Kauli ya KARDINALI RUGAMBWA yawavunja Mbavu Waumini TEC | PADRI KITIMA ampa maua yake, RAIS afunguka
Вставка
- Опубліковано 21 жов 2024
- Hotuba ya Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa alipokuwa anazungumza na waumini makao makuu ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) leo Oktoba 06, 2023.
Asante oyeeeeee ushoga na usagaji umeipata mwarobain. Asante sana fr.
Mingu akubaliki sana na akulinde sana.
Hose 4:6.
Baba tupo pamoja tukikuombea utume uwe mwema na pia afya njema