MWIJAKU AKIRI KUMKOSEA MASOUD KIPANYA - AOMBA RADHI HADHARANI AKITOA HAYA za QUR'AAN TUKUFU...
Вставка
- Опубліковано 13 чер 2024
- MWIJAKU AKIRI KUMKOSEA MASOUD KIPANYA - AOMBA RADHI HADHARANI AKITOA HAYA za QUR'AAN TUKUFU...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Unatumia dini kupata huruma kwa umma...upigwe ujifunze
Utasamehewa na mungu lkn naomba masood KIPANYA asikusamehe hii kesi raha yake ifike MAHAKAMANI buana kesi tamu sana hii natamani isiishe mapema
Sahihi maana hawa machawa na wanafiki wamezidi.Atuondokee hapa na kujifanya anajua Kiarabu na mtu wa dini sana
Kma mungu anasamehe ww ni nani usisamehe??
Nikwanini huwa unawakosea watu makusudi kisa unajua kunae kuomba msamaha na cku zote neno "KUOMBA" huwa linasimama ktk sehem mbili na zote ni sehem sahihi kkubaliwa au kukataliwa ss ww endeleaga tu kupaka lipsticks kwenye lips zako kunae yataja kufka
Huyu alitakiwa apelekwe mahakamani kwanza ili ajifunze maana imeshakuwa nitabia yake kuwatusi na kuwdharau wenzake,,anamtusi diamond kila siku lakini anamkalia kimya.
Mwijaku ukibahatika kuwa na Hekima ya mdomo wako,utakuwa mtu mzuri sana;Naghusia nafsi yangu na yako Mwijaku Allah atusimamie Inshallah!Muislamu mzuri ni yule jirani yake kanusulika na ulimi wake na mikono yake,Amin!
Sahihi
Kipanya Mpeleke Mahakamani mpuuzi huyu. Alichosomea sicho anachofanyia kazi. Hatuwezi kuvumilia kwa upumbavu huu wa kuharibiana Maisha.
Tunaomba sheria izungumze ili ajifunze na wapumbavu wengine wajifunze. Ameshamdhalilisha mwalimu wake kuwa hana akili alimfelusha.
Kwani wewe mchizi waga ukoseagi?
Nimemuonea sana huruma MWIJAJU
MASOUD msamehe kijana wa watu hatarudia tena🤲
Mtazame mashavu yake yalivyomshuka manene kama vitumbua vya mama abduli
Mwenyezi mungu awafanyie wepesi katika hilo
Hapo anaongelea uislam au anaomba radhi maana naona kila kitu anaongelea uislam
Nashangaa ghafla kageuka kuwa Shehe, badala ya kuomba msamaha inamaana sio msamaha wa dhati
Anaomba uftio mpuuzi uyu akuna msamaha ulimi umeponza kichwa acha mahakama iamue
Wewe mwinj usipende kuwatukana watu alafu ukategemea msamaha ...sio fea sio haki..mana kumchafua mtu ni mbaya sana ujuwe...mim namuelewa sna kaka masuu kwakuchafuliwa mana umemdhalilisha na umemjengea imeg mbaya kwakumdhadhalilisha mtu ujuwe..umemtoa hadhi yake naheshima yake...awo sio wasanii wanaotegemea kiki ili kuwafanya mambo yao yaende no..awo watu ni waheshma .. ivyo heshima zao ndo zinajenga heshima kwao na zinaleta pesa
Salallahu Alayh Wasalam
Leo hii ndo wakumbuka hizo aya ulipokuwa Dubai hukuyajua haya unafiki mbaya sn ngoja mtu na hekima zake akuburute mahakamani kulinda hadhi yake na jina lake alilolijenga kwa heshima kubwa
Usipende kuitumia dini hii njema kama kisingizio au kivuli.
Huna tamaduni au athari yeyote ya kiislamu wala huna uislamu huo .
Tukutane mahakamani. Tumefikia tamati brother.
The end of the road.
Hata huyo Ally akikuacha hapo kwake nitamshangaa sanaaaa
Apo unamuhusisha mungu wakati umekosea..apo go to the street omba msamaha usijibalaguze..unatakiwa kukanusha kila neno ulipo andika kila maneno kanusha kanusha kanusha ...apo usimuhusishe mungu wala dini ...mwii...apo umekosea umekosea...sasa apo uwe makini na mazungumzo yako kaka
Ningekuwqq mm nisingemsamehee huyuu jmaaa kwasababu kilaa maraa mambo yake ndio hayoo kuropokaa tu kwa watu halafuu ajeeekuombaa msamahaa kipanyaaa asimmsahehee huyuu jmaaa ampelekee mbelee huyyu jmaaa
Kabisaaaa, ni mlopokaji sana
Masoud akaze
Wamfunge tu ili ajifunze mjinga sana huyu
Kipanya mpeleke mahakamani huyu ili ajue kuna sheria bila hivyo atakua anafanya mchezo kila siku auze kibanda chake alipe fidia ili akome wakati mwengine kukashifu watu na kutukana watu
Mara Hii kayavaa Sana Kwa huyu
Kipanya ni MUISLAM, Na UISLAMU unahimiza KUSAMEHE
Bado haamini kama amekosea huyu .... Anaomba radhi lakini atumia neno KAMA hivyo Bado haamini kukosea kwake hata akisamehewa atakuwa anasema ujumbe ulifika Kwa jamii.. Huu ni uhalifu wa mitandao kama uhalifu mwingine.
Kweli sio msamaha wa dhati
Unaongelea dini au msamahani au ndio kujificha Kwenye dini ili kujisafisha
Safi Sana kwa kujitambua
Mwijaku don't worry
Allah kareem
Ongera Sana mwijaku kwa kuomba razi
Asee sijawahi kumuelewa huyu mtu tangu nianze kumuona mitandaoni. Linajifanya limesoma,lina hela,linapendwa na mke wake kila kitu maonyesho na majigambo sijui linatokea wapi hili jitu. Kp wa watu ameanza hustle siku nyingi mstaarabu kweli linataka kumharibia Cv. Mwenzako anatengeneza magari wivu tu umekujaa. Kutangaza kwenyewe hujui unabwabwaja tu sijui ulisoma chuo gani
Huyo sio mtu wa kumsamehe kila siku anafanya vitu vya makusudi kutegemea kuomba msamaha safari hii umekwama b5 zinakuhusu
Umezidi billion 5 zinakuhusu ....na hayo maneno unayoeleza ndio ushahidi utakaotumika mahakamani....umeshaingia kwenye Kumi na nane za kipanya
Sema mjanja hataji majina Masoud Kipanya😂😂 anataja tu Masoud 😢
Usingize ibada naumbeya wako😂😂😂
Baba tunataka bilion 5 zetu
Mungu fundi waulize wanzako waliotaka kujenga mnara wa kwenda kwa Mungu ndo utajuwa Mungu nani
bilioni sita unauza adi kucha zako ukileta mchezo na maisha ya watu
Hakuna Kurudi nyuma KP. Endelea na hatua ulizozichukua hawa wasrma hovyo wanazidi mipaka na kuona wana uwezo wa kuwachezea watu na kuwachafua wapendavyo bila kuangalia m2 anapata madhara kiasi gani. Mpeleke mahalamani ndo atajua vizuri. Wanakera
Huyu bila ya kumfungulia mashitaka hawezi kukoma anafanya mchezo mjinga huyu
Jela ina kuhusu! Imekuwa ni kawaida yako kudhalilisha watu na usingize dini kwenye ujinga wako
Daaah mdomo umeponza kichwa,kile kijumba chetu kama nakiona kinabadilishwa rangi na umiliki😂
Mnafiki ukubwa mnooo.
Mwijaku unapenda kumchezea Allah.
Mungu hutaki dhihaka.
Unachezea aya za quraan kwa ujinga wako.
Unasagau kama quraan ulikukataza kuipokea na kidhulumu watu ?
Hujui kama kumvunjia mtu heshima na kumfedheesha ni dhulma.
Allah atakulaani na Mungu akudhalilishe kama alivyo ahadi kuwalipia wanao dhulumiwa inn shaa Allah
Isingekuwa 5B usingeomba msamaha, ww ngoja ukutane nacho mzee baba
Kuomba msamaha sio ujinga ni kheri na sio uowoga
Ni kweli Kama siyo hiyo 5b azingeomba msamaha
Hatimaye chawa kaingia kweny 18 za wadewa 😂😂 umepoaaa umepoaa😂😂
Hili jinga linatakiwa kupelekwa mahakanani. Limezidi kuropoka.
Vinywa
Hakuna huruma hapa pumbavu kabisa,unajifanya kwa sisi waislamu,sahivi ndo umejua wewe ni muislamu mwana kulitafuta mwana kulipata asee,ee Mungu tunakuomba huyu jomba aende jela miaka 20,ili iwe fundisho kwa wanafiki unaenda Makka kutalii pumbavu badala kufanya ibada ama kweli Mungu hadhihakiwi,mnafiki mkubwa wewe haya hao matajiri wako ,wako wapi sasa unaowalambaga viatu na kunyenyekeza kwao badala ya mola wako wakushike mkono katika hili sasa wewe ni mtu wa kufanya ibada ili wakuone wewe bingwa wa unafiki pitia unachokipitia kwa sababu hiyo ni hatima yako,usimdharau mtu yeyote katika dunia wala usiwe mwepesi wa kuropoka hovyo maneno mabaya
Huwezi kumtania mtu kwamba anauza madawa ya kulevya we sema tu nimeongea uongo suna yako na mtume havituhusu maneno mengi yanini?
Ila huyu muda mwingine basata wamlaze mboko 700 ili awe anakumbuka akitaka kuloppka😂
Yani hapo unapo Kili kosa uwe tayar kwaadhabu yeyote kwauliye mkosea jee uko tayarii nasio samahani ya mdomoni ww ulikusudia kuongea
Kaka masud msamahe mbona tunakujua huna kashifa amejifunza kitu mungu atakuzidishia kaka masud
Ukinaswa unajinya kujuwa dini sana
Jinga sana hili, hata kama alikugusa na kukusema vibaya.
Ila ww ndiyo ulisema hovyo na naamin ulimuingiza mwenzio katika matatizo makubwa.
Mfano msongo wa mawazo na pengine kumuathiri kwenye makampuni mengi anayofanya nayo kazi.
Ile kusema ana jihusisha na biashara halamu!, Du! Hilo ndiyo kosa kubwa sana ambalo ulifanya ww msema hovyo.
Huyu si mara ya kwanza ndio tabia yake maana kamchafua mwenzake vibya mno na umma mpaka muda huu tutaamini kp anafanya hayo mambo.sasa kumharibia mwenzake kuwa mwandishi wa habari si kibali cha kuanza kuwachafua wenzako mnafundishwa media ethics/kanuni za maadili ya habari au mwandishi wa habari.
Acha kuchomeka dini kwenye upuuz wako. Endelea na ujinga uone kama Masud haja kufunga
Masood samehe mala Saba malasabini🤲🤲
Vzr kijana umekomaa najamii tunakuona
Tunataka uonekane mahakamani full stop
Yote kwa yote mwijaku kwa nn usiachane na uchawa ela unayo akili unazo fanya hata biashara maisha yaende hii tabia yako kiufupi haipendezi mwenyezi mungu akuongoe akuoneshe wapi sahihi ifike hatua ufanye mambo yenye hekima
Nasemajeeee …. asituchezee na misamaha ya mzaha! KP kanyaga twendeee 5B zinamuhusu mazimaaaa …
Ulikuwa upo silias tunataka ushahidi Wa kile ulicho kiongerea
kipanya usisamehe huyu mbwa
Mpaka lini? Masoud usimsamehe amekutukana sana brand yako!
YaN mwijaku unakihele Hele sana
maadam kaomba radhi na kajua kama kakakosea hilo litabaki kwa masoud ila kwa Mungu kwa hili hakuna tatizo
Halaaa. Mtu wamanaa kabisaa mwijakuu..
Unajiamini kuwa unaweza kumtukana na kumdhalilisha mtu yeyote sasa dunia imekufunza adabu
Wewe kenge mimi sikusamehe na asikusamehe
Unachezea mbwa kisha unakwenda msikiti pia unatangaza mikopo ya riba , hivi unajua hukumu za uislaam au unaufanya uislaam kama suti au kanzu yaani kama pambo?
Mechi bado moja bila😅😅😅
Ndio kawaida yako Diamond ulimchokoza , Tanasha , ulimchokoza , sasa Umekutana na Mwamba
Umeyatimba😂😂😂
Umesahau uchawa
Una hisi kila mtu ni mwambino😅
Mwijaku uende ukapimwe akili
Umeyatimba bb
KUNA UTANI PALE??😊
mawaidha tenaa
Sasa linajipendekeza😮 linajua kujipendeka
Chawa wa samia huyu😢
Huna akili siku zote huwa tunakuona chizi tu...
mbona kila siku wewetu mama yake na zuchu mama adija kopa uli muomba samaani nauyu kaka masuudi ngoja kwanza kaka kipanya achukue pesa yake zisha anza kuku levywa ina one kana pesa zabule ngoja apunguze mpe liziki ime mfika kaka masuud
Jamaa anaogea Kwa confidence tu 🤣🤣🤣🤣baada ya kuomba msamaha dah mm nisingemsamehe
Kabla ya masud kwenda mahakaman ilitakikana serikali impeleke kwanza yenyewe halafu sikuyakutoka ndo masud amkaange vzr
Tunataka bilioni 5 zetu mamae
Maneno na Matendo yako hayaoneshi kama wewe ni mtu wa Ibada ama mtu wa Mungu
Sijui kwa nini anatanguliza dini huku akikashifu watu hakumbuki hayo maneno ya kimungu.Mfedhuli mkubwa, anatafuta huruma kwa waislam kwa kutanguliza dini .Kama anahofu ya Mungu anayemtaja kwa nini awe na Taharuki awache unafiki huyo. Na hii sio njia ya mtu mwenye kuomba radhi
Mbona haya za Quran jaman
Yaaan wew autakiwi kusamehewa😂😂😂
Pumbafu sana huu jama aca apigwe nyundo ndo awe na adabu musenge san
Una muoneaga Simba Diamond Leo umejifunza bado ujasema na utasema
Kwaiyo huyo mwenyez mungu wenu anaongea kiarabu? mana naona kila unavyo mnukuu huyo mungu wenu una mnukuu kiarabu au ndo utumwa wa kifikra??
Acha Mihemko ya Imani Sikiliza Mada -
Kwanini hukuhoji jina lako kwanza kuwa la Kiarabu ?
@@ramadhanimtetu3656 Mungu hana lugha special lugha zote ni zake hata ukimuomba kwa lugha ya kiswahili anakusikia hiyo tabia mliyo lithishwa na warabu walio waletea dini waislamu ni utumwa. kama hamjui mnawaabudu warabu bila kujijua huo ni ukoloni mambo leo haiwezekani eti Mungu muumba mbingu na ardhi awe hana uwezo wa kusikia kiswahili, kihindi, kingereza, kijapan, waislamu huyo allah wenu munamshusha thamani sana inaonyesha huyo allah wenu hana uwezo wa kusikia lugha za viumbe wake tuna mashaka na huyo allah kama kweli ni mungu wa kweli muumba mbingu na ardhi
Lipa fine ya watu ili ujue namna ya kubalance mdomo
Wewe unaona bora pesa kukiko utuu.
We'we kalipe pesa Uko mahakamani wacha kujifanya unatia uruma kwanza dini yenyewe unaiziaki mala dini mala music ujui ukae upande gani Mm nasema masoudi kipanya huyu usimuachie mpeleke mahakamani alipe hili hawe na Adabu huyu wakati mwengine kasikia B 5 anataja mitume yote bwana mwembe😂
Umeyatimbaaaa😂😂😂😂
Upumbavu huwo unayo yaongea hukuyajua hayo angejiuwa je Masood shikilia wameoa kujipendekeza kwa silikari wapate liziki.
Wamezoeya kuchafua watu afundishwe
Mwijaku jirekebishe kwa mwendo wako kama hutojirekebisha utafungwa
Huo uislam unaojinadi unakwambia kama unaona jambo utakalo sema litamkwaza mtu usiseme .hayo yote hukuyajua?hapo hujaomba msamaha uliongea mambo mazito mno na sidhani kama masudi alipata usingizi siku hiyo.mahakamani ndio mahari dahihi pa kuthibitisha kaneno yako kuliko kuleta maneno mengi yasiyo na maana kifupi sinakuelewa
😮ujifuze kuongea majiymefika shingoni
Wamtangaziaa Nani...ibada......hujui chochoteee
Uyu choko nataman siku aje kuingia kwenye 18 za pfunk majani ataacha uo usenge wake
Unatumia dini kupata huruma
Mnafk sana huyu jamaa ataungua vibaya huyuuu 😂😂
subiri tuone sheria itaamua nn. usiongee sana
Uandishi gani wa habari mwijaku? Mbona unatuchosha😂😂😂😂
Hivi huyu baba anajionaga ana maana sana ndio maana mtu unasema ni shoga anaringia wanaume wenzie ndio maana anajifanya ana jeuri
Umepoaaa umepoaaa😂😂😂
Am not an expert in law lkn kutoka na public apology wakati uliemkosea ni mtu mmoja na keshafungua kesi tayari ni kukili kosa....kama ni mtu wa kupress na akiamua kukaza roho mambo itakua ngumu sana ungemtafuta huko mmalizane
Mnafiki uyo masud anajisafisha na viongozi was dini muongea ovyo uyo jamaa
Mbwa haujasema kitu unazunguka
acha mdomo kijana