Kwanza kwann serikali yetu inatumia polic wetu vibaya kuarasi wananchi wasio na hatia cyo vizuri haki itendeke iwe kwenye chaguzi au rasilimali watu kwanini mnajengea wananchi wenu sumu kila cku malalamiko hayaishi na wananchi ukiingia kwenye mipaka ya mbuga mazingira ya migodini hususa ishu za arzi nichangamoto kubwa sn hebu tupumzisheni jmn mnajenga bomu kubwa sn ndg zangu
Spika umeongea vizur sana na roho mtakatifu amekuongoza sana katika hili.. waangalie na wananchi wako wa jimbon kwako mbeya.. maliza mgogoro ule wa sae na kilimo.. mbona lukuvi aliruhusu alipokua wazir..
Hongera Spika TULIA umetenda haki Nyuma ya pazia la kutaka kupora Ardhi ya Wananchi na kunawadhulumaji Ndani ya Serekali ndiyo maana wanatumia POLISI . kuweni MAKINI Mungu awabariki WATETEZI WA HAKI ZA WANANCHI.
Dear brothers and sisters.. Mh Rais Samia Suluhu Hassan alosema mifumo ya serikali haisomani.. Ninachoona ni kweli mifumo ya Serikali haisomani.. Mh Jerry.. usijibu kisiasa sema kuna kosa kwenye maamuzi ya wizara. Mawazi 8 walishuka kwa Helicopter na wakatatua.. Mh Spika super ulichouliza ni sahihi sana.
Ume chapa kazi ya wana kijiji vizuri sana ""* miaka mitano ina kusubiri """ mbunge mwenye asira kali mbeli ya vigogooo"** ebu nyie mawaziri kuweni makini,leo Kenya ime ingia pa baya juu ya kauli hizo zisizo eleweka ""** msiaombe ya kenya please tatueni mgogoro ya wananchi wenu hao ndo maboss wenu" kwn nyie mawaziri mtatumika kazi bila watu "** elimu zenu zime toka shuleni ama porini"
MADAM speaker keep it up unafa kua speaker wama speaker Good bless you in what ever your & in what ever you do let ur speech be blessed always ASIE kwelewa atakua mgum wa kwelewa.
Kenya iwe fundisho, hivi sasa waheshimiwa wabunge mmeona wenyewe raia maskini wa Kenya wakielekeza hasira bungeni. Naomba mfanye yale yatakayowapa wananchi amani kuondoa tafrani kama za majirani zetu.
Mweshimiwa slaa nakukubali sn mkuu kwa utendaji wako ila kwa hili umekotola umeingizwa chaka ukajaa kiongozi wangu maana kijiji kimevamiwa na pori boss hebu cyo vyema kuangaisha raia
Si msemi kwa ubaya lkn Angela Kairuki uwezo wake ni mdogo sana,ukiangalia anavyojibu maswali,anavyojenga hoja yaani huoni hiyo level ya kuwa waziri unless family background ndio huenda inambeba,Nadhani Mh.Rais apitie tena Baraza lake km akiona inampendeza apumzishe wengine! Mali Asili na Utalii ni wizara nyeti sana inahitaji kuwa na timu ya watu makini sana kwa sababu linagusa maslahi ya Serikali hasa kimapato na maslahi ya wananchi kwenye Ardhi yaani kilimo na ufugaji. So ni Wizara nyeti na ya pekee sana!
Inawezekana wawekezaji wanatumia UREFU WA KAMBA ZAO na kama ndivyo Taharuki inawezakuzuwasaratani kwa wenye udhahifu waAfya, moyo kisukari figo nyonga zina tahabika na kurudi nyoma Kimaisha na ndicho kiini ninacho kiona mimi, bali kujifunza kutakwisha pale tutapo Kufa na ufahamu unasimama, hivyo mgogoro upo na ni vibaya kuchereweshwa maisha ni mafupi mtu anadai kiwanjatangu anazaliwa mpaka akikipata Umri umwkwisha mawazo hayayanacuuza nafsi kudhurika na kuingiza chuki hasira farakani huruma simanzighazabu na kadharika , uchungu mmoja raha moja kuridhishana muhimu
Msomi ni msomi tu anaweza kuwa spika boora toka miaka yote nimeanza kufuatilia vikao vyote vya bunge, daah hongera Dr. Tulia hakubali hoja kirahisi kama ina ukakasi hata itoke kwa nani yani!!
Umewasilisha vizuri , hongera sana kiongozi wangu MP wangu ( kiteto)
Spika kama vile katokewa na Mungu usiku maan hizi siku mbili Yuko vzr 😂😂😂😂 au ndo hofu ya vita ya kenya
Kabisa
Mfatilie Dr Tulia Since Ni Mkufunzi UDZM She is So Smart
Hahahahahahahahahahaha !! so amekuwa kama pilato ee kabla ya hukum ya Yesu 😂😂😂😂
😂😂😂
umetisha spika
Yaani Kila mtu anashangaa, spika kabadilika ghafla
Kwanza kwann serikali yetu inatumia polic wetu vibaya kuarasi wananchi wasio na hatia cyo vizuri haki itendeke iwe kwenye chaguzi au rasilimali watu kwanini mnajengea wananchi wenu sumu kila cku malalamiko hayaishi na wananchi ukiingia kwenye mipaka ya mbuga mazingira ya migodini hususa ishu za arzi nichangamoto kubwa sn hebu tupumzisheni jmn mnajenga bomu kubwa sn ndg zangu
Huyu spika iko day atakuwa rais aminini maon yangu
Yaani mbunge akishateuliwa kuwa waziri anakuwa adui wa wananchi
Spika umeongea vizur sana na roho mtakatifu amekuongoza sana katika hili.. waangalie na wananchi wako wa jimbon kwako mbeya.. maliza mgogoro ule wa sae na kilimo.. mbona lukuvi aliruhusu alipokua wazir..
Safi sana kwa kutuwakilisha vyema
Mbunge anaejielewa kama huyu wananchi wamechagua mtu halisi
Huyu Mama kichwa sana
Sipika uko sahihi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako
Hongera Spika TULIA umetenda haki Nyuma ya pazia la kutaka kupora Ardhi ya Wananchi na kunawadhulumaji Ndani ya Serekali ndiyo maana wanatumia POLISI . kuweni MAKINI Mungu awabariki WATETEZI WA HAKI ZA WANANCHI.
Hongera Gani Kwa huyu spika
Police wa nani na wananchi wa nani? Hii nchi viongozi wake watakuws na weledi lini? Kama kuna uongozi sikivu hii migogoro kila siku yanini
Ila huyu mbunge wa Kiteto anajua kujieleza vizuri.
Shukuran sana
Madam Speaker jitahidi kuendesha bunge Kama ulivyofanya Leo, hakika utapendwa na kukubalika sana
Dear brothers and sisters..
Mh Rais Samia Suluhu Hassan alosema mifumo ya serikali haisomani..
Ninachoona ni kweli mifumo ya Serikali haisomani..
Mh Jerry.. usijibu kisiasa sema kuna kosa kwenye maamuzi ya wizara.
Mawazi 8 walishuka kwa Helicopter na wakatatua.. Mh Spika super ulichouliza ni sahihi sana.
Ndio Kwa maana wafanya biashara wanataka bungelitunge Sheria na sio matamko ya viongozi
Ume chapa kazi ya wana kijiji vizuri sana ""* miaka mitano ina kusubiri """ mbunge mwenye asira kali mbeli ya vigogooo"** ebu nyie mawaziri kuweni makini,leo Kenya ime ingia pa baya juu ya kauli hizo zisizo eleweka ""** msiaombe ya kenya please tatueni mgogoro ya wananchi wenu hao ndo maboss wenu" kwn nyie mawaziri mtatumika kazi bila watu "** elimu zenu zime toka shuleni ama porini"
Huyo Angela Kairuki hovyo hajui kujibu swali, hajui kufuatilia wizara yake
Ameona mbunge alivyoleta hoja alikua na msimamo na akajua kinachoendelea Kenya
Uchaguzi lazima abadilike ngoja wakipata uchaguzi mtayashudia Yale Yale ya nyuma
Kweli kabisaa
MADAM speaker keep it up unafa kua speaker wama speaker Good bless you in what ever your & in what ever you do let ur speech be blessed always ASIE kwelewa atakua mgum wa kwelewa.
Anafanya kazi nzuri sana lakin mbeya yake kaisahau kabisa ukifika mbeya ya miaka 10 iliyopita ilikuwa inapendeza kuliko mbeya ya 2024😢
Kenya iwe fundisho, hivi sasa waheshimiwa wabunge mmeona wenyewe raia maskini wa Kenya wakielekeza hasira bungeni. Naomba mfanye yale yatakayowapa wananchi amani kuondoa tafrani kama za majirani zetu.
Kero zote zingekuwa zinashughulikiwa hivi tungekuwa mbali sana. Bio up Tulia
Mweshimiwa slaa nakukubali sn mkuu kwa utendaji wako ila kwa hili umekotola umeingizwa chaka ukajaa kiongozi wangu maana kijiji kimevamiwa na pori boss hebu cyo vyema kuangaisha raia
Mh Spika umefukia mambo.. Kama Mh Rais alishasema sasa ni nani wa kumjibia? Hapana ni some sort of rehearsal..
Kwa hili sipika Nalipongeza sana lakin pia Mbunge wa Kiteto Nalipongeza sana kwa kujieleza Vizuri sana tena sana
Mali Asili ndio waliouanzisha mgogoro huo.
Spika yupo vizuri Kwa hoja hii .Kwa maswali ya mipaka
Tangu niipate akili huyu ndo spika smart kuliko wote
dah spika uko vzuri sana leo nimekuelewa san namna unavyo ongoza bunge 🎉
Spika tunae kweli kweli 👏👏
Tulia akili anayo sanaa ili anajifanyaga kapinda
Hawa masai kila poli wanavamia mnawaendekeza sana kama wako nahaki wapewe kama hawana muwatoe bila huluma
Mnataka tulete ngo'mbe mijini au
Si msemi kwa ubaya lkn Angela Kairuki uwezo wake ni mdogo sana,ukiangalia anavyojibu maswali,anavyojenga hoja yaani huoni hiyo level ya kuwa waziri unless family background ndio huenda inambeba,Nadhani Mh.Rais apitie tena Baraza lake km akiona inampendeza apumzishe wengine!
Mali Asili na Utalii ni wizara nyeti sana inahitaji kuwa na timu ya watu makini sana kwa sababu linagusa maslahi ya Serikali hasa kimapato na maslahi ya wananchi kwenye Ardhi yaani kilimo na ufugaji. So ni Wizara nyeti na ya pekee sana!
Inawezekana wawekezaji wanatumia UREFU WA KAMBA ZAO na kama ndivyo Taharuki inawezakuzuwasaratani kwa wenye udhahifu waAfya, moyo kisukari figo nyonga zina tahabika na kurudi nyoma Kimaisha na ndicho kiini ninacho kiona mimi, bali kujifunza kutakwisha pale tutapo Kufa na ufahamu unasimama, hivyo mgogoro upo na ni vibaya kuchereweshwa maisha ni mafupi mtu anadai kiwanjatangu anazaliwa mpaka akikipata Umri umwkwisha mawazo hayayanacuuza nafsi kudhurika na kuingiza chuki hasira farakani huruma simanzighazabu na kadharika , uchungu mmoja raha moja kuridhishana muhimu
Ndio maana mampenda huyu spika wallah❤
Kiteto mmepata mbunge
Wamasai vichwa sana. Tangu sokoine mpaka ngoyai lowassa. Ngoja nimkazanie yulee mmasai wangu na mimi😅😅😅😅
Congradulation Dr Tulia Akson your Ideas are keen!
Msomi ni msomi tu anaweza kuwa spika boora toka miaka yote nimeanza kufuatilia vikao vyote vya bunge, daah hongera Dr. Tulia hakubali hoja kirahisi kama ina ukakasi hata itoke kwa nani yani!!
Tulia akson sikuiz naanza kukuelewa uko vzur
Alichomfanya Mpina je?
Tulia amendesha hii kikao kwa utulifu na kutenda haki ukiendelea hifi tutakua mbele
Nawakumbusha tu tupo 2024 2025 ipo karibu na kenya wanapigana sasa hii sio akili zao kuna vitu vimewaamsha
Acha ujinga kenya inakujaje kwenye hoja hii??!!! Iache kenya ipambane na shida zake na sisi tupambane nazetu kivyetu!!!
HUYO MREMBO HANA JAMBO!CHAGUENI MAWAZIRI SIO WAREMBO!
Congratulations mbunge wetu olelekaita hakika unaipigania kiteto
Daa leo nimekukubali na juwa unaweza kutenda haki ila sku nyingine unahasira
Spika kwa hili upo sawa
Mmmh nadhani Kenya imetoa.funzo🤣😂😂
Jembe jembe
Slaa yuko fiti
Dah, siku hizi speaker unakitendea haki kiti
Msipoondoa Kodi za m pesa na luku tutaandamana.
Huyo mwana mama ni mbishi kaa nini sijui ni wasiri gani
Tulia nailing it. Safi
Shida mkiwaondoa Askari wananchi watapata shida
Mhe. Spika pokea maua yako.
Hongera sana Mheshimiwa Spika tunataka Bunge kama hili la kutetea wanyonge.
Acha uongo
Ngoma ya Kenya imewapa adabu angalau.
12:06 Kuendelea, nani kasema ahsante, Mtazamo, 😂😂😂
Hahahahahahahah, kumbe na wewe umesikia ee. tena ni sauti ya mwanamke ile
WANANCHI , SIYO WANANCHI WAKO 😮😮.
lekata oyeee hapo nimekubali
Muendeleee kufuatilia yanayoendelea 🇰🇪
Jamani Kama ni spika Tanzania tunae
Waziri wa maliasiri haeleweki
Ko maduka
Huyo kairuki ndio mzigo kabisa
Ivyoivyo aoniwaongo sana
Hakika hatukukosea kukuchagua
Mh spika heshima kwako
Sipka wa Tz tunakuelewa
Mume watulia amepata mke
Kiteto migogoro mingi sana
Spika nakukubali sana.
Kazi nzuri
Kispika iki nakikubali sana