AMA KWELI NIMESIKIA QASWEDA NYINGI NA NIMESIKIA SAUTI NZURI LAKINI HII SAUTI KIBOKO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024
  • ANGALIA NA WEWE UTAIPENDA

КОМЕНТАРІ • 143

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 6 років тому +5

    Subhannallah Allah atulinde maa haramu mwanamke kupaza sauti hivyo mbele ya wanaume

  • @saadsalum3253
    @saadsalum3253 6 років тому +6

    hiyo ni ngoma km ya dimond tofaut yenu mnamtaja mungu na mtume tu hamuoni km mnaupotosha uislam wenyewe nahao wazazi wenye watoto nao wanao mzg

    • @omarysalehe8155
      @omarysalehe8155 6 років тому

      saad salum v

    • @AsdDsa-kl4iw
      @AsdDsa-kl4iw 4 роки тому

      Ss maulid ama taarabu vp mbona urembo kibao mavazi balaa alafu mnasifu Allah Subhannaallah

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 6 років тому +3

    Innalilahi wainnailaihi rajiuni yarabi mola wetu usitughafilishe ktk dunia hakika ya adhabu zako nikali saana hatuziwezi sikuhizi siwanawake siwanaume wanaimba nyimbo Na music Na kuzivalisha shungi wakaziita kasida innalilahi wainnailaihi rajiuni
    Shekh yussuf abdi Wa kenya anasoma nasheed nzuri bila ya music nakila ukiisikiliza basi unaona kama ndio siku ya mwanzo kuisikia Na inamafunzo makubwa saaana mpaka moyo unashtuka tujirekebisheni

    • @allyelabad7370
      @allyelabad7370 6 років тому +1

      Ummu Samira ....inaruhusiwa bana. Kam hairuhusiw una ushahid gan

  • @SUBU-SCRIBE
    @SUBU-SCRIBE Рік тому

    Mashallah ujumbe madhubuti

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 2 місяці тому

    Mashaallah mashaallah

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q Місяць тому

    Mashaallah mashaallah 🎉

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 6 років тому +7

    Ma Sha Allah....Sauti nduri.....Allah Akuhifadhiye hyo sauti yako....Allahumma Ameen YAA RABB

  • @jumahamad4419
    @jumahamad4419 3 роки тому +1

    mashallah sauti kinanda ......

  • @zaidiakagambo6100
    @zaidiakagambo6100 Рік тому

    Mashaallah

  • @muzneahmad4041
    @muzneahmad4041 5 років тому +1

    mashallah allah akuongoze katika kheri wafikisha ujumbe vyema

  • @hassanshelukindo2501
    @hassanshelukindo2501 Рік тому

    Maashaallah

  • @zaharanihassan9013
    @zaharanihassan9013 6 років тому +5

    kiukweli nilizipenda sana kaswaida na dufu Hizo, kumbe nilikuwa. sijawa na elimu sasa hunidanganyi kwa kaswida za kumuasi Allah kama Hizo,,,,

    • @sajidusinani4509
      @sajidusinani4509 5 років тому

      Zaharani Hassan Dufu zna madhara gan, mbna hamjawapinga bongo fleva..achen izo bn

    • @muzneahmad4041
      @muzneahmad4041 5 років тому +1

      usimuhukumu mtu ww haujajua bado umetenda mangap kwa mungu yalo mema

    • @nassirmohamed8492
      @nassirmohamed8492 Рік тому

      ​@@sajidusinani4509 dufu sio baya shida ni hao vijana

  • @shamiraomary3060
    @shamiraomary3060 7 років тому +7

    innalillah wa inna ilaih raajiun....huu sio uislam tuliofundishwa na mtume(s.w.a) tuandae majib ya kwenda kujib kwa Allah(s.w)

    • @gwaluvideo6427
      @gwaluvideo6427 6 років тому +2

      co vzur kuwaalaan wnzenu n jmb l kumrekebixha2 na anaelewa jiulz unmmb mngp unamfnyia Allah n mbn hjkupg lana iwj ww utoe hukm umekuw hakim ww mpk umhukm mwnzio

    • @husnajohn7466
      @husnajohn7466 5 років тому +1

      Sasa kama we mjuzi ndio utoke hadharani ukawafundishe sio kulaani huku social media huo ni unaaa

    • @sarahsemwanza2031
      @sarahsemwanza2031 5 років тому

      wewe mbona umemkosoa mtandaon ndomtume katufundisha ivo mkosoaji no Allah

    • @salmasalimu2463
      @salmasalimu2463 5 років тому +1

      Shamira Omary. ALLAH ndo muukumu sio ww yote muachie ALLAH

    • @fatoomfatoom5590
      @fatoomfatoom5590 5 років тому

      Hakuna mkamilifu acha kuhukumu wenzio km unaona dhambi ww mbona upo you tube kuna kitabu kimekwambia ujiunge you tube na km kipo tuonyeshe mana you tube zinapostiwa kila kitu kuna vengine havina maadili mbona waviangalia (mkamilifu ALLAH)

  • @sabrinaadinani3749
    @sabrinaadinani3749 5 років тому +3

    Shangazi yangu zaida mungu hakulinde nakila balaha😍😍

    • @gambigambi7254
      @gambigambi7254 5 років тому

      Sabrina Adinani unamfaham? Ninamtafuta mno nipelele chochote kwa madrasa yake

  • @nadiaanadiaa2051
    @nadiaanadiaa2051 6 років тому +3

    Cjaipenda kbsaa mnatuharibiaa dini yetu

  • @naimaazizi5887
    @naimaazizi5887 2 роки тому

    mashallah kwa dada nadhifa ila watu bado wanajivunia urudi bukoba jamani maan uliacha pengo bora tuu ulirudi bukoba

  • @rahmamavura406
    @rahmamavura406 7 років тому +1

    mashaallah.ila sijui dufu ziliingia barid.uchezaji sijaupenda.turudii kunepa kizaman jaman

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 5 років тому +2

    Qaswida nyingi za wa bongo ni kiswahili , sababu wakina mama wengi walichelewa kujifunza dini hivyo hivi sasa ndio wameamka na kujitambua nakuitambua thamani ya dini, siwezi hukumu kwa nini wamechanganyika na wanaume , km nilivyosema wengine ndio wameamka ivi sasa hivyo mengine yakuwaelekeza tu sio wengine huku kujifanya kulaani wakati we hapo ulipo pengine hata sheria za udhu hujui

    • @zulfasalim9572
      @zulfasalim9572 4 роки тому

      Hahahahahahah udhu hauna sheria kwenye udhu ni sunna na faradhi. ama kama mtu hajui huo udhu ndo dini imemkataa asikemee munkar. jamaa tuacheni ushabiki na dini. hata Mm ni mtu wa twarika ya alawiya lakini sidhani kama hao mabingwa wa twarika kina Imam Ally Bin Mohammad Bin Husein habshy kama walieka twarika katika misingi hii. heri tu wawachane na kumtaja MUNGU na MTUMI na hizo dufu waziweke kando waiite taarabu.

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud4328 4 роки тому +1

    Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun hiyo sio sahihi hatta kidogo

  • @saidiyahya6460
    @saidiyahya6460 2 роки тому

    kasida nzur nimeipenda

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 4 роки тому

    Shukraan bi Dada kwa kazi nzur uliyo ifanya Allah akulipe majazo mema amiin jazaka Allahu kher

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 3 роки тому

    Hya watanzania makosa mmezidi kila kitu mitandaoni na kukusanyika na wanaume mnaona mnapata thawabu kumbe mnazoa zambi tuu mungu awaongoze inshaa llah

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 років тому +2

    Mashaallah dada mungu awape kila lakheri

  • @babyazizayoutube8906
    @babyazizayoutube8906 7 років тому +2

    subhanaallah!!!

  • @aziziyusufu8592
    @aziziyusufu8592 4 роки тому +2

    Innallillah wainailaih rajiuun hiyo picha hapo ukiitazana unanuona huyo Dada akiwa amevaa hali yuko uchi,tena yuko kwenye hadhara tukufu kama hiyo hivi mahala kama hapo masheikh wa kuyakataza hayo huwa hawapo

  • @sadathbadru333
    @sadathbadru333 7 років тому +2

    mashaallah kwa sauti uko vzl

  • @mishybintsalimsalafiyyun6018
    @mishybintsalimsalafiyyun6018 7 років тому +9

    INNA LILAH WA INNA ILLAH RAJIUN

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 2 роки тому

    Maa shaaa Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Allahu allahu allahu Allah

  • @rajabuselemani3586
    @rajabuselemani3586 6 років тому +3

    Allah hawabariki afu waislamu wengine siwaelewi hivi na bongo freva huwa mnazikanusha acheni mbwembwe acheni atajwe mwenyezi mungu na mtume wake

    • @nassorosalehhazard2450
      @nassorosalehhazard2450 6 років тому

      Rajabu Selemani asante make wananikera sana ukiwakuta kwenye vigodoro uwatoi lakini apa wanajifanya kukoment

    • @sajidusinani4509
      @sajidusinani4509 5 років тому

      kweli kabsa

  • @abubakarayubu8938
    @abubakarayubu8938 6 років тому +3

    Mijimama inajitikisatuuu hukuikouchi

  • @philipfrankmakutsa9663
    @philipfrankmakutsa9663 5 років тому +1

    Hajawaita hao waje kucheza yeye amekaa na watoto wake wananema tu hapo tatizo labda wanalo wanaofanya huo ni mziki wa kucheza lakini mashallah ujumbe mzuri saanaa.....

  • @rahmaalkalbani2922
    @rahmaalkalbani2922 5 років тому

    Maxhaallah your saund sey thaankxgod

  • @philipfrankmakutsa9663
    @philipfrankmakutsa9663 5 років тому +3

    Allah Allahu ashukuriwe ...mama unamtaja unamtukuza Allah wallahi atakulipa kwa utajo wako kwake nyie mnaokashifu anzeni na kina mond na kiba halafu mje na huyu ....

    • @neemafatu7885
      @neemafatu7885 4 роки тому

      Yaani huoni ubaya wake hata kwa kuangalia tu dah!

    • @neemafatu7885
      @neemafatu7885 4 роки тому

      Huyo mond si inajulikana kuwa ni mashetani tu.sasa hawa si wananasibisha na ibada hiyo. wanaume ,wanawake,nani karuhusu hivyo.?

  • @ramadhaninurrumtungi4474
    @ramadhaninurrumtungi4474 5 років тому

    Yupo vizuri zaidia

  • @monday1278
    @monday1278 7 років тому

    mashallah..

  • @gwaluvideo6427
    @gwaluvideo6427 6 років тому +1

    Achen kuwalaan wnzen kw mjmb y kurekebxhna 2 hkun mkamilif ww unae mlaan mwnzio wakt we nd unayafanya mdhmb kulik yy alieimb kw saut

    • @zaitunimushule2369
      @zaitunimushule2369 5 років тому

      Hongera sana ustadhat wangu mungu akulinde na mabaya yote ya walimwengu uko vizuri huwa na kukubali sana

  • @mishybintsalimsalafiyyun6018
    @mishybintsalimsalafiyyun6018 7 років тому +3

    ALLAH TUSAMEHE MADHAMBI YETU KWA KWELI MTUME ALIWAONA WENGI MOTONI TUNUSURU YARABBY

  • @fatinarajabu3043
    @fatinarajabu3043 6 років тому +5

    Subhanallah Astaghafirullah 😧😧

  • @athmanihaji7771
    @athmanihaji7771 4 роки тому +1

    Innaalillahi Wainnaailaihi Raajiuun

  • @rahmamuhammed6734
    @rahmamuhammed6734 7 років тому +3

    Ndugu ktk imani hivi kweli ndio uisilam. tulivyofundishwa na Mtumewetu. mohammadi swalallahu aleyhi wassalama.mnachanganyuka wake kwa waume pamoja sauti ya mwanamke iko juu mbele za wanaume. Astaghfirullah. wamama. tusomeni. dini tuacheni kuimba .

    • @fatmakhamis1018
      @fatmakhamis1018 7 років тому

      mwanamke na dufu lili kua moja na litengenezawa kwa kitambaa na alipigia kwa kidole kimojaa laki tumetoa uzushi ndani ya uislam hii hali ya huyu mama aliipata eapi?

    • @rashidsaid7012
      @rashidsaid7012 6 років тому +1

      kinachoshangaza watu mnakosoa kaswida ila waislam wanaoimba bongo fleva mnawasifia tena sana na mnaacha kuswali

    • @omarimzuzuri4762
      @omarimzuzuri4762 6 років тому

      Fatma Khamis ,Kasome kwanza ukhty halaf utakuja mitandaoni kukosoa

    • @husnajohn7466
      @husnajohn7466 5 років тому

      We fatma kama umesoma dini haswa tupe dalili ya unachokiharamisha maana hii hukumu itaku hukumu na wewe pia kua ulijua lakini hukutaka kuwajuza wengine, mtume kasema uzuri wa muislamu ni kuijua dini kisha akawajuza na wengine je ulishafanya hivyo?????

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud4328 4 роки тому

    subhanallah hilo ni beni

  • @Raya-em8wz
    @Raya-em8wz 4 роки тому

    Mashallah

  • @rahmaalkalbani2922
    @rahmaalkalbani2922 5 років тому

    Maxhaa llah alla kareem !!!!

  • @bxgdhydydh6505
    @bxgdhydydh6505 5 років тому +2

    Astaghfirullah

  • @bxrkeshorts738
    @bxrkeshorts738 7 років тому +1

    .Mashaalla 🙌🙌 nice

  • @ramadhanisadiki4712
    @ramadhanisadiki4712 5 років тому

    mashaallah mamaangu unakonga nyoyo

  • @athumaninchula2020
    @athumaninchula2020 3 роки тому

    Hapo n ukumbini wakinamama wamejiachiia wapiga dufu n vijanawake was Madras a na n vjana wadogo tu kashfa zote za nn kwan hamuwaon waliopotea?

    • @HusnaSalum-p1q
      @HusnaSalum-p1q Місяць тому

      Unakuta anayekosoa hata swala tano hana anaye tajwa ni Mungu lakini wanakuambia ni kama kaimba daimond

  • @kidotiali9414
    @kidotiali9414 6 років тому +3

    Niwapi huku jamani

  • @jamilakhalifa2692
    @jamilakhalifa2692 6 років тому

    mabrock😗😗✌

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 роки тому

    Mama unaeimba nakupenda kwa kitunza icho kituo ila kosa na huzuni ni kwanini wametometokea hao wanawake wanachezesha miliiyao na wapo uchi?ushauri mnapotak kufanya jambo la kiimani basi jatibuni kuweka mazingira ya kiimani sio tu kuoneysha yasio na maana

  • @Cris-Kai
    @Cris-Kai 7 років тому

    🙌🙌🙌

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 6 років тому

    mungu akupe maisha mema acha walibeze lakini unamtaja mungu na mengine mazuri waya fanya

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 2 роки тому

    🙄🙄🙄🙄🙄🙄😭

  • @jidalddl8787
    @jidalddl8787 7 років тому +2

    mashaAllaah

  • @yassindeffu88
    @yassindeffu88 5 років тому +2

    Shekh huyu mama wawapi ?

  • @jaliabahati39
    @jaliabahati39 5 років тому +4

    Mnao mponda mmechunguza dhambzenu?

    • @meena-ol6fo
      @meena-ol6fo 5 років тому

      Wajinga tena hawaijui dini na utakutahata juzzu amma hawajamali

    • @husseinchiaseeds2653
      @husseinchiaseeds2653 4 роки тому

      Kua na dhambi Kuna kufanya umsapot mwenzio atende dhambi mbona mnazidi kua wajinga

  • @jaliabahati39
    @jaliabahati39 5 років тому

    Mashallah Mama wambadara Nazifa ukovizuri

  • @zaitunikweka979
    @zaitunikweka979 5 років тому +1

    Kakosea wapi mmesahau kuna mwanamke alipiga dufu mbele ya mtume swallahu aleih wasalam?

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 7 років тому

    mm baadhi ya maneno mbon siyaelew iyo lugha gani ipo ndan yake

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 5 років тому

    Maa shaa Allah

  • @saadamrisho5396
    @saadamrisho5396 6 років тому

    gwalu video ni kweli kabisa

  • @shabanisaidi8827
    @shabanisaidi8827 5 років тому

    Mashaalh

  • @nnbb8402
    @nnbb8402 5 років тому

    Mashaallah Allah barik fih

  • @abdallahhamad298
    @abdallahhamad298 7 років тому +6

    Inna lillahi wainna ilayhi rrajiu'n

    • @sitiali319
      @sitiali319 5 років тому

      ingekua wanawake pekeyao ni sawa na sio kurushwa mitandaoni

    • @sitiali319
      @sitiali319 5 років тому

      ingekua wanawake pekeyao ni sawa na sio kurushwa mitandaoni

  • @nabilamaashaallahmaashaall6977
    @nabilamaashaallahmaashaall6977 6 років тому

    Sasa lkn mbona mmechanganyika nawanaume ilikuwa muwe wanawake pekeenuu

  • @bahatiyusufu9270
    @bahatiyusufu9270 7 років тому

    nice voice mummy!

  • @medshaa3704
    @medshaa3704 7 років тому

    jamani naombeni mniambie ni Chou gani hicho jina lake

  • @amalali2652
    @amalali2652 8 років тому +1

    na watoto pia mashaallah wamejitahidi kucheza

  • @ramadhaninurrumtungi4474
    @ramadhaninurrumtungi4474 5 років тому

    Wanasema husiukum mtu anaeukumu ni mmoja tu allah

  • @sandaljodi2700
    @sandaljodi2700 7 років тому +2

    jadaadu maraatu kuuaura aijuzu dada sati ya mwanake niuke wacheni kupoteza tu dini yetu hairuhusu hivno mnavno fanya haram

    • @husnajohn7466
      @husnajohn7466 5 років тому

      sand Aljodi ,sasa km in uchi na wale wanaoimba bongo fleva nao ni nini, acheni kuhukumu

  • @fatuminafarah2524
    @fatuminafarah2524 7 років тому

    mashallah

  • @jozeebonge3341
    @jozeebonge3341 7 років тому

    maashaaaalllaah

    • @sabribalaway6061
      @sabribalaway6061 7 років тому

      jamani anasoma vizur lakini nashanga wengine wako mabega wazi

  • @zaitunikweka979
    @zaitunikweka979 5 років тому +2

    Mna mponda uyu na nyie zambi zenu amzioni Bora uyu anaimba nyie mwazini alafu mna mponda

    • @neemafatu7885
      @neemafatu7885 4 роки тому

      Kwani nani mkamilifu ktk binaadamu? Kama ni hivyo basi hakuna haja ya kupeana mawaidha au nasaha kwa sababu hata mashekhe wanadhambi,lkn wanahusia watu tuache dhambi.SEMA TU TUNAPENDA SANA HAYA MAMBO YA PUMBAO YASIYO NA FAIDA yoyote.

  • @myqueen4397
    @myqueen4397 6 років тому

    mtihani tarabu si tarabu.... mhhh

  • @nazminnazmin7210
    @nazminnazmin7210 7 років тому

    manxhallah

  • @suleimanmakame8055
    @suleimanmakame8055 6 років тому

    Kidoti Ali hujambo?

  • @popokulika3068
    @popokulika3068 8 років тому +1

    nice one mashallah

    • @fatumayusuph7154
      @fatumayusuph7154 7 років тому

      mashaallah

    • @fatmakhamis1018
      @fatmakhamis1018 7 років тому +1

      mtume muhammad s.a.w. alipo hama makka kwenda madina alipokewa kwa dufu na kaswida inayo itwa twalaa lbadru alainaaa na alipiga mwana mke na alisoma mwanamke la dufu lilikua moja na liliambiwa kitambaa na alipiga kwa kutumia kidolu kimoja tuuu

  • @musafiahlalbayt9978
    @musafiahlalbayt9978 4 роки тому

    Audhubillah minasgaytwan rajim bismillah rahman rahim. Music ngoma Ni haram saut ya iblis at a uki Imba kwa carabu ukala capati kama warabu haram yabakiya haram

  • @amalali2652
    @amalali2652 8 років тому +1

    saut mashaallah

  • @aassmmasd5017
    @aassmmasd5017 7 років тому

    manshall

    • @fatmakhamis1018
      @fatmakhamis1018 7 років тому

      jamani iko siku tutaenda ya jutia haya kupiga mayowe hivi haujawa ucha mungu nakila kaka mwenye kuona hii alete istighifar

  • @faudhiatwaha1479
    @faudhiatwaha1479 7 років тому

    mama mkwe asante

  • @user-kc4sy9dw4l
    @user-kc4sy9dw4l 6 років тому +1

    kama tarabu wanavochexa hawo watu wazima

  • @zulfasalim9572
    @zulfasalim9572 4 роки тому

    doooooh tarabu hyo jamaa. Mm ni mtu wa twariqa lakini hapa sasa mwatutukanisha jamaa. wanawake wacheza kama kwenye taarabu. aaaaaaa haram hyo

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 5 років тому

    nashaangaa watu wengine kumsifu mtume unakuite msiba jamani?

  • @khadijazuberi8553
    @khadijazuberi8553 6 років тому

    naiomba whatsap 0743539032

  • @iddymchekwa170
    @iddymchekwa170 3 роки тому

    Masha Allah

  • @zuhuramerisho3010
    @zuhuramerisho3010 3 роки тому

    Maashallah

  • @sssaminasaidaaamashaalah3291
    @sssaminasaidaaamashaalah3291 4 роки тому

    Mashaallah

  • @zawadiosman9527
    @zawadiosman9527 7 років тому

    maashaallah

  • @marizianasumba7110
    @marizianasumba7110 7 років тому

    Ma shaa Allah

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 5 років тому

    Mashallah

  • @medshaa3704
    @medshaa3704 7 років тому

    mashaallah

  • @yusuphpazi635
    @yusuphpazi635 4 роки тому

    Maashaallah

  • @hamawamitego8576
    @hamawamitego8576 7 років тому

    Masha Allah