ALLY KAMWE AUNGURUMA KUTOKEA MOROCCO/AMCHANA AHMED ALLY/"WIVU UNAMSUMBUA/ENG. HERSI BADO YUPO YANGA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 73

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 7 днів тому +9

    Peperusha Bendera kijana wetu kongole kwako 🎉🎉

  • @JamilaMbaruk-j3m
    @JamilaMbaruk-j3m 7 днів тому +6

    Adui yako muombee maisha marefu ili utakapofanikiwa ajionee mwenyewe,hongera Rais na msemaji wetu Mungu awape maisha marefu yenye mafanikio mazuri Yanga mbeleeee nyuma mwiko

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 6 днів тому +1

    Busara za Hersi Said, zitampeleka mbali sana na Yanga yetu ❤️

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 7 днів тому +9

    Yanga oyeeeeeeeee daima mbele rais wetu hongera sana mungu awalinde 💚💚💛💛💚💚💚💚

  • @gervaslukaya1637
    @gervaslukaya1637 7 днів тому +4

    Msie mpenda uyoooo anasonga mbele

  • @jseventz
    @jseventz 6 днів тому +1

    ally kamwe amepanda ndege mwenyew e ila mohamed ally anapanda ndege na team 😂😂😂😂

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 7 днів тому

    Yanga imara Daima mbele nyuma mwiko !.
    Hongera kjn wetu Ally S.Kamwe hakika hii ndio faida kuwa msemaji Taasisi kuu nchini Tz,kula matunda/raha kupitia Yanga hii 2024/2025 Bingwa.💛💛💛💛

  • @AnnoyedChemistryExperime-yk9tt
    @AnnoyedChemistryExperime-yk9tt 6 днів тому +2

    Simba wameshiliki mashindano yakimataifa lakin hawajawahi kualikwa hata kwenye Birthday ya caf Yanga misim 2 tu wamealikwa lazima waumie

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 7 днів тому +6

    Ahsmedy ally asingistahili kwenda huko maana yuko ki comedy sanaaaaa.

    • @DoreenMlay-e8g
      @DoreenMlay-e8g 6 днів тому

      kule wameenda watu wakazi sio wachekeshaji jamani asubirie wcheshaji waalikwe

  • @EnockThomas-r7b
    @EnockThomas-r7b 7 днів тому +1

    Hongera sana msemaji wetu

  • @KhamisNdalami
    @KhamisNdalami 6 днів тому

    🙏💪💚💛 Hongera sana Mwenyekiti wa wasemaji

  • @EtiminSadallah
    @EtiminSadallah 6 днів тому

    Hongera sana uko vizuli sana unafaa kuwa kiongozi mkubwa safi

  • @ToradEmanuel
    @ToradEmanuel 7 днів тому +2

    Hahaha 😀 😆 😂 Watulie Sindano iingie 😂😂

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 6 днів тому +1

    wivuuuu, wivuu mama wivuu viroboti hawawezi kutukubali

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 6 днів тому +1

    Wewe jinga jinga kweli, ni msemaji wa Yanga tu. Msemaji wa hovyo kama wa Makolo hawezi kuingia kwenye nafasi hiyo.

  • @ClemenceNyoni
    @ClemenceNyoni 6 днів тому +1

    CAF Wana akili Sana... Si kila mtu anaalikwa tu,,, watu wanaangalia hata mazungumzo yako ya kila siku... Sasa wasemaji wengine we kwenye media, kwenye mitandao unakua unaongea mipasho unadhani atakualika nani? Wanaalikwa watu na busara zao huko... Wengine mtaendelea na mipasho hadi mtakapojitambua....👺👺😏

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory7116 6 днів тому +1

    Hapo ndio.unaamin Yanga Inaongozwa Na wasomi.

  • @YusuphJilala-r4e
    @YusuphJilala-r4e 6 днів тому +1

    Makolo watakufakwa wivuuuuuu😂😂😂

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 6 днів тому +1

    haijalishi yanga tumetolewa klabu binngwa ila naamini kuna siku 2

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 5 днів тому

    HAHAHA! CAF WANA AKILI SANA YAANI WAMEONA KUNA WAHUNI WANADHURURA TU MTAANI BAADA YA KUTOLEWA MWAKA KUNDI WAKAONA WASIJE WAKAWA VIBAKA WAKAWACHUKUA 😂😂😂

  • @MwanaishaShabani-e4y
    @MwanaishaShabani-e4y 6 днів тому

    Nimeshajibu swali lako nasubiria zawad yangu kutoka morocco

  • @priscamboya3091
    @priscamboya3091 5 днів тому

    Dah..ila mashabiki wa Simba mnamatusi huu ni Mpira tuu dah

  • @JohnWhatsup
    @JohnWhatsup 7 днів тому +1

    Kweli KABISA mwamba alikamwe, umeenda kukutana na vigogo wa soka AFRICA, acha ahmedyally abwabwaje huo ni wivu unamsumbuwa, anaweweseka, achana NAE umemuacha mbali sana,huyo anawivu sana,

    • @DoscaSilas
      @DoscaSilas 6 днів тому

      Yanga saiv tumefika mbali tuna viongozi nataka mtusafishie njia tufanye vizuri kimataifa jamani tunanyanyasika yanga na uyo kelia atufai

  • @NaftaryMgoye
    @NaftaryMgoye 6 днів тому

    We Shaban we shabani😂😂😂

  • @FristaJohn
    @FristaJohn 7 днів тому +1

    Acheni wivu wanasimba tunaviongozi wa mpira ndo maana hata cuf inawaita kwenye mikutano yao kwanin mcjiulize kuhusu viongozi wenu wao wana nin na wayanga wananin?

  • @bisejulius4100
    @bisejulius4100 7 днів тому +1

    Hiyo nafasi sio rahisi wasemaji hovyo kuipata

  • @LucaiyaKyaka
    @LucaiyaKyaka 7 днів тому

    Kilalakheir Babaa

  • @Josephtibu-l9e
    @Josephtibu-l9e 7 днів тому

    tatizo nduguzetu bado washamba sana ,Kila kitu wanaweka mtandaoni

  • @mzeewanondo
    @mzeewanondo 6 днів тому +1

    Madunduka wakiiona hii wanatamani kuzimia🤣

  • @litimbaify
    @litimbaify 6 днів тому

    Kwa Ahmed Ally kwake hataki network, alishaipata zaman, AFL ni kubwa kuliko droo ya Afcon

    • @MikidadiAbdu-s6o
      @MikidadiAbdu-s6o 6 днів тому +1

      Yan droo ya mashindano ya timu ni kubwa kuliko droo ya mataifa duh

  • @ZaniaMohammed
    @ZaniaMohammed 7 днів тому +1

    Makoro simba kama ww unavyofiragwa na ngungu au sio !!

  • @SussankhanKhan
    @SussankhanKhan 6 днів тому

    🙏🙏🙏💛💛💛

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 6 днів тому

    Huyu kaenda huko si anapiga picha na kila mtu anaekaaa mbele yake ulimbukeni

  • @VICTORMBWIGA
    @VICTORMBWIGA 6 днів тому +1

    Kuna comed mmoja eti anajiita semaji la caf cjui kama hata caf wenyewe wanamjua

  • @Happynesi-d4k
    @Happynesi-d4k 7 днів тому +2

    Bahati ya mtu usiilalie mlango wazi aiwezi kuwa yako hamedy wivu unamsumbuwa inaitajika halikwe kwenye komedy ndo zaizi yake uko kwingine amwachie Alikamwe

    • @abdulazizi4981
      @abdulazizi4981 7 днів тому

      Ally kamwe mwambiie huyo Ahmed Ally wakati mwingne aache mashara

  • @zuberimusamazari7003
    @zuberimusamazari7003 7 днів тому +1

    Pongezi semaji wa kimataifa kuna bwana mmoja ana zurura uku vingunguti

  • @josephkapinga652
    @josephkapinga652 7 днів тому

    💚💛

  • @fadinamtungwe102
    @fadinamtungwe102 7 днів тому +1

    Sasa manguboy angeenda kuongea nini

  • @dr.allyahmada
    @dr.allyahmada 7 днів тому

    Mwendelezo wa mafanikio ya mpira wa miguu kwa Yanga na Tanzania kwa jumla.

  • @priscamboya3091
    @priscamboya3091 5 днів тому

    Simba Kwa matusi yenu mtaendelea kulaanika hamta fika nusu kombe la Cuf hata cku 1 matusi ni laana Mpira ni utani mnamtukana Eng na Ally amewakosea nn lkn

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 7 днів тому +1

    Labda network ya supu badae

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 7 днів тому

    Ahme Ali tunakuomba nenda hata Mtwara kwenye Mkutano wa wacheza sindimba

  • @abinaeljuliusmwaikenda8529
    @abinaeljuliusmwaikenda8529 7 днів тому +1

    Komedy ni ya mvaa msuli mmoja hivi tumwache aone draw ya wakubwa africa

    • @litimbaify
      @litimbaify 6 днів тому

      TUMEFURAHI HAMJAFUZU HIYO NDO SLOGAN YETU HAIISHI, NYIE ENDELEENI KUJIFARIJI

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 7 днів тому

  • @MakoroSimba-eb6lp
    @MakoroSimba-eb6lp 7 днів тому

    Eng kaenda kumfila kamwe morocco

    • @AkramIbrahim-m6x
      @AkramIbrahim-m6x 6 днів тому +1

      We Makoro Simba Kwanza Wewe Huna Adabu Hujafunzwa Na Wazazi Wako Km Wewe Ahmed Ali Anakufira Basi Wewe Sio Kamwe Eng Amealikwa Kamwe Amealikwa Halafu Kwa Kuwa Wewe Unafirwa Unajua Na Wenzio

  • @dismasthomas8318
    @dismasthomas8318 5 днів тому

    huo uwenyekiti alimpa nan ndugu mwandishi mbona sijawai skia uchaguzi wa msemaji

  • @Bilifilmz
    @Bilifilmz 7 днів тому +1

    Kaitwa na Engineer mnapga kelele

  • @songombingo108
    @songombingo108 6 днів тому

    Sasa yule mbana pua sauti yake tu ni shoga.

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662 7 днів тому

    Hawamooooo,ni,kujifariji,tu,mmelitia,aibu,taifa,ndegeles,hamna,kazi

  • @aileenmphuru5106
    @aileenmphuru5106 6 днів тому

    Nani alikuchagua kuwa mwenyekiti wa wasemaji wewe? Nilidhani unakaa huko mwezi mzima kumbe kesho tu unarudi. Karibu nyumbani utatukuta.

  • @PeterIdd-d3c
    @PeterIdd-d3c 7 днів тому

    Yanga wanachojua kushuriki matamasha tuuuu,