Angel Magoti - Una Nguvu (Live Music Video)
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Zaburi 46:1
“Mungu Kwetu Sisi ni Kimbilio na Nguvu; msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.”
Inafurahisha kiasi gani kujua kwamba Yupo ambaye ana nguvu zaidi ya mtu yoyote katika Dunia na hata Mbinguni.
Matendo yake Ni Nguvu.
Maneno Yake Ni Nguvu.
Kugusa kwake ni Nguvu.
Hakuna nguvu zaidi ya hii.
Umaarufu hauna nguvu zaidi yake, Cheo hakina Nguvu zaidi yake, Fedha na Mali hazina nguvu zaidi yake, hakipo chenye nguvu zaidi ya Yeye Mwenyewe.
Chanzo cha Nguvu ni Mungu wetu alie Mwokozi wetu.
Ukitaka nguvu utapata kwake, Wimbo huu ukupatie Nguvu zake maishani mwako. Ufahamu kua katika kukata tamaa kuna Nguvu Ya Mungu, katika kushindwa kuna Nguvu Ya Mungu, katika Magonjwa kuna Nguvu ya Mungu.
Nakuombea Nguvu Za Yesu alie Mungu wetu maishani mwako.
Written By Pr Baraka Laizer
SONG COMPOSITION By Angel Magoti
Video Director ~Syber pic
Audio Capturing/Mixing ~ Mujwauki
Sound ~ Haddypro
Lights ~ Haddypro
Backline ~ Haddypro
Stage ~ Haddypro & Hugo Domingo
Hard drives ~ Phaonies
Decor & Screen ~ Simply Special Decor
Branding ~Essau Mbwambo
Mockup ~ David Mhana
Visual Effects ~Jimmy Mafie
Makeup ~ Nancyline
BVGs makeup ~ Grace kidiga
Men Dressed ~ Wekisha Design
Women Dressed ~ Issa
MUSICAL TEAM
BVGs ~ Friday Worship Team
Elisha Korg~Musical Director / Arranger
Jonathan Shemsanga~ Ass MD strings
Victor Keys ~ Organ
Josh Kulwa ~ Pads
Prosper Fundi~Bells
Chiefbeyz1 ~Bass Guitar
Baste Mtela ~Lead Guitar
Emme Raphael ~Saxophone
Mitchell Mike Jr ~Drummer
#AngelMagoti #UnaNguvu #LiveMusicVideo.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
My love my dear umebarikiwa sana Kipenzi changu Yesu amekupa kitu Kikubwa Sanaa🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Amen my love to God be the Glory
Tumtumikie uyu Yesu tungali na pumzi hii aliyotupa na Karama zake alizoziweka ndani yetu
Harafu mbona mnafanana sana😘😘😍
Being Christian isn't just a Bible verse in your bio,keeping a daily journal or wearing a cross necklace. It's saying no the world & yes to Jesus when everything around you fights against it.Christianity isn't always easy, but it's so worth it.
You can say that again
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tanzania is worshiping in spirit and truth Lord hear the cries of your people from this nation ❤
Glory Glory to GOD
And other nations too because I'm all the way in USA! MY God
Wueh 🔥🔥🔥🔥 Tanzania is releasing a sound 💯💯💯 people are praying , fasting and seeking God and this shows it.. stumbled on this Love from Uganda 🇺🇬
ua-cam.com/video/VFK7RQdgo_Y/v-deo.html
Ni Salama Rohoni Video Barikiwa Sana
Here from Kenya too.
Olimba... olimunakenya
Her vocal ability is something else just wow 😮
Yesu sema katika maisha yangu ❤
Something that I have realized lately about most Tanzanian gospel artists is that they sing songs inspired by the Holy Spirit and not out of their own flesh...Much love from Kenya..
Amen
I agree with you Julia,
Angel may God bless you and please plan to come to Kenya soon! I have played this song over and over since morning.
Am an upcoming minister... I would like you to be my teacher...u are such a blessing to my life
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 Blessed... Hakika Yesu una nguvu, Kwa neno lako Ukisema vinakamilika
Thank you Jesus for this person who wrote the words out for me I be singing this song with my whole heart. And even though I I mess up the words God knows what I'm trying to say. This made it easier lol
Praying for everyone here who's experiencing depression, anxiety, those who lost their jobs that God grant them healing and restoration of their faith. Amen
Amen 🙏
AMEN
Hongera sana Anjela, umebarikiwa sana kwenye uimbaji. Nimependa pia stage na arrangement yote, higher levels
This is absolutely the work of our almighty God I just can not believe this is actually coming from us Tanzanians God as surely given us a magnificent singers and we are forever grateful for that una nguvu yesu ukisema vinakamilika🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️👌
❤❤❤ União Norte Brasileira - UNB Missão Nordeste Maranhense - MNeM Distrito Jardim Tropical. São Luís Maranhão 😍😍 perfeito louvor
My shem is the best Grace KIDIGA
TO THE WORLD
Thanks ❤
Such a powerful song...we are releasing a sound in Jesus name
hakika Yesu ana nguvu ndiye Bwana na mwokozi upande wetu wateule.
Akisema yote yanakamilika,magonjwa yanyauka,femilia zinapona pia, he's God.
Namshukuru kwaajiri YAKO sister magoti am proud of you Mungu akufikishe mbali nimekufahamu tangu nipo pathfinder nafurahi kukuona KILA siku ukipanda juu @Mwl.Mobe nyabihore secondary
🇨🇩🇨🇩🇨🇩kwakweli mungu anazo nguvu wimbo unatufa riji mama ubarikiwe sana
Amen, kweli Mungu wetu ana Nguvu nami nimemwona maishani mwangu, amenifanyia njia pale pasipokuwa na njia, barikiwa mdogo wa Mimi kwa wimbo wenye matumaini.
Amen to God be the Glory
Hongera sana mtumishi 🙏 Mungu akuinue
Amen. I believe this word. Just heard this song elsewhere and I came searching. Powerful
Yanigusa
umebadilisha maisha yetu mengi
My God😱😱😳😳. 🙌🏼🙌🏼Oooh God 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼❤❤❤how can it be in heaven , if this is how it is on earth 😭😭😭😭 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙏🏻🙏🏻🙏🏻Mungu tusaidie tufike Salama. God is powerful 🫶🏾🙏🏻🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🇭🇺🇭🇺🇭🇺
Amen 🙏
Yesu una nguvu Amina❤
Huu Wimbo Unanibariki sana
Im struggling with something but I'm glad I know the one in me is greater than the one in the world. This song affirms that
Amen 🙏 He’s able and He will take you in through what your struggling with in Jesus name
Praying for u bro
We praise,glorify and worship our good Lord and most magnificent God. I like the song and the volume is up....blessings from Tanzania 🇹🇿
Awesome I say awwwwwwweeeessssssomeee
amen
Akisema vinakamilika hakika
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 your powerful God. When u speak it come true🙏.
Yeye ni mwambaa wetu tujifiche kwake Anannguvu na uwezo na mamlaka yesu from mombasa kenya
Pia tuna Hamu ya kuzipokea nyimbo nyingine pia..
Jamani Mtamu huu wimbo..
Dada Angel barikiwq sana
sauti 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Woooh Yesu ananguvu kweli barikiwa sana wimbo mzuri unaoleta mioyo ya unyenyekevu inyenyekee kiti cha enzii oooh umebarikiwa dada
Be blessed
Amen 🙏
Hakika na kweli, amina amina🙏🙏
Ukisema kinakamilika 💯
ANGELA be really blessed for such an awesome song. When listening to this song ,i get to heaven and commune with God himself. A real story, a miracle has happened to me having been keen to listen to this song, meditating and believed in the divine revelations of the words .I so pray to our father that he may reach to his people through you and you songs ,may he provide for you in all aspects at times of need. You are such a blessing, thanks..
Amen to God be the Glory
I just met this and am blessed by the sound of God's spirit through this woman
Nothing is impossible with this God .Kweli ana nguvu.Ni neno tu na linakamilika😇😇😇
Hongera sana Angel Magoti. Mungu wameweka karama ya uimbaji ndani yako, ninaamini kupitia karama hii watu wengi wanaponya roho hata mwili. Mungu azidi kukubariki.
Mimi ninakufuatilia tangu TM Music.
Glory to God my dear sister, it's great that you are serving theLORD .
Ohh Hallellujah Yesu unanguvu Mungu Jina Lako Litukuzwee.....🙏
Amen mtumishi wa mungu
Amen 🙏🏿 🙏🏿🙏🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Powerful worship 🔥🔥🔥 to The Most High God... hallelujah.
tuendelee kusapotiana
Mungu anazo nguvu na nguvu nyingi hakika👏👏☺️🙇♂️🙇♂️ Barikiwa Sana Minister👏👏🙏
This makes me want to just bow and worship my King!!!the anointing here is too great 😭😭🔥🔥🙌may God be praised
On my Birthday, this song played thru the whole day and i knew this had to be my song of the year....what wonderful words....kweli Mungu UNANGUVU😇❤🔥🔥
Kweli Mungu ana nguvu na akisema ni lazima atende
Thank you so much for this song may inspire you more and more,I pray this song everyday after having my baby and it’s keep playing in my heart when I’m sleeping,God you’re powerful and everything you say come to pass nothing is impossible to you🙏🏽🙏🏽
Glory to God with power in His name!Mungu akubariki mtumishi Angel🔥🔥much love from Tanzania
Nimerudia Mara moja haitoshi... barikiwa sis angel...
Yesu unanguvu
Waooooo unanguvu Yesu huu wimbo🙏
This song is something else 🔥🔥🔥
Hakika Mungu ni Mungu anayebadilisha historia. Akisema Vinakamilika. Barikiwa sana dada Angel Mungu akuwezeshe na kukupa mafunuo zaidi na zaidi kulitumikia kusudi lake
🔥🔥🔥🔥🔥🙇♀️🙇♀️🙇♀️Yesu una nguvu ukisema vina kamilika huu wimbo 🙌🙌🙌🙌
Wow🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
NATAMANI KUIMBA ZA JUU KAMA WEW MUNGU NAJUA NA MIMI ATA NIINUA ZAIDI NA ZAIDI 😭😭😭😭😭MUNGU AZIDI KUKU INUA ILI KUPITIA WEW NIPATE KUJUA MENGI 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
amen 🙏 baraka
Melody nzuri punch za kimataifa sound za kiMungu,Mungu akisema hakika yote yanakamilika ubarikiwe sana
Natamani dunia Nzima watambue namna MUNGU alivyokubariki katika huduma hii!!!
#Godyourpowefull
Amen to God be the glory
una nguvu yesu
Angel were unaniispire mno,,,hunger him ni utukufu kwa utukufu Kwa Mungu
Una Nguvu Bwana...ukisema vinakamilika 🙌
Kabla sijaskiliza nianze kukupongeza kwanza mana najua tu Mungu ametukuzwa vizur
Ukisema vinakamilika Yesu🙌🙌wewe unanguvu
Lord I worship you🙌, your Mighty ooh yes you are Mighty, as you say Yes heavens open, mountain shifts .....
Powerful worship son God bless you daughter of Zion.
Hakika una nguvu, Yesu una nguvu. Ukisema linakamalika.
W love youeso mutch in DRC
Tumebarikiwa
GLORY GLORY GLORY TO GOD🙌🏽💚
Baba una nguvu mapito ninayopitia nimefika mwisho kwa nguvu zako naamini yatapita😭😭
Amen in Jesus name yatapita
Da angel sina chá kusema ila aminaaaa
Amazing and powerful name of Jesus
Go go gooooo 🥳🥳🥳🥳🤸🤸🤸tukutane nov 4🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️
🇰🇪
💥💥💥💥💥
What a wonderful song. I feel the presence of God. Much Congratulations to you all.
Wow thank you holy spirit beautiful song kenya 🇰🇪 with love
Powerful. ..'
Ukisema VINAKAMILIKA🧎🏾♀️🙌🏾🔥
WaooWao Waooo
Hakika anazo nguvu
Hakika ukisema inakamilika yesu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Waoh Mungu huyu Ana nguvu ya kubadilisha hadi historia
Waaaaaw.lovely guys.
Nguvu zako Yesu zapita fahamu zetu-heal my mum
Bwana Yesu una Nguvu hakika ya Kubadili Historia ukisema vinakamilika
Amen 🙏
Powerful
Amen barikiwa sana. Nikwelii neno lake ni Amina tena Lina nguvu.🙏
My dada huyooo💥💥💥💯💪🙏🙏🙏🌹
Powerful 🔥 ...
Halleluja Yesu una nguvu
Thou they challenge you , but trust me GOD is speaking through you, you're his instrument, dhehebu haliiwezi kukupeleka mbinguni Bali Ni kwa kumwamini yesu kristo na kubatizwa kukiambatana na matendo mema. Nice song 👍
Amen Glory be to our almighty God in Heaven
Namtukuza Mungu kwa ajili yako WOG 🔥🔥🤲
I love you ♥️
Hakika Mungu azidi kukubariki nakuinuwa karama Yako dada yangu
kwa neno lake tunaishi...barikiwa mtumishi wake