MAPACHA WACHANGANYA WATU, 'CHENCHI' KAPOKEA MWINGINE | HIVI NI KWELI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • MAPACHA WACHANGANYA WATU, 'CHENCHI' KAPOKEA MWINGINE | HIVI NI KWELI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 1,1 тис.

  • @ellydavy993
    @ellydavy993 Рік тому +4

    Dah mungu akuongezee ridhik kaka wa miwa allah awe nawe

  • @UlimeA
    @UlimeA 3 роки тому +30

    Huyu mjasiriamali wa miwa ni peace sana. God bless him

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 3 роки тому +47

    Wewe kaka wa miwa yaan mashaallah!! Hadi nimekupenda unaimani na haupendi ugomvi

    • @ramadhanimwelondo1811
      @ramadhanimwelondo1811 7 місяців тому +1

      Daah sio siri mwenyezi mungu amjaalie kheri sana katika maisha yake na ampe maisha mazuri zaidi kwa moyo wake aliouonyesha hapo Inshaalah

    • @OmanJalan-g9j
      @OmanJalan-g9j 7 місяців тому

      Awe mungu mfungulie kila hitaji la moyo wake na umzidishie rizki

  • @backtohappiness4664
    @backtohappiness4664 2 роки тому +17

    Allah mjaalie riziki na Imani thabiti Muuza miwa MA SHA ALLAH

  • @kajugaa4537
    @kajugaa4537 3 роки тому +67

    Yaah Allah nakuomba umzidishie yakiin na imani thabiti Muuza miwa maana kaonyesha imani kwako hata kama ni maigizo lakin ni mtu anaonyesha ana imani kubwa kwa Mungu wake

  • @abubakarally9953
    @abubakarally9953 3 роки тому +7

    Muuza miwa kakubali loss mwamba kweli jau. Uyo babu jau angekuwa yy angeweza kuwa makini# the best amazing

  • @tadeokiliani2874
    @tadeokiliani2874 2 роки тому +12

    Huyu jamaa wa miwa huyu Safi Sana daaaaah mungu amzidishie

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 3 роки тому +49

    Kwa kweli hicho ni kipimo cha Watanzania kuwa na lmani wengine ni ugomvi wa hali ya juu muuza miwa hongera sana.

  • @duhrurhhddhheud8575
    @duhrurhhddhheud8575 3 роки тому +107

    😢😭Huyu kaka wa miwa ana iman madhubut Mashallah YA ALLAH Umfungulie ridhk yake kwa wepes

  • @bravoabdul8201
    @bravoabdul8201 3 роки тому +168

    Anaesikia huyu jamaa mmoja sauti yake inafanana na Idris sultan gonga like apa👋👋😂

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 роки тому +70

    Nawapenda saaana hawa vijana jamanini feithar na faidh allah awaongoze katika kila hatua ya maisha yenu na munachokifanya🥰🥰🇹🇿 🇴🇲

  • @abdallahomary1480
    @abdallahomary1480 3 роки тому +120

    Allah akupe mafanikio makubwa sana kupitia kwenye biashara yako muuza miwa🙏🙏🙏

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 3 роки тому +26

    Meuwa leo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ata muuza miwa yani wauza biashara wote wastarabu 😍😍😍🙏🙏🙏

  • @erikimethod6246
    @erikimethod6246 3 роки тому +58

    Muuza miwa Mungu akuinue unaonekana una imani sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @Mohamedkasim2
      @Mohamedkasim2 3 роки тому +1

      Uhakika mungu amzidishie

    • @fatumaayubu645
      @fatumaayubu645 3 роки тому

      Lazima ni Muha, wengi kwenye biashara zao hawaendi makuu

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed7138 2 роки тому +8

    Maashaallaah Allhamdullaah Hawa mapacha wanafanana kweli kabisa mungu awape umli mrufu wenye Barak nyingi Amiin

  • @angelmariaotieno2253
    @angelmariaotieno2253 3 роки тому +20

    Diamond akupandishie mshahara kazi nzuri sana

  • @spaice995
    @spaice995 3 роки тому +80

    Ni waigizaji wazuri more videos with twins inabamba Sana Ila ulinzi uimalishwe 😆muuza miwa ni mkaka mzuri Sana biashara yake izidi kuendelea

  • @lucygodfrey4871
    @lucygodfrey4871 2 роки тому +9

    Uyu Muuza miwa jamn MUNGU akubariki sana na Kazi yako 🙏

  • @neemamjema1067
    @neemamjema1067 2 роки тому +10

    Hawa mapacha show kama yao wameuwa mpaka inakeraaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ila muuza miwa na muuza karanga mnatia mmetia huruma ila pia mnapata na funzo kwenye kumpa mtu chenji😔😔😔😔 kwa ustarabu huo utafika mbali muuza miwa🤲🤲

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 2 роки тому +11

    Kipindii bora ..ila imana ya muuza miwa imewapendez watyu wengi 🙏

  • @wazirihongo3761
    @wazirihongo3761 3 роки тому +41

    Muuza miwa Kama mimi (nauza miwa), Allah bless you

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 роки тому +33

    Muuza Miwa atafanikiwa Imani inammbeba🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @zaujiajuma8260
    @zaujiajuma8260 3 роки тому +15

    Mashaallah mungu anijaalie na mm nizae mapacha

  • @aminasilvia4345
    @aminasilvia4345 3 роки тому +10

    Wanachanganya kweli hata nami siezi jiokiwa kabisa.from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦

  • @sumayyahally866
    @sumayyahally866 3 роки тому +12

    Mashaallah mashaallah laha sana kulea mapacha hadi kufikia apo Allah awakuze zaidi lnshaallah natamani na me siku moja Allah anijalie twins lnshaallah

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 роки тому +38

    Ebwana kitaa kina mishe kibao huyo ndio Mo Town Sanya nembo ya mtaa yupo na pacha wenzangu mashallah ❤️ kufanana kama kote

  • @maireshsaid1628
    @maireshsaid1628 3 роки тому +30

    Muuza miwa Allah amjaalie afanikiwe kwenye maisha yake

  • @RashHassan
    @RashHassan 3 роки тому +77

    ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH. HUYO JAMAA ANAYE UZA MIWA SAFI SANA ALLAH AMAFANYIE WEPESI TU. IN SHAA ALLAH.

  • @emmaleejr6670
    @emmaleejr6670 3 роки тому +18

    Muuza Miwa ..aisee Humanity at his best

  • @yohanamageta2069
    @yohanamageta2069 Рік тому +1

    Subiria mbaka niuze ndo nikupe pesaako..dah wanangu wa dola moja amani sanaaaa✊✊✊✊

  • @ree6082
    @ree6082 3 роки тому +134

    Ila uyo jamaa wa miwa anaonekana mstaarabu sana God bless his hustle 🤍

    • @marymushi2512
      @marymushi2512 3 роки тому +8

      Sana i wish nimjue nimuongezee japo kidogo kamtaji kiukweli anautu na hekma sana

    • @hammyg5714
      @hammyg5714 3 роки тому +3

      Pia ana imani sana MashaAllah🙌🙌🙌

    • @happygrayson2156
      @happygrayson2156 3 роки тому +7

      Nmemuonea huruma ad nimelia

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 3 роки тому +2

      Sanaaa mashaallah!! Yaaan hadi nimempenda

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 3 роки тому +3

      Sana kwa kweli Mungu amongezee kbx

  • @musajuma7437
    @musajuma7437 3 роки тому +53

    Respect Kwa mwenye miwa kweli hii ni life tu😭😭

  • @detlantamarooned1809
    @detlantamarooned1809 3 роки тому +71

    Huyo muuza miwa tunaomba namba yake ya simu ili tumchangie chochote tulichonacho. Kaonesha utu sana.

  • @jenymtafya3430
    @jenymtafya3430 2 роки тому +4

    Dah wanafanana sana aisee! Na wanajua kuigiza kweli kweli nice 👍

  • @abdiraheemsheikh5409
    @abdiraheemsheikh5409 2 роки тому +5

    Dah huyu wa miwa ameniliza maskini ya mungu, Allah akufungulie bro unaonekana unaroho nzuri

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 роки тому +25

    Wallah kipindi cha kijanjanja nimewapendaaaaaa buree 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @mansourjuma3731
    @mansourjuma3731 2 роки тому +10

    "Mungu ndo anaejua atakulipa vipi" Well said MashaAllah🙏🙏🙏🙏🌙

  • @jawizojays5567
    @jawizojays5567 3 роки тому +34

    Daaaa muuza miwa kinyongee sana adi huruma😂😂

  • @casablancastudioarusha775
    @casablancastudioarusha775 3 роки тому +68

    Mbali na Twins Muuza miwa katugusa sana
    May God bless him.

  • @Omosak
    @Omosak 3 роки тому +8

    Mwenye kipindi bora wasafi na tanzania yote ..mo town sanya...kwaiyi umenikosha

  • @deesure2401
    @deesure2401 3 роки тому +45

    Daaah very sad kwa muuza miwa 😢💔💔 jins anavy sema NI MAISHA 2

  • @MOMMEDIA1
    @MOMMEDIA1 2 роки тому +6

    Ni moja kitu kikubwa Sana aiseeeeeeh ambacho ushawai fanya keep it up 💪 kumbe show kalisio lazima mastar

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 3 роки тому +6

    Utu uzima dawa mzee katumia busara ya hali juu. Bigup mzee wa karanga.

  • @elmasroj9712
    @elmasroj9712 3 роки тому +19

    Daaaah nimeumia muuza miwa jamanii daaaah ingekuwa kweli sijui ingekuwaje daaaah

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha 3 роки тому +16

    Kuwa fananisha mpaka uwe kabisa na ukaribu nao , sio kwa mfanano uho 😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🙌🙌

    • @omarysaidi9715
      @omarysaidi9715 2 роки тому

      Hata ukiwa karibu nao uwezi na wanatoooo dem mmoja sana hao

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny2455 3 роки тому +23

    Mungu acha aitwe Mungu yani awa w kaka wanafanan mnoo💕💕Kisha sanya anajuw kujikausha balaa😅😅😅

  • @vestinandimbo7439
    @vestinandimbo7439 3 роки тому +8

    Sanya katika vipind vyote hichiiii nimeonjoy kinoumaaaaaaaaa wametishaaaa twins nation🔥🔥🔥🔥

  • @joharibashir3478
    @joharibashir3478 3 роки тому +33

    Maskini uyu wamiwa katia hadi uruma 😅 kijasho cembamba kilikuwa kishaanza kumtoka😢

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 роки тому +16

    Namuomba Allah sana sana anijaslie mume mwenye hofu ya Allah na tujaaliwe watoto twins nitafurahi sana yaan acheni tu

    • @alkasusjaasus7015
      @alkasusjaasus7015 2 роки тому

      Nipo Muna na MashaAllah ukoo wetu ni pacha kwenda mbele👌 😊

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 2 роки тому

      @@alkasusjaasus7015 ok poa poaaa Allah awakuzie vyema sanaaa

  • @davidnchoji
    @davidnchoji 3 роки тому +92

    Tangu nianze kufuatilia Motown Sanya, this is the best show I had ever seen...big up Bother. We laugh and learn 😂🙌🏽

  • @aichaaicha8045
    @aichaaicha8045 3 роки тому +7

    Napendaka sana vipindi vyako kka yngu❤🇦🇪🇧🇮

  • @eddyguddah1492
    @eddyguddah1492 2 роки тому +1

    Dah mzee kadata Sana'a mwanangu ..
    Mpaka kaamua kuchungulia kweli #karanga

  • @khalidabdulaziz8735
    @khalidabdulaziz8735 3 роки тому +5

    Show babu kubwa sana nimekubali motown Sanya hicho kipindi kiko juu

  • @mawodoshabir507
    @mawodoshabir507 3 роки тому +10

    Huyu mo town sanya ajengewe sanamu makumbusho🤣🤣🙌

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 роки тому +30

    YAani mashallah wamefanana sana yaani wamenikumbusha tukio lishawahi kutokea kijijini kwetu,pacha wa wili wakiume wamefanana kila kitu mpaka tembea sasa mmoja alikuwa jambazi sasa akishaona askari wanamsaka anajificha mwisho wa siku maskini anakamatwa mwenzie ambaye si mwizi maskini alikuwa anasota jela na vipigo kila wakati, mpaka mwisho wa siku Askari wanakuja kujua ni mapacha wa kufanana tayari too late

    • @mwanahamisnsillah7800
      @mwanahamisnsillah7800 3 роки тому

      Mmh jamn

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 3 роки тому +1

      😆 🤣 😂 umeni kumbusha mume wangu nae picha na wote wanajeshi sasa mwenzake alikuwa ni mtu wa kukopa sana alafu anadai mume jamani walivyo gundua ilabidi watenganishwe ofisini

    • @waheedahtanzania4912
      @waheedahtanzania4912 3 роки тому +5

      @@noxlosingida2369 Hahahaha hiyo style ya kimataifa iliku yaani kopa wewe mimi nilipe hahahaha halafu sometimes wanamakusudi wakijiona wamefanana yaani lazima tuu watajadiliana ili wavae sare ili wakafanye tukio 😂😂 Astaghfirullah laadhwim 🤣 mie Alhamdulillah pacha mwenzangu wa kiume akithubutu kufanya batili wanamkamata mwenyewe kama walivyomkuta hahahaha 😂

    • @ericksaluvator9101
      @ericksaluvator9101 3 роки тому +3

      Mtauwa watu kwa pulesha

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 3 роки тому

      Ipo sana iyo

  • @mariamhamad4171
    @mariamhamad4171 2 роки тому +1

    Nimeipendaiyo mashaallah wamefanana hadiraha wallah

  • @tumainianthony1613
    @tumainianthony1613 3 роки тому +9

    Mo.. Hii show Umetisha.. Nimefurahi sana yani kila nikikumbuka nacheka tu.. Big up bro.. And the twins Brothers.. Mmetisha

  • @adamabubakar7569
    @adamabubakar7569 7 місяців тому

    Dah nasikitika pacha wangu kaenda kula maharage ya watu kwa mama ntilie akaondoka hakulipa siku niloenda mimi nikabananishwa hadi huruma,ila muuza miwa Big up sana🤝💪

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 3 роки тому +14

    Leo mo umenifurahisha sana maana unawafahamisha uzuri mashallah acha nilale sasa masalama❤️

  • @shihana_kiba4997
    @shihana_kiba4997 3 роки тому +72

    Muuza miwa jmn ataftwe tumchangie buku buku😭😭😭😭😭😭😭

  • @kelvintembo734
    @kelvintembo734 3 роки тому +23

    Umetisha sana mwamba from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @IsraelLyimo
    @IsraelLyimo Рік тому

    Mungu msaidie nakumuinua kwenye kazi yamikono yake muuza miwa anahekima

  • @nuraynmakoya803
    @nuraynmakoya803 3 роки тому +59

    Jaman kaka wa miwa roho imeniuma daaaah 😭

    • @meckywadyatv.9016
      @meckywadyatv.9016 3 роки тому +4

      Me hadi nimetoa machoz

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 3 роки тому +3

      Nimelia

    • @hajranjaidi5024
      @hajranjaidi5024 2 роки тому +2

      yaan adi mie roho imeniuma afu akawa mnyonge daa

    • @majoklamthoan9563
      @majoklamthoan9563 Рік тому

      @@meckywadyatv.9016 I’m in Canada and I don’t if I can have the number for the guy who sell Miwa
      Shed tears aki 😢😢

    • @JackoboMorisi
      @JackoboMorisi Рік тому

      Polen ila iwe funzo kwenu pia kuwen na iman

  • @purityangle
    @purityangle 3 роки тому +11

    Babu Hana sadaka😘😘💕💕😂😂Hana sadaka yahaina hio

  • @shardalove1159
    @shardalove1159 3 роки тому +17

    Hehehee kwakweli Wana changanya kama date ya Leo 22/2/22 safiii sana

  • @levinamushi270
    @levinamushi270 3 роки тому +1

    Yaan toka nmeanza kuafatilia hiki kipindi jmn hii ya hawa matwins ni the best nmecheka sna na kuwaonea huruma haswa miss miwa jmn

  • @ibrahimabdi7436
    @ibrahimabdi7436 3 роки тому +25

    Nakubali Sana mo town Sanya 🔥🔥🔥🇰🇪 more love

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed7138 2 роки тому +1

    Maashaallaah Allhamdullaah mungu akufanyie wepes inshaallaah

  • @halima7255
    @halima7255 3 роки тому +3

    Mashallah Allah yani adi raha nawakubali mapacha nyie noma sana ❤️❤️❤️❤️

  • @jamesmhina9823
    @jamesmhina9823 3 роки тому +3

    Umetisha sana umekuwa mbunifuuu sana big up

  • @twahaabdalla2304
    @twahaabdalla2304 3 роки тому +4

    Nimeipenda sana hii

  • @vionaperis4813
    @vionaperis4813 2 роки тому +1

    Woooi can't explain how much I love those 2 boys paka I wish nigepewa wakue wangu
    Please once again kavideo with the twins more love from Kenya

  • @MzeeKobe_254
    @MzeeKobe_254 3 роки тому +5

    That’s so funny… yafaa wakatie dem mmoja!! Dah maisha mtaa.. watu wanapiga kazi 💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸

  • @edwardmassawe5116
    @edwardmassawe5116 2 роки тому

    Ambaye show imem bamba kama Mimi like hapa Mo sanya aone huyu ni mtangazaji wa level ya aina yake full talented 🙏

  • @sophierseyyd1162
    @sophierseyyd1162 3 роки тому +10

    Huruma jmn 😭😭muuza miwa dah maisha hayq 😭😭😭😭 uwiii imeniuma Sana
    .muwe mnawasadia bas km hvy mkiwaona jmn dah

  • @Matunzo_Classic
    @Matunzo_Classic 2 роки тому

    Mambo vip? NAKUKARIBISHA
    Kuitazama hii
    👇🏼👇🏼👇🏼
    ua-cam.com/video/4rPG51PRPHA/v-deo.html
    Produced by bullet beatz
    Share kwa marafiki
    Subscribe like
    Toa comment
    Saport music mzuri
    Enjoy good music
    👇🏼👇🏼👇🏼
    ua-cam.com/video/4rPG51PRPHA/v-deo.html

  • @mamadiva9684
    @mamadiva9684 3 роки тому +12

    MashaAllah their mom should be very happy

  • @kayembaquraishyvascas7480
    @kayembaquraishyvascas7480 3 роки тому +34

    Wow l can also say it's one of my favourites show 😂😁😚

  • @baracknyalucy3346
    @baracknyalucy3346 3 роки тому +35

    Jamaa wa miwa ni mtu poa sana na ana imani sana

  • @lisaozokalonji7655
    @lisaozokalonji7655 3 роки тому +17

    Nice please We need more shows with the twins nimeipenda sana from 🇨🇦🇨🇦

    • @issamlekwa3034
      @issamlekwa3034 2 роки тому

      Hi lizzy

    • @lisaozokalonji7655
      @lisaozokalonji7655 2 роки тому

      @@issamlekwa3034 hi dear

    • @majoklamthoan9563
      @majoklamthoan9563 Рік тому

      I wish I can get the number of that guy of miwa
      I shed tears 😭. Here I’m in Canada

    • @JackoboMorisi
      @JackoboMorisi Рік тому

      Axante na nyie nawaomben muwe na iman kama yang 7bu mtoa rizik n mwenyez mungu 🙏

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi202 3 роки тому +2

    Safi sana aaaaaa, umekula mb zangu ki halali

  • @airinsumeno2490
    @airinsumeno2490 3 роки тому +1

    Ila mapacha wote duniani 🙌🙌🙌🙌

  • @ibrahimsadick6137
    @ibrahimsadick6137 3 роки тому +18

    Hahaha hii ya leo nzur sii lazima kila siku superstar..Ubunifu mzuri
    Diamond muongezee MotownSanya mshahara

  • @guygaelgf
    @guygaelgf 3 роки тому +5

    SANYA UMEUWA SANA YANI KWENY IVI NI KWELI UMETISHA 2022 UMEKUJA MOTO SANAAAAA

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 роки тому +12

    Mo sanya leo mke wangu kafurai kwasbb yeye naye ni pacha

  • @khalfankhamis7606
    @khalfankhamis7606 2 роки тому

    Yani uyo jamaa wamiwa kaongea vitu vya msingi mungu amjaalie na atujaalie kwa Sote amina

  • @leylaally5707
    @leylaally5707 2 роки тому +5

    Insh Allah Allah amfanyie weeps muuza miwa 🙏🙏

    • @JackoboMorisi
      @JackoboMorisi Рік тому

      Asante kwenye maisha inahtajka iman Sana🙏

  • @sallyshedafa596
    @sallyshedafa596 2 роки тому

    Big up mkaka wa miwa respect sana...🤜🤛 Gonga like

  • @MoTownGang
    @MoTownGang 3 роки тому +24

    Najua kile mnacho penda hivo sina budi ya kuwapa burudani nakila siku mawazo tofauti tofauti yana kuja ivo endelea ku enjoy Vipidi vikali ndani ya #WasfiTV #WasafiBet #MoTownSanya

    • @frolamazimba465
      @frolamazimba465 3 роки тому +1

      Tunakukubali Sana mungu akuongoze katika Kazi yako

    • @alinadee8207
      @alinadee8207 2 роки тому +1

      Muuza chips umemzingua aseeeee hhhhhhhh

    • @Lova_artist
      @Lova_artist 2 роки тому +1

      Dah ila huyo wa miwa kanigusa na kanifunza kitu

    • @fainjohnbosco6182
      @fainjohnbosco6182 2 роки тому +1

      Mtafute wa miwa achangiwe amegusa wengiiiii

    • @seleseleli1822
      @seleseleli1822 2 роки тому

      Toeni nmba wa miwa tumchngiiie

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 2 роки тому

    Mungu amzidishie muuza miwa kwakweli

  • @shedracksteven3183
    @shedracksteven3183 3 роки тому +26

    Sema ina huzunisha kama uyo muuza miwa mungu akusaidie ufike mbar

  • @samjuniortz2559
    @samjuniortz2559 3 роки тому

    Mo town sanya kuma la mama ako tangu uanze kufanya show hii ninnomaa sana kaka daaah noumaaaa umetishaaa sana

  • @dianarobert3989
    @dianarobert3989 3 роки тому +18

    Masikini Mwuuliza miwa alitaka kulia😂sema mwamba hana maneno mengi

  • @azyoungmussa7196
    @azyoungmussa7196 2 роки тому +2

    Muuza miwa Mungu amfungulie milango ya ridhik amina ..….ana busara sana🙏🙏🙏🙏

  • @farajaerasto6756
    @farajaerasto6756 2 роки тому +1

    Nimeenjoy mpk raha,,,God bless you guys

  • @Markhomestz
    @Markhomestz 3 роки тому +25

    Awesome ✨✨🔥

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 3 роки тому +2

    Dah kaka wamiwa jmn😭😭😰😰😰yani wafanya biashara hote niwaminifu hakiyanani cheki uyu kaka wakaranga jmn wachips yani wote tu😭😰

  • @abdallahamad855
    @abdallahamad855 3 роки тому +6

    Mumetisha sana wasafi

  • @magdalenew.mwanyota5901
    @magdalenew.mwanyota5901 11 місяців тому +1

    Huyu jamaa wa pili amenihurumisha adi kidongo nilie juu alikua ameanza kulia alafu jua kali waaaah 😢😢😢😢😢😢ila acheni izi hizi prank 😂😂😂😂😂😂

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 3 роки тому +9

    Moo town na team yako mmetisha Sana good creativity aisee✊✊✊