MASOUD KIPANYA KUMPANDISHA MAHAKAMANI MWIJAKU, KUMDAI TSH BIL. 5

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 42

  • @warrenkilimber4013
    @warrenkilimber4013 4 дні тому +7

    Safi sana brother masoud huyu mpuuzi kazoea sana ifike mahala aheshimu utu wa watu boya huyu

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 4 дні тому +3

    Alhamdulilahi yametimia Amezidi mpka sometimes hukufuru Kaka Masoudy goooo hata Allah anajua huyu mtu ni waaina gani..utawaokoa wadogo zetu kwa upuuzi wa watu km mwijaku

  • @generalgalos3828
    @generalgalos3828 2 дні тому

    Tangu awe na kijihorafa chake cha laki 8 basi anajiona Kama mungu

  • @michaelcheyo4072
    @michaelcheyo4072 4 дні тому +5

    nazan hili litakuwa funzo

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 4 дні тому +3

    Safi sana

  • @user-id2iy2dy1z
    @user-id2iy2dy1z 4 дні тому +3

    Alhamdulillah

  • @ramadhanimambya6569
    @ramadhanimambya6569 4 дні тому +1

    SAFI SANA MASOUD,LAZIMA ALIPE MSHENZI HUYU.

  • @Kibudu
    @Kibudu 4 дні тому +4

    Ameyatimba😂😂😂

  • @user-ye4iy8jy2z
    @user-ye4iy8jy2z 4 дні тому +3

    Naomba iwe kweli isiwe kiki maana wabongo tunavyopenda kiki ila mwijaku kazidi kuzalilisha wenzake alafu anakuja kujitetea kwa kutoa aya za Qur ani yan anafanya ujinga anakuja kujifisicha kwenye dini kukicha anatangaza kamari ila hajui kama dini yake imeharamisha kamari alafu anajikuta mtu wa dini kumbe ni mnafiki mkubwa

    • @allybobsaith
      @allybobsaith 4 дні тому +1

      mpaka mwanasheria kahusishwa ujue hii si kiki sis/bro

  • @DavidJosephmsuya
    @DavidJosephmsuya 4 дні тому

    Ndio akome

  • @user-id2iy2dy1z
    @user-id2iy2dy1z 4 дні тому +1

    Alhamdulillah atatokea mtu hapa au kiongozi kumtetea Mwijaku sasa nawaambia ipo siku mwijaku atasema rais au kiongozi mkubwa wa nchi anafanya biashara haram bila hata ya ushahidi

  • @hillary792
    @hillary792 4 дні тому +1

    Masoud watanzania wengi wanakufahamu na watu wa Dunia nzima, haiwezekani mtu akuharibie maisha

  • @rashidingole1588
    @rashidingole1588 4 дні тому

    Wampige fine, bilion 30 ili akome

  • @omarinhomoudy
    @omarinhomoudy 2 дні тому

    Kwahiyo Masoud ni kaharibu kweli vijana au hapana? Kama sio uthibitisho mana nina ndugu yangu kaharibika sana nikikamata muuzaji aseee nitakula nae sahani moja

  • @machasofficialsite6221
    @machasofficialsite6221 4 дні тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂 aloo ningependa iwe kweli na sio kiki

  • @ZalminaOmary
    @ZalminaOmary 4 дні тому +2

    Aende njela kabisa kazidi😅

  • @jerrymaroa4856
    @jerrymaroa4856 4 дні тому +2

    Mkomeshe huyo chawa

  • @hassanikaawizy2597
    @hassanikaawizy2597 4 дні тому +2

    kwhy kayatimba mwijaku 😂😂

  • @user-tf2bz8ou1c
    @user-tf2bz8ou1c 4 дні тому +2

    Hiyo pesa yeye anayo😂😂😂

  • @mwinyimatopa2283
    @mwinyimatopa2283 4 дні тому +1

    Nashangaa mbona hamujampeleka mahakani peleka huyu mtu bwana amezidi

  • @josephmabula9658
    @josephmabula9658 4 дні тому +2

    Bora wamzibe mdomo mjinga huyu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 4 дні тому

    Na we kamshtaki kwa kukuingilia maisha binafsi

  • @Michoarbah
    @Michoarbah 4 дні тому +1

    Kudaiwa bil 5 au kufugwa Miaka 10 Bora Nini!!

  • @danielKitomary
    @danielKitomary 4 дні тому

    Ameyakanyaga

  • @ntopangonyani6964
    @ntopangonyani6964 4 дні тому +2

    Hii ndiyo namna ya kushughulika na wajinga.

  • @shikuhata
    @shikuhata 4 дні тому

    Binafsi sikatai wala sikubali mahakama ñdiyo itakuja na jibu sahihii

  • @mwanaishamasoud
    @mwanaishamasoud 4 дні тому

    Nilijua ipo siku tu inayovuma ngoma nayo pia hupasuka sembuse binaadam alizidi mwinjaku sijui anajikuta nani

  • @witnesskagirigiri3763
    @witnesskagirigiri3763 4 дні тому

    PELEKA MAHAKAMANI ILI LIWE FUNDISHO KWA WAROPOKAJI KAMA MWIJAKU ,DOTTO MAGARI NA KWA MBALI NA BABA LEVO.

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 дні тому

    Masudi kipanya shikilia hapo hapo, mpaka huyo bwege afungwe miaka 10 au aiuze ile nyumba yake

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 4 дні тому

    Mdomo umeponza kichwa

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 4 дні тому

    Akomeee na huo mdomo wake khaaa mwanaume anaongea hovyo anajilinfa na kuomba radhi

  • @newzon5300
    @newzon5300 4 дні тому

    Masoud jamaaa amekuombaaa msamaha

    • @ally7525
      @ally7525 4 дні тому

      Kusamehe ni hiari 😂😂

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 4 дні тому

      Kuomba msamaha ndo ushahidi wenyewe..rejea kesi ya Manara dhidi ya tff president (karia)

  • @shabansalum1848
    @shabansalum1848 4 дні тому

    Mwijaku na masudi.. watu wenye hofu ya mungu wakae chini wenyewe..kuombeana msamaha.. ciokutumia wanasheria..

    • @warrenkilimber4013
      @warrenkilimber4013 4 дні тому +2

      Brother mugope MUNGU,mwijaku hofu ya MUNGU kaitoa wapi?mtu ambae kila kukicha anazalilisha na kuwadhihaki watu ili kupata fame za kipuuzi,anatumia dini kama kichaka kuficha upuuzi wake

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky 4 дні тому +3

      Kamfunze kwanza mwijaku kuwa n hofu ya Mungu

    • @user-ye4iy8jy2z
      @user-ye4iy8jy2z 4 дні тому +1

      Hofu ya Mungu hio kaitoa wap na kukicha anatangaza kamari na kupromote wanamuziki kuliko dini yake alafu et mtu wa Mungu

  • @feruzimbingo1234
    @feruzimbingo1234 4 дні тому

    Kiki tu wote vijana wa Kusaga yataishaa