Wataishiya kuumbuka wote hongera shujaa wa Mungu Mbarikiwa Mwakipesile wetu ❤ Eh Mungu wa Mbarikiwa Mwakipesile wetu mponye mke wangu anauguwa kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo amen. 🧎
Baba yangu Mbarikiwa ahsante sana, unafanya kazi kubwa sana, Endelea kunyoosha palipo pinda, Mimi unanisaidia sana, umenifungua pakubwa sana! Wewe ni jasiri ninafurahi kwa maana wewe hautishwi na chochote Baba, Bali upo tayari kunyoosha ukweli
Baadhi Yao, Watu Walizoea kuwa wakija katika Ukristo wanajizolea pesa, kwa njia ya Udanganyifu kwa vitu vichafu kama hivyo watumiavyo. Kwahiyo walidhani au kujua kabisa; kuwa Nyakati hizi na zilizo pita kwamba Wako Miongoni Watu wanao soma Gombo kwa tafakari na kwa kusudi hileile ilivyokusudiwa katika Neno hilo!.
Kafara za wanyama hapa na hayo mambo ni ya wapagani usituletee kwa wakristo waachie waislamu kafara YESU anatutosha.usituletee ushirikina kanisanihuo ni uchawi
Mbarikiwa hujamwelewa ipm.Yesu mwenyewe alishiriki pasaka ambayo ndio kafara(yaani kuchinja )Luka 22:7). Damu ya yesu ni kwa ajili ya ondoleo la dhambi wala sio utajiri. Ila kuchinja ni kwa ajili ya utajiri.Mwanzo 22;1 nakuendelea. Mwenyezi mungu alichinja ku koa adamu na hawa. Adamu alichinja kondoo na kapewa na Mungu. Mnona mnampinga ipm?acheni mapokeo potovu ya wazungu ya someni bibilia
IPM ni wakili wa kuzimu someni warumi 12 :2 itoeni miili yenu kuwa dhabihu . Siyo kutoa kafara hakika shina la uharibifu limeingia patakatifu IPM acha ushetani na uganga wako ushindwe kwa Jina la Yesu na upotee kabisa
Hiyo ni sauti ya mtu aliaye toka gereza, anasema itengenezeni njia yangu yanyosheni mapito yako, Barikiwa kama jina lako maana unatufumbua macho sisi watumish wenzako huku.
Wachungaji na viongizi wa dini kaeni chini mjadili vile mtawapeleka wafuasi wenu kuliko kurushiana maneno ya kukosoana Kwa maneno makali kwenye vyombo vya habari. Muweke misingi Bora ya kutoa neno la Mungu, muweke mipaka ya maneno ya kuhubiri.
Huwa wanaanza kuchinja ndege unapewa utajiri kisha unaambiwa ulete mbuzi kisha ng'ombe ukitoka level ya ng'ombe unakufa level ya kuchinja mtu ndo haya mambo ya albino kwa level za juu. Huyu ni mchawi kama wengine tu aliyefata sadaka kwenye Ukristo
Kuchinja ni elimu ya kale ya wamisri wale wa Kermit ndio anachofanya chief good love alama ni ule msalaba wenye duara kwa juu ni uchawi wa kafara sawa na hawa matajiri wa ndagu wanaoangusha mabus.
mbalikiwa mtu wahaki na muwakilishi wa mungu wa mbinguni uko makini sanaaaaa sanaaaaa hakuna pepo wala shetani mwenyewe apite pite tu afanye anavyotaka
Hakika wewe ndiye mtu wa Mungu uliyepo na unaye kubalika huko tanzania, Africa na hata ulimwenguni pote. Alafu mtu kama huyo mwingine anayekufuru kiasi hicho mbona hachukuliwi hatua?
Hivi ndo tumefika huku,na ukifanya damu ya Yesu kuwa dhaifu kiasi hiki? Machozi yananitoka Naona moyo wa Yesu unavuja damu!! Na Roho yake inalia kwa Siri!! Mbona kuidharau kazi ya msalaba kiasi hiki? Kweli imeandikwa,, NA HAPA NDIPO PENYE IMANI NA SUBIRA YA WATAKATIFU ,ASOMAYE NA AFAHAMU
Hayo ni mabay yake haya tupe na mazuri yake,pia kiondoe kibanzi kwenye jicho laki mbalikiwa ndio umsene mwenzako kidole kimoja kwa mwenzako vitatu kwako wewe sio MUNGU mbarikiwa hupaswi kuhukumu unaingalia kazi ya MUNGU wewe ni binadamu wa kawaida tu
Wewe ndiyo miongoni Mwa mashetani wajingawajinga kweli. Unaongea nini? Umetumwa na huyo Baba yako? Kwa hiyo wewe unapoandika kikoment chako hapa wewe humhukumu Mbarikiwa?
Unapotaka mkosoa mtu sikiliza Hadi mwisho ujue alimaanisha Nini sio nusu kipa de,hata bibilia ukisoma nusu nusu utasema imekosea,Kuna sehemu neno linasema heli kuwa moto au baridi hii haimaanishi neno liliruhusu pia dhambi,Mbarikiwa punguza kuwa na haraka kujibu watu.
Mbalikiwa mim nimuislam lakini nakuamin saana ,so ubarikiwe mtumish wa mungu
Wataishiya kuumbuka wote hongera shujaa wa Mungu Mbarikiwa Mwakipesile wetu ❤
Eh Mungu wa Mbarikiwa Mwakipesile wetu mponye mke wangu anauguwa kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo amen. 🧎
Baba yangu Mbarikiwa ahsante sana, unafanya kazi kubwa sana, Endelea kunyoosha palipo pinda, Mimi unanisaidia sana, umenifungua pakubwa sana! Wewe ni jasiri ninafurahi kwa maana wewe hautishwi na chochote Baba, Bali upo tayari kunyoosha ukweli
Mungu akubariki sana mbarikiwa pia akulehemu ikiwa kunakosa lolote unalotenda katika kutetea injili ya kweli ya Kristor
Nimesikiliza maandiko yaliyosomwa humu, heshima yako mzee kwa kazi hii kubwa. Ameen amen
Kwenye hili mbalikiwa yupo sawa
Waebrania 12.2 "tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu;...."
Mwenyezi Mungu azidi kukupa nguvu za Roho Mtakatifu, kazi unayofanya ni kubwa sana sana kwa kizazi hiki na kijacho. Amina.
Amina mchungaji, usiache kupigania haki. Nakufwatilia nikiwa Nairobi Kenya
😢IPM NI NYOKA WATU WALIOKATALIWA
Kweli bora "mshua" aje mwenyewe anaowatuma miyeyusho😂😂😂😂
Injili ya kweli imebaki na watu wa chache sana,watu wanatafuta pesa kwa Yesu ,hichi ni kizazizi cha nyoka
Rwanda tunakufuatilieni na kukusikia vema, hiyo ndio injiri halis
Yes safi kabisa mtumishi wa Bwana, chapa injili SANA baba kikosi chenu tumeshakielewa!
yani siku zote msema kweli hana haki ila Namwamini Mungu hata kuacha endelea kuwaumbua mbarikiwa wacha wakufunge wakutese ila ukweli umesema 🙏🙏🙏🙏
👏👏👏
❤❤❤🎉🎉Muñgu akulinde Mubarikiwa
IPM UNADHARAU, au UNAKUFURU KAZI ALIYO IFANYA YESU MSALABANI UMEPOTEA SANA SIKIDOGO
❤
Mungu azindishe Karama Iho alihoweka dani yako❤❤❤❤❤❤❤
Baadhi Yao, Watu Walizoea kuwa wakija katika Ukristo wanajizolea pesa, kwa njia ya Udanganyifu kwa vitu vichafu kama hivyo watumiavyo.
Kwahiyo walidhani au kujua kabisa; kuwa Nyakati hizi na zilizo pita kwamba Wako Miongoni Watu wanao soma Gombo kwa tafakari na kwa kusudi hileile ilivyokusudiwa katika Neno hilo!.
Asante sana Mchungaji kwa kunyoosha hilo
Umechemka ipm sisi Yesu alifanywa kua kafara umechemka unadanganya watu wakristo mwacheni mtoa kafara
Uyo IPM ni pepo
Kafara za wanyama hapa na hayo mambo ni ya wapagani usituletee kwa wakristo waachie waislamu kafara YESU anatutosha.usituletee ushirikina kanisanihuo ni uchawi
Kanisa limeingiliwa
Ipm hajaokoka
Mbarikiwa hujamwelewa ipm.Yesu mwenyewe alishiriki pasaka ambayo ndio kafara(yaani kuchinja )Luka 22:7).
Damu ya yesu ni kwa ajili ya ondoleo la dhambi wala sio utajiri.
Ila kuchinja ni kwa ajili ya utajiri.Mwanzo 22;1 nakuendelea.
Mwenyezi mungu alichinja ku koa adamu na hawa.
Adamu alichinja kondoo na kapewa na Mungu.
Mnona mnampinga ipm?acheni mapokeo potovu ya wazungu ya someni bibilia
Sikiliza mpaka mwisho. Mbarikiwa amefafanua kuhusiana na njia ya utajiri isiyo ya kubeti au ushirikina
Ipm bado ni muislam na anaushirikina, tena mshirikina sanaa. sijawahi kumuelewa chawi kabisa ile.
Yaan kuna watu wameamua kuuharibu ukristo
Adhabu yake inakuja
Kafara ilishatolewa mara moja iliyomaliza YOTE.
Hakika na mtu akitaka kutoa kafara basi hajui chochote kuhusu Yesu
I blocked him along time ago🤮
Safi sanaaaà!!!!
Mbarikiwa unaamini unabii upo kwa binadam kama ww?
Ee!
Mungu wangu . Hawa watu jamani 😢
IPM ni wakili wa kuzimu someni warumi 12 :2 itoeni miili yenu kuwa dhabihu . Siyo kutoa kafara hakika shina la uharibifu limeingia patakatifu IPM acha ushetani na uganga wako ushindwe kwa Jina la Yesu na upotee kabisa
Watu watatimiza ubabii bila kujijua wana timizaaa unabiii hawa manabii uwongo wapo wengi😊
IPM UMECHEMKA RUDI UISLAMU UMACHEMKA UKRISTO UMEKUSHINDA UNARUDI KUTOA MAKAFARA RUDI UISLAMU KAZI HUNA
Hiyo ni sauti ya mtu aliaye toka gereza, anasema itengenezeni njia yangu yanyosheni mapito yako,
Barikiwa kama jina lako maana unatufumbua macho sisi watumish wenzako huku.
Tbj,hakupiga debe la sdk, yoyote,alihubiri upendo na msamaha hamkumuelwa,,Sasa mnapambana Kila mtu na lake hapo sasa
Khaaaaaaa hee uuuwiiii, mbona kama nahisi kutetemeka Mimi?? Nini hiki tena??? EehnYesu njoo mwenyewe usitume malaika!!!!!
Mbarikiwa kalama ya unabii unaamini ipo?
Wachungaji na viongizi wa dini kaeni chini mjadili vile mtawapeleka wafuasi wenu kuliko kurushiana maneno ya kukosoana Kwa maneno makali kwenye vyombo vya habari.
Muweke misingi Bora ya kutoa neno la Mungu, muweke mipaka ya maneno ya kuhubiri.
Ukifanya ubaya utakemewa hadharani ili na wengine waogope kufanya ubaya
IPM ni mganga wa kienyeji Mwenye kanisa
IPM unafeli Muñgu akusaidie
Ilo lijamaaa nijizi ilo chawi halina Imani silipendi saana chizi ilo
Mtu aliye na chuki kwa mwenzake ana tofauti gani na mchawi?
Siku za mwisho tutona mengi
IPM ni tapeli tu hakuna Mchingaji hapo! Pumbavu kabisa!
Kwahili upo sawa huyu nikundi moja na nini ya uchawi alietimuliwa
Huwa wanaanza kuchinja ndege unapewa utajiri kisha unaambiwa ulete mbuzi kisha ng'ombe ukitoka level ya ng'ombe unakufa level ya kuchinja mtu ndo haya mambo ya albino kwa level za juu.
Huyu ni mchawi kama wengine tu aliyefata sadaka kwenye Ukristo
Kuchinja ni elimu ya kale ya wamisri wale wa Kermit ndio anachofanya chief good love alama ni ule msalaba wenye duara kwa juu ni uchawi wa kafara sawa na hawa matajiri wa ndagu wanaoangusha mabus.
mbalikiwa mtu wahaki na muwakilishi wa mungu wa mbinguni uko makini sanaaaaa sanaaaaa hakuna pepo wala shetani mwenyewe apite pite tu afanye anavyotaka
IPM NI NYOKA WATU WALIOKATALIWA
Naona mnapishana kwenye uelewa katika kiswahili
Tulio wa rohoni tulishamgundua Ipm kuwa ni Mwislamu😂
Mimi huyu lPM ninaona ni shetani hafai hata kuwa mchungaji kabisa
IPM NI MOMJA NA AKINA SUGUYE ,MWAMPOSA NA GEODEV
Ipm weka kibao Cha mganga sio kanisa,unarudisha watu Misri,serikali itupie jicho Hilo kanisa,sdk za wanyama zipo na utaratibu wake kwa hbr ya kanisa,
Mbarikiwa nipo isyese kwa mtawa kanisa lako lipo wapi
ISYESYE vilabuni
Hakika wewe ndiye mtu wa Mungu uliyepo na unaye kubalika huko tanzania, Africa na hata ulimwenguni pote. Alafu mtu kama huyo mwingine anayekufuru kiasi hicho mbona hachukuliwi hatua?
Myama ameinuka kuwakokota wajinga na wanapotea yumkini na wateule
IPM na Mwalimu Benson waangalieni vizuri wamekuja kuwapotosha Wakristo
Lakini dunia inamajitu majinga jaman ivi kabisa unaliamin ilo li. I,p,m jamani kweli ?
Alafu haya Mambo yakuchinja ,kayatoa ,wapi wakati kaingia uklisto juzi 2 ?
Hivi ndo tumefika huku,na ukifanya damu ya Yesu kuwa dhaifu kiasi hiki? Machozi yananitoka Naona moyo wa Yesu unavuja damu!! Na Roho yake inalia kwa Siri!! Mbona kuidharau kazi ya msalaba kiasi hiki? Kweli imeandikwa,, NA HAPA NDIPO PENYE IMANI NA SUBIRA YA WATAKATIFU ,ASOMAYE NA AFAHAMU
Kweli dada rose tuko wakati wa kujitambua mnyama yupo kutenda kazi na wengi anawakokota kuzimu
IPM si ndio huyu anaeruhusu wakristo kuuza sigara kwenye maduka yao??
Hayo ni mabay yake haya tupe na mazuri yake,pia kiondoe kibanzi kwenye jicho laki mbalikiwa ndio umsene mwenzako kidole kimoja kwa mwenzako vitatu kwako wewe sio MUNGU mbarikiwa hupaswi kuhukumu unaingalia kazi ya MUNGU wewe ni binadamu wa kawaida tu
tokapa pepo wee 😏 😏😏
Kojoa ukalale
Acha kwenda kanisan unapoteza na mda wako bule pumbavu
@@ernestkatyega5781 Mungu hupitia wanadamu kulikosoa kanisa lake chapa kazi Mbarikiwa Mwakipesile wetu.
Wewe ndiyo miongoni Mwa mashetani wajingawajinga kweli. Unaongea nini? Umetumwa na huyo Baba yako? Kwa hiyo wewe unapoandika kikoment chako hapa wewe humhukumu Mbarikiwa?
Unapotaka mkosoa mtu sikiliza Hadi mwisho ujue alimaanisha Nini sio nusu kipa de,hata bibilia ukisoma nusu nusu utasema imekosea,Kuna sehemu neno linasema heli kuwa moto au baridi hii haimaanishi neno liliruhusu pia dhambi,Mbarikiwa punguza kuwa na haraka kujibu watu.
Wewe umemsikiliza Mbarikiwa Hadi mwisho? Kwa akili zako hayo asemayo IPM ni sahihi Kufanya kwa mjibu wa maandiko?
@@elishadodi8787 kwa nilivyomsikiliza Mbarikiwa hakumwelewa au hakusikiliza somo lote la IPM.
IPM NI NYOKA WATU WALIOKATALIWA
Huyu katumwa kwani siyo mkristo