawai kutuiwa ni kwa sababu tunamuomba sana mungu na kumwachia mungu kila kitu(ujinga) tunasahau kutengeneza mikakati iliyo bora ili tujilinda na kuwalinda genius wetu ila tukiendelea kumwachia mungu ngoja uone kama tutatoboa😂

  • @JosephBidii-k6i
    @JosephBidii-k6i 10 днів тому +1

    #freeafrica

  • @AmranSeif-e4f
    @AmranSeif-e4f 10 днів тому +1

    Tuko na safari ndefu sana wa Africa