Huu ndio Ushahidi wa ARAFA Moja katika Vitabu hivii!!. Sh. Nurdin Kishki.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024
  • Omar Bakari Almasi online tv

КОМЕНТАРІ • 194

  • @user-pe9ki4nv1x
    @user-pe9ki4nv1x 2 місяці тому +2

    Yaani mpaka nalia jinsi watu wanavyotupoteza ktk dini ahsante shekhe kishki Allah akuifadhi

    • @AhmedNdegwa
      @AhmedNdegwa 2 місяці тому +1

      Kama wewe uko kish uko rong

  • @Saimugwaotv
    @Saimugwaotv 5 років тому +4

    Asante babu namuona shekh nikiwa ktk mji wa Mina mashaalah hongera sana ..na umeikata vizuri saaana

  • @FadhiliFadhili-qq7zi
    @FadhiliFadhili-qq7zi 2 місяці тому +2

    Asante ustadh wangu kishki jazakallahu khairaljaazaai

  • @AbuuAyman-nq6xk
    @AbuuAyman-nq6xk 2 місяці тому +1

    Kishki una sauti Kali na ufasaha mkubwa wa lugha ya kiwahili tatizo ni tanaqudh tu katika maneno yko ebu karudi ujiskize maongezi yko Allah atakuonyesha haki akuafikie kuifata

  • @KhadiaAli
    @KhadiaAli 2 місяці тому

    MashaAllah sh kiski ,MWENYEZIMUNGU akubarick kwa mawaidha yako uzidi kutupa elimu ,tunakupenda sana

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi 2 місяці тому

    Mashallah mtaalam wetuu wa dunia ,,Allah akuepushe na watuu wenye ftna juu yakoo

  • @uiavajiwgav5441
    @uiavajiwgav5441 2 роки тому +7

    Lakushangaza sikuyakusherekea siku yawamama amasiku yaukimwi duniani hawasemi marekani sahii niusiku wote wana sherekea kama nijumamosi wote jumamosi ila siku ya arafa ndio hawataki kuwa pamoja

    • @hidayasaid5131
      @hidayasaid5131 2 роки тому

      Hapo sasa

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 Рік тому

      Christmas WANA funga maduka eti holy day hawa semi Tokyo Japan niusiku wata kosa Christmas na haiwa husu

  • @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
    @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN 2 місяці тому

    Haipendezi Sana na sipendezewi Sana na unavyfoka muelewane Msiwapotoshe waumini Kishki badilika

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 3 роки тому +1

    Mashallah. Allahumma Allah atusadikishe ktk twaa yake atudumishe ktk dini yake. Amiin

  • @salmabintuthman3243
    @salmabintuthman3243 3 роки тому +3

    Kitu ni kimoja tu. Kila muislamu aelewe kua kila time kuna Adhana na watu wanaswali nchi tofauti tofauti. Mzunguko upo. Allah atuunganishe

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Kuna wengine hawajui hayo wana kashf na dharau sio vizuri

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 5 років тому +2

    Allah Bariq Sheikh Kishk

  • @IssaRamadhan-r1o
    @IssaRamadhan-r1o 2 місяці тому

    ربنا انا اطعنا سادتنا وكبراءنا فاضلون السبيلا

  • @mchoromohammed6606
    @mchoromohammed6606 2 роки тому +2

    Yaani unadiliki kumpinga imam mmoja kwakuwa kasema tofauti na wenzake...!!?? Pole sana

    • @IsmailIsmail-ix1yd
      @IsmailIsmail-ix1yd 2 місяці тому

      Hebu soma kwanza mas-ala ya usulul fiqhi kisha uongee.

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 2 місяці тому

      Pole wewe Kwa kweli wewe inaonesha hata ukipigiliwa msumari wa inchi 4 kichwani basi huelewi na wala hufahamu!na huelewi hata hukmu za kielimu ktk hitlafu Kwa wanazuoni wanapohitilafiana

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 3 роки тому +5

    HAKUNA MWANDAMO MMOJA DUNIANI KOTE NI KWAMBA WEWE KISHKI HUJAMFAHAMU HUYO ABUU HANIFAH WALA IMAAM MAALIK WALA IMAAM AHMAD. USIPOTOSHE WATU KISHKI KWA KUTAKA KUNDI.

    • @alsonmohamed9805
      @alsonmohamed9805 3 роки тому

      Ww uliowafaham wanasemaje miandamo ni mitatu

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 роки тому

      Mh, BIDAA zimekujaa

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Рік тому

      Tufahamishe ww msomi uliowafaham ao maimamu watatu walikusudia vp?

    • @RehemaChande-rc4fv
      @RehemaChande-rc4fv 2 місяці тому

      Wee ndiyo unapotoka cyo kishki

    • @mzulwa2006
      @mzulwa2006 2 місяці тому

      Arafa ni siku insyotokana na kisimamo cha arafa kwa wakati huu wetu baada ya kufaradhishwa hijjah kabla ya hapo ilikuwa haiangalii kisismo cha arafa

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 місяці тому

    ALLAH AKUBAARIK SHEKH KWA KUZIDI KUTUPA MWANGA

  • @rahmaally6885
    @rahmaally6885 5 років тому +1

    Naomb Allah amlind Sheikh Nurdin kishki azidi kupigania na kuitangaz hakki

    • @omarsaid8166
      @omarsaid8166 3 роки тому

      Sio amlinde Allah amuongoze sababu apoteza umma

    • @omarsaid8166
      @omarsaid8166 3 роки тому

      Sio amlinde Allah amuongoze sababu apoteza umma

  • @afric01
    @afric01 2 роки тому

    Aslm alkm ww.... Masha Allah!!¡ Sheikh wetu kipenzi. Allah atuongoze. Shukran . Jazakallah kheir 🙏

  • @MuzneShaame
    @MuzneShaame 2 місяці тому

    Asante shekhe kwa elimu

  • @sofiaahmed8880
    @sofiaahmed8880 5 років тому +3

    Asante sheikh kisha,kwa taarifa ya busara

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 5 років тому

    MashAllah Allah akupe pongez akuhfadh na hasaad

  • @MILKARICHARD
    @MILKARICHARD 2 місяці тому

    Mam alhamdup

  • @mohdsheha8295
    @mohdsheha8295 2 місяці тому

    Asante

  • @MILKARICHARD
    @MILKARICHARD 2 місяці тому

    Nam alhamdulah

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross1132 2 роки тому

    Sio kweli mwezi mmoja duniani nzima. Kadhi yupi atatangaza

    • @IsmailIsmail-ix1yd
      @IsmailIsmail-ix1yd 2 місяці тому

      Kadhi unayemsubiri hajayapenda haya, rudia khutba ya Mufti wa Tanzania ya mwaka huu 2024 siku ya kuanza kufunga aliongea, akasema Shekh Hemed bin Jumaa alipewa amri ya kutangaza amri kutoka juu! Akasema mbona mwezi bado haujaonekana? Akaambiwa hiyo ni amri kutoka juu! Aliwaamuru waislam wafungue na wakala ila yeye alifunga. Hii ndio Tanzania yetu. Kwa hiyo msubiri kadhi wako atapewa amri atatangaza.

  • @JumaHaji-zz8xk
    @JumaHaji-zz8xk 2 місяці тому

    Mashaa allaw

  • @majaliwaothman3453
    @majaliwaothman3453 5 років тому +1

    Mashallah

  • @FaridNahoda
    @FaridNahoda 2 місяці тому

    aslm alykm sheikh kishk unaposema msimamo ni ppte unapoandama tufate sawa lkn hao saudia ukiandama ppte wanafuata naomba jibu sheikh wng au siku zote unaandama kwao tu mwnzo

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 2 місяці тому

    SubhanaALHA

  • @salumbahria7643
    @salumbahria7643 2 роки тому +2

    Ile aya ya “sumuuu biruuyatih” nahis ilishuka kwaajili ya watu wa Mecca tu Sis tulobaki uku kwengine tuone tusione ilhali mecca wameuona sisi tunatakiwa tuwafate wao hata kama tutauona kabla yao hatutakiwa kufunga wala kuuanza mwezi bila wao kuwa wameuona Swala mwezi si ni Mmoja so we have to wait for them

    • @uiavajiwgav5441
      @uiavajiwgav5441 2 роки тому

      Hujakatazwa kufuata mwezi wakwenu ila arafa hakuna mbili nimoja

  • @hassanalialiadan8486
    @hassanalialiadan8486 3 роки тому

    Masha allah

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 роки тому

    Shukrani

  • @salumazrui5558
    @salumazrui5558 3 роки тому

    Mashaallah

  • @shalihamadi5322
    @shalihamadi5322 2 місяці тому

    Huna hoja za msingi juu ya hili sheikh

  • @jamilanyangasa2427
    @jamilanyangasa2427 5 років тому

    Maa shaa Allah

  • @salumbahria7643
    @salumbahria7643 2 роки тому +6

    Kwa Mantiki Hiyo Inakuwa Haina Haja Ya Kutazama Mwezi Sisi Tulipo Njee Ya Mecca Tusubiri Tu Mwezi Ukiwa Unaandama Mecca Then Sisi Tufaate Uko

    • @user-oo2rr7jd6w
      @user-oo2rr7jd6w 2 місяці тому

      Tatizo la funga ya Arafa ni pale inaposemwa kua, tunapaswa kufunga wakati mahujaji wamesimama Arafa, inaeleweka wazi kua Alfajiri haianzii Saudia Wala Africa, Bali nchi za mashariki ya mbali, pia na Magharibi pia inaanzia hukohuko, tunajiuliza Kwa Nini tuzozane Kwa mwezi unao tangazwa Saudia, Kwa Nini watu wanao Anza kupata magharibi wasitutangazii wao kuonekana Kwa Mwezi ? watu wa visiwa vya philipin, au visiwa vya FIJI. Au Japan au Australia, Hivi Hawa wanaweza kuipata Arafa, na wao ndio wano anza kuipata Alfajir au Magharibi ? Sisi na wao wanayo tofauti ya zaidi ya masaa 8, mahujaji hawajenda Arafa wao usiku tayari umeisha ingia, ikiwa ni hivo ndio maana ile Sheria ya ikiwa Kuna ukungu juu yenu timizeni thelathin, inaondoa tatizo na migongano juu ya mwandamo wa mwezi, Allah mwingi wa Rehema yeye anajua, na Kwa kua kwake ndio marejeo yetu, basi tutapofika kwake Allah, atatuhukumu Kwa Yale tuliyo hitilafiana,

    • @arafataliomar7432
      @arafataliomar7432 2 місяці тому

      Ipo haja mana mwezi waweza ukawa unauwezo wa kuowona wewe mwenzako hana lazma tutafute atakae uona arifu na wenzake

    • @yahyabakar7859
      @yahyabakar7859 2 місяці тому

      Iwapo tutakuwa na mawazo hayo mwisho watu watafanya hija ya kwao

  • @iptysambaghazal2507
    @iptysambaghazal2507 Місяць тому

    Ja jaka llahu

  • @rahmaally6885
    @rahmaally6885 5 років тому +1

    Masha Allah Sheikh Allah akulind na mabaya na fitna zao kwani wapo watu Allah awaongoe wakiongoe manen mabay dhidi yako na wakilazimish wote tuamin manen yako
    Lkn ww masha Allah hurud nyuma bado wasong mbele kwa ajili ya Allah hakika ww ni mtu wakufatwa bado watetea hakki kila uongeapo
    Tunakupend Sheikh for the sake of Allah

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 2 роки тому +3

    Kwanini wanasema Arafat ziko mbili ijuma zisiwe mbili?

  • @RamadhaniKumbangulu
    @RamadhaniKumbangulu 2 місяці тому

    Kwa dizaini hiyo sheikh letu kishiki bado sana na utapata tabu sana suala la mwezi linataaki na mwezi sio mawazo Yako potofu

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 2 місяці тому

      Yaani wewe ni Baba la Wajinga!Kishki hakutoa hata wazo moja lake hapo!hayo ni mambo ya Fatwa za wanazuoni wagwiji wa fikhi au kichwa chako hakibebi mambo?

  • @abunufilaabunufila2152
    @abunufilaabunufila2152 2 місяці тому +1

    Wewe mpuuzi sisi tupo Oman lakini tutaswali kesho kutokana na muandamo wa mwezi

    • @waladuwaladu1210
      @waladuwaladu1210 2 місяці тому

      Mpuuz nani

    • @abeidpazia1720
      @abeidpazia1720 2 місяці тому

      Kufunga siku ya Eid ni haramu ww acha ushamba kua Imani sio tatizo kwani Imani watu wanakuja kuhijii

  • @salehpandu2250
    @salehpandu2250 3 роки тому

    Ni shekh mzuri sana kwa kusoma ila ufahamu mdogo na hii ndo shida ya kutokusomeshwa

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 роки тому

      Ww una lako

    • @abrahamansaidi8631
      @abrahamansaidi8631 3 роки тому

      Hakika

    • @abrahamansaidi8631
      @abrahamansaidi8631 3 роки тому +1

      @@mohamedhaji2200 hakika kishik anatakiwa akasome

    • @omarysaidy5524
      @omarysaidy5524 3 роки тому +1

      @@abrahamansaidi8631 we apo unatakiwa ukasome haya ongea na imma bs kama kweli we ni msema kweli huna akili ww

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 3 роки тому +1

      @@omarysaidy5524 mbona povuu? kwanza mjibumaswali yaliyoulizwa wasenge sn mawahabi nyie

  • @user-ib1yl3zp5v
    @user-ib1yl3zp5v 2 місяці тому

    usilazimishe jambo lenye ikhtilafu kua katika qauli moja kua muadilifu hiyo sio ilimu ni uhizbi na wape haki qauli ya jamhuri kuhusu mwezi ni iopi tembea na hiyo afwan

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 2 місяці тому

      Inaonesha sheikh hukumfahamu!msikilize vizuri ndio uhukumu!nyie munaofuata mwezi wenu ndiom unaowahukumu wanaofuata misimamo ya maimamu watatu aliowataja Sheikh,na si Hilo Tu Bali munapotosha Kwa kusema uongo kwba wale wanaofuata hao maimamu kwba wameleta Jambo jipya!lkn ni kuwa hamuiraki Tu kusoma munalisha maneno na Sheikh wenu Abu IDD wa Buguruni

  • @abasijuma6989
    @abasijuma6989 2 роки тому +1

    Mtume amesema funga ya siku ya arafa hakusema funga ya mwezi tisa kana kwamba alijua kutakuwa na watu watakuja kuugawa mwezi kila mtu awe na hesabu yake wakati siku ni moja mwezi mmoja

  • @AhmedNdegwa
    @AhmedNdegwa 2 місяці тому

    Uriswali 9arafah

  • @khamisameir6482
    @khamisameir6482 5 років тому +2

    akaa kumbe hii ndio iliyomchefua kiumbe
    haki itakua juu tu

  • @suleimanabdallah878
    @suleimanabdallah878 5 років тому

    Mashallah hizib umepita vizuri

    • @hamisirashidi61
      @hamisirashidi61 5 років тому

      Hizb mwenzie mafuta mbn humsem mzee!!, au unatklid

  • @shalihamadi5322
    @shalihamadi5322 2 місяці тому

    Umeongea maneno mengi lakini ueleweki tuambie mtume alifunga harafa kwa kufuata maujaji waliokuwa macka au kabla ya kushushwa hija watu hawakufunga harafa ndio mambo ya kutueleza

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 2 місяці тому

      Wewe ni mpungufu Sana wa maarifa na ufahamu!hadithi alizosoma kwani ni maneno ya Nani?na zimeelekezaje?

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 роки тому +1

    aslm shekh Mimi nilkula idul athah dar wakifungwa saum kigoma tulikula

  • @rajabdanga8590
    @rajabdanga8590 2 місяці тому

    Wambie shekhe mashe wenzio ss sio mashekhe lakin tunajua batwir na haki

  • @HamisiFakhi-mx4tb
    @HamisiFakhi-mx4tb 2 місяці тому

    Ukiitwa kwenye mdahalo hutaki umewakusanya huwo nitajiwako wekushapijapesa

  • @shahazadrahma
    @shahazadrahma 2 місяці тому

    Huyu anajua kusema,ila apishana na kaka yake,huyu mwehu,sasa kama unajua ikhtilafu ipo sasa povu la nini,

  • @user-zs6qg7ql1i
    @user-zs6qg7ql1i 2 місяці тому

    Kishki kw swali la mwezi umepotosha watu maan Australia america na china hio arafa hawatoipata mpk kiama

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 місяці тому

    Bakwata wana ajenda yao ya siri na kutupotosha na kutugawa Waislam

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 2 роки тому +1

    HHHHHHH KISHKI hua unanifurahisha kwa hasira.
    Soma baana.
    Unapenda kurusha rusha maneno bila maandiko wala kufikiria.😁😁😁😁😁

  • @athumanikiano7872
    @athumanikiano7872 3 роки тому +1

    Mtume ni wadunia nzima mbona kwa maelezo yake mbona unamdhalisha atakua haenii dunia nzima

  • @salmamasuod1472
    @salmamasuod1472 5 років тому +5

    Sijawai kujuta kusikiliza mawaitha yako kishk tatizo waislamu tumeitia dini akili.

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko4383 4 роки тому +2

    Kishki unajazba sana ww angekua Othman maalim maalim apo busara hadi raha

  • @SaleemASalim
    @SaleemASalim Місяць тому

    Unapaswa kutambua USA inatofautiana kulingana na majimbo

  • @user-wl3qj2fx8u
    @user-wl3qj2fx8u 2 місяці тому

    Wanasema juzi kwa hapa nchni kwetu Kishki kwani inashinda gani kichwani?

  • @maawymuhammad6779
    @maawymuhammad6779 Рік тому +1

    Wacha urongo wewe maimamu watatu wamekubalina kwamba kila watu wafuate mwezi wao ila imam ahmad ibn hambal ndo ywasema kwamba kila mmoja afuate mwandamo mmoja tu.

  • @IssaRamadhan-r1o
    @IssaRamadhan-r1o 2 місяці тому

    hao wnaogopa kwenda kinyume na mabwana zao.sikiliza allah alivyo sema.يوم تقلب وجوههم في النار.يقولون ربنا يليتنا اطعنا الله واطعنا الرسولا.

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 3 роки тому +2

    Naomba nisaidiwe wale ambao mchana wa Makka kwao ni usiku Arafa wafunge lini?
    Iwe je kila mwezi tuulize huko nje wakati na hapa upo.

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 3 роки тому +2

      Kwanza uelewe Saudia Arabia ipo Middle East, kwahiyo ipo katikati ya Dunia na kwa maana hiyo hakuna nchi iliyotofautiana na Saudia Arabia zaidi ya masaa 12 (nusu SIKU). Kwahiyo siku itabaki ni hiyo hiyo ila tofauti ipo ya masaa, na tofauti ya masaa hata nchi moja inaweza kutofautiana masaa baina ya miji na miji.
      Lakini pia tuangalia majority za nchi tunaenda SAMBAMBA na Saudia Arabia na hizo chache ka Australia na Honolulu hizo ni dharura, wataabudu kulingana na mazingira yao.
      Lakini nchi kama Tanzania pia tulete hoja za kutofautiana masaa?

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 роки тому

      Wao wamepata dharura ila Kama hapa tz majira yetu yanaendana sisi hatuna dharura ndugu.kigoma jua linachelewa kuzama zaidi kuliko makka sema ni kujichetua tu ila kila mtu anajua kua mtume kasema watu wafunge siku ya arafa.iv tulisema watu wafunge siku ya uchaguzi iv kuna mtu anaweza kufunga kesho yake halafu tuseme anaakili kweli

  • @Bulicheka
    @Bulicheka 5 років тому

    Shukraan

  • @wagaaadan8976
    @wagaaadan8976 5 років тому +2

    Sheikh bakwata wanaona kama unachukua madaraka yao wanaogopa hiyo nyomi si ya kawaida watu wanafuata haki sheikh kishki mungu akulinde watu wana husda sana kwenye hii dunia tena waislam tunaongoza kwa chuki 🤣

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Amine ya rabby

    • @omarsaid8166
      @omarsaid8166 3 роки тому

      Bakwata wanatetea umma usigawanye kishki ndio anakita kiti cha bakwata na hatokipata inshallah

    • @omarsaid8166
      @omarsaid8166 3 роки тому

      Hio ya kishki sio haki ni batwil na yeye kishki ndio ana husda na mungu hayupo na dhwalimu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 місяці тому

    Tunamjua huyo na tumeishuhudia clip hiyo akikiri kwamba kufunga ni siku ya Arafa pindi wenzetu wanaposimama kule Macca,lkn baada ya kupata cheo Bakwata akabadilika na kuja na msimamo mpya.....

  • @feswalsalim7909
    @feswalsalim7909 3 роки тому

    Aslm alaykum pale pasipo sahihiswa tupewe ashirio sahihi elm bahar

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 3 роки тому

    SHIDA NI ELIMU TUU NDIO SHIDA JAMANIII.

  • @user-wl3qj2fx8u
    @user-wl3qj2fx8u 2 місяці тому

    Leo ni ya 10 kwa kufuata mwezi wa nchi gani?

  • @RehemaChande-rc4fv
    @RehemaChande-rc4fv 2 місяці тому

    Nakuelewa xanaaa😅😅😅😅

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 2 місяці тому

    atao mibakwaya inababa Yao anae watangazia mwez

  • @sefuriyembe7864
    @sefuriyembe7864 2 місяці тому

    Sh.Kishki jifunze jiografia, saudia wakiwa arafa, wakati wa dhuhuri China wanasali magharibi !! Unapoteza watu.😅😅

    • @hajikatanje5961
      @hajikatanje5961 2 місяці тому

      Kwani wewe unaishi china?maana hutoi mifano ya inchi unazo fafanana nazo kwa masaa siku ndio maana mnayumbishwa yumboshwa nenda kasome wewe bado hujachelewa

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 3 роки тому +2

    Lakini sheikh mbona umemtaja Abuu Hanifa kwamba msimamao wake ulikuwa wa tarekhe moja lakini umeshindwa kutoa ushahidi maneno gani alisema au alifanya kwenye hilo? Unatumia tu maguvu ya kuongea mbonaaaa

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому +1

      We unao jua si utufamishe halaf tuache kukashf mashekh wahadhr tusiwape wengine fayda

    • @omarysaidy5524
      @omarysaidy5524 3 роки тому

      @@hassanimouigni6648 swadcta

  • @saadallah6287
    @saadallah6287 2 місяці тому

    Tatizo wewe kishki kinyonga leo upo na masufi leo upo na watu wakisuna njaa

  • @husseinshadhily9329
    @husseinshadhily9329 2 роки тому

    Haya ikiwa watu wametofautiana siku je arafa yao itakua je watakua hawana arafa

  • @suleymanejumah9730
    @suleymanejumah9730 2 місяці тому

    Muislam kuikataa tarehe ya dhul hija ya maka utakua jahili zwazwa

  • @shadyaaboud2405
    @shadyaaboud2405 2 роки тому

    Myoee noo,toa hoja

  • @salmabintuthman3243
    @salmabintuthman3243 3 роки тому

    Sheikh mtafute sheikh Dr Islam wa masjid Azhar mombasa akuelezee vizuri juu ya hapo AZHAR UNIVERSITY

    • @alsonmohamed9805
      @alsonmohamed9805 3 роки тому

      Kwqhiyo kuna azhar tena Kenya nacho ni chuo

    • @salmabintuthman3243
      @salmabintuthman3243 3 роки тому

      @@alsonmohamed9805 la. Sio chuo Bali Ni masjid Inaitwa Azhar. Mombasa

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 3 роки тому

    SIO KWELI KWA HAPA TANZANIA ILIKUA NI YA TISA ILA KWA MSIMAMO WAKO WEWE LEO NI YA 10

    • @alsonmohamed9805
      @alsonmohamed9805 3 роки тому

      Hueleweki naww

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 роки тому

      @@alsonmohamed9805 hutaelewa tena

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому +1

      Halaf una onekana ni mwalim mkuu unafundisha wapi? Awu unatafuta kumkosoa kishk panda kwenye mimbari ufundishe umma sio kulalamika

  • @salumshaibu3412
    @salumshaibu3412 4 роки тому +1

    Yatakikana kufunga siku ya arafa kwa asiyekwenda hijja sio dalili yakuwa arafa niile inayosimamwa makka

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 2 роки тому

      Utakuwa una funga nn ndugu YANGU Uwanja wa ARAFA uko Makkah kibla IKO Makkah hizi ni zawadi Mwenyezi MUNGU ame wapa watu WA Makkah

  • @HamisiFakhi-mx4tb
    @HamisiFakhi-mx4tb 2 місяці тому

    Unapingana hata nakaka yako

  • @ibrahimyusuph1468
    @ibrahimyusuph1468 3 роки тому

    Yapendeza na yatakikana je ni wajib na lazima kufungana na mahujaji, au ni mkifungana na mahujaj ndo yapendeza zaidi......?

    • @ammoahmed2561
      @ammoahmed2561 3 роки тому

      Jee wale ambao arafa inawapata wako usiku. Wadanye nini? Wafuate Arafa gani? Elimu tumia Mantiq shehe

  • @sheikhabdul-raufalmunaawiy3367
    @sheikhabdul-raufalmunaawiy3367 2 роки тому

    ua-cam.com/video/6HyMwGdAs1w/v-deo.html
    *SHEIKH ALHAD MUSSA, ALLAH HAOGOPI KITU CHOCHOTE.*
    SHEIKH ABDUL-RAUF KAGIMBO ALMUNAAWIY

  • @nurdiniabdillahi3558
    @nurdiniabdillahi3558 2 місяці тому

    Kumbe naye huyu pungu

  • @hakikwadalili
    @hakikwadalili 5 років тому

    Asalamu alaykum wa rahamtullahi wa barakatuh.
    Kwanza tunakupongezeni kama tunavozipongeza nafsi zetu kwa kutimiza ibada hizi za funga ya arafah na kuadhimisha siku ya Iddi.
    Pili inafahamika kuwa hakuna ulazima wa tarehe kuwa moja kwa siku husika ndani ya Uislamu, na hadithi ya Kuraibu iliyopo katika sahihi Muslim ni ushahidi tosha katika hili shaamu waliuona ijumaa ama madina wao waliuona jumamosi na kila upande ulijishika na muandamo wake ikawa siku moja ina tarehe tafauti.
    Tatu Inafahamika kuwa Siku ya Arafah ni siku ya 9 ya mwezi ya Hija, kwa haji siku hiyo kwa mujibu wa muandamo wa majira ya Makka anasimama katika mlima wa Arafa, pia waislamu wanafunga siku ya 9 ya mwezi huo huo kwa mujibu wa miandamo ya miji yao kwani ndiyo siku ya arafa kwao.
    Nne inafahamika kuwa katika karne zote zilizopita Waislamu walijifunga na miandamo ya miji yao ambayo ilitafautiana kama inavyotafautiana mpaka hii leo.
    Kullu aamin wantum bikhairin.

    • @badimunisi677
      @badimunisi677 4 роки тому

      Poa

    • @swahibuallymussa154
      @swahibuallymussa154 4 роки тому

      RURUDINI ACHA POROJO,TUNATAKA MAJIBU YA KUMJIBU,1)MUFTI WA OMAN (2)KUMJIBU MUFTI WA SAUDIA(3)KUITOLEA MAELEZO HADITHI YA QURAIBU AMBAYO INAONYESHA MIANDAMO YA MWEZI TANGU ENZI ZA MTUME NA MASWAHABA ILIKUA TOFAUTI,NA HATA KARNE MOJA ILIYOPITA KILA WATU WLIKUA WANAFUNGA KWA MUJIBU WA MUANDAMO WA MWEZI KTK MAENEO YAO,AU WALIKUA WANATAMBUAJE KAMA LEO NDO SIKU WALIYOSIMAMA MAHUJAJI KTK MLIMA WA ARAFA KABLA YA TV NA VYOMBO VINGINE VYA MAWASILIANO?ACHA UJUHA WA KUWAPOTOSHA WATU,NA MAJIBU HAYA MBONA HUKUYATOA MUBAASHARA NA MUDA ULE WENZIO WAKATI WANAFUNDISHWA NA SHEIKH ABUU IDI?UWINGI WA WATU WANAOKUSIKILIZA SIO ALAMA YA KUKUBALIKA/UKWELI WA UNALOLIZUNGUMZA,MBONA HATA WALOKOLE,WASABATO,WAKATOLIKI NK,WANAJAA HATA ZAIDI YA UJAO HUO,?NYINYI NA WALOKOLE HAMNA TOFAUTI,LENU MOJA,LENGO LENU NI KUWAGAWA WAISILAMU,LAKINI IPO SIKU MTAJUA.

  • @abunufilaabunufila2152
    @abunufilaabunufila2152 2 місяці тому

    Sasa unauhakika kama mwezi umeandama huko saudia

  • @mohdahmed5389
    @mohdahmed5389 2 роки тому

    Kishiki wewe uliletewa hao masheikh wenu wa saudi arabia msikitini kwako temeke na alipoulizwa suali hilo alijibu kila mmoja afunge kwa kuona mwezi mbona hukumwambia sheikh unakosea?ninachokiona vijana wa kisasa ni jazba tu .mumekosa hekma .tulikuwa na masheikh wakubwa hapo nyumbani akina Abdalla saleh farsiy,Hassan bin ameir,Ameir Tajo sheikh Baruwaniy na wengineo tele tu.wala hakukuwa na hizo tofuti zenu ,au tuseme nyinyi wa leo muna elimu zaidi kuliko hao wazee wetu maarufu waliotangulia ,muogope Allah iko siku mutasimama mbele ya Allah na mutaulizwa juu ya yote hayo.

  • @mchoromohammed6606
    @mchoromohammed6606 2 роки тому

    Kwani funga ya Arafa ni Faradhi au Sunna!!??

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz2871 5 років тому +1

    Naona Nurdiin kishki anaongea sana tenaaa kwa jazba na povu la hali yaaa juuu watu wanataka hoja sio makelele brother ha ha ha ha ha aha aha aha ha

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 5 років тому +1

      Sasa unataka hoja gani?
      Ametoa kauli za wanavyuoni wa zamani akiwemo Abuu Hanifa na Ahmad bin Hambal, pia ametoa kitabu cha mwanachuoni wa madhehebu ya kishafy, au huoni wala husikii?

    • @rahmaally6885
      @rahmaally6885 5 років тому

      Nende naww ukapige makelel yako na utoe hoja sio mwarush vijemb tu zidi yake acheni fitna

    • @rahmaally6885
      @rahmaally6885 5 років тому

      Hao hawaon kheri za Sheikh hata Sheikh aseme nn coz mioyo yao tayar ishaeka fitna zidi yake Allah awaongoe

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 5 років тому

      @@rahmaally6885 tatizo lako umesikiliza sehemu moja umetizama na kwengine

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 5 років тому

      @@rahmaally6885 ua-cam.com/video/wMRG9VQ0UeI/v-deo.html tizama hiyo link uangalie sio unadhan kwamba shekhe wako hakoseiii acha ujinga

  • @abdallahkawambwa2666
    @abdallahkawambwa2666 2 роки тому

    Achakuwadanganya watu wewe muwahabi makelele megii

  • @wahajbahbagii6857
    @wahajbahbagii6857 5 років тому

    Tatizo ushahidi haujitoshelezi anatakiwa ajibu hoja za wale mashekhe watatu #MUFT WA OMAN SHEKHE UTHAMIIN NA SHEKHE WA MAKKA KATIKA KITABU CHA QARARAT

    • @bakariyusufu2014
      @bakariyusufu2014 5 років тому

      Shekhe nenda ukasome kwanza hua vitabu vyetu havina agano jipya hatutaki vitabu vya juzi tunataka dalili za wanawazuoni walitangulia na kama hujasoma hebu angalia hata kwa macho hivyo vitabu vya al akhe kishiki na vya abuu idi

    • @bakariyusufu2014
      @bakariyusufu2014 5 років тому

      Sasa sijui wewe unataka ushahidi gani

    • @bakariyusufu2014
      @bakariyusufu2014 5 років тому

      Kingine alisema marekani ikiwa usiku maka ni mchana na aliesema marekani na maka wanapishana kwa masaa nane mpaka saba na nani mkweli au aliebainisha

    • @rahmaally6885
      @rahmaally6885 5 років тому

      Kwann naww usende kusoma kazi kukaa na kukanush kila Sheikh akisemach yani nyie mioyo yenu ishaek fitna zidi ya Sheikh so Sheikh hata atoe ushaid wa manen gani bado tu mtapinga achane zahma na fitna

    • @abrahamansaidi8631
      @abrahamansaidi8631 3 роки тому

      @@rahmaally6885 huyo IBN UTHAYMIN kwenye Mambo ambayo yanawakandamizi mnakataa mnadai Salaf gani wa juzi tu
      Ila hapa tumewanukuu mashekh wa zama hizo mnataka fatawa ya IBN UTHAYMIN kwasababu inawabeba

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 3 роки тому

    SIO KIAKILI MZEEEE..KIELIMU NA KIUKWELI. KWAIYO IBNU ABBAS NA MUAAWIYAH,HAWA VIPI? TUPE FATWA.

  • @salmabintuthman3243
    @salmabintuthman3243 3 роки тому

    Jamani shekhe usilazimishe Arafa kua 1 kwa sababu dini haianzi leo. Wale nchi zao ambao wanalingana time zao za maghrib na makaa hao wanaweza kufata mwezi wa makaa lakini sasa kama America wako wapi na Arafa ya makaa. Acheni ubishi kuna matatizo tele ya waislamu nyinyi mnafatia haya.

  • @omarsaid8166
    @omarsaid8166 3 роки тому +1

    Shekhe hufwati sunna bali wamfwata sheitan na utakwenda kujibu kwa mola

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Halaf hii ni neno zito voo kwanini usi pande kwenye viombo uka tufahamisha sababu ya haya maneno

    • @omarysaidy5524
      @omarysaidy5524 3 роки тому

      @@hassanimouigni6648 haswaaaa mwambie akaongee kama kweli yy msema kweli

    • @omarysaidy5524
      @omarysaidy5524 3 роки тому

      @omar said acha nongwaa ndg yang dunia utaiacha kasome

    • @omarsaid8166
      @omarsaid8166 3 роки тому

      @@hassanimouigni6648 mimi ni msomi sio wala simtu wakujionyesha nasilazima kujitokeza kwenye vyombo huyo kishki ndio akasome

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Рік тому

      Astaghfirullahi

  • @mdoekibai5063
    @mdoekibai5063 3 роки тому

    wee kasome hujuikitu mjinga mpotoshaji mkubwa mhabi

    • @omarysaidy5524
      @omarysaidy5524 3 роки тому

      Mjinga mwenyewe mbwaaaa ww unamtukana sheikh kishik hana elim we unayo muogope mungu we NYau mmoja ww nnenda ukasome huna hayaaaa kbs

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 3 роки тому

      @@omarysaidy5524 wee msnge kweli sana naako kashekh kamimbal wapotoshaji wakubwa nguruwe nyie

    • @thulaniduku3218
      @thulaniduku3218 2 роки тому

      Wewe Wadanganga watu eti Arafat ziko mbili na ijuma iwe moja duniyani !

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Рік тому

      Msiba mkubwa waislamu tumefikia huku kuwatukan wahadhiri wa kiislamu Astaghfirullahi

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 3 роки тому +1

    Muhammad iddi anachuki zake tu na wew na kiboko yake ni yule mtoto wa nasoro bachu maana alimtawala ktk issue ya maulidi

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 3 роки тому

      wee na huyu mpotoshaji wote niwahabi hamuelewi

    • @sirimzuzuri6108
      @sirimzuzuri6108 2 роки тому

      Shekhe mnachanganya watu na ndio maana watu wengi wanapotea na nyinyi mtaulizwa

  • @hashimiddi4789
    @hashimiddi4789 2 роки тому

    Mashallah

  • @jamilanyangasa2427
    @jamilanyangasa2427 5 років тому

    Maa shaa Allah

  • @HamisiFakhi-mx4tb
    @HamisiFakhi-mx4tb 2 місяці тому

    Unapingana hata nakaka yako

  • @balkissmuhammadbalkiss2634
    @balkissmuhammadbalkiss2634 2 роки тому

    Mashallah