Innalilahi wainnailaihi rajiuni yarabi mola wetu usitughafilishe ktk dunia hakika ya adhabu zako nikali saana hatuziwezi sikuhizi siwanawake siwanaume wanaimba nyimbo Na music Na kuzivalisha shungi wakaziita kasida innalilahi wainnailaihi rajiuni Shekh yussuf abdi Wa kenya anasoma nasheed nzuri bila ya music nakila ukiisikiliza basi unaona kama ndio siku ya mwanzo kuisikia Na inamafunzo makubwa saaana mpaka moyo unashtuka tujirekebisheni
co vzur kuwaalaan wnzenu n jmb l kumrekebixha2 na anaelewa jiulz unmmb mngp unamfnyia Allah n mbn hjkupg lana iwj ww utoe hukm umekuw hakim ww mpk umhukm mwnzio
Hakuna mkamilifu acha kuhukumu wenzio km unaona dhambi ww mbona upo you tube kuna kitabu kimekwambia ujiunge you tube na km kipo tuonyeshe mana you tube zinapostiwa kila kitu kuna vengine havina maadili mbona waviangalia (mkamilifu ALLAH)
Hajawaita hao waje kucheza yeye amekaa na watoto wake wananema tu hapo tatizo labda wanalo wanaofanya huo ni mziki wa kucheza lakini mashallah ujumbe mzuri saanaa.....
Qaswida nyingi za wa bongo ni kiswahili , sababu wakina mama wengi walichelewa kujifunza dini hivyo hivi sasa ndio wameamka na kujitambua nakuitambua thamani ya dini, siwezi hukumu kwa nini wamechanganyika na wanaume , km nilivyosema wengine ndio wameamka ivi sasa hivyo mengine yakuwaelekeza tu sio wengine huku kujifanya kulaani wakati we hapo ulipo pengine hata sheria za udhu hujui
Hahahahahahah udhu hauna sheria kwenye udhu ni sunna na faradhi. ama kama mtu hajui huo udhu ndo dini imemkataa asikemee munkar. jamaa tuacheni ushabiki na dini. hata Mm ni mtu wa twarika ya alawiya lakini sidhani kama hao mabingwa wa twarika kina Imam Ally Bin Mohammad Bin Husein habshy kama walieka twarika katika misingi hii. heri tu wawachane na kumtaja MUNGU na MTUMI na hizo dufu waziweke kando waiite taarabu.
Allah Allahu ashukuriwe ...mama unamtaja unamtukuza Allah wallahi atakulipa kwa utajo wako kwake nyie mnaokashifu anzeni na kina mond na kiba halafu mje na huyu ....
Innallillah wainailaih rajiuun hiyo picha hapo ukiitazana unanuona huyo Dada akiwa amevaa hali yuko uchi,tena yuko kwenye hadhara tukufu kama hiyo hivi mahala kama hapo masheikh wa kuyakataza hayo huwa hawapo
Ndugu ktk imani hivi kweli ndio uisilam. tulivyofundishwa na Mtumewetu. mohammadi swalallahu aleyhi wassalama.mnachanganyuka wake kwa waume pamoja sauti ya mwanamke iko juu mbele za wanaume. Astaghfirullah. wamama. tusomeni. dini tuacheni kuimba .
mwanamke na dufu lili kua moja na litengenezawa kwa kitambaa na alipigia kwa kidole kimojaa laki tumetoa uzushi ndani ya uislam hii hali ya huyu mama aliipata eapi?
We fatma kama umesoma dini haswa tupe dalili ya unachokiharamisha maana hii hukumu itaku hukumu na wewe pia kua ulijua lakini hukutaka kuwajuza wengine, mtume kasema uzuri wa muislamu ni kuijua dini kisha akawajuza na wengine je ulishafanya hivyo?????
Mama unaeimba nakupenda kwa kitunza icho kituo ila kosa na huzuni ni kwanini wametometokea hao wanawake wanachezesha miliiyao na wapo uchi?ushauri mnapotak kufanya jambo la kiimani basi jatibuni kuweka mazingira ya kiimani sio tu kuoneysha yasio na maana
mtume muhammad s.a.w. alipo hama makka kwenda madina alipokewa kwa dufu na kaswida inayo itwa twalaa lbadru alainaaa na alipiga mwana mke na alisoma mwanamke la dufu lilikua moja na liliambiwa kitambaa na alipiga kwa kutumia kidolu kimoja tuuu
Kwani nani mkamilifu ktk binaadamu? Kama ni hivyo basi hakuna haja ya kupeana mawaidha au nasaha kwa sababu hata mashekhe wanadhambi,lkn wanahusia watu tuache dhambi.SEMA TU TUNAPENDA SANA HAYA MAMBO YA PUMBAO YASIYO NA FAIDA yoyote.
Audhubillah minasgaytwan rajim bismillah rahman rahim. Music ngoma Ni haram saut ya iblis at a uki Imba kwa carabu ukala capati kama warabu haram yabakiya haram
Subhannallah Allah atulinde maa haramu mwanamke kupaza sauti hivyo mbele ya wanaume
hiyo ni ngoma km ya dimond tofaut yenu mnamtaja mungu na mtume tu hamuoni km mnaupotosha uislam wenyewe nahao wazazi wenye watoto nao wanao mzg
saad salum v
Ss maulid ama taarabu vp mbona urembo kibao mavazi balaa alafu mnasifu Allah Subhannaallah
Innalilahi wainnailaihi rajiuni yarabi mola wetu usitughafilishe ktk dunia hakika ya adhabu zako nikali saana hatuziwezi sikuhizi siwanawake siwanaume wanaimba nyimbo Na music Na kuzivalisha shungi wakaziita kasida innalilahi wainnailaihi rajiuni
Shekh yussuf abdi Wa kenya anasoma nasheed nzuri bila ya music nakila ukiisikiliza basi unaona kama ndio siku ya mwanzo kuisikia Na inamafunzo makubwa saaana mpaka moyo unashtuka tujirekebisheni
Ummu Samira ....inaruhusiwa bana. Kam hairuhusiw una ushahid gan
mashallah allah akuongoze katika kheri wafikisha ujumbe vyema
Ma Sha Allah....Sauti nduri.....Allah Akuhifadhiye hyo sauti yako....Allahumma Ameen YAA RABB
mungu akuzidishie mwalm wag wa madaras Ttawba kipind hicho
Aache kuimba miziki Allah hajayaruhusu haya
Shangazi yangu zaida mungu hakulinde nakila balaha😍😍
Sabrina Adinani unamfaham? Ninamtafuta mno nipelele chochote kwa madrasa yake
Hya watanzania makosa mmezidi kila kitu mitandaoni na kukusanyika na wanaume mnaona mnapata thawabu kumbe mnazoa zambi tuu mungu awaongoze inshaa llah
Shukraan bi Dada kwa kazi nzur uliyo ifanya Allah akulipe majazo mema amiin jazaka Allahu kher
mashallah sauti kinanda ......
Mashaallah dada mungu awape kila lakheri
mashaallah.ila sijui dufu ziliingia barid.uchezaji sijaupenda.turudii kunepa kizaman jaman
Mashaallah mashaallah 🎉
mashallah kwa dada nadhifa ila watu bado wanajivunia urudi bukoba jamani maan uliacha pengo bora tuu ulirudi bukoba
Cjaipenda kbsaa mnatuharibiaa dini yetu
Dini ni ya MUNGU sio ya baba yako
mashaallah kwa sauti uko vzl
innalillah wa inna ilaih raajiun....huu sio uislam tuliofundishwa na mtume(s.w.a) tuandae majib ya kwenda kujib kwa Allah(s.w)
co vzur kuwaalaan wnzenu n jmb l kumrekebixha2 na anaelewa jiulz unmmb mngp unamfnyia Allah n mbn hjkupg lana iwj ww utoe hukm umekuw hakim ww mpk umhukm mwnzio
Sasa kama we mjuzi ndio utoke hadharani ukawafundishe sio kulaani huku social media huo ni unaaa
wewe mbona umemkosoa mtandaon ndomtume katufundisha ivo mkosoaji no Allah
Shamira Omary. ALLAH ndo muukumu sio ww yote muachie ALLAH
Hakuna mkamilifu acha kuhukumu wenzio km unaona dhambi ww mbona upo you tube kuna kitabu kimekwambia ujiunge you tube na km kipo tuonyeshe mana you tube zinapostiwa kila kitu kuna vengine havina maadili mbona waviangalia (mkamilifu ALLAH)
Maa shaaa Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Allahu allahu allahu Allah
kasida nzur nimeipenda
subhanallah hilo ni beni
Yupo vizuri zaidia
Hajawaita hao waje kucheza yeye amekaa na watoto wake wananema tu hapo tatizo labda wanalo wanaofanya huo ni mziki wa kucheza lakini mashallah ujumbe mzuri saanaa.....
Maxhaallah your saund sey thaankxgod
mashaallah mamaangu unakonga nyoyo
Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun hiyo sio sahihi hatta kidogo
mabrock😗😗✌
kiukweli nilizipenda sana kaswaida na dufu Hizo, kumbe nilikuwa. sijawa na elimu sasa hunidanganyi kwa kaswida za kumuasi Allah kama Hizo,,,,
Zaharani Hassan Dufu zna madhara gan, mbna hamjawapinga bongo fleva..achen izo bn
usimuhukumu mtu ww haujajua bado umetenda mangap kwa mungu yalo mema
@@sajidusinani4509 dufu sio baya shida ni hao vijana
.Mashaalla 🙌🙌 nice
subhanaallah!!!
baby aziza you tube
Machallah
Mijimama inajitikisatuuu hukuikouchi
INNA LILAH WA INNA ILLAH RAJIUN
Allah hawabariki afu waislamu wengine siwaelewi hivi na bongo freva huwa mnazikanusha acheni mbwembwe acheni atajwe mwenyezi mungu na mtume wake
Rajabu Selemani asante make wananikera sana ukiwakuta kwenye vigodoro uwatoi lakini apa wanajifanya kukoment
kweli kabsa
Mashallah Mama wambadara Nazifa ukovizuri
Qaswida nyingi za wa bongo ni kiswahili , sababu wakina mama wengi walichelewa kujifunza dini hivyo hivi sasa ndio wameamka na kujitambua nakuitambua thamani ya dini, siwezi hukumu kwa nini wamechanganyika na wanaume , km nilivyosema wengine ndio wameamka ivi sasa hivyo mengine yakuwaelekeza tu sio wengine huku kujifanya kulaani wakati we hapo ulipo pengine hata sheria za udhu hujui
Hahahahahahah udhu hauna sheria kwenye udhu ni sunna na faradhi. ama kama mtu hajui huo udhu ndo dini imemkataa asikemee munkar. jamaa tuacheni ushabiki na dini. hata Mm ni mtu wa twarika ya alawiya lakini sidhani kama hao mabingwa wa twarika kina Imam Ally Bin Mohammad Bin Husein habshy kama walieka twarika katika misingi hii. heri tu wawachane na kumtaja MUNGU na MTUMI na hizo dufu waziweke kando waiite taarabu.
Maxhaa llah alla kareem !!!!
mashallah..
Mashaallah
Allah Allahu ashukuriwe ...mama unamtaja unamtukuza Allah wallahi atakulipa kwa utajo wako kwake nyie mnaokashifu anzeni na kina mond na kiba halafu mje na huyu ....
Yaani huoni ubaya wake hata kwa kuangalia tu dah!
Huyo mond si inajulikana kuwa ni mashetani tu.sasa hawa si wananasibisha na ibada hiyo. wanaume ,wanawake,nani karuhusu hivyo.?
Subhanallah Astaghafirullah 😧😧
Niwapi huku jamani
Innaalillahi Wainnaailaihi Raajiuun
ALLAH TUSAMEHE MADHAMBI YETU KWA KWELI MTUME ALIWAONA WENGI MOTONI TUNUSURU YARABBY
Amiin
Amiin
Mmoja wapi wewe japokuwa bado uko hai
mashaallah
maashaallah
Mashaallah Allah barik fih
gwalu video ni kweli kabisa
Astaghfirullah
mungu akupe maisha mema acha walibeze lakini unamtaja mungu na mengine mazuri waya fanya
Innallillah wainailaih rajiuun hiyo picha hapo ukiitazana unanuona huyo Dada akiwa amevaa hali yuko uchi,tena yuko kwenye hadhara tukufu kama hiyo hivi mahala kama hapo masheikh wa kuyakataza hayo huwa hawapo
Ndugu ktk imani hivi kweli ndio uisilam. tulivyofundishwa na Mtumewetu. mohammadi swalallahu aleyhi wassalama.mnachanganyuka wake kwa waume pamoja sauti ya mwanamke iko juu mbele za wanaume. Astaghfirullah. wamama. tusomeni. dini tuacheni kuimba .
mwanamke na dufu lili kua moja na litengenezawa kwa kitambaa na alipigia kwa kidole kimojaa laki tumetoa uzushi ndani ya uislam hii hali ya huyu mama aliipata eapi?
kinachoshangaza watu mnakosoa kaswida ila waislam wanaoimba bongo fleva mnawasifia tena sana na mnaacha kuswali
Fatma Khamis ,Kasome kwanza ukhty halaf utakuja mitandaoni kukosoa
We fatma kama umesoma dini haswa tupe dalili ya unachokiharamisha maana hii hukumu itaku hukumu na wewe pia kua ulijua lakini hukutaka kuwajuza wengine, mtume kasema uzuri wa muislamu ni kuijua dini kisha akawajuza na wengine je ulishafanya hivyo?????
🙌🙌🙌
Mama unaeimba nakupenda kwa kitunza icho kituo ila kosa na huzuni ni kwanini wametometokea hao wanawake wanachezesha miliiyao na wapo uchi?ushauri mnapotak kufanya jambo la kiimani basi jatibuni kuweka mazingira ya kiimani sio tu kuoneysha yasio na maana
Mashaalh
nice voice mummy!
Sio kweli haya si mafundisho ya mtume (s.w)hio ni haram
Mashallah
Wanasema husiukum mtu anaeukumu ni mmoja tu allah
Shekh huyu mama wawapi ?
Unataka kumnusuru
Mnao mponda mmechunguza dhambzenu?
Wajinga tena hawaijui dini na utakutahata juzzu amma hawajamali
Kua na dhambi Kuna kufanya umsapot mwenzio atende dhambi mbona mnazidi kua wajinga
jamani naombeni mniambie ni Chou gani hicho jina lake
Hapo n ukumbini wakinamama wamejiachiia wapiga dufu n vijanawake was Madras a na n vjana wadogo tu kashfa zote za nn kwan hamuwaon waliopotea?
Unakuta anayekosoa hata swala tano hana anaye tajwa ni Mungu lakini wanakuambia ni kama kaimba daimond
Achen kuwalaan wnzen kw mjmb y kurekebxhna 2 hkun mkamilif ww unae mlaan mwnzio wakt we nd unayafanya mdhmb kulik yy alieimb kw saut
Hongera sana ustadhat wangu mungu akulinde na mabaya yote ya walimwengu uko vizuri huwa na kukubali sana
mashaAllaah
Masange kondoa huko
mm baadhi ya maneno mbon siyaelew iyo lugha gani ipo ndan yake
Ma shaa Allah
🙄🙄🙄🙄🙄🙄😭
Kakosea wapi mmesahau kuna mwanamke alipiga dufu mbele ya mtume swallahu aleih wasalam?
Masha Allah
na watoto pia mashaallah wamejitahidi kucheza
maashaallah mdada
Inna lillahi wainna ilayhi rrajiu'n
ingekua wanawake pekeyao ni sawa na sio kurushwa mitandaoni
ingekua wanawake pekeyao ni sawa na sio kurushwa mitandaoni
Sasa lkn mbona mmechanganyika nawanaume ilikuwa muwe wanawake pekeenuu
mtihani tarabu si tarabu.... mhhh
Hahaha
nice one mashallah
mashaallah
mtume muhammad s.a.w. alipo hama makka kwenda madina alipokewa kwa dufu na kaswida inayo itwa twalaa lbadru alainaaa na alipiga mwana mke na alisoma mwanamke la dufu lilikua moja na liliambiwa kitambaa na alipiga kwa kutumia kidolu kimoja tuuu
mashallah
Kidoti Ali hujambo?
mama mkwe asante
maashaaaalllaah
jamani anasoma vizur lakini nashanga wengine wako mabega wazi
Mna mponda uyu na nyie zambi zenu amzioni Bora uyu anaimba nyie mwazini alafu mna mponda
Kwani nani mkamilifu ktk binaadamu? Kama ni hivyo basi hakuna haja ya kupeana mawaidha au nasaha kwa sababu hata mashekhe wanadhambi,lkn wanahusia watu tuache dhambi.SEMA TU TUNAPENDA SANA HAYA MAMBO YA PUMBAO YASIYO NA FAIDA yoyote.
manxhallah
jadaadu maraatu kuuaura aijuzu dada sati ya mwanake niuke wacheni kupoteza tu dini yetu hairuhusu hivno mnavno fanya haram
sand Aljodi ,sasa km in uchi na wale wanaoimba bongo fleva nao ni nini, acheni kuhukumu
saut mashaallah
Amal Ali in sha allah
manshall
jamani iko siku tutaenda ya jutia haya kupiga mayowe hivi haujawa ucha mungu nakila kaka mwenye kuona hii alete istighifar
kama tarabu wanavochexa hawo watu wazima
Audhubillah minasgaytwan rajim bismillah rahman rahim. Music ngoma Ni haram saut ya iblis at a uki Imba kwa carabu ukala capati kama warabu haram yabakiya haram
nashaangaa watu wengine kumsifu mtume unakuite msiba jamani?
doooooh tarabu hyo jamaa. Mm ni mtu wa twariqa lakini hapa sasa mwatutukanisha jamaa. wanawake wacheza kama kwenye taarabu. aaaaaaa haram hyo
naiomba whatsap 0743539032
Mashaallah
Masha Allah
Maashallah
Maashaallah
Mashallah
Mashaalh
Maa shaa Allah
mashaallah
Mashaallah mashaallah
Maashaallah