Nanyi pia wachambuzi mnachangia. Team isipopata matokeo ndo ninyi wa kwanza kuanza kutengeneza pressure kwa uchambuzi wenu dhidi ya viongozi na mashabiki. Nanyi muwe mnajitathmini uchambuzi wenu.
Mjitahidi muwe wa tofauti na Crown sasa mana WACHAMBUZI wengi wamenunuliwa tayari awachambui wanakandamiza na kuweka mahaba WALIKO nunuliwa kuweni balanced mchote mashabiki wote wapenda michezo
Crown media salute from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Paul Mkai yupo vizuri
Paul Mkali King Kiba kapata mtu kweli kweli wewr unajua sana Paul mkali🔥🔥
Daaah hii combination nmeipenda ❤❤❤❤❤
Nanyi pia wachambuzi mnachangia. Team isipopata matokeo ndo ninyi wa kwanza kuanza kutengeneza pressure kwa uchambuzi wenu dhidi ya viongozi na mashabiki.
Nanyi muwe mnajitathmini uchambuzi wenu.
Cronwn from South Africa 🇿🇦 Cape Town nawepata vzr San na enjoy San 🫰
Safii sanaaa😂😂😂
Malanyingi mtu ukiwa mee nimbahati kubakiwa na akili zote kama ulivyokua kijana
Mjitahidi muwe wa tofauti na Crown sasa mana WACHAMBUZI wengi wamenunuliwa tayari awachambui wanakandamiza na kuweka mahaba WALIKO nunuliwa kuweni balanced mchote mashabiki wote wapenda michezo
Crown wapo fear mkuu!
Kutoka south Africa ninawapata 100 kwa 100
Hivi Jemadari ndiye Jimmy!!!
Tunaitaj mataji wanasimba ishaallah
Kuweni wakweli kocha hudumu kwenyetim kutokana na matokeo mazuri nahapo inategemea nawenyetimu kwao matokeo mazuri nikitugani nikubakiligikuu,kucheza vizuri,au kuchukuakombe
❤❤❤
TBC haina uchawa kwenye mpira labda mambo yenu ya siasa..
Tbc ndoamuna kitu kabisa
Tatizo media za Tanzania zipo kama TBC Tanzania zimejaza machawa vimbaya sana ccm mwingi
mbon kama wasafi vp tena
Crown media salute from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Crown media salute from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿