Yaani dunia imezunguka mpaka inarudi enzi za ujahilia,kuzini siku hizi imekuwa kitu cha kawaida na kuzaa ovyo, imekuwa sifa,,Inna lilah waina ilayhi rajiun
Huyu mbosso mwaka uliopita palitokezea kijana akasema yeye ni ndugu yake hata hakumtia mani Léo vile sifa za zina kajitengeneza kuzijibu inalilah wainailayhi radjioun. Mungu tupe mwisho mwema yarrabi🙏🙏🙏🙏🙏
sema Abdul aliojiwa na media moja hivi jamaa akamwambia kwamba mbosso amezaa na mtaraka wako aliumia sema alijikaza tu kiume inaonesha alikuwa bado anampenda mkewe na kama alisema ajampataraka hivi sema mboss ukumjua kweli jamani
Ivi Mwenyewe waona sifaaa???? Tena huna Ata waswas vijana wa kiislam tunaangamia jamaniii yarrab tusimamie na utupe ufahamu wa kufunguka akili turudi kwako inshaallah....
Hufai kujisifu machafu ulifanya kwa siri Mungu akakustiri leo wasema hadharani.hata umeulizwa hufai kusema mambo yako.Mungu alikustiri leo wajiumbuwa subhannallah.Allah atuongoze,owa kuzini madhambi saana
Kupenda ngono nisawa na kuendekeza sifa za kijinga maana mwisho wa siku unaibuka na ukimwi bure, umalaya sio dili vijana wekezeni kwa mungu inatosha sana 🙆🙆🙆😄
Huyo mdada alitaka kuzaa na wasanii ndo sababu Ivo alisubiri akijua siku zake ziko sawa Basi akaja kumsuoporti mbosso...kiufupi alipenda bengu damu za kiusanii
Uwa nakukubali sana mdogo mbosso lakin kwa ili amna umezingua sana ulikuwa unajua tyu ata kama wameachana lakin unajua dem wa mwamba inakuwaje unachomchapia mwezako naww utachapiwa hivyo hivyo kwa md ambao utojua malipo hapa hapa
lakini Safi sanaaaaaa mbosso dawa Yao ao madem wanajifanya wao wanataka kuwajua sana wanaume kila mwanaume wanata kulala nao iyo kazi Yao anae kuja karib yako piga mimba ukisha maliza kwaher sababu au awana maana kabisa utawatunza na kukaa nao vizuri lakini awaridhiki kabisa uko sahihi kabisa mbosso wanyosheeee
Sasa ndy unaona bora uzae nje ya ndoa kila mwanamke kuliko kuoa ukapata watoto wa ndoa muislam mzima basi utapewa watoto wengine wasiokuwa wako maana ushaona ufahari kuzaa hovyo acha wabebe mimba kwingine waje kukutegeshea ww uwalelee
Yaani Ww unazalisha tu si owowe au ndo unazalisha wagumba dume la Taifa 🤣kwa umri ulionao kuja kufikisha 80 idadi ya wazazi wenziyo itakuwa wengi siyo vizuri
Kw hio dalili ya kuoa hamna nnachokushauri punguza bata kajitibu Gonjwa lko uje ufanye kazi kw bidii watoto 10 kusomesha Sio mchezo na huyo doctor kakudanganya" M'ke ndio kuzaa inakuwa hatar Sio M'me
hakuna watoto wa nje ya ndoa hawana baba ila tu muhusika wa mimba anafaa amsaidie mama mtoto majukumu acheni kupotosha vijana wa kislam zingatieni mipaka ya dini
@@hassanmohammed3421 kuowa ninia nanimoyo pia brother sio kila mtu yupo tayari kuingia kwenye jihadi iyo ndoa ohoo wangine bado wapowapotu hata wanawake pia nivoivo ndoa ohooo nimamuzi makubwa sana
Basi hukumpenda km ungempenda usingejali kuhusu Kuwahi kuolewa kwake na Abdu you weren’t a man enough na yeye haina umuhimu kukwambia ameamua kuweka life style yake private Sio lazima aweke wazi Maisha ya zamani kwako coz that is her Past you Man up and be real Maana you aren’t real …
Yani huyu nae pua zimemtanuka kama tanuru la moto wa jehanamu😭😭😭😭... kuwa makini jaman ukimwi upo uwiiiiiiiiiii unaona sofa eti kuduuu bila kinga jaman uwiiiiii Mungu tunusuru maana hao wanao liwa huko asubuh jion wanakuja kukiwa na wame za watu wanapeleka magonjwa nyumban kwa wake zao😭😭🤔
Mbosso hapo umeongopa ulikua unajua kama alikua x wa abdukiba mana lazima kwenye maongezi yenu nauyo mwanamke lazima alikwambia wee wazalishe si tunataka wenyewe
Napenda story zako sana,,,mabiliani ilileta mtoto wa kike,,much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yaani dunia imezunguka mpaka inarudi enzi za ujahilia,kuzini siku hizi imekuwa kitu cha kawaida na kuzaa ovyo, imekuwa sifa,,Inna lilah waina ilayhi rajiun
Wawesema ni fashon
Huyu mbosso mwaka uliopita palitokezea kijana akasema yeye ni ndugu yake hata hakumtia mani Léo vile sifa za zina kajitengeneza kuzijibu inalilah wainailayhi radjioun. Mungu tupe mwisho mwema yarrabi🙏🙏🙏🙏🙏
sema Abdul aliojiwa na media moja hivi jamaa akamwambia kwamba mbosso amezaa na mtaraka wako aliumia sema alijikaza tu kiume inaonesha alikuwa bado anampenda mkewe na kama alisema ajampataraka hivi sema mboss ukumjua kweli jamani
Noma sana naitwa japhetizo kutoka njombe kusin nafanya mziki ingiza youtb sachi japhetizo utapata ngoma zangu kali zote huko asante
Ivi Mwenyewe waona sifaaa???? Tena huna Ata waswas vijana wa kiislam tunaangamia jamaniii yarrab tusimamie na utupe ufahamu wa kufunguka akili turudi kwako inshaallah....
Hufai kujisifu machafu ulifanya kwa siri Mungu akakustiri leo wasema hadharani.hata umeulizwa hufai kusema mambo yako.Mungu alikustiri leo wajiumbuwa subhannallah.Allah atuongoze,owa kuzini madhambi saana
Umeongea vizuriii ndg yng.
Shukran
Jmn inawezekana ni kweli hakumfahau kwa mda huo mbosso ni star anakutana na watu wengi hasa wanawake
Kupenda ngono nisawa na kuendekeza sifa za kijinga maana mwisho wa siku unaibuka na ukimwi bure, umalaya sio dili vijana wekezeni kwa mungu inatosha sana 🙆🙆🙆😄
He is good storyteller
ua-cam.com/video/Du0Owr8Pebw/v-deo.html
Huyo mdada alitaka kuzaa na wasanii ndo sababu Ivo alisubiri akijua siku zake ziko sawa Basi akaja kumsuoporti mbosso...kiufupi alipenda bengu damu za kiusanii
Mbosso nampenda sana
Pesa zimewachanganya hawa vijana mpaka wanamsahau . Mungu bora murudie. Mungu wenu kwani shetani anawapandia juu ya utosi😡😡😡😡😭😭
Uwa nakukubali sana mdogo mbosso lakin kwa ili amna umezingua sana ulikuwa unajua tyu ata kama wameachana lakin unajua dem wa mwamba inakuwaje unachomchapia mwezako naww utachapiwa hivyo hivyo kwa md ambao utojua malipo hapa hapa
Duuu mbosso kweliii napenda story zakooo😢😢😢😢
Kumbe huyu kaka malaya kwel kwel kuliko boss wake mwenyewe 😂😂😂😂
😂😂😂😂
😅😅😅😅 wanaume wengi tupo hivyo maana nanynyi mmezdi kuwa warembo😅😅😅
Huyu hatari ana watoto balaa
😂😂😂😂
😂😂😂😂nimecheka sn
lakini Safi sanaaaaaa mbosso dawa Yao ao madem wanajifanya wao wanataka kuwajua sana wanaume kila mwanaume wanata kulala nao iyo kazi Yao anae kuja karib yako piga mimba ukisha maliza kwaher sababu au awana maana kabisa utawatunza na kukaa nao vizuri lakini awaridhiki kabisa uko sahihi kabisa mbosso wanyosheeee
Kweli kabisa hatuna adabu
🤣🤣🤣 tena chapa kwelikweli
Sasa ndy unaona bora uzae nje ya ndoa kila mwanamke kuliko kuoa ukapata watoto wa ndoa muislam mzima basi utapewa watoto wengine wasiokuwa wako maana ushaona ufahari kuzaa hovyo acha wabebe mimba kwingine waje kukutegeshea ww uwalelee
Hata Mimi simfaham mke wa Abdul kiba kwakwel na mwamba tumecheza mpira wote jangwan 😂
Yaani Ww unazalisha tu si owowe au ndo unazalisha wagumba dume la Taifa 🤣kwa umri ulionao kuja kufikisha 80 idadi ya wazazi wenziyo itakuwa wengi siyo vizuri
Napenda story zako mbosso sana
Yaani mbosso nakupenda bureeee
Mbosso ww sio msema kweli.
Yaani having an unprotected set seems very normal to this guy... so unfortunate...
ETI HAKUJUA HUYO DEM ALIKUWA BIBI WA ABDUKIBA AWACHE UWONGO LAZIMA AWE ANAJUA JU ABDUKIBA ALIKUWA RAFIKI YAKE.
Si kwa ubaya but 1hr enjoyment can lead a lifetime Arvs,cheza hiyo careful
Mbosso 💞✨️
Kw hio dalili ya kuoa hamna nnachokushauri punguza bata kajitibu Gonjwa lko uje ufanye kazi kw bidii watoto 10 kusomesha Sio mchezo na huyo doctor kakudanganya" M'ke ndio kuzaa inakuwa hatar Sio M'me
Wimbo Ya Harmonize "Wapo" inaongea mengi.
Yeye katupa watu wameokota achen kumuandama ata akizaanae ariomuacha ndio ajiurize aritaka afedheeke
Naisi uwo ugonjwa wa kutetema umeambukizwa, umezidi umalaya!!!!
Mikumi10 tena mboss
Mbosso biriani respect bro🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Tajiri wambegu nakubali😂😂
Mbosso mi shabiki yako rakini weye malaya sana tu utakuja kuugua ukimwi tu
Na kama anao je!!!
Yaani ni rahisi sana kupata Ukimwi nyie dhu. Sasa kwanini usioe wewe acha ujinga
Hii point🔥
Hao Freemason ndiyo wamempa hayo masharti muongo huyo
Wizara ya afya inakukumbusha msanii Mbosso kutumia condom kwa afya yako ',bado tunaman kuskiliza mzki wako maana unaimba vizur ahsant kwa kusoma
Kabisa
😨🤣🤣🤣🤣
good message
Wizara ya afya🤣🤣🤣😂
🤣🤣🤣aaaah
hakuna watoto wa nje ya ndoa hawana baba ila tu muhusika wa mimba anafaa amsaidie mama mtoto majukumu acheni kupotosha vijana wa kislam zingatieni mipaka ya dini
"Watoto wa nje ya ndoa wapo kwa mujibu was sheria ya kiislam".Mipaka gani izingatiwe?
Hawana baba mbegu zao zimetoka kwa nyani?
@@emmadora7848 🤣🤣🤣🤣
@@emmadora7848 wanaharamu hao
Nijambo baya saana kujidhulu nasfri kisha unaeleza ubaya ulofanya hakika mungu hapendi na vitendo hivyo vimekemewa kwa umma wa kiislam
Naombaaa kuzaa na mbosso🙈🥰😅
Mbosso ,wanangu ukihitaji biriani niambie nitakupikia tena tabu cyo za kisikuhizi
Wasafi wanapenda gono kweli
Hii ni hatari sana kupata ugonjwa ni rahisi sana
Uko sahihi mboso wanawake wengi wanachanganya wanaume
Shikamoo mbosso
Sijui nmecheka nini🤣🤣🤣🤣 eti utashootia wapi🤣🤣🤣
Unalaya tanzania ni nwingi sanaa hata ushoga nwingi hata issa katajwa
Bas simuwe mngoja mtu aongee kuliko kuingilia kwajuu tena acheni ajieleze bas
Manshallah ❤️
Manshallah
Wanawake na sie wapumbavu mtu anajinadi ivo alaf kunamwanamke atamvulia nguo kesho
Yan wanawake tun akil mbov kwel😔😔😔
African young boy never broke again.
Eti mboso na wewe kidogo tu tayari
Huo n umalaya unamwanamke ndan halafu unahangaika nnje.
My gosh " biliani" is what really I need to know it literally
Diamond
Muongo uliona ndoa kabisaa sii kweli weqe muongo kabisa acha ujinga inamaana hukuona Abdul alioa.Acha ushamba na ulimtumia DM ulinuaje
Usilazimishe ulichokiona et lazima nae aone🙄🙄
Mbona makasiriko😂
@@TM.Sullusi Wanadhan kila mtu ana muda wa kufata ya watu
Sasa akiza nae kunaubaya gani simwanamke 😀😀😀😀
Angemuowa ingekuwa vizuri zaidi
@@hassanmohammed3421 kuowa ninia nanimoyo pia brother sio kila mtu yupo tayari kuingia kwenye jihadi iyo ndoa ohoo wangine bado wapowapotu hata wanawake pia nivoivo ndoa ohooo nimamuzi makubwa sana
@@zena4746 basi wasizae zae tuu vitoto vya njee hata mtoto wenyewe akikuwa anajua kapatika kwa njia ya uzinzi tuu
Mbona kigugumizi
Kajielezea vzuri sana😍😍😍😍
Mhuu Mambo
Mbosso zaasana pls Kama mngu amekujalia kuasaidia totoa baba
Alf mujulish kuwa yko na mtt wkiume tyumemyoan kafanana nae naende kushulikia damu yke...naende kuangalia mbengo Tv mtt kavaa su2 ya rangi y dongo...
Huyu anafikiri ni sifa kuwa na watoto kila kona?? Kwanza haheshimu wanawake!! Jamaa mpuuzi sana!
Mbosso story kibaooo kweliiiii🐵🐵
Kwahiyo ndo Maana unazalisha hivyo kisa wamesema madokita🤣je m/mungu ndo mpangaji
God
Basi hukumpenda km ungempenda usingejali kuhusu Kuwahi kuolewa kwake na Abdu you weren’t a man enough na yeye haina umuhimu kukwambia ameamua kuweka life style yake private Sio lazima aweke wazi Maisha ya zamani kwako coz that is her Past you Man up and be real Maana you aren’t real …
Baada ya Biryani Mbosso akaabiria
Biliani Biliani
Kwan yule mke wa abdukiba alofunga nae ndoa siku moja na Ali kiba walishaachana jaman
Uowe sasa upate watoto wengine ndani ya ndoa
Kijana Malaya kushinda hata huyo boss wake Simba.
Hayo maradhi ya moyo kmbhutofanyia bidii, hata huko kuenjoy, hutoenjoy
Yani huyu nae pua zimemtanuka kama tanuru la moto wa jehanamu😭😭😭😭... kuwa makini jaman ukimwi upo uwiiiiiiiiiii unaona sofa eti kuduuu bila kinga jaman uwiiiiii Mungu tunusuru maana hao wanao liwa huko asubuh jion wanakuja kukiwa na wame za watu wanapeleka magonjwa nyumban kwa wake zao😭😭🤔
😂😂😂😂
Jamaniii 😂😂😂😂😭
Hiyi nimeyipenda sana😂😂😂😂😂😂😂💞💞💞🖐️🖐️🖐️🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮mboso jitahidi uyimbe please wewe jikaze please
Toba uwe na fikira hizo bor kuzini so vizur
Wakwanza leo
Kwani wewe mbosso na abdulkiba, mna testi moja kwa wanawake? Ndio tukio itoke kama Mara tatu, inamaana mna testi moja
Story tamu.
mbosso
Mmmmm kk wewe una mwaga tu eeeee
Khan unama scene mtu wangu😃😃😃😂
Nimependa unavyo ugeya
Tajiri wa mbegu ,anawahonga na Wana 😂
Ila Mbosso anajua kuhadithia
Hii ni aibu kweli kweli.
Njoo nikuzalie n mm kbl 30yr
Mbosso my guy
Unataka umsaidie kumlea😂😂😂
Mbosso hapo umeongopa ulikua unajua kama alikua x wa abdukiba mana lazima kwenye maongezi yenu nauyo mwanamke lazima alikwambia wee wazalishe si tunataka wenyewe
KABISA UMEGONGA NDIPO
Wakuu Pitieni kwangu
🙏🙏
Kweli we ni tajiry wa mbeggu🤣
🔥🔥🔥🔥
Ukimsema kuwa Malaya mtu kisa kazaa na wanawake tofauti co kwel huwez kujua chanzo nn mpka inakuwa hivyo usihukumu 2
Na nyie mkituona wanawake tumezaa nje ya ndoa msituitege malaya hamjui tumepia mangapi mbaka tumefikia hapo
Please mwambieni mboso ana copy yake huku wanafanana sana
Acha ushamba kuzazaa hovyo ata hao matajiri wanawatoto 2
Ww naw tukifatilia kwenye family yako utatuambia mpo wawil au muache apate watoto ilimlad anawatimizia mahitaj
Bili bili bili 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣❤❤❤
Mbosso baba oa upesi ulete watoto wa uhakika sio wa kukisia kama sikosei
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌ila mbosso 🤣🤣🤣🙌
Uyu lil omy namuona SANA ni mbinafsi hampi jamaa uyo bonge nafas YA kuongea
Kumbe tupo wengi nilihc peke yangu mbinafc cyo kdg