Usijali mtumishi Mungu ni mukuu ,atatengeneza jia pasipo jia. Wadungu wapendwq wanamatengenezo kama kweli tuko na upendo ambao Bwana yesu alisema tupendane iyo pesa nkidogo tukitoa kwa moyo.Hepu tusome 2cor.8:2_7.Mbarikiwe
Paul alipitia changamoto kma hizo TU,mara kadhaa kuharibikiwa na jahazi ndani ya bahari,kukosa chakula na maji,kupitia maeneo hatari,wakati mwingine alikuwa anakosa hta nguo za kuvaa,anakosa makao maalum,analala kando ya ufuo wa bahari na baridi yote!!2 Corinthians 11:25-27! Mtumishi jipe moyo kma Paul maana shetani Hana Raha na kazi ya mungu.tutakukumbuka kwa Hali na Mali na maombi pia
Mungu wetu aliye mwaminifu afungue njia ili tuweze ku support kazi yake
MUNGU tubaliki ili tuweze kusimama na kazi hii yako pia kumbuka hawa watumishi waku kwa kazi kubwa na zuli wanaya ifaya GOD BLESS THEM
Daah aise hikazi ya Mungu imekuwa ngumu sana. Mungu aendelee kutupigania
Mungu ni mwema brother yangu
Barikiwa mtumishi,na utuombee ili MUNGU atuwezeshe kutoa kwa upendo
Amen, Baba yetu wa mbinguni watie nguvu watumishi wako wasikate tamaa kwa ajili ya kazi yako.
Mungu atafungua njia
Usijali mtumishi Mungu ni mukuu ,atatengeneza jia pasipo jia. Wadungu wapendwq wanamatengenezo kama kweli tuko na upendo ambao Bwana yesu alisema tupendane iyo pesa nkidogo tukitoa kwa moyo.Hepu tusome 2cor.8:2_7.Mbarikiwe
Sorry for that Mtumishi, God will open ways..tuko pamoja
Mambo yamekuwa magumu lakini Mungu atatusaidia, tusife moyo wapendwa
Mungu atoejia na wapendwa tukutane na kila mtu atoe chenye yuko nacho kwaji ya kurekbisha gari ya mtumishi.
Paul alipitia changamoto kma hizo TU,mara kadhaa kuharibikiwa na jahazi ndani ya bahari,kukosa chakula na maji,kupitia maeneo hatari,wakati mwingine alikuwa anakosa hta nguo za kuvaa,anakosa makao maalum,analala kando ya ufuo wa bahari na baridi yote!!2 Corinthians 11:25-27! Mtumishi jipe moyo kma Paul maana shetani Hana Raha na kazi ya mungu.tutakukumbuka kwa Hali na Mali na maombi pia
KWA MUNGU HAKUNA LISILOWEZEKANA .
Hii kazi ni yetu sisi sote wapendwa ....hili ni jambo ndogo tukishikana tunamaliza mara Moja...tuchangamie jambo hili