GEOFF LEA AMKATAA PACOME ZOUZOUA/ KIWANGO KINATIA MASHAKA/ BALEKE MZIGO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

КОМЕНТАРІ • 12

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n Годину тому +1

    Pacome Kawa pakomwe😂😂😂😂😂😂

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Годину тому

    Nyie mnazingua, game gani ya kumchambua🎉 pacome,, Gamond anawavuruga soon 19 mtamuelewa

  • @tosh7671
    @tosh7671 2 години тому +2

    Hao wachambuzi wanaosema pacome ameisha ni wapumbavu ambao hawajui mpira wakachambue nage tu. Jana kwa dakika 20 alizoingia Pacome alitoa clear goal passes zaidi ya 8 wakina kibabage wakizipididdy. Hiyo hawakuiona mbwa hawa

    • @pastorlazarosamwelkilala5795
      @pastorlazarosamwelkilala5795 Годину тому +1

      Wengi ni mashabiki wa simba mmiliki wa redio ni simba Ali Kiba Kikeke wote ni simba una fikiria nini

    • @bakarimasanga3634
      @bakarimasanga3634 29 хвилин тому

      Wkizipidydy😂😂😂😂😂😂

  • @mwantumually5838
    @mwantumually5838 22 хвилини тому

    Naomba frequency za crown fm Tanga

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso 2 години тому

    Wachambuzi wa Bongo bwana,kila uchao wanakuja na lao.
    Eti pakome Ameisha kisa mechi tatu na hajakosea chochote zaidi ya macho ya makengeza ya wachambuzi.😊😊

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Годину тому

      Umewaelewa lakini au umeamua tu kusema hivyo Jeff alichosema huwezi toa kasoro kwa mechi chache kumponda pacome sa ubaya uwapi hapo

  • @OlesyekuKadege-cq4eo
    @OlesyekuKadege-cq4eo Годину тому

    Nyie mnashindwa kuchambua ckuiz dah

  • @benjaminthomas7969
    @benjaminthomas7969 2 години тому

    😢Leo umeongea vzur

  • @AlexAlphonce-m8b
    @AlexAlphonce-m8b 3 хвилини тому

    Mashabiki wa bongo wajinga wanataka pakome afunge ndo wajue anakiwango kizuri hawaoni jinsi anavyoitengenezea nafasi timu

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 3 години тому

    Hahaha huu mwak mhh wachambuz jmn