Ajiuze na mwenyewe na family yake sio laslimali za Tanganyika tu inauzwa sad kizimkazi iuzwe pia watu wanashida kufukuzwa kila upande Mungu anajibu soon nina uchungu sana
Mbona huko kwao Zanzibar hatusikii chochote alichokiuza, ina maana wao hawataki faida? Kuna watu hapa miaka ijayo watakuja kutafuta pa kwenda kuishi kwa madudu yao wanayotufanyia Watanganyika, Tanzania ni kivuli cha kutupora raslimali zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu, iko siku tu
Huyo mama kauza nchi yote na watu ndani yake, majitu yapo yamekaa kimya kama vile hawapo. Na huyo mkuu wa majeshi atakuwa mzanzibari mwenzie la sivyo angekuwa mTanganyika angekuwa amejiunga na wananchi yaani waTanganyika.
Kwahiyo mtangazaji hukuwa na habari hii ya zamani kabisa. Tuniulize Watanganyika huyu anapotaka kugombea anataka kuja kumalizia nini hasa alichokiacha?! Kama tungekuwa na jeshi la kizalendo kama vijana wale akina Traole ingetosha kufanya kitu, lakini jeshi letu linahitaji kukombolewa kwanza kutoka kwenye makucha ya sisiemu
Tundu Lissu, "toto-tundu" you our Salvation, the serviour of and for recovery of our "lost Tanganyika and our Natural reources now being being sold left & right". Tell us the people, owners of our beloved Tanganyika" We morn and cry for our land, and long to see the day when we shall recover our country.
RAISI HASHITAKIWI KWA JINAI LAKINI MADAI TUTAENDELEA KUDAI MALI ZETU ........ na raslimali za Tanzania zitalindwa na watu WA bars na sio wanzanzibar .... pale kia CHINI yake Kuna MADINI ya Tanzanite
We mtangazaji acha unafiki, eti "sisi hatufahamu kama aliyosema ni kweli au la"! Pumbavu wewe, maadili ya taaluma ya habâri ni pamoja na kuchunguza ukweli au uongo wa habari husika. Sasa wewe unatulishaje habari ambayo huna uhakika nayo? Unajitoa halafu unatutaka sisi tucomment! Acha uzandiki, acha uchochezi!
Huyu Rais ni mzigo kwa Rais ajae,Maana kuvirejesha vyote hivyo itamchukua gharama kubwa mno,Hii ni zaidi ya kufisi nchi Tundu lissu hajawahi ongea uongo haya maneno yasipuuzwe kabisa.
Tumechoka kilakitu huyu mama anauza da mungu atashugulika naye sisi watanzania tutalua na mungu
Mungu ibariki Tanganyika
Ndoo maana katiba mpya ni kaa la moto kwa serikali hii kuikuikubali.INSHAALAH haki itakuja na ikaribu.
Lisu barikiwa sana umesema ukweli
sahihi
wazanzibari mdai katiba mpya akija raise was Tanganyika atalipa kwa kuuza visiwa hivyo
Mungu ibariki Tanzania viongozi na watu wake , waepushe na tamaa mbaya
Lisu tunakupenda sana.
Ajiuze na mwenyewe na family yake sio laslimali za Tanganyika tu inauzwa sad kizimkazi iuzwe pia watu wanashida kufukuzwa kila upande Mungu anajibu soon nina uchungu sana
Mbona huko kwao Zanzibar hatusikii chochote alichokiuza, ina maana wao hawataki faida? Kuna watu hapa miaka ijayo watakuja kutafuta pa kwenda kuishi kwa madudu yao wanayotufanyia Watanganyika, Tanzania ni kivuli cha kutupora raslimali zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu, iko siku tu
Mambo mazito haya Mtanzania maskini hakika hana haki. Ee Mungu haki ya taifa hili iko mikononi mwako baba. Utuhurumie.
Yesu arudi tu
Tundu lisu yupo sahihi uyu mama anazingua hawezi kuongoza ni Bora awachie wanaume yeye ni mama tu aendele kuvaa siketi mdogo family kt mtwara tz
Eeeh, haya makubwa tena!.
Mh!! Nchi lnakokwenda nipabaya sana
Jamani akauze kwao Zanzibar mbona anatufanyia hivyo kama ni kweli hii maajabu
Jamani huyu sio mwehu anachokisema anauhakika nacho na kama ni uongo mbona hawachukui hatua??
Huyo mama kauza nchi yote na watu ndani yake, majitu yapo yamekaa kimya kama vile hawapo. Na huyo mkuu wa majeshi atakuwa mzanzibari mwenzie la sivyo angekuwa mTanganyika angekuwa amejiunga na wananchi yaani waTanganyika.
Kweli
Akimariza kirakitu anarudi kwao zenji
😢😢😢😢
Makubwa haya mpaka Viwanja vya ndege vinauzwa kwa Waarabu Mungu kitu gani hiki
Saw
ASante tundu.. ni kweli kabisa
We anti pasi umejuaje?
Kwahiyo mtangazaji hukuwa na habari hii ya zamani kabisa. Tuniulize Watanganyika huyu anapotaka kugombea anataka kuja kumalizia nini hasa alichokiacha?! Kama tungekuwa na jeshi la kizalendo kama vijana wale akina Traole ingetosha kufanya kitu, lakini jeshi letu linahitaji kukombolewa kwanza kutoka kwenye makucha ya sisiemu
Kbs
Mnashangaa nini kuuza? Ndugai si alishasema.
Kama niuongo Wampeleke mahakani lisu hafungwi kizembe Anacho kiongea anajiamini huyu mama Ataiuza Tanzania yetu
Watanzania tusipuuze hayo maneno ya lisu.tukumbuke hata wakati wa raisi aliepita yalisemwa maneno na badae ikawa kweri
Namukubari. Lisu. Hawed kusemauongo
Tundu Lissu, "toto-tundu" you our Salvation, the serviour of and for recovery of our "lost Tanganyika and our Natural reources now being being sold left & right". Tell us the people, owners of our beloved Tanganyika" We morn and cry for our land, and long to see the day when we shall recover our country.
😂😅😅
RAISI HASHITAKIWI KWA JINAI LAKINI MADAI TUTAENDELEA KUDAI MALI ZETU ........ na raslimali za Tanzania zitalindwa na watu WA bars na sio wanzanzibar .... pale kia CHINI yake Kuna MADINI ya Tanzanite
Kama serikali inakanusha huu usemi impeleke lisu mahakaman tujue jambo hili
Nyie wabongo ni waongo
Huyu mama s rais wtu kbs amechuma mal anapeleka nchi yk
Hahasema uongo anakujua see we ndo dume la simba pokes mauwa yako mbowe na we pokes mauwa yako kwa kutuletea tundu lisu
Vijiji vya KIA Kilimanjaro navyo viandamane mara moja
Wamasai wamesahau hoja Moja ni katiba, kurudishiwa serikali ya Tanganyika Ili Watanganyika na wamasai wawe salama.
Si kila kitu wafanye wamasai, wewe umefanya nini?Acha akili tegemezi!
Inatisha
Hv jeshi lipo wp jmn litusaidie
We mtangazaji acha unafiki, eti "sisi hatufahamu kama aliyosema ni kweli au la"! Pumbavu wewe, maadili ya taaluma ya habâri ni pamoja na kuchunguza ukweli au uongo wa habari husika. Sasa wewe unatulishaje habari ambayo huna uhakika nayo? Unajitoa halafu unatutaka sisi tucomment! Acha uzandiki, acha uchochezi!
Fitna Tu hiyo haikusaidii ili upate Nafasi yake
Huyu Rais ni mzigo kwa Rais ajae,Maana kuvirejesha vyote hivyo itamchukua gharama kubwa mno,Hii ni zaidi ya kufisi nchi Tundu lissu hajawahi ongea uongo haya maneno yasipuuzwe kabisa.
HUNA SERA SIO MAPYA HAYO KUMBUKA KABLA ULISHASEMA UMENUNA KUITWA DUME LA SIMBA KAMA HILO TUKWITE JIKE LA NGURUE AU SOKWE MAANA MMEFANANA SANAAAAA
Kaeni huko z'bar msituingilie
Simba imara
Kumbeeeeeeeeeeiiii
Maamuzi mwaka 2025