HUYU LISSU HAKOMI AFICHUA MENGINE MAZITO KUHUSU VIWANJA VYA NDEGE KUUZWA KISIRI SIRI!.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 52

  • @annamanyama1247
    @annamanyama1247 Місяць тому +1

    Tumechoka kilakitu huyu mama anauza da mungu atashugulika naye sisi watanzania tutalua na mungu

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Місяць тому +1

    Mungu ibariki Tanganyika

  • @HemedMasoud-z8i
    @HemedMasoud-z8i 2 місяці тому +2

    Ndoo maana katiba mpya ni kaa la moto kwa serikali hii kuikuikubali.INSHAALAH haki itakuja na ikaribu.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Місяць тому +1

    Lisu barikiwa sana umesema ukweli

  • @henrymligo2440
    @henrymligo2440 Місяць тому

    sahihi

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Місяць тому

    wazanzibari mdai katiba mpya akija raise was Tanganyika atalipa kwa kuuza visiwa hivyo

  • @CastrolSebastian
    @CastrolSebastian 2 місяці тому +1

    Mungu ibariki Tanzania viongozi na watu wake , waepushe na tamaa mbaya

  • @Landisy
    @Landisy Місяць тому

    Lisu tunakupenda sana.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Місяць тому

    Ajiuze na mwenyewe na family yake sio laslimali za Tanganyika tu inauzwa sad kizimkazi iuzwe pia watu wanashida kufukuzwa kila upande Mungu anajibu soon nina uchungu sana

  • @leonardlameck7486
    @leonardlameck7486 Місяць тому

    Mbona huko kwao Zanzibar hatusikii chochote alichokiuza, ina maana wao hawataki faida? Kuna watu hapa miaka ijayo watakuja kutafuta pa kwenda kuishi kwa madudu yao wanayotufanyia Watanganyika, Tanzania ni kivuli cha kutupora raslimali zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu, iko siku tu

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz 2 місяці тому +1

    Mambo mazito haya Mtanzania maskini hakika hana haki. Ee Mungu haki ya taifa hili iko mikononi mwako baba. Utuhurumie.

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 2 місяці тому

    Yesu arudi tu

  • @SharifuMsawanje
    @SharifuMsawanje 2 місяці тому

    Tundu lisu yupo sahihi uyu mama anazingua hawezi kuongoza ni Bora awachie wanaume yeye ni mama tu aendele kuvaa siketi mdogo family kt mtwara tz

  • @FrankMashoto
    @FrankMashoto 2 місяці тому

    Eeeh, haya makubwa tena!.

  • @YusuphassanSaidd
    @YusuphassanSaidd 2 місяці тому

    Mh!! Nchi lnakokwenda nipabaya sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 місяці тому

    Jamani akauze kwao Zanzibar mbona anatufanyia hivyo kama ni kweli hii maajabu

  • @ValentineFrisch
    @ValentineFrisch 2 місяці тому

    Jamani huyu sio mwehu anachokisema anauhakika nacho na kama ni uongo mbona hawachukui hatua??

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 2 місяці тому

    Huyo mama kauza nchi yote na watu ndani yake, majitu yapo yamekaa kimya kama vile hawapo. Na huyo mkuu wa majeshi atakuwa mzanzibari mwenzie la sivyo angekuwa mTanganyika angekuwa amejiunga na wananchi yaani waTanganyika.

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 2 місяці тому

    Kweli

  • @RizikiMlela
    @RizikiMlela Місяць тому

    Akimariza kirakitu anarudi kwao zenji

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 2 місяці тому

    😢😢😢😢

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 місяці тому

    Makubwa haya mpaka Viwanja vya ndege vinauzwa kwa Waarabu Mungu kitu gani hiki

  • @JOANESSLVESTAR
    @JOANESSLVESTAR 2 місяці тому

    Saw

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 2 місяці тому

    ASante tundu.. ni kweli kabisa

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 2 місяці тому

    We anti pasi umejuaje?

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 2 місяці тому +1

    Kwahiyo mtangazaji hukuwa na habari hii ya zamani kabisa. Tuniulize Watanganyika huyu anapotaka kugombea anataka kuja kumalizia nini hasa alichokiacha?! Kama tungekuwa na jeshi la kizalendo kama vijana wale akina Traole ingetosha kufanya kitu, lakini jeshi letu linahitaji kukombolewa kwanza kutoka kwenye makucha ya sisiemu

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 місяці тому

    Mnashangaa nini kuuza? Ndugai si alishasema.

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 2 місяці тому

    Kama niuongo Wampeleke mahakani lisu hafungwi kizembe Anacho kiongea anajiamini huyu mama Ataiuza Tanzania yetu

  • @JaphetMulungu
    @JaphetMulungu 2 місяці тому +1

    Watanzania tusipuuze hayo maneno ya lisu.tukumbuke hata wakati wa raisi aliepita yalisemwa maneno na badae ikawa kweri

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655 2 місяці тому

    Namukubari. Lisu. Hawed kusemauongo

  • @bensonkaduvage9549
    @bensonkaduvage9549 2 місяці тому

    Tundu Lissu, "toto-tundu" you our Salvation, the serviour of and for recovery of our "lost Tanganyika and our Natural reources now being being sold left & right". Tell us the people, owners of our beloved Tanganyika" We morn and cry for our land, and long to see the day when we shall recover our country.

  • @RobertMwemezi
    @RobertMwemezi 2 місяці тому

    😂😅😅

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 2 місяці тому

    RAISI HASHITAKIWI KWA JINAI LAKINI MADAI TUTAENDELEA KUDAI MALI ZETU ........ na raslimali za Tanzania zitalindwa na watu WA bars na sio wanzanzibar .... pale kia CHINI yake Kuna MADINI ya Tanzanite

  • @SinarahaNtaraha
    @SinarahaNtaraha 2 місяці тому

    Kama serikali inakanusha huu usemi impeleke lisu mahakaman tujue jambo hili

  • @SuleimanMussa-x5i
    @SuleimanMussa-x5i 2 місяці тому

    Nyie wabongo ni waongo

  • @mohdhussein4548
    @mohdhussein4548 2 місяці тому +1

    Huyu mama s rais wtu kbs amechuma mal anapeleka nchi yk

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 місяці тому +2

    Hahasema uongo anakujua see we ndo dume la simba pokes mauwa yako mbowe na we pokes mauwa yako kwa kutuletea tundu lisu

  • @OliveryHagite
    @OliveryHagite 2 місяці тому

    Vijiji vya KIA Kilimanjaro navyo viandamane mara moja

  • @OliveryHagite
    @OliveryHagite 2 місяці тому

    Wamasai wamesahau hoja Moja ni katiba, kurudishiwa serikali ya Tanganyika Ili Watanganyika na wamasai wawe salama.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 2 місяці тому

      Si kila kitu wafanye wamasai, wewe umefanya nini?Acha akili tegemezi!

  • @MagdalenaMagere
    @MagdalenaMagere 2 місяці тому

    Inatisha

  • @BraxedaDomina-xn4zc
    @BraxedaDomina-xn4zc 2 місяці тому

    Hv jeshi lipo wp jmn litusaidie

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 місяці тому

    We mtangazaji acha unafiki, eti "sisi hatufahamu kama aliyosema ni kweli au la"! Pumbavu wewe, maadili ya taaluma ya habâri ni pamoja na kuchunguza ukweli au uongo wa habari husika. Sasa wewe unatulishaje habari ambayo huna uhakika nayo? Unajitoa halafu unatutaka sisi tucomment! Acha uzandiki, acha uchochezi!

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 місяці тому

    Fitna Tu hiyo haikusaidii ili upate Nafasi yake

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi 2 місяці тому

    Huyu Rais ni mzigo kwa Rais ajae,Maana kuvirejesha vyote hivyo itamchukua gharama kubwa mno,Hii ni zaidi ya kufisi nchi Tundu lissu hajawahi ongea uongo haya maneno yasipuuzwe kabisa.

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 2 місяці тому

    HUNA SERA SIO MAPYA HAYO KUMBUKA KABLA ULISHASEMA UMENUNA KUITWA DUME LA SIMBA KAMA HILO TUKWITE JIKE LA NGURUE AU SOKWE MAANA MMEFANANA SANAAAAA

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 2 місяці тому

    Simba imara

  • @RaphaelMbughi-n1g
    @RaphaelMbughi-n1g 2 місяці тому

    Kumbeeeeeeeeeeiiii

  • @MartinGao-pq3ed
    @MartinGao-pq3ed 2 місяці тому

    Maamuzi mwaka 2025