MBOSSO AFUNGUKA UKWELI KUZAA NA ALIYEKUWA MKE WA ABDUL KIBA | BIG SUNDAY LIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 238

  • @estheroyondi4908
    @estheroyondi4908 2 роки тому +22

    Napenda story zako sana,,,mabiliani ilileta mtoto wa kike,,much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 роки тому +18

    Yaani dunia imezunguka mpaka inarudi enzi za ujahilia,kuzini siku hizi imekuwa kitu cha kawaida na kuzaa ovyo, imekuwa sifa,,Inna lilah waina ilayhi rajiun

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Рік тому +2

    Huyu mbosso mwaka uliopita palitokezea kijana akasema yeye ni ndugu yake hata hakumtia mani Léo vile sifa za zina kajitengeneza kuzijibu inalilah wainailayhi radjioun. Mungu tupe mwisho mwema yarrabi🙏🙏🙏🙏🙏

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 2 роки тому +14

    sema Abdul aliojiwa na media moja hivi jamaa akamwambia kwamba mbosso amezaa na mtaraka wako aliumia sema alijikaza tu kiume inaonesha alikuwa bado anampenda mkewe na kama alisema ajampataraka hivi sema mboss ukumjua kweli jamani

  • @japhetizo4613
    @japhetizo4613 2 роки тому +3

    Noma sana naitwa japhetizo kutoka njombe kusin nafanya mziki ingiza youtb sachi japhetizo utapata ngoma zangu kali zote huko asante

  • @mamakeaisha4926
    @mamakeaisha4926 2 роки тому +15

    Ivi Mwenyewe waona sifaaa???? Tena huna Ata waswas vijana wa kiislam tunaangamia jamaniii yarrab tusimamie na utupe ufahamu wa kufunguka akili turudi kwako inshaallah....

  • @zeinababdulla8137
    @zeinababdulla8137 2 роки тому +2

    Hufai kujisifu machafu ulifanya kwa siri Mungu akakustiri leo wasema hadharani.hata umeulizwa hufai kusema mambo yako.Mungu alikustiri leo wajiumbuwa subhannallah.Allah atuongoze,owa kuzini madhambi saana

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 2 роки тому +4

    Jmn inawezekana ni kweli hakumfahau kwa mda huo mbosso ni star anakutana na watu wengi hasa wanawake

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 роки тому +21

    Kupenda ngono nisawa na kuendekeza sifa za kijinga maana mwisho wa siku unaibuka na ukimwi bure, umalaya sio dili vijana wekezeni kwa mungu inatosha sana 🙆🙆🙆😄

  • @DJDOPEEPISODE
    @DJDOPEEPISODE 2 роки тому +24

    He is good storyteller

    • @stuartkudeba
      @stuartkudeba 2 роки тому

      ua-cam.com/video/Du0Owr8Pebw/v-deo.html

  • @jonathankasembi9217
    @jonathankasembi9217 2 роки тому +4

    Huyo mdada alitaka kuzaa na wasanii ndo sababu Ivo alisubiri akijua siku zake ziko sawa Basi akaja kumsuoporti mbosso...kiufupi alipenda bengu damu za kiusanii

  • @naturalbeautynkatha5725
    @naturalbeautynkatha5725 2 роки тому +2

    Mbosso nampenda sana

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Рік тому +4

    Pesa zimewachanganya hawa vijana mpaka wanamsahau . Mungu bora murudie. Mungu wenu kwani shetani anawapandia juu ya utosi😡😡😡😡😭😭

  • @TwalibuMsharaba-xh5xz
    @TwalibuMsharaba-xh5xz Рік тому

    Uwa nakukubali sana mdogo mbosso lakin kwa ili amna umezingua sana ulikuwa unajua tyu ata kama wameachana lakin unajua dem wa mwamba inakuwaje unachomchapia mwezako naww utachapiwa hivyo hivyo kwa md ambao utojua malipo hapa hapa

  • @OnyangoLucas
    @OnyangoLucas 5 місяців тому

    Duuu mbosso kweliii napenda story zakooo😢😢😢😢

  • @esthermoraa6648
    @esthermoraa6648 2 роки тому +40

    Kumbe huyu kaka malaya kwel kwel kuliko boss wake mwenyewe 😂😂😂😂

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm 2 роки тому +3

    lakini Safi sanaaaaaa mbosso dawa Yao ao madem wanajifanya wao wanataka kuwajua sana wanaume kila mwanaume wanata kulala nao iyo kazi Yao anae kuja karib yako piga mimba ukisha maliza kwaher sababu au awana maana kabisa utawatunza na kukaa nao vizuri lakini awaridhiki kabisa uko sahihi kabisa mbosso wanyosheeee

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 роки тому +15

    Sasa ndy unaona bora uzae nje ya ndoa kila mwanamke kuliko kuoa ukapata watoto wa ndoa muislam mzima basi utapewa watoto wengine wasiokuwa wako maana ushaona ufahari kuzaa hovyo acha wabebe mimba kwingine waje kukutegeshea ww uwalelee

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 2 роки тому +12

    Hata Mimi simfaham mke wa Abdul kiba kwakwel na mwamba tumecheza mpira wote jangwan 😂

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 роки тому +9

    Yaani Ww unazalisha tu si owowe au ndo unazalisha wagumba dume la Taifa 🤣kwa umri ulionao kuja kufikisha 80 idadi ya wazazi wenziyo itakuwa wengi siyo vizuri

  • @AchMak-du5uf
    @AchMak-du5uf 16 годин тому

    Napenda story zako mbosso sana

  • @shadyaloaf8694
    @shadyaloaf8694 Рік тому

    Yaani mbosso nakupenda bureeee

  • @saidwayawaya5356
    @saidwayawaya5356 2 роки тому +2

    Mbosso ww sio msema kweli.

  • @mariamsaid4381
    @mariamsaid4381 2 роки тому +8

    Yaani having an unprotected set seems very normal to this guy... so unfortunate...

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 роки тому +8

    ETI HAKUJUA HUYO DEM ALIKUWA BIBI WA ABDUKIBA AWACHE UWONGO LAZIMA AWE ANAJUA JU ABDUKIBA ALIKUWA RAFIKI YAKE.

  • @dorcaskemmy738
    @dorcaskemmy738 2 роки тому +2

    Si kwa ubaya but 1hr enjoyment can lead a lifetime Arvs,cheza hiyo careful

  • @shimadosun
    @shimadosun 2 роки тому +2

    Mbosso 💞✨️

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana5353 2 роки тому +11

    Kw hio dalili ya kuoa hamna nnachokushauri punguza bata kajitibu Gonjwa lko uje ufanye kazi kw bidii watoto 10 kusomesha Sio mchezo na huyo doctor kakudanganya" M'ke ndio kuzaa inakuwa hatar Sio M'me

  • @khojaAfrique
    @khojaAfrique 2 роки тому +6

    Wimbo Ya Harmonize "Wapo" inaongea mengi.

  • @Zahrazahra-ue7bp
    @Zahrazahra-ue7bp 2 роки тому +5

    Yeye katupa watu wameokota achen kumuandama ata akizaanae ariomuacha ndio ajiurize aritaka afedheeke

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 роки тому +9

    Naisi uwo ugonjwa wa kutetema umeambukizwa, umezidi umalaya!!!!

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 2 роки тому +3

    Mikumi10 tena mboss

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 2 роки тому +1

    Mbosso biriani respect bro🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 2 роки тому +13

    Tajiri wambegu nakubali😂😂

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 2 роки тому +7

    Mbosso mi shabiki yako rakini weye malaya sana tu utakuja kuugua ukimwi tu

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 2 роки тому +15

    Yaani ni rahisi sana kupata Ukimwi nyie dhu. Sasa kwanini usioe wewe acha ujinga

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 2 роки тому

      Hii point🔥

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 2 роки тому

      Hao Freemason ndiyo wamempa hayo masharti muongo huyo

  • @daudimagendero4694
    @daudimagendero4694 2 роки тому +39

    Wizara ya afya inakukumbusha msanii Mbosso kutumia condom kwa afya yako ',bado tunaman kuskiliza mzki wako maana unaimba vizur ahsant kwa kusoma

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 2 роки тому +13

    hakuna watoto wa nje ya ndoa hawana baba ila tu muhusika wa mimba anafaa amsaidie mama mtoto majukumu acheni kupotosha vijana wa kislam zingatieni mipaka ya dini

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 2 роки тому

    Nijambo baya saana kujidhulu nasfri kisha unaeleza ubaya ulofanya hakika mungu hapendi na vitendo hivyo vimekemewa kwa umma wa kiislam

  • @minnahhassan2229
    @minnahhassan2229 2 роки тому +1

    Naombaaa kuzaa na mbosso🙈🥰😅

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128 2 роки тому +5

    Mbosso ,wanangu ukihitaji biriani niambie nitakupikia tena tabu cyo za kisikuhizi

  • @maryndinda4864
    @maryndinda4864 Рік тому

    Wasafi wanapenda gono kweli

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 2 роки тому +4

    Hii ni hatari sana kupata ugonjwa ni rahisi sana

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 4 місяці тому

    Uko sahihi mboso wanawake wengi wanachanganya wanaume

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 2 роки тому +1

    Shikamoo mbosso

  • @Jemahjampa
    @Jemahjampa 2 роки тому +9

    Sijui nmecheka nini🤣🤣🤣🤣 eti utashootia wapi🤣🤣🤣

  • @MohammedAli-mf3ln
    @MohammedAli-mf3ln 2 роки тому +3

    Unalaya tanzania ni nwingi sanaa hata ushoga nwingi hata issa katajwa

  • @shaneshane4175
    @shaneshane4175 2 роки тому +5

    Bas simuwe mngoja mtu aongee kuliko kuingilia kwajuu tena acheni ajieleze bas

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 2 роки тому +3

    Manshallah ❤️

  • @queenlaty6788
    @queenlaty6788 2 роки тому +7

    Wanawake na sie wapumbavu mtu anajinadi ivo alaf kunamwanamke atamvulia nguo kesho

    • @maryammwinyi932
      @maryammwinyi932 2 роки тому

      Yan wanawake tun akil mbov kwel😔😔😔

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 2 роки тому +5

    African young boy never broke again.

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 2 роки тому +8

    Eti mboso na wewe kidogo tu tayari

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 2 роки тому +7

    Huo n umalaya unamwanamke ndan halafu unahangaika nnje.

  • @isaiahbaruani8849
    @isaiahbaruani8849 2 роки тому

    My gosh " biliani" is what really I need to know it literally

  • @chipulavevo4441
    @chipulavevo4441 2 роки тому

    Diamond

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 2 роки тому +21

    Muongo uliona ndoa kabisaa sii kweli weqe muongo kabisa acha ujinga inamaana hukuona Abdul alioa.Acha ushamba na ulimtumia DM ulinuaje

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 2 роки тому +1

      Usilazimishe ulichokiona et lazima nae aone🙄🙄

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 2 роки тому

      Mbona makasiriko😂

    • @duhrurhhddhheud8575
      @duhrurhhddhheud8575 2 роки тому

      ​@@TM.Sullusi Wanadhan kila mtu ana muda wa kufata ya watu

  • @zena4746
    @zena4746 2 роки тому +10

    Sasa akiza nae kunaubaya gani simwanamke 😀😀😀😀

    • @hassanmohammed3421
      @hassanmohammed3421 2 роки тому

      Angemuowa ingekuwa vizuri zaidi

    • @zena4746
      @zena4746 2 роки тому

      @@hassanmohammed3421 kuowa ninia nanimoyo pia brother sio kila mtu yupo tayari kuingia kwenye jihadi iyo ndoa ohoo wangine bado wapowapotu hata wanawake pia nivoivo ndoa ohooo nimamuzi makubwa sana

    • @hassanmohammed3421
      @hassanmohammed3421 2 роки тому

      @@zena4746 basi wasizae zae tuu vitoto vya njee hata mtoto wenyewe akikuwa anajua kapatika kwa njia ya uzinzi tuu

  • @meallimwamoyo6524
    @meallimwamoyo6524 2 роки тому

    Mbona kigugumizi

  • @teddyelizabeth9358
    @teddyelizabeth9358 2 роки тому +3

    Kajielezea vzuri sana😍😍😍😍

  • @pastorGentil1990
    @pastorGentil1990 2 роки тому +1

    Mbosso zaasana pls Kama mngu amekujalia kuasaidia totoa baba

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 роки тому +5

    Alf mujulish kuwa yko na mtt wkiume tyumemyoan kafanana nae naende kushulikia damu yke...naende kuangalia mbengo Tv mtt kavaa su2 ya rangi y dongo...

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 2 роки тому

    Huyu anafikiri ni sifa kuwa na watoto kila kona?? Kwanza haheshimu wanawake!! Jamaa mpuuzi sana!

  • @stonnerke7901
    @stonnerke7901 2 роки тому +5

    Mbosso story kibaooo kweliiiii🐵🐵

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 роки тому +3

    Kwahiyo ndo Maana unazalisha hivyo kisa wamesema madokita🤣je m/mungu ndo mpangaji

  • @zarmussa2695
    @zarmussa2695 2 роки тому

    God

  • @fadyasnednassor
    @fadyasnednassor 2 роки тому +2

    Basi hukumpenda km ungempenda usingejali kuhusu Kuwahi kuolewa kwake na Abdu you weren’t a man enough na yeye haina umuhimu kukwambia ameamua kuweka life style yake private Sio lazima aweke wazi Maisha ya zamani kwako coz that is her Past you Man up and be real Maana you aren’t real …

  • @barakakatana5398
    @barakakatana5398 2 роки тому

    Baada ya Biryani Mbosso akaabiria

  • @luendosabah2047
    @luendosabah2047 2 роки тому +3

    Biliani Biliani

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 2 роки тому

    Kwan yule mke wa abdukiba alofunga nae ndoa siku moja na Ali kiba walishaachana jaman

  • @princessbim6096
    @princessbim6096 2 роки тому +3

    Uowe sasa upate watoto wengine ndani ya ndoa

  • @nancykisero4604
    @nancykisero4604 2 роки тому +1

    Kijana Malaya kushinda hata huyo boss wake Simba.

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 роки тому +1

    Hayo maradhi ya moyo kmbhutofanyia bidii, hata huko kuenjoy, hutoenjoy

  • @byerabajulizy7252
    @byerabajulizy7252 2 роки тому +1

    Yani huyu nae pua zimemtanuka kama tanuru la moto wa jehanamu😭😭😭😭... kuwa makini jaman ukimwi upo uwiiiiiiiiiii unaona sofa eti kuduuu bila kinga jaman uwiiiiii Mungu tunusuru maana hao wanao liwa huko asubuh jion wanakuja kukiwa na wame za watu wanapeleka magonjwa nyumban kwa wake zao😭😭🤔

  • @binthatv2794
    @binthatv2794 2 роки тому

    Hiyi nimeyipenda sana😂😂😂😂😂😂😂💞💞💞🖐️🖐️🖐️🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮mboso jitahidi uyimbe please wewe jikaze please

  • @jeda1234
    @jeda1234 2 роки тому +4

    Toba uwe na fikira hizo bor kuzini so vizur

  • @mnyamapaslee
    @mnyamapaslee 2 роки тому +5

    Wakwanza leo

  • @pamanyango8917
    @pamanyango8917 2 роки тому +6

    Kwani wewe mbosso na abdulkiba, mna testi moja kwa wanawake? Ndio tukio itoke kama Mara tatu, inamaana mna testi moja

  • @kolethafabian2618
    @kolethafabian2618 2 роки тому +2

    Story tamu.

  • @zuqkazii
    @zuqkazii 2 роки тому

    mbosso

  • @najimahgomez3334
    @najimahgomez3334 2 роки тому +3

    Mmmmm kk wewe una mwaga tu eeeee

  • @azooclassic2543
    @azooclassic2543 2 роки тому +1

    Khan unama scene mtu wangu😃😃😃😂

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 2 роки тому

    Nimependa unavyo ugeya

  • @GoEunbeol_049
    @GoEunbeol_049 2 роки тому +6

    Tajiri wa mbegu ,anawahonga na Wana 😂

  • @mhoranomuno7358
    @mhoranomuno7358 2 роки тому +1

    Ila Mbosso anajua kuhadithia

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 роки тому +1

    Hii ni aibu kweli kweli.

  • @latifahwakesho5561
    @latifahwakesho5561 Рік тому

    Njoo nikuzalie n mm kbl 30yr

  • @Realkayv
    @Realkayv 2 роки тому +3

    Mbosso my guy

  • @merrysister5871
    @merrysister5871 2 роки тому +4

    Unataka umsaidie kumlea😂😂😂

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 роки тому

    Mbosso hapo umeongopa ulikua unajua kama alikua x wa abdukiba mana lazima kwenye maongezi yenu nauyo mwanamke lazima alikwambia wee wazalishe si tunataka wenyewe

  • @PUKTTAMEDIA
    @PUKTTAMEDIA 2 роки тому +1

    Wakuu Pitieni kwangu

  • @luganoromance8877
    @luganoromance8877 2 роки тому +4

    🙏🙏

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga6687 2 роки тому +3

    Kweli we ni tajiry wa mbeggu🤣

  • @speroachpaulsen
    @speroachpaulsen 2 роки тому +5

    🔥🔥🔥🔥

  • @jumasoli7818
    @jumasoli7818 2 роки тому +2

    Ukimsema kuwa Malaya mtu kisa kazaa na wanawake tofauti co kwel huwez kujua chanzo nn mpka inakuwa hivyo usihukumu 2

    • @aishajumaa9787
      @aishajumaa9787 2 роки тому +1

      Na nyie mkituona wanawake tumezaa nje ya ndoa msituitege malaya hamjui tumepia mangapi mbaka tumefikia hapo

  • @officialgrace1844
    @officialgrace1844 2 роки тому

    Please mwambieni mboso ana copy yake huku wanafanana sana

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 роки тому +3

    Acha ushamba kuzazaa hovyo ata hao matajiri wanawatoto 2

    • @jumasoli7818
      @jumasoli7818 2 роки тому

      Ww naw tukifatilia kwenye family yako utatuambia mpo wawil au muache apate watoto ilimlad anawatimizia mahitaj

  • @timochazze9845
    @timochazze9845 2 роки тому +5

    Bili bili bili 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣❤❤❤

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 роки тому

    Mbosso baba oa upesi ulete watoto wa uhakika sio wa kukisia kama sikosei

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 2 роки тому +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌ila mbosso 🤣🤣🤣🙌

  • @ahmadsalim6782
    @ahmadsalim6782 2 роки тому +2

    Uyu lil omy namuona SANA ni mbinafsi hampi jamaa uyo bonge nafas YA kuongea