Elimu ya dini aina mwisjo kama dada etu apa mashaallah usikute kaolewa na anasoma madrasa madrasa za wakina mama zipo ndugu zangu twendeni wakina mama wenzangu
Habari zenuu napenda kujua Dada angu anapenda kujiungu na masomo hapo kwenu utaratibu upoje ,kuna bwen au tafadhan tafurai kama tajibiwa nipo kibiti pwan
Mungu akuzidishie na uwe na mume mwema na maisha yenye kheri zote dah niwachache kina mama kuwa wa namna hiyo wengi wapo kwenye vigodoro na kutunzana mabeseni
Maashaalh mungu akujaze yalio mema upo vizuri sana tatizo ni Tunazuiwa wanawake tumezuiwa kutoa sauti zetu mbele ya wanaume du!mwenyezimungu atusamehe sana huu ni msiba mzito japo kinamama wengi hatupendi kuambiwa ukweli
Mcheni Allah wa akina mama, wallahi wallahi angekuwepo mtume Mohammed swala na salamu ZIMUENDEE uko aliko angelia KWAMAMBO haya ya MASUFI ni haramu mwanamke kudhihirisha sauti zao mbele ya wanaume muogopeni mola wenu mlezi
Binafsi nilikua msomaji milango at 17yrs but kulikua na maadili..tuna maadili tunatiwa chumbani mic zinaletwa huko au tuna zungushiwa boma dogo la khanga au magunia. yani tusijulikane sauti zinatokeapi..kwa kweli siwezi kusoma wakati taa zina niangaza hivi na waume wapo hapo .sio sawa
Mashaallah Allah akujaalie lkn maulid hizi za wanaume na wanawake haifai namuona dada hapo kapita mikono yote wazi subhanallah Allah atustir na atuweke kwenye njia ya kheir
si support kabisa hapo mwanzo hawao mwanawake wanaomtunza wako uchi kabisa..tunaona tuko ndani ya dini lakni wapy...tufatee sunnah za mtume na tuache upuzii
Mwanamke mwenzangu umenikumbuka mahali sana, Enzi zangu nilikua nasoma Mlango huo, Mungu akujaalie InshAllah.
Maa shaa Allah. Bado hujachelewa dadaangu
Mashallah sauti nzuri dada yangu ALLAH akujaalie kheri wewe na kizazi chako
Masha Allah ..nakumbuka.kwenye harusi.ya dada angu alitupa raha wallah Allah atujaalie wanawake wote
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا ونبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين
Thank you sister
Elimu ya dini aina mwisjo kama dada etu apa mashaallah usikute kaolewa na anasoma madrasa madrasa za wakina mama zipo ndugu zangu twendeni wakina mama wenzangu
Allah atujalie tuelimike kabla ya kufa kwa kweli mambo haya n kinyume n mafundisho ya mtume wetu muhammad SAW (bidaa\uzushi)
Kumbuka walio mpokea mtume uku wakiimba kaswida walikuwa wanawake
Habari zenuu napenda kujua Dada angu anapenda kujiungu na masomo hapo kwenu utaratibu upoje ,kuna bwen au tafadhan tafurai kama tajibiwa nipo kibiti pwan
Mashaa Allah tabaarakallah 😘Allah akuzidishie kipaji Mashaa Allah nimependa sana .
Maashaallah,ustadhat unajua kusoma barzanji,❤❤,Jazaa akillahi khayran!.
Allah akuzidishie kila la kheir marufuku kuwaza kutenda maovu
Masha Allah.marhaba iya marhaba aseke rasul sa.
Mashaa ALLAH,,nakuombe kwa ALLAH kheir ikumbuke stara halisi yamwanamke uso wako usiungeuacha hivyo ungevaa niqab
Ungekua mke wangu ungekua unanitumikia vizuri sana
Ma shaa Allah ma shaa Allah ma shaa Allah, Allah akujaalie mwisho mwema
Mashaallah Dada nadhifa nakukumbuka
Wow much love from Albuquerque USA. She reminds me when I visited tamta tanga in the year 2002 I wish my children could recite like her
Maashaallah,!! Allah amhifadhi mwanamke huyu,!
Mungu akuzidishie na uwe na mume mwema na maisha yenye kheri zote dah niwachache kina mama kuwa wa namna hiyo wengi wapo kwenye vigodoro na kutunzana mabeseni
Fadhili Mgohamwelu m
hapo kafanya lipi jema sasa.
Mashaallah
Mashallaaaaaaaa,natamani siku zirudi nyuma
Mashaaallah 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
MaashaaAllah napenda dada tunakumbuka enzi zetu madrasa
mashallah Mungu Akuzidishie Rehma Achana Nahao wasoelewa Kitu Ati Unapandisha Saut Mbele yawanaume kwani Unaimba Taarabu Jamani Laatajasasu
Maashaalh mungu akujaze yalio mema upo vizuri sana tatizo ni Tunazuiwa wanawake tumezuiwa kutoa sauti zetu mbele ya wanaume du!mwenyezimungu atusamehe sana huu ni msiba mzito japo kinamama wengi hatupendi kuambiwa ukweli
Kakae jikoni
maa shaa allah allah akupe zaidi na zaidi
ishaallah Allah awape wepesi wa kuifadh quraan
mashaallah ustadhat by sajad madrasat asswabiriina ibwera kwa sheikh muft said rutashobya
Bismillahi Ma Sha Allah from saudi Arabia
mungu akuzidishie dada
Mashallah sauti nzur natural mungu akuzidishie
maanshaallah Dada yangu Allah akuzidishie
subhanallah haifai mwanamke kupaza sauti yake tena mbele ya wanaume kisa maulidi kina mama tumcheni Allah
sii kweli
Mambo Ya bidaa Ndio Hivyo Tena
@@Asadiqmedia ni kweli ,wanawake hawaruhusiwi kupaza sauti zao, tuache ushabiki tukiishi vile allah anavyotaka siku ya kufa faida inakuwa yako
Mashallah
tumuombeni Allah amuogoze natuogoze allahsiratul mustakim
الله يحفظها!! طيب جدا!! ماشاء الله تبارك الله
Nilikua na skilizia sauti tu sikuaa nakuona live mashaaalllaha
Maashaaallah asma nimeipata
Msiba mkubwa wanawake wameva nguo za kata mikono
Maashallah Naskilizaga kila sku mpk niijue
Nakuoenda San mama. Ubatikiwe mwanangu
Ustadhat mungu akulipe
ma chaloihou yarabi marahaba
sauti nzur mashaalla!
Bahati Yusufu twambien kwel kama ana mume kama hana tuko tunamwihitaji jaman
Mungu akujaalie
Masha allah mungu awajalie kheri
Innalillaahi wainnaailayhi raajiuun, ni msiba huo mama yangu
Mcheni Allah wa akina mama, wallahi wallahi angekuwepo mtume Mohammed swala na salamu ZIMUENDEE uko aliko angelia KWAMAMBO haya ya MASUFI ni haramu mwanamke kudhihirisha sauti zao mbele ya wanaume muogopeni mola wenu mlezi
tuliambiwa kutakuja zama maovu yatakimbilia kwenye dini ndo hayooo sasa tujipe pole tujirekebishe wanawake
Q
Wajna asa wanawake wasome wapi?
Jazzakallah Allaha akuzidishie
Subuhananlaa mtume asema nihalamu kuchanganyika wanawake na wanume halafu wanawake wasipaze saut maskh mrudien alla
Masha Allah masha Allah mungu akubariki ♥️♥️♥️
Masha allah
Innalillaahi wainnaailayhi Raji'uun, Hakika huu ni msiba
Wamamako?ajabu gani wemjinga wivu na uswahili na machuki kimbuluruu were,msimuhusudu bule mwanawawatu.looohfyuuuuu
Huo wote niwiv dada ukovizur san ALLAH akuzidishie inshaallah mtume alie nin mnambeza kwakuwa ht alif hamjui mabichwa nyie
Wivu tu kwakweli roho mbaya atazikwa mayo naatafufuka nayo.
ramadhan salimu elm umesomea WAP,
Tunaomba kaswida nyingine za nadhifa jmn tupate raha
Mashaallah shukraan Sana ukhty
Wanaume wanaka pamoja na wanaume haifai
Abass Jamal# haifai kumtolea matusi mueleweshe kwa kauli nzuri na maneno mazuri ni swadaka kwa muislam
Nimemtusi aje ebu nieleze kosa langu
Kusema wake na waume kuka pamoja haifai ni matusi
Maashaallah wa jina
Mashallah allah akuzidishie kipaji
Jainab Oman aslam alayk Kila Am
hii vitina kwa sauti hizi za like
hatari saaaaaaana
wawezafanya in zali
Mashaallah ukhty nadhifa
Aswaliwe mtume muhammad
Binafsi nilikua msomaji milango at 17yrs but kulikua na maadili..tuna maadili tunatiwa chumbani mic zinaletwa huko au tuna zungushiwa boma dogo la khanga au magunia. yani tusijulikane sauti zinatokeapi..kwa kweli siwezi kusoma wakati taa zina niangaza hivi na waume wapo hapo .sio sawa
Bismillah mashallah mashallah mashallah
Jazak Allah
Ya rrabi akuongoze.
jazzaka allah kheli
Mungu akulpe
Sauti mbele ya wanaume .subhana Allah wengine wamevaa nguo zakukata mikono Allahu Akhbar aibu kwa mwanamke wa kiisllam tuelimikeni jamani
Njoo unisomee mimi tu
Ameen rabillah allah meen
ALLAH Akupe pepo mama
kazi uzushi tuuuu
Mashaallah Allah akujaalie lkn maulid hizi za wanaume na wanawake haifai namuona dada hapo kapita mikono yote wazi subhanallah Allah atustir na atuweke kwenye njia ya kheir
Bidaa Mambo Yake Ndio Hivyo
maashaallah Allah huakibar.
Mashallh❤❤❤🙏🙏
Allah ho akbr mashallah
Bidaa itabaki bidaa tu ataikapambwa vip?
Ziid ziiiiid alaih maqtub maqtub🙏🙏
Mashaallah ❤❤
اللهم صلي وسلم على سيدنا محمد تاكبير ما شاء الله ما شاء الله🎤🎤🎤🎤🎤❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mashaallah.kila.la.heri.inlshaallah
Allahuma bark
UKo vizuri
A
Takbirriiiii
Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH
Mashallah 🙏🙏🙏🙏
Allahuakbar...
si support kabisa hapo mwanzo hawao mwanawake wanaomtunza wako uchi kabisa..tunaona tuko ndani ya dini lakni wapy...tufatee sunnah za mtume na tuache upuzii
Kweli kabisa, hata Mimi nimeshangaa, na wanaume wanaenda kutunza eti
Jamani waislam wenzangu jee yule dida nimwanaume sijawai kuona mkisema anaimba ivi haram inawatu maalum
Wanawake duniani Kama Hawa nawapend
umeonaa eee Ukhuti Rahma ni manjonjo na bidaa kabisaa
Sio kweli
Nataman kuwa ivi jaman ntaweza kweli ndiyo nimeanza madrasa wiki hii alafu nina umli wa39
Mashaaallaah❤❤
ustadhat kukata nyusi ndio nini sasa unafanya katika uislamu wako
Nyusi zake ndivyo zilivyo hata ukimuona live
Bismillah mashallah ✌
Innaa lillaah wainna ilayh raaj-uun
Maashaallah my dada
Allah akuongoze
Mashaallah barakallah
Mashaaaalah 🙏🙏🙏
Acheni ujinga uwo nyinyi jamjataka kusoma hamujui ki2 wenzenu wanaojua munawakatisha tamaa mama yuko vizur uyo anaye ongea vibaya naongee ila amesha soma
Wana wivu....mara bidaa....tokea wajua bidaa.....utaskikia subhannallah....jamani binadamu 😂😂
Alafu hao wanaoponda usikute hajui hata herufi moja ya Qur'an
Abdul Mlawa Ndiooo mawivu tyuu
Mashallha Mashallha
Masha Allah
mashaallah mashaallah 🥰 I
Suallah in llah anabin