Nakupenda xana Giggy,na hua ni mkweli xn MUNGU akupe mafanikio endelea kumpenda mwanao na kupmbana kumlea,kwavile unamuamn MUNGU na kulitaja jina lake lazma atakusaidia,maana MUNGU alisema ktk vitabu vyake tumwite nae atatuitikia na atatuonyesha Mambo makubwa na magumu tucyoyajua!tukiomba lolote kwa jina lake atafanya!
Baba watt wangu arinipiga Niko na wiki mbili nimejifunguwa akachukuwa kichanga akataka kumtuba inje natambaa nafata mwanangu arinipiga teke la usoni nirihisi kufa 😭😭😭mungu nimwema turiachana na watt wawiri nimereya wanangu Sina ata habari yake🙏🙏🙏🙏
Huu mtihani inaonyesha unahitaji counselling maana una stress nyingi sana. Achana na mitandao itakuharibia zaidi wewe unajieleza wao wanatengeneza pesa wakati haikusaidii wewe wala familia yako. Take it easy Gigy.
Gigi wewe kiboko, unatuliza 😭😭😭😭 mwisho wa siku unatufurahisha jamani 😂😂 Nakupenda bure.
😭🤣🤣🤣
Kweli tenaaa 😂😂😂
🤣🤣🤣 kabisa uyu ni komed
@@janethjasson9958 😂😂😂😂😂😂
Yan umeona eeeh
Gigy is such a vibe ❤️🥰.and she is a brave and kind hearted woman.l really love her ❤️🎉
First time I've paid attention to Gigi and I am loving her so much ako real sana. Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
UK
UK
UK
@@godrobart6288 I like your name.
This is my first time too and I love her on God.
Huyu dada ni real sana. Yan sio mnafik na uongo hajui..
#live WIVU UKIZIDI NI TATIZO KUBWA UNAWEZA KUFANYA TUKIO BILA KUTEGEMEA GUSA LINK KUTAZAMA ua-cam.com/video/N9WSFQhSiTM/v-deo.html
Nampenda sana yani huwa ananifurahisha sana
Respect Gigy mahelaaaaa....Love u much mamy
😭😭😭😭Muachenii Gigy jamani hamjui anayoo pitia jamani Single Mama tunajua uchungu wa mateso ya watoto we2😭😭😢
Nakupenda xana Giggy,na hua ni mkweli xn MUNGU akupe mafanikio endelea kumpenda mwanao na kupmbana kumlea,kwavile unamuamn MUNGU na kulitaja jina lake lazma atakusaidia,maana MUNGU alisema ktk vitabu vyake tumwite nae atatuitikia na atatuonyesha Mambo makubwa na magumu tucyoyajua!tukiomba lolote kwa jina lake atafanya!
You are a very brave woman, always strong💪💪🥳🎉🥳🥳🥳
Uyu dada me napendaga tu confidence yake yani 😂😂
Gigy shikamooooo🤣🤣🤣🤣 umejua kunikunaa🤣🤣 mkaka mzurii kumbe mwanga🤣🤣🤣💯💯
🤣
Gigi umenifundisha kitu maana wengine tumekuwa wa kwenda mbele na kurudi nyuma bt interview hii imenifanya niwe mpya.
Ukrud nyuma unapotea kbs yaan keep forward my dear
I love this lady she is very strong
Nampenda Gigy sana sana mana n mkwel na kiatu chake nakielewa mno mana nikiatu changu pia
All vibe in one show Gigy ni firee🔥🔥🔥
kuna namna atafutiwe tuzo huyu dada, shes brilliant anajiamini sio powa
May Allah protect you and your baby🙏❤️
super woman.Gigi despite her age she is wise confident and a strong lady.Kudos
You can be a bad person but if you love your kid . there's nothing going to touch it. My dear stand strong and keep going 😘
I love this woman ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
single mom wote wanaelew nn kinaongelewa nq gigy
Kweli kabixa
Sana yani
Big up Gigy....kumbe lishirikina? Tupa kule...,tembea kubwa kubwa na Yesu.
Gigi, you're a brave woman 👏
Sure
💯
Gigy! 🤣🤣🙌,Unatuliza na kutuchekesha hapohapo.
Mungu ni mwema utakuwa sawa,kikubwa upendo Kwa mwanao,na mtangulize Mungu Kwa Kila Jambo.
Dah mo j ni mjinga kupitiliza 😏😏 gigy watanzania tunakupend xan t lea mtot wko n mung atakuxaidia ❤
Ndo maisha dear,kuwa uyaone.
Kikubwa kila jambo lina mwisho,haya pia yatapita,mzingatie Mungu🙏🙏
Love from south Africa😍😍😍😘😘😊😊
Much LOVE ❤🇰🇪🇰🇪
Wangekuwa wanakuja hata huku mtaani wanatuoji jaman dah ningeyatoa yamoyon aisee😥😥
Baba watt wangu arinipiga Niko na wiki mbili nimejifunguwa akachukuwa kichanga akataka kumtuba inje natambaa nafata mwanangu arinipiga teke la usoni nirihisi kufa 😭😭😭mungu nimwema turiachana na watt wawiri nimereya wanangu Sina ata habari yake🙏🙏🙏🙏
Pole sana😩
Jaman pole sana
Pole sana jamani🙆♀️🙆♀️😭😭
Pole pole my
Jmn pole sana,,, huyo alikuwa jini
Ila wanaume wengine bhanaa,,,, can't say anything koz cna mtoto,,cna mume,,,,Ila kwenye Miti mingi hamna wajenzi,,,,
Yaan Interview Akihojiwa Baba levo ama Gigy inakia 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tupo pa1 my
Wewe ni zaid ya mwanamke zaid ya mamaa❤️
Hakuna mama chiz kwa mtoto wake nimependa ulivyo funguka nilikua naisubilia part 2 nimefurah sana
Nampendaga uyu mdada anajiamini sana
Gigiy kiboko ajua kutuliza nakutufrahisha mungu akutie nguvu
@@adelinamaiko9272 gigiy shikamoo yaan unaniliza kisha unanifrahisha
Tanzanian,, watu naowajua Wasema ukweli ni watatu tuu ,, baba levo,, shishi,, na gigi stop✋.
Hao kwa kweli ndo wanaosema kweli gia zikiachia wanasema yote wengine acheni tu
@@abdulmruke2246 na masha love😃
Faiza ally
watu wanaossema uongo ni Muhijako na nani tena?
@@Watema23 na juma lokole
Unatufurahisha huku unalia hahaha gigy we kiboko🥰
Mwenyezi mungu akutie nguvu Inshallah na akustiria mayra
Safi sana gig uchawi so mzur unarudisha nyuma sana baba mtoto wangu nae ana mambo hayo wallah naumia sana naelewa maumivu unayo pitia kama mama
Am proud of you G
Much love from Kenya Gig baby
Sema wewe Gigi we ni mwanamke, nakupenda, ety nalala na bible chini ya mtu nikifa nakufa na Yesu
😂😂😂
I love her, ni msichana pekee mwenye kujiamini whatever the weather and the situation.
I love this women 😘
I enjoyed this so much
This lady is actually beautiful!!! I think she even didn't drink today! she looks beautiful kabisa!!!
Acha uongo
Angalia interview ya part 1 😂😂 kuna glass ya pombe apo pembeni yake
Kuna kitu najifunza kupitia maneno yako
gigy i love u,yaan una tabia zote za gemin,gemin haturogeki kirahisi,tunapenda sana ila ukitukosea aloooh utajutraa,wapambanaji hatujali wala nini
Love you more gigy, stay strong girl 😘😘😘
Nampenda giggy jamn , and her couple is my favorite😘
Nyie Wanaume Wazuri na Wenye muonekano Wanashida sana jamani, Kweli Nimeamini.. Ukiwa na Mtu wako Personal Utaenjoy Sana.
My forever admire 🥰🥰🥰omg 🥺🥺🥺💔
I love gigy is interview she is so really. Much love from Kenya.
Nakupenda sana gigy money
Mtu anakupenda awezi kubali uteseke ata dakika moja pole sana gigy
Thanks you gig money
Nimecheka Sanaa Gigy et Kuna mwanasheria na advocate, ahahaha raha sanaaa
I love this girl from 🇰🇪
We gigy love you so much
Yani gigy ila amesema ukweli kabixa yani mungu akuongoze kiukweli kwa wale ma single tunajua shida hizi kweli😭😭😭😭😭😭😭
Crazy girl😂😂😂nampenda huyu dada
Love you 😍 gigy 🇺🇸
Love you so so so much, strong woman 💞💞
I love you Gigy. God bless you na akupe amani yako dear.
Gigy anaongea jamaniiii uwiiiiii
Unaakili sana dada G
I will always love you Giggy💓💓💓💓💓😘
Yani hata sielew ukiend huku unaambiwa ivi ukija huku unaambiwa vile bhna ee TUWAACHIE NA MAISHA YAO
Aki giggy jamani uku tunalia uku tunacheka 🤣😂😂😂😂😂😂😂😂 super woman
Super woman ❤️❤️❤️
love you very much Gigy
Gigi you are something 😂😂😂😂 I enjoy watching you but I have also learnt so much from you
Ninachoelewa kua mpaka mtu anafikia kulia kwa uchungu kiasi hichi ni kwamba ana maumivu makali !!!! Aisee mo jay utalipa hili
Love you Gigi
Pole dear for what u experience
Waah you're very strong imagine unalia unakausha
Ni kweli uchawi unatesa hau wuwe ile ni kweli j'ai vu l'expérience Gigy na kupendaka sana je ne rate jamais tes interviews
Yote hayo hayapiti mpaka Allah atake lkn unatesa na unaua.
It’s so sad she went to through that 😭😭😭
Akili za gigy km zangu sitabiriki😭😭😁😁😁
She’s too real😍
Love you Gigy ❤️
Huu mtihani inaonyesha unahitaji counselling maana una stress nyingi sana. Achana na mitandao itakuharibia zaidi wewe unajieleza wao wanatengeneza pesa wakati haikusaidii wewe wala familia yako. Take it easy Gigy.
Geeeee💝💝💝
i love this lady
pole sana Young lady
😂😂😂😂😂😂😂😂😂u made my day gigy
Jamani acheni tu, mimi ile siku baba mtoto anafanya interview nilisema huyu ndio tatizo,,mtoto ana miaka minne muamala mmoja, mfyuuuuu
Mtoto anakulaaa mawee huyuu😀🙌🏽🙌🏽
Napenda interview za gigi
Kama mm napenda sana interview zake
Gigy Hakuna kama wewe mungu akusaidie jamani
Gigy you are brave
super woman Giggy❤️
Wew nimwanamke♥️😍🔥🔥🔥utakuwa juuu Sana🔥🔥
Maish yote nakupenda gigy kwanz n mkwel sn dah unaniumiza
Love u girl❤❤❤
Nakupenda sana dadaangu mpenzi😘😘😘😘😘
Gigy nimejifunza kitu dear 👌👌🇰🇪🇰🇪
Big up sister nakuelewaga sana Kuna point unazilenga na zipo kwa wanawake.. hasa ma hassle...
Gigy I love you for free yesu akusaidia
😂😂😂 gigi haya dogo! ❤️❤️❤️❤️
Penda Sana gigy wew ni super woman more lovee❤️👌
Nakupenda mpaka mwisho 😘😘😘
This Is so painful,i had shit different most human nawadays ain fine.GOD GUIDES YOU ..
Nakukubali mno
😂😂😂😂sijawah kuacha kukupenda gigy