Jamaa katumia fasihi amabyo ni ngumu sana kuielewa Najua wengi hamjaelewa UNAONA HAPO WATU WANAINGIA AMERICA wanarud wakiwa kwenye majeneza na wengine wanarudi wakiwa washakuwa mateja 😂😂😂😂 this man is creative #umewachanganya wengi awamu hii @kalajeremiah
Nimeelewa Sana bro ...vijana wengi wanaaminni ughaibuni ndo Kuna maisha mazuri kumbe balaa tupu ...wakirudi hawana kitu,mateja na Wengine inarudi miili tu wakiwa wafu
Jamaa ametisha sana, huu wimbo lugha ya picha imetumika "ujumbe ni kwa vijana wanaotaka kwenda nje kwaajili ya biashara ya madawa ya kulevywa" WELL DONE KALA
Ebanaa mwanza tumekiwasha tenaa awakina baracka da Price kina h baba wamesha shindwa majukum na kuolewa sasa matumain kwa kina kala na fid q msodiki pia
Muimbaji Kala kwa nyimbo hii nimekuelewa kua ndani yako kuna kipawa na elimu kubwa ambayo Mungu ameweka ndani yako kwaajili ya kuelimisha dunia.... Kwani watu wengi wamekua wakifata upepo kama bendela na huku wakiwa hawajui kua wanapotea... Ninakuombe na nitazidi kukuombea ili Mungu azidi kukutumia uelimishe watu na sio kupotosha watu na jamii kama wengine wanavyofanya.. By Prophet Luckson N.M
Duuuuh!! Unaweza kuona namna wanavyokimbia kwao wakidhani fursa zipo nje, sasa wanarudi wakiwa tofauti kabisa wengine mateja, wengine zinarudi maiti. Its now to understand that ni bora tunavyoviacha kuliko tunavyovikimbilia. AMERICA katika wimbo haimaanishi twende America kweli Bali inatuonesha ni wanaokimbilia huko wanasuffer. Thanks @KALA JEREMIAH . you are my role model. One day I wish kufanya unachokifanya
Broo katika nyimbo ambazo huwa c choki kusikiliza ni hii amerika yaan kuna vitu umeongea ndani ni vya msingi mnooo big up broo mungu akujalie kazi uzid kutoa nyimbo za kuelimisha bro
sema bigup sana brother najua mziki unauwendesha hauendeshwi na mziki please usibadilike brother maan tupo wenye akili kama ww wenye kupenda vitu vya maaan....
Ukisikia tungo tata ndo hii, wengine wanaenda america wamerudi vichwa vimelipuka, wengine wamerudi wamekufa, wengine hawajarudi,,,,,, mwisho kala na wenzie wameruhusiwa kwenda ila wameghairi,,, ngumu sana kuielewa hii video
Back to African movement. Falsafa ya MTU mweusi myahudi halisi fuatilia makala za @HMG. Ujifunze falsafa ya MTU mweusi na historia tata. back to African movement. #Kala Jeremiah umefanya kitu chatofauti sana na chenye maudhui mazuri hongera black mwenzangu
Kweli wewe Maniger nakubali sana you will be stay up
Huyu jamaa ni creative sana
kama unafikiri #KalaJeremiah anafikiri sana #GongaLikeHapa tupo pamoja...!!!
👊👊💪💪💪😁😂
Kama umeuona mswak wa Masai gongo lik
Big thinker
Kqbisqqqqqq
Mwangaloka mlechiza👍
Bonge la Video
America pabaya sana
kama umemwelwa kala gonga like apo
Hoooooweee kamesha kabisa safi
Nataka kwenda America, comment no. 31 likes kaeni nazo nina yangu moja
31
😀
Ngoma Kali
Mwadira gawiza weka like twende sawa🔊
Wanangu wa 254 kama unamkubali kala rusha likes zako hapo tukisonga
kama unamkubali kala Jeremiah gonga like twende sawa 🔥🔥🔥
Ng'wangaruka mlichiza 😂😂😂 Sukuma to the Word gonga like hapa kama unaamini kalah katisha
Madila gawiza!!! Well J kazi zako huwa zina ujumbe mnono...
Bora kubaki kuwa chizi Tz kuliko kwenda America then urudi ukiwa mteja au maiti,,Safi sn Kala,hapo umeitendea haki fasihi
Oya trump nipe visa,
Bill Gates nipe pizza !!
moja kali kala jeremiah....
sawa baba wakimbize
Hatapata tabu sana fundi karud anaekubal agonge 👍
Machizi hawaendi America, waliotimamu wanaenda ,wanarudi wakiwa machizi au maiti.
Kajana so talented
Thobias Mabuku @fact...
Lugha ya picha imetumika hapo America yaweza kuwa ni mafanikio ambayo kila mtu anayatamani ila matokeo ya mafanikio yaweza kuwa hayo
I'm black don shot me I have a dream don kick me I'm Martin Luther ✌️✌️✌️✌️✌️....Kaka umtixha...big up xana...
Nimeielewa broo
Jamaa katumia fasihi amabyo ni ngumu sana kuielewa
Najua wengi hamjaelewa UNAONA HAPO WATU WANAINGIA AMERICA wanarud wakiwa kwenye majeneza na wengine wanarudi wakiwa washakuwa mateja 😂😂😂😂 this man is creative
#umewachanganya wengi awamu hii @kalajeremiah
Ni kweli bro
fasihi
Yani mi ndo kanitupa kabixa Ani... Haahaa
Mimi mwenyewe sikumuelewa..ila wewe umenifungua uelewa
@@merryjulius4098 jamaaa mbunifu sana
# Kala Jeremaya mm nahishi America nimekuelewa 💯 kaka unaona mbali
Natamani wengi wausikie wimbo na waelewe video
Nimeelewa Sana bro ...vijana wengi wanaaminni ughaibuni ndo Kuna maisha mazuri kumbe balaa tupu ...wakirudi hawana kitu,mateja na Wengine inarudi miili tu wakiwa wafu
true blood
Bro umedhihirisha kipaji ni ubunifu na sio kuigana... This is really HIPHOP
Nimeelewa kumbe huko America ndohivyo siendi bora nikomae najiji sitaki kufa mapema
ya true
G twice sana chief...
Mi nataka kuenda Tanzania yeah ya
Kama umeelewa ujumbe uliofichwa kwenye hii song gonga like tujuane
Kama umesikia mwangaloka Gawiza, Madelo Gawiza.
Like twende mbele...chakokaya
Gawiza
UVCCM MASWA 😀
Hatali
Sukumaland raha sana home
Pendant sana kala
wachache wanaojua fasihi wameielewa, Kala Jeremiah is the most creative artist TZ
Rapper mwona mbali sana we jamaa
mwangaluka mlechiza madelagawizaaaaaaaaaaaa king of sukuma wasukuma mpaka tupate nini jamani wakati kala nizawadi katupa mungu acha like hapa kizazi
Gud Music na Ujumbe
Masaai kaenda America karudi bishoo #kala noma sana
Jamaa ametisha sana, huu wimbo lugha ya picha imetumika "ujumbe ni kwa vijana wanaotaka kwenda nje kwaajili ya biashara ya madawa ya kulevywa" WELL DONE KALA
Nakubali
Wangapi wamemuelewa kala Jeremiah tujuane apa
Mwangaruka mlechiza na kasikia kisukuma kama mimi
akili nyingi mpaka unaboa kala du this is too much
Nymbo qali saaana km umeikubal gongw like twnd sawa
jamaaa creative sana strong message kwenye video
Ebanaa mwanza tumekiwasha tenaa awakina baracka da Price kina h baba wamesha shindwa majukum na kuolewa sasa matumain kwa kina kala na fid q msodiki pia
kala Jeremiah nikajua unaeckt movie ya kivita👈👈👈 gonga like Hapa kama umeikubar hii song
Muimbaji Kala kwa nyimbo hii nimekuelewa kua ndani yako kuna kipawa na elimu kubwa ambayo Mungu ameweka ndani yako kwaajili ya kuelimisha dunia.... Kwani watu wengi wamekua wakifata upepo kama bendela na huku wakiwa hawajui kua wanapotea... Ninakuombe na nitazidi kukuombea ili Mungu azidi kukutumia uelimishe watu na sio kupotosha watu na jamii kama wengine wanavyofanya..
By Prophet Luckson N.M
semeni tena niliwasikia kalajeremay kafulia nathani kawafunga midomo🎌🎌 sisi haoo America tunaotaka kwenda like👍👍👍
Kama umesikia ng'wangaluka weka like zakutoha hapa
USINIFWATE.....ACHA!!!!🔥🔥😊
Usinifuate......#me nataka kwenda AMERICA 🔝 🙌
Kali sana🇨🇩😂😂😂😂
video imebeba ujumbe mzito, hii ndo maana halis ya kuwa creative big up kala
Duuuuh!! Unaweza kuona namna wanavyokimbia kwao wakidhani fursa zipo nje, sasa wanarudi wakiwa tofauti kabisa wengine mateja, wengine zinarudi maiti. Its now to understand that ni bora tunavyoviacha kuliko tunavyovikimbilia. AMERICA katika wimbo haimaanishi twende America kweli Bali inatuonesha ni wanaokimbilia huko wanasuffer. Thanks @KALA JEREMIAH . you are my role model. One day I wish kufanya unachokifanya
Wewe ni noma bro
nani kavutiwa na mshangao wa kala kulishangaa jeneza tujuane tia like
kk umewaza sana kunawengine bado hawajaelewa apa
Dah this guy is not only talented but also intellectual, kinu kitu cha kujifunza Ktk hii nyimbo...
kabisaaaaaaaa
sema #AMERICA
Ngoma Kali idea Kali video kali
Broo katika nyimbo ambazo huwa c choki kusikiliza ni hii amerika yaan kuna vitu umeongea ndani ni vya msingi mnooo big up broo mungu akujalie kazi uzid kutoa nyimbo za kuelimisha bro
Sna kingine zaid ya kumshukuru mungu kwa hiki kipaj cha kala thanks God
Amen
Kama hujamuelewa kama mm ucpite hv hv dondosha like
🙌 mikono juu goma qali
Nomaa saana kala umetisha kama umemuelewa kala kamanilivyo muelewa mimi naomba tujuane tafadhar
huyu jamaaa ni kwere anaupeo mkubwa sana wa kufikiri aise
Huu mziki siyo level ya wapenda matusi. Audio na video havitenganishwi, ukitenganisha unapata uiumbe nusu.
Kama masihala lakin funzo hilo. Respect sana mzee hapo mjinga haelew lakin wajanja kitaaaaambo...
Ujumbe mzito. ...let live and die in our tz
Hii ndio nimeielewa ni hatari ......#Nipe Viza
That is what we call creativity broo well done
noma nomani gonga like kumsuport kala
Hujawah kosea kaka
Nataka kwenda amerikaaaaa twenden ni fire
Huyu jamaa anajua sana..❤ He is a thinker n talented. Goma liko juu🔥🔥🔥
sema bigup sana brother najua mziki unauwendesha hauendeshwi na mziki please usibadilike brother maan tupo wenye akili kama ww wenye kupenda vitu vya maaan....
good
UBINIFU wako upo kiwango Cha juu sana, wachache tu ndo tunakuelewa.
Kama mm vile
-
yaani nimeirudia mara 10 big up bro wakwetu gt one yani habar ni america
Waliobora kabisa. Walikubaniaga tu bss kama ealivyomzingua mwana wa mahhryaaaikhaaaa
video simple.
ujumbe mzito.
timamu na aelewe.
ushauri mzuri
RESPECT kwa director. umenionesha ubunifu mairi.
Ila we Kala aisee, dah! Mungu akupe zaidi brother u d best!
man of god
Nakuaminia toka zama🇰🇪💪💪👍🔥🔥
Kawimbo kanaujumbe, halafu video imejieleza aisee huyu jamaa anakipaji sio chakawaida, Kama na ww umeelewa Zaid unavofikir gonga like
wewe ni bonge la artist kala jeremiah
Ungekuwa Mwalimu ,ungepewa mwalimu Wa michezo na burudani
Nakubali kala ngoma kaliiiiii safari hii umekuja kivingine,,gonga like kama unakubali mabadiliko aloyafanya kala ..
Ukisikia tungo tata ndo hii, wengine wanaenda america wamerudi vichwa vimelipuka, wengine wamerudi wamekufa, wengine hawajarudi,,,,,, mwisho kala na wenzie wameruhusiwa kwenda ila wameghairi,,, ngumu sana kuielewa hii video
kala big up unatisha kk
+254,this is the best music that unaweza kurudie kuwatch kila wakati ukiwa na tamaa sana.
Like kama umeelewaa style anazooo chezaa kalaa
THIS is HIPHOP FULL OF CREATIVITY gonga like twende sawaaa
Nadhani video ina ujumbe mzito kashinda mashairi yenyewe
Duh bonge la ngoma 😁😁😁 usinifuateeee
Uko juu my brother.....yani unatoka home ukiwa na adabu unarudi umechange kabisa
Wanamwita KALA
Hahaha kama ume iludia kutizma kma mimi gonga like ,😂👏
Kubwaaa
Dah watanzania ujumbe umetugusa sajani tujifuzeni jamni
Idear kalii sana brother. Mungu akulnde cku zote za maisha yako🙏
Back to African movement. Falsafa ya MTU mweusi myahudi halisi fuatilia makala za @HMG. Ujifunze falsafa ya MTU mweusi na historia tata. back to African movement.
#Kala Jeremiah umefanya kitu chatofauti sana na chenye maudhui mazuri hongera black mwenzangu
Kala nakubali kaz zako
Mi mwnywe nataka kwenda America 💥💥💥💓
Mwangsluka ngawiza ww kala nomaaaaaaaaa
Kajemaya ngoma kalisana mze baba anamkubali kajemay achia conty kajemay
Unajuaaa sana gawiza baba