Ni vyema viongozi wetu wenye dhamana ya kusajili wakatambua ile methali isemayo pema usikiapo pema si pema tena. Watambue yaliyotukuta kwa Okra. Tutumie vizuri rasilimali kidogo tulizonazo kusajili kishure na si kuonyeshana umwamba
Kama hamna habari za uhakika kwanini mseme yametimia?! Wanayanga acheni kufuatilia hivi vijitv! Mkitaka habari za Yanga jiungeni na App na au notifications za Yanga! Sio wababaishaji!
Nikweli kati ya usajili bora wa yanga msimu huu ni kumbakiza kipa hapa wamepambana sana bg up kwa injinia
Uongozi uliotulia, hawana rongorongo.
Ninaikubali jangwani ILOVE YANGA ❤
Ni vyema viongozi wetu wenye dhamana ya kusajili wakatambua ile methali isemayo pema usikiapo pema si pema tena. Watambue yaliyotukuta kwa Okra. Tutumie vizuri rasilimali kidogo tulizonazo kusajili kishure na si kuonyeshana umwamba
Mmh yanga hii itakuwa nihatar
Unapokua kiongozi hunasababu ya kusema uongo kumbuka kwa kiongozi watimu kubwa kamayanga ni. ukweli tuu sio chupli chupli?
Nikweli, jaman?
Young Africans ni mabingwa wa CAF champions league 2024/25 na kuendelea
Upo sawa kaka
Hoya sana
Simba ata watoe kocha mbinguni kipigo kipo pale pale
Kweli au viazi
We unaonaje kwan ety
Baleke ni jembe hatar sana
Kama na baleke yumo tunaua laia
Kama hamna habari za uhakika kwanini mseme yametimia?! Wanayanga acheni kufuatilia hivi vijitv! Mkitaka habari za Yanga jiungeni na App na au notifications za Yanga! Sio wababaishaji!
Ongozi wa yanga upewe mauwa yake