Mwandishi msaidieni msaidieni serikali iingilie katit asaidiwe huyo mtoto watafutwe hao watu ni unyanyasaji huo watafutwe hao mabosi kamharibia maisha yake
Huuu ni unyanyasaji wanaharakati wa haki za binadamu waingilie suala hili na serikali huyu mzee akamatwe kwani amembaka huyo binti kwani hajatimiza hata umri wa miaka kumi nanane
Kama ni kweli Haki za binadamu zimsaidie maana wanaume huwa wanafanya namna ya kuwadanganya hawa wasichana wa kaz,mke anavyogundua mwanaume hua wanakua wakali na kumtukana dada ili kujihami kwa mkewe.
KAMA UMEGUSWA NA HILI 0746409426
Wewe mwandishi ni msomi hebu mpele police au dawati la malalamiko apate haki zake sio kutuletea mrejesho tu.
Nimeumia akakuita umbwa kweli??
NAMBA za rafiki YAKE anazo atafutwe HUYO MZEE ashitakiwe na ubakaji.DNA ITAHUSIKA
Mwandishi msaidieni msaidieni serikali iingilie katit asaidiwe huyo mtoto watafutwe hao watu ni unyanyasaji huo watafutwe hao mabosi kamharibia maisha yake
Maboss wanaume wenye tabia mbaya kama hiyo .mkome na mulaaniwe ...nyie bucking dogs ..
Hee jamani,hawajamlipa?,tangu aanze kazi?,na wakamfukuza?,huu NI ukatili
Pole san daaaa dada wakaz wanazalauliwa kwannn jmn daa kuitwa mbwa kweli😭😭😭😭😭😭😭😭
Kwani hakuna serekali huko tanzania,sababu wababa kama hao wanastahili wapewe adabu kali,,,mumusaidie kutafuta huyo mtu ili afunguliwe kesho yaubakaji
Dohh makubwa haya, hata sio vizuri, yani huyo boss alikosa mwanamke 😮😮 ?
😢😢
Nawajua wanaume kama hao wapo lakini huu mtoto selikali imtetee jamani kukunyima mshahala na kukupa mimba tena inauma
Lazima huyo baba akamatwe ashtakiwe kwa kubaka mtt kajatafuta Leo unamuharubia Kisha unamfukuza
Mimi ushauri wangu naona kwanza msaidieni chapili bora wadada wakazi muwe manakataa kabisa hlf muwe mnawaeleza madam zenu ili muweze kusaidiwa
Pole kila mwenye kudhulumu na yeye hubhulumiwa
Uyo baba akamatwe afunguliwe mashtaka muuwaji mkubwa
Pole sana bnti huyo baba akamatwwe
Huuu ni unyanyasaji wanaharakati wa haki za binadamu waingilie suala hili na serikali huyu mzee akamatwe kwani amembaka huyo binti kwani hajatimiza hata umri wa miaka kumi nanane
Huyo baba atafutwe Hana huruma na mke wakeila malipo ni hapa hapa
Jamani tumsaidie
Kama ni kweli Haki za binadamu zimsaidie maana wanaume huwa wanafanya namna ya kuwadanganya hawa wasichana wa kaz,mke anavyogundua mwanaume hua wanakua wakali na kumtukana dada ili kujihami kwa mkewe.
Kuna mwanaume alinitishia hivo eti ataniuwa nikikataa kulala nayeye
Huyo mzee ni MSHENZI itabidi ashtakiwe.
Pole sana mamy
Pole sana mdogo wangu
Pia pole dada
😢😢😢duuu pole sana jmn