JEMEDALI AUCHAMBUA USAJILI WA KELVIN KIJILI/SIMBA WAMEKOSEA KUSAJILI WACHEZAJI WENGI?/MVP KIBAO?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лип 2024
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 68

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 24 дні тому +10

    Tatizo la Aishi sio majeruh ni msaliti

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima2043 24 дні тому +7

    Tatizo aishi ni msariti kwa klub kwahiyo analipwa kile alicho kifanya kwa usariti

    • @bellenoe414
      @bellenoe414 23 дні тому

      Mchezaji wake ndo maana inamuuma😂😂😂

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika5102 24 дні тому +2

    Aishi ulitochufanyia mechi ya prison mungu akubariki

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 24 дні тому +3

    Mwache apate Adabu huyo jamaa aliuza Mechi na yanga clear kabisa

  • @clarencemeena1628
    @clarencemeena1628 23 дні тому +1

    Aishi alikuwa mchezaji muhimu sana ndani ya Timu lkn baadaye alijigeuza duka la utopolo

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 23 дні тому +2

    Hilo ni somo kwa wachezaji mujue timu hazina fadhila punguzeni muhemko wa kusajili miaka mingi maana bongo mashabiki wakikuvisha kikoti cha usaliti na viongozi wanaburuzwa juu ya maamuz. Aishi fanya mazoez yako pumzka kama umebakia mwaka utaondoka na kibegi chako uende utakako lakn kama ulisain miaka 5 ukaiona simba ya maana ndo majibu yao hayo

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 23 дні тому +1

    Tamaa za Aishi zimetuumiza sana wanaSimba mashabiki wengi hatuna imani nae tena.. viongozi wamwache aende tu au avunje mkataba yeye

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 23 дні тому +1

    Kumbe Said ni mnyama kamili

  • @fatherjaytz
    @fatherjaytz 24 дні тому +1

    Duka la Mbangula magoli ya kise sana

  • @luindabablui7213
    @luindabablui7213 24 дні тому +1

    Leo mnaisema Simba vibaya msimu ukianza mtaanza kuisifia tena

  • @ramadhanimsangi9515
    @ramadhanimsangi9515 22 дні тому +1

    Aishi alikua duka,.kasahau heshima aliyopewa, akataka hela ya haraka, sasa aombe uwakala wa magodoro GSM

  • @erasmusleonidas6729
    @erasmusleonidas6729 24 дні тому +2

    Azam avunje mkataba wa Manula wampeleke tupate ela mambo yaishe

  • @abdallaselemani
    @abdallaselemani 24 дні тому +2

    Kama anataka kuondoka avunje mkataba

  • @user-ok8wc7io9r
    @user-ok8wc7io9r 23 дні тому +1

    Shida wametukatalia fei toto 😅😅😅😅😅😅😅

  • @jumannekimpundu4789
    @jumannekimpundu4789 24 дні тому +2

    Ni sawa mbona wao wamemzuia Feitoto?

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t 24 дні тому +2

    Aende tu hata bila ya thank your mbona chama kaenda bila thank your?

  • @filbertkisauke5647
    @filbertkisauke5647 23 дні тому +1

    Watu wanaponda usajili wa simba Kwa sbb si Azam watoe pesa Sasa inakuwaje .

  • @samwelsilas629
    @samwelsilas629 24 дні тому +1

    Azm watowe hela

  • @tatalyzer382
    @tatalyzer382 22 дні тому

    1:49 mbona issues za Fei Toto na Yanga hukuacha watu au jamii iseme,uliongea mpaka povu lilikukauka mdomoni

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla5355 24 дні тому +3

    DUKA ILO alituuza vs Yanga

    • @bavonichristopha1693
      @bavonichristopha1693 24 дні тому

      Ushaidi unao my brother mimi binafsi ni simba lakini ile mechi yetu na yanga viongozi wenyewe ndio waliofanya makosa ya kushinikiza kocha amchezesha manula na uku wakitambua fika manula katoka kwenye majeraha

  • @user-et3wx3mq8h
    @user-et3wx3mq8h 24 дні тому +1

    Ashimanura kafanyavizurisanandaniyasimba rakinikatuumizasanawashabikiwasimba parearipopigwatano namtani kumbekapewahera kwahiyo hatumtakisimba aondoketu🐆🐆🐆🐆

  • @raphaelkomba364
    @raphaelkomba364 22 дні тому

    Kuma la mamako we mchambuz

  • @saidmfaume1282
    @saidmfaume1282 24 дні тому

    Sisi pia haturidhiki na alichotufanyia vs Yanga usiangalie upande wake tu.

  • @isaacmutegwa5881
    @isaacmutegwa5881 24 дні тому +1

    Usitupangue nyie ndo mlisema tuna wazee wengi. Alitusumbua alituuzia mechi ya Yanga .

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 23 дні тому

    SAID NI MSEMAJI MZUR

  • @maryamnofli2109
    @maryamnofli2109 24 дні тому

    Aende. Zake. Simba. Haimuhusu. Jamanii

  • @azizakiswili9063
    @azizakiswili9063 23 дні тому

    Mpaka aseme,zile 5 alipewa how much😅

  • @ufundi_tz
    @ufundi_tz 22 дні тому

    kwani timu ni azam tu .. huyu nae kavurugwa

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 23 дні тому

    Yy alichotufanyia kufungwaa 5 alituomba msamaha

  • @stephenwainage2523
    @stephenwainage2523 23 дні тому

    Goli tano zimemponza😊😅

  • @user-wv2wr3kl2x
    @user-wv2wr3kl2x 22 дні тому

    Mbona mwandishi unachochea chokochoko Kwan unakijua kinacho endelea acha bwana kuchonganisha manura ni mchezaji wa simba sport

  • @user-mm9qr7em8k
    @user-mm9qr7em8k 23 дні тому

    Manula anavuna alichokipanda. alipanda usaliti anavuna usalitii.

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 23 дні тому

    Hatumtaki chukua kipa wako mzee hana shukrani

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560 23 дні тому

    We unaongea ila inaonekana hujui kiundani kunasababu huyo jamaaaa bhna ni mbongo tu😅😅

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 24 дні тому

    Manula msaliti ka chama na inonga sisi tunajua

  • @user-wn9bp5cl1j
    @user-wn9bp5cl1j 24 дні тому

    Tunasafisha wasaliti wotee😅😅

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla5355 24 дні тому

    Alituuza

  • @gilbertmaganga9370
    @gilbertmaganga9370 23 дні тому

    Analeta usaliti

  • @godfreymanyilizu5789
    @godfreymanyilizu5789 23 дні тому

    Sasa hii Ng'ombe inasema yenyewe sio Simba sasa hapo inaropoka nini sasa.

  • @nellykira7812
    @nellykira7812 23 дні тому

    Kibaraka huyu

  • @user-bx1qo9fe3q
    @user-bx1qo9fe3q 23 дні тому

    Simba wanashida na Hawa wachezaji waliotokeanao mbali wanawazalau itawatafuna msim ujao kumiiiiiiiiiiiiiii tilipuhii

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 24 дні тому

    Anaemtaka manula amnunue sio mkopo

  • @GeorgeSikazwe-mm7nn
    @GeorgeSikazwe-mm7nn 24 дні тому

    Jamii iamue nini ww achana na simba..ww sio msemaji wa wachezaji

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 24 дні тому

    Halufu maneno ya kihuni ya ukikubali kuolewa YANASEMWA NA WENYE AKILI FINYU VIJIWENI NA WENYE ELIMU DUNI VIJIWENI WAVUTA BANGI.Kwa mtu Mwenye WELEDI na MTU MZIMA hawezi kutamka hayo kwenye VYOMBO VYA HABARI.JIHESHIMUNI ILI MUHESHIMIWE

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 24 дні тому

    Chama huyo achezi kama kasaliti Simba tutamsomea albadir kama alivyo saliti simba hata cheza yanga mtakuja kuona sisi atumfichi mbaya sana chama Bora angeenda Azam au kmc kuliko yanga hatumuachi si ameona kwa Morrison na mayele na yeye pia

  • @BenjaminiMathayo
    @BenjaminiMathayo 23 дні тому +2

    Unatolea maelezo habari za Simba wewe ni nani au unatafuta kiki

    • @suleimanmakameissa6071
      @suleimanmakameissa6071 22 дні тому

      Kwani apo anazungumzia Simba au Manula ambae yeye ni mchezaji anaemsimamia?

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 23 дні тому

    Huyu siyo mchambuzi ni msemaji wa upande mwingine

  • @subiraaddo864
    @subiraaddo864 24 дні тому

    Kwani si useme tu chama keshazeeka unavunga vunga nn??

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 22 дні тому

      Kasema tukutane kwa Mkapa aongei sana by Chama

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t 24 дні тому +3

    Kusajili wachezaji wengi haikuhusu achana na simba yetu.

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 24 дні тому

    Chama tutamshushu busha la nyuma alafu tutamuona kama tarehe 8 DABI hatacheza na akicheza hapo hapo tunampa

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 22 дні тому

      Mzee mpili kasema atakae mgusa Chama anaruka nae kama kipanga msijaribu muacheni acheze mpira

  • @bavonichristopha1693
    @bavonichristopha1693 24 дні тому

    Viongozi wetu wa Simba hacheni mambo ya hovyo hovyo kama hutuna mpango nae Aisha manula basi mwacheni aenda hata kwa mkopo azam

  • @subiraaddo864
    @subiraaddo864 24 дні тому

    Kwani huyu ndo msemaji wa simba au??

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 24 дні тому

    TATIZO LAWI BADO ANA MKATABA NA COASTAL NA MBONA HILO HAMLIHOJI?

  • @soniimedia2440
    @soniimedia2440 24 дні тому +1

    Huu ni wakati wa simba kubeba makombe tusisikilize propaganda ukweli simba anasajili vizuri na watakaoachwa hawapo kwenye mipango yetu.

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 23 дні тому

    Hatumtak kabisaaaaaaaaaa
    Huyo group Moja na Chama,inonga,
    Tunafanya USAF wajinga wote waondoke

  • @user-fi6hb3lp5y
    @user-fi6hb3lp5y 24 дні тому +1

    Hivi wewe yupo mchezaji aliesajiliwa Simba ukasema wamepatia? Mbona too much know wewe

  • @patrickdaffa1207
    @patrickdaffa1207 21 день тому

    Heshima ya nini kama mtu anauza game heshima ya nn? Simba sio wajinga na simba ndo timu ambayo inaachana na wachezaji vzr sana.ukiona wanafanya hivyo ujue Kuna kosa kubwa kafanya.

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 22 дні тому

    Msaliti Hana lolote mbwa aende zake na mwenzie chama wahujumu wakubwa Aishi muujumu