BWANA MAWAZO YAKO
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2024
- lirycs
Bwana Mawazo yako Yathamani sana kwangu
natamani sana nijue mafumbo ya Moyo wako
nikwabudu kwa Uzuri wa Utakatifu wako
Ndani ya Mbawa zako umenificha Adui asinione
Uliniahidi hautaniacha Mpaka mwisho wa dahari
Ooooh Ooo ooo Oooh
Bwana Mawazo yako Yathamani sana kwangu
natamani sana nijue mafumbo ya Moyo wako
nikwabudu kwa Uzuri wa Utakatifu wako
Naskia nguvu neno katika hii nyimbo hakika najazwa na hiii
This song blesses my soul so much...God bless you greatly man of God and your entire team
Upo vzr san Mungu akubaliki Sanaa
Barikiwa Sana
Hallelujah 🙏
I was blessed with your songs at Moi stadium Ksm today
Amen
Wonderful to God be all the glory
Ee, Mungu jina lako lihimidiwe milele 🙏🙏🙏🙏
Ameeen
Hatatuacha mpaka mwisho wa dahari 🔥🔥my God
Nikwabudu Kwa uzuri wa utakatifu wako my God c
😭😭😭
Be Blessed Brother 😢
Naona mafuta ndani yangu yakitiririka na kujaa ndani ya moyo wangu ,Mungu aendelee kukutumia Mtumixh
Amen hakika uinuliwe yesu milele
I always feel the presence The Spirit of prayer in your songs - MORE GRACE SIR
Aminaa.. huu wimbo baraka tele
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu,naomba lyrics za huu mwimbo😢,wanifariji sana na kutia nguvu za kuendeleza kusimama na kungojea Bwana mtenda miunjiza🙏😭
❤❤❤ Nabarikiwa sana na huduma yako natamani kuimba kama wewe
Mungu akubariki mtushi kwa wimbo mzuri wenye mguso kiroho
Wooooow am blessed 😊nikuabuduuu bwanaaa🙏
Powerful msg.
Kweli mawazo Yako Mungu kwangu ni ya dhamani sana😭😭
Ooh hallelujah utukufu una wewe
😭😭🙏 Mungu kweli mawazo yako kwangu ni ya dhamani sana 😭😭 my people from 🇰🇪🇰🇪 let's worship together 🙏🙏
Neema tele my mentor
Utukufu kwa Mungu juu mbinguni
Hakika Uvuvio wa roho Mtakatifu
Baraka sana
Barikiwa brother.
I'm blessed ❤❤❤❤
Nimebarikiwa sana
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hallelujah
Ameeeeeen
🙏🙏🙏🙏
Ameen 4:16 4:19
Bwana mawazo yako kwangu niya thamani Umenificha sana kwa utakatifu wako baba nimelia machozi ya furaha hallelluaaaaaaa
Ameeen❤
1:09
Mawazo yako ni ya thamani sana
Nikuabudu kwa uzuri wa utakatifu wako
Nimebarikiwa sana
Amen
Bwana mawazo yako kwangu niya thamani Umenificha sana kwa utakatifu wako baba nimelia machozi ya furaha hallelluaaaaaaa
Nimebarikiwa sana
Nimebarikiwa sana
Nimebarikiwa sana
Amen