MUDA HUU:ENG.HERIS AFUNGUKA MAKUBALIANO YA AZIZI KI&YANGA KUBAKI|OFA NI NYINGI KAPEWA TUMEMBAKIZA!!
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- #azamtv #azamfc #azampesa #mavalatv #simbasportclub #manaratv #ayomatv #azamtvmaxapp
#SimbaVSBisharaUnited#Simba#Yanga#YangaVSKageraSugar#BerkaneVSSimba#Challenge#TryNotToLaugh#Mayele#YangaVSMtibwa#LiveMatch#AllyMayay#MtibwaVSYanga#BerkaneVSSimba##AllyMayayTembele#YangaTv#SIMBA##KibwanaShomari#Yanga#Simba#Yanga#Simbawalivyoondoka#KikosichaSimba#Tryagain#SimbaApp#Simbakuondoka##UchambuziWaAllyMayay#Bocco#Mayele#yanga
Kama kweli yeye ni engenear asikubali kumwachia huyu jamaa abaki tanzania anatujua nje& ndani timu yetu na mashabiki wengi tutaamia kwao sababu tunataka burudani sisi😂😂😂❤
❤❤❤❤
Huyu azizi kiii Looooo!!akiondoka ni bora asibaki tanzania maana akibaki tanzania tutapata shida sana tena akienda Azam ndo shiiiiidaaaa😂😂😂
Tunaomba uongozi wetu wa yanga usikubali kumwachia mchezaji huyu tutaumbuka chama sio kitu ila huyo azizi ndo mali kama atauzwa asibaki tanzania 😂😂😂
Hiyo nichezesha bwejge tu waandishi nawachambuzi watanzania nimazuzu watupuuuui ,huropoka tu
Shida uongozi wetu unachukulia poa ila tulikuwa tunaomba uongozi usikubali katu katu kumtoa azizi ki tutaumia sisi sana tena sana tuuuuuu
Unataka aziz asiondoke kadi ya uanachama unayo? Kadi umeshalipia mwezi huu Julai? Mpira ni pesa siyo maneno, eti eng amsajiri, anamsajiri hela inatoka wapi, wewe maneno tu akiondoka unamfuata, si umfuate.Hatutaki mashabiki oyaaoyaa na mashabiki maandazi.